MBWEMBWE ZA LEMA KWENYE CHOPA YA CHADEMA, LISSU NA MBOWE WATABASAMU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 июн 2024
  • СпортСпорт

Комментарии • 10

  • @user-eg1mz6vo1d
    @user-eg1mz6vo1d 5 дней назад

    Msisafiri pamoja kwa chopaaaaa pliz

  • @CatherineJohn-uo1tq
    @CatherineJohn-uo1tq 3 дня назад

    Nina wakubali sana Makamanda, ila sijapenda mnavyosafir pamoja, coz hawa ndugu zetu upande wa pili hawana utu ,wasije wakasababisha sisi kubaki yatima, Nawapenda sanaaa!!!!!

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo7785 11 дней назад

    Ila mnazingua mnakaheje wote kwenye chopa ikitokea shida

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo7785 11 дней назад

    Watu wa putotoko chadema unataka majembe yetu yasiokoe nchi hii kwanini wakae kwenye chupa ya gesi wote ili ikiwaka kama ya Malawi mtatwambiA mpango wa Mungu

  • @user-xe8xv6so6s
    @user-xe8xv6so6s 11 дней назад

    Makamanda. Kuweni na tahadhali kuruka wote kwenye chopa sio. Tunawapenda kuliko mnavyofikiri.

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge6794 12 дней назад +1

    Hii ni hatari viongozi wote wa chadema kwenye helicopter moja ?
    Wangesafiri tofauti....

  • @adoniemanuel908
    @adoniemanuel908 11 дней назад

    badilisheni plane mkifanyiwa hujuma mamaisha angalieni kenya irani chopa znamaliza watu jigawanyeni wengine magaei wwngine chopa msituletee msiba wakitaifa tutakuwa vichaaa