Leo jina la bibi yangu limetajwa kiufasaha mbele ya watanzania Huyo jimi mafufu ni ndugu yangu ambaye tunaunganishwa na ukoo wa mwakibambo kijiji cha Ndala leo kuna jina limetajwa la bibi yangu R. I. P bibi yangu Rahel Kibambo ukoo wenu ni mkubwa kweliiiiii Wewe ndo ulikuwa Mungu wangu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
inatakiwa itengenezwe spin off ya hii series iitwe diba na nduguze ambayo itaonyesha chimbuko la nyumbani kwa kina diba mbeya huko kama wanavofanyaga wazungu
Hahahahahaha NISINGEKUA MNYAKYUSA NINGELIA SANA 🙌😂😂😂😂😂😂
WANYAKYUSA WOTE LIKE HAPA 💪😂
Unyama sana
😂😂😂
Nawapenda wanyakyusa wenzangu 😮😮😮🎉🎉
vipaji vikali sana hawa watu
Eliud baba umetulia tuli uko nyuma kumbe utaongea 😀😀😀😀😀😂😂😂
Najivunia kuwa mnyakyusa Hadi raha
Nawapenda sana watu wote wa juakali💞💞💞
Jmn very very. Gooood❤❤❤❤
Hiyo nimeipenda sanaaaaaaaàaaaaaàaaaaaaaaaaa.
Naipenda hii familia weee!😂😂😂
Polesana diba jipemoyo utashinda
Mko vizuri bakukaja
Nsekile fijo, ngombwike kukaja. Wamejitahidi sana ndugu zangu ❤❤
❤❤❤ wanyakyusa hatuna baya😊
Atari sana bavu zimeuma
Makabila mengine mmh shida naomba mungu mwanangu asioe munyakiusa maana nishida tuliwahi kupeleka msiba nilijuta kwenda
Aaaaaa Kwa kweli ndio mana dstv n ghali 😂😂
Fiyofikiii ahhaah kalombo uleuwaaa😂
Zuuu mnyakyusa original
😂😂😂😂😂 jamani hivi mtu ukitaka kubadili kabila inakuaje process zake nataka niwe mnyakyusa 😂😂😂
Nenda kijijni unyakyusani masoko
Kwan ww ni kabila gani
Yaani nimecheka mnoooooo😂😂😂😂😂,wanyakyusa marafiki zangu, nimejiona kama niko mbalizi mbeya
Peleka ng'ombe
Kuwa mwenye kujiamini,usipende kudharauliwa,ipende elimu,
Lusajo ni moto😂😂😂
Umetisha baba
Love you jua kali
mnatuwakilisha vizuri sana waisa
Hahahahahahahha....mmetisha sana wazee
Napenda sana haya maigizo
Hahahaha kinamwaisaa daaah nimecheka sana
Najivunia kuwa Mnyakyusa🙏🙏🙏🙏🙏
Mwe?
@@johnkiimbila6799 Etataaa
Hahaaaaaaa naona unyakyusa kaa ote love mbeya kukaja
Mnyakyusa kama mnigeria
I like this family...
Hii familia ina nipa raha jamni mjombaa
Tegeta hapa
😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤wanyakyusa oye na ndiomana mlikataliwa mnafoja sana mimi sitaki famillia yenye fuko haka
Wanyakyusa oyeeeeee
Nawapenda sana wanyakyusa
Jamani hii movie iendelee tu, nimependa wajomba sana
😂😂😂😂daah hii ni motoo. Mwe bhanyakyusa mwesa isagha kuno
ahhh safi sana
Jaman nime hipendaa❤❤❤🎉
Aaaaaah mama haujakosea mimi kuwa baba wa kinyakyusa
Hahaha 😂😂😂😂 jimy mfuuu oyeee
Watu wangu kwa kiburi tuuuu? Hatujambo😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mungu anawaona
😂😂😂 hii familia n moto
Yaani, familia ni babe hatarii😂😂😂😅😅😅
Jamani jamani mbavu zangu
DAAAH NMECHEKA SANA
Tamu sana😂😂😂
Eti suti aitunze maana inarudi kwa mwenyewe😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
@@Mrtzsd09 wabongo wanajua jaman 😂 😂 😂
Sisi tunaweza tusiwaone ila mungu anawaone
Jamani mbavu zangu wanyakyusa oyeee
😂😂😂Jua kali mnatisha sn hatarii, hizo kuku juu ya vikapu mbavu zangu nazionea huruma mwe!big up👍
Hahaaa
Diba umetisha na famlia yko
Kuwa mnyakyusa kazi xana
Wanyakyusa waki fika kongo labda wana weza choma jiji nzima kwa masemi😅😅
Na huyu mjomba aliyelala ananiacha hoi😂😂😂😂
Sokapaa 🎂🎂
😂😂 yani kichambo chote icho eti tuendelee imba pekeako 😂
Haahaa jamn natamn namimi ningekuwemo humo
Iki ikisu kya kyala umwe bha-Nyakusa umweeeee😂😂😂😂😂
Adi raha jamani,😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Loli nguhobhoka pakubhapilikiiswa mwee 😂 chichi po ikuswigha loli😅😅😅
😂lamata anajua jmn😂
eliud poleeeeeee 😂😂
😂😂😂😂wakwe zangu hao bwana😂😂😂😂
My tribe 😊
Huyu Mjomba kavu sanaa😂😂😂
Hahahahahaaaaa uwiii wanyakyusa jamani nimecheka Leo mbavu sina
Jina la movie tafadhali
Dah!
Hahahahahahah aiseeee hii familia aki nani
Leo jina la bibi yangu limetajwa kiufasaha mbele ya watanzania
Huyo jimi mafufu ni ndugu yangu ambaye tunaunganishwa na ukoo wa mwakibambo kijiji cha Ndala leo kuna jina limetajwa la bibi yangu
R. I. P bibi yangu Rahel Kibambo ukoo wenu ni mkubwa kweliiiiii
Wewe ndo ulikuwa Mungu wangu
😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Hii tamthilia ni kiboko
Ogwee kujobaa ninee mngujonaaa😂😂,, beba kuku yako sulukaaa hahhaah bhabha kukajaaa🌾🤣
Kiukweli hawa ndo wanyakyusa sasa og yan uhalisia unauona huu hapa 🤣🤣
Iyi kali
Lazima uwe na kiburi pia,halafu uwe mkalimu
Hivi kwanini? mbna kiburi
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nimecheka mpka machoziii
Kama mimi
Walahi Mjomba anakula ganja zaidi ya msela wangu mwenyewe😂😂😂
Sye sokapo hapa😂
😂😂😂😂
Mimi nimeona rangi tu
🔥🔥🔥🔥🔥
😂😂😂😂😂😂😂😂 wanyakyusa shikamooni
He Loli he
Nyumbani ninyumba
Tegeta ya bibi yako😂😂😂
Dibamsikilize,mjomba
Hello wanyakyusa
Mnyakyusa na suti za njano, kijani , pink, nasikia ndio rangi zenu
Jmn jua kali imepotelea wapi ???yan huwa inatuliwaza san tunaomb mwendelezo plz
Sokapaa seeee
inatakiwa itengenezwe spin off ya hii series iitwe diba na nduguze ambayo itaonyesha chimbuko la nyumbani kwa kina diba mbeya huko kama wanavofanyaga wazungu
Suti kama ya Aziz ki..Jo bhaja kaka
Nipigie nikuelekeze
Hahaaaa🤣🤣🤣🤣
Wanakyusa nawapenda sana yani
Jaman jaman😂
Wanyaki😂😂
Suti ichugwe inarudi kwa mwenyewe😂😂😂
Kuku anasinzia muda wote
😂😂😂😂
Jamani mnitafutie mnyakyusa
Kama ni Ke karibu
Nimecheka
Mbombo
Ngafu
Jimmy mambo yake tegeta ya bibi ako