God is great I do enjoy your sermon all the time be blessed and pray for my sister who is seriously sick , cancer ya liver my mother died of the same illness, at the same thing my other sister two years back why all this same dead same family ombea hii family sana
Mmbaga nimekusilikiza MDA mrefu Sana mafundisho yako ni mazuri sana lakini umetekwa na general conference unafundisha mafundisho laini mtumishi hutak kusema kweli ndani ya kanisa nikama unakubali Mungu wa utatu tena huongei pathfinder ni kazi ya shetani
I have a question great controversy chapter 40 I think talks about right before Jesus comes back, some people will be in prison and others in bush and others in caves Now am having hard time to understand how people will get confused unless if it won’t be world wide crisis ?? Please someone answer my question
Clip zingine unaona watu wanashangilia na simu mikononi Wakichukua vidio ati Yesu anaonekana akiwa kwa farasi kama wingu alafu unaona watu wa comments Wanaamini ati huyo ni Kristo Mwana wa Mungu 😢😢
Sasa Nina amini kwanini wanakupiga Vita kuiba camera kudukua mtandao huu Ni kuongea ukweli.tulivyo kuwa manyumbu tutadumbukia kwenye shimo hawataki watu wasijue kitu na mitandao ndio imeumiza na kizazi hiki kabisa
Barikiwa Sana na Mungu azidi kukuza uwezo wako wa ndani
Mungu azidi kukutia nguvu Mtumishi wa Mungu kutulisha neno lake Amina sana
Amina🙏
Pastor Mungu wetu akubariki akupake mafuta uzidi kutufunguwa macho ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Pr.Mmbaga l'm highly impressed by your Teaching wee uwetu l'm proud of mi mpare mwiyao sembuse MALAIKA WA MUNGU Nimi mama wako Judith Kimbute
❤amen❤
Mungu na akubariki ntumishi
Asntee Yesu kwa Neema hii uliyotupatia ya kusika Neno lako. Mbariki sna mtumishi wako Pr Mmbaga.
Asante Mungu.
Tupe nguvu ili tuwe tayari.
Pastor mungu akibariki.
Mungu akubarik nabarikiwa sana na ujumbe unaoutoa nakufatiria sana nikiwa hapa Burundi bujumbura
Que l'Éternel vous bénisse Aux siècles des siècles Amen.
May God bless you
Mungu azidi kukutumia uje Kenya utufundishe ,tunahitaji mafundisho kama hayo
God is great I do enjoy your sermon all the time be blessed and pray for my sister who is seriously sick , cancer ya liver my mother died of the same illness, at the same thing my other sister two years back why all this same dead same family ombea hii family sana
I'm from Kenya I'm kemuma Beatrice ombea dada yangu Hugo mgonjwa Cancer ya liver
Amen....blessings from Kenya 🇰🇪
Mungu awabariki baba ana kutumiya sana ❤
DUUUU!!MUNGU ATUREHEMU.🙏
BARIKIWA SANA PASTOR.
Amen
Stay blessed and happy pr David Mmbaga
Ameen👏👏👏
MUNGU Akubariki mchungaji kwa mafundisho Mazuri
Amen!
Sabato njema barikiwa nikiwa kinya
Amina
Amina ❤
Mmbaga nimekusilikiza MDA mrefu Sana mafundisho yako ni mazuri sana lakini umetekwa na general conference unafundisha mafundisho laini mtumishi hutak kusema kweli ndani ya kanisa nikama unakubali Mungu wa utatu tena huongei pathfinder ni kazi ya shetani
𝘑𝘪𝘯𝘢 𝘭𝘢 𝘉𝘞𝘈𝘕𝘈 𝘭𝘪𝘣𝘢𝘳𝘪𝘬𝘪𝘸𝘦.
Ukweli pastor kuhusu TikTok hujakosea inatawala hisia za wanadamu
I have a question great controversy chapter 40 I think talks about right before Jesus comes back, some people will be in prison and others in bush and others in caves Now am having hard time to understand how people will get confused unless if it won’t be world wide crisis ?? Please someone answer my question
Siku zote ukweli haupendwi ila tujiandae kisawasawa
❤❤❤
Clip zingine unaona watu wanashangilia na simu mikononi Wakichukua vidio ati Yesu anaonekana akiwa kwa farasi kama wingu alafu unaona watu wa comments Wanaamini ati huyo ni Kristo Mwana wa Mungu 😢😢
Nimejaribu kulidownlord Hilo SOMO limekataa shida nn
Sasa Nina amini kwanini wanakupiga Vita kuiba camera kudukua mtandao huu Ni kuongea ukweli.tulivyo kuwa manyumbu tutadumbukia kwenye shimo hawataki watu wasijue kitu na mitandao ndio imeumiza na kizazi hiki kabisa
Fungu la23 sija ona apa nitofauti ulivyo soma mchugaji
Kvp
Amekosea t kutaja fung ni fungu la 25
Ni 24-24
Amen