S2KIZZY AFICHUA NYIMBO 20 ALIZOFANYA NA RIHANNA, TYLA WA SOUTH AFRICA / NAMTUMIA DM MPAKA JAY Z

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 май 2024
  • Facebook: / earadio
    Twitter: / earadiofm
    Subscribes: / @eastafricaradio
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 33

  • @user-jq9rj4dm5u
    @user-jq9rj4dm5u 23 дня назад +5

    S2kizzy ndio producer Bora east Africa ila wabongo wanajizima data🤣🤣

  • @ydbranch542
    @ydbranch542 24 дня назад +4

    Umeongea vizuri san kuwamusha maproducer wengi namna ya kutengenez hit song kwa ushauri wako wengi watafanikiwa big up san

  • @user-nx2sd8lk9q
    @user-nx2sd8lk9q 12 дней назад

    s2kizzy namkubali kinoma niproduce mkali kwahapa Tanzania yaani hata somuongeaji anafanya kwavitendo tunaona

  • @KigoBilionea
    @KigoBilionea 5 дней назад

    Me nakubali zake uyo mtu mbadi

  • @Official-bataboy
    @Official-bataboy 24 дня назад +2

    Sema huyu rich maswali yke mda mwingine ajitazame anapenda kuwafanya watu waongee vitu nje ya uwezo wao sema anastukiwaga hivi

  • @SummerTech.
    @SummerTech. 23 дня назад +2

    Oya we Zombie nakukubari sana mwamba one day wanna do something with you

  • @issaomary7718
    @issaomary7718 24 дня назад +1

    Dizain Kama dogo anavimba ivi ....sharaut Kwa niga louis NORTHBLOCK RECORD #ATOWN...

  • @bakaromar8135
    @bakaromar8135 24 дня назад +6

    Mchizi anaongea fact japo inaumiza

  • @star_onmusic
    @star_onmusic 14 дней назад

    Oya huo mtangazaji wenu mwenye aliyepo KWENYE mitambo Hana Quality inayo takiwa by the way Ana jua kuonewa Ila siyo kwenye ule mpangilio unao takiwa pia ra fuzi Ina kuwaza shida kwake kumfanya awe na ule weledi wa kufanya kipindi kibambee so ifike time huyo jamaa aliye pembeni akae kwenye kiti aweke mawe
    Siyo kwambia simpendi Ila huo Ni ukweli unao endana na UENDESHAJI wa Media huwa inatakiwa WATU makini Kama vile ukimcheki Tgway lile Ni jembe na siyo kitoto ama Yule jamaa wa vipindi vya shule alianza Kama haeleweki lakini sasa ana eleweka so mwambieni aache kujiskiliza Sana yeye askilize na watu mabadiliko ni watu ili we yeye pale anapo tarajia

  • @floodboytz7038
    @floodboytz7038 24 дня назад +2

    Nataka kufanya Kaz na S2KIZY sikiliza nyimbo zangu nipe ushaur 🙏

  • @user-nx2sd8lk9q
    @user-nx2sd8lk9q 12 дней назад

    S2kizzy musimuonee girl maana niproduce mkali kwatanzania sokwamba anavimba niukweli
    sema watanzania wanawivu namaendeleo yamut😅

  • @RamadhanAdam-cq7dl
    @RamadhanAdam-cq7dl 24 дня назад +5

    Zomb siyo muongeaji sana ni producer ambayo anajitambua sana in short ni number one east Africa

    • @Pro_editings2024
      @Pro_editings2024 24 дня назад +3

      Sio muongeji ??,akati ndo mtu wakujisifia kuliko ata wasanii ,watu wenye uwezo hawanaga mda wakujisifia Huwa wanasifia huyu anapiga makelele tuu hukumtandaoni

  • @AminaOmary-br8us
    @AminaOmary-br8us 10 дней назад

    Bongo kila kitu feki ndo utatoboa na ma sample ya kununua

  • @reubenwild4215
    @reubenwild4215 14 дней назад

    Anajua jamaa

  • @QGmtata
    @QGmtata 15 дней назад

    Ujue sijawai kuona kitu kwa huyu mtu,,hivi mnamjua duppy

  • @user-pf9rk6jp4f
    @user-pf9rk6jp4f 23 дня назад

    Aaaa 😂😂uyu jamaa muongo mpaka j z rihhana

  • @Siddhart7-772
    @Siddhart7-772 15 дней назад

    Dah!! Saiv atakuwa ameishiwa na ubunifu kaanza kiki zakijinga mbna geniusx66 anahiti kibao kampigia jaymelody na hajisifii na ukiangalia kuna abbah lkn hna misifa…akae kwa kutulia mziki uongee yy anamiziki yahitis za siku mbili hazidumu😅😅aache umama wewe kazi yako trap miziki mingine unakopy sana na nyie hizi interview mtakuwa mnatuungia bando interview zakimama hizi🤔🤔😂😂😂

  • @Dickson93
    @Dickson93 23 дня назад

    Yaani nikiona coment huko nashangaa sana mnataka aongee nini ndio mda wake huu mnasema wakina master na p walikua hawaongei kipindi hicho kulikua hamna social media ili kujua kinachoendelea lazima utumie bbm na bbm kuipata lazima uwe na brackberry sasa jaman acheni aongee na uzuri kazi zinaongea ndio mda wake huu jamani msitake aongee mnachotaka nyie

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z 24 дня назад +2

    JAY Z UNA MD??? MTANDAO UPI😊

  • @devisfrank6637
    @devisfrank6637 24 дня назад +1

    🫡🫡🫡

  • @tuntufyehenry1331
    @tuntufyehenry1331 24 дня назад +6

    Huyu jamaa shida Muongo Muongo sana hiyo ndio shida yake 😂😂😂

    • @aliabdallahali6995
      @aliabdallahali6995 24 дня назад

      Ili awe mkweli awe vipi?

    • @tuntufyehenry1331
      @tuntufyehenry1331 24 дня назад +2

      @@aliabdallahali6995 kizur siku zote hakikitangazi ila kazi ndio zinaongea.
      Hakuna hata siku moja Majani au master jay alisema yeye ni mkali kuliko wengine ila mbona mpaka leo wanaheshimika..!.!.😒

    • @Pro_editings2024
      @Pro_editings2024 24 дня назад

      ​@@aliabdallahali6995awe kama wewe kichaa mwenzake

    • @Pro_editings2024
      @Pro_editings2024 24 дня назад

      ​@@aliabdallahali6995awe kama wewe kichaa mwenzake

    • @Official-bataboy
      @Official-bataboy 24 дня назад +1

      Wewe shida yako sio muelewa sababu huamini vya kwako we amini katika uongo