Nina wakubali sana Makamanda, ila sijapenda mnavyosafir pamoja, coz hawa ndugu zetu upande wa pili hawana utu ,wasije wakasababisha sisi kubaki yatima, Nawapenda sanaaa!!!!!
Watu wa putotoko chadema unataka majembe yetu yasiokoe nchi hii kwanini wakae kwenye chupa ya gesi wote ili ikiwaka kama ya Malawi mtatwambiA mpango wa Mungu
Msisafiri pamoja kwa chopaaaaa pliz
Nina wakubali sana Makamanda, ila sijapenda mnavyosafir pamoja, coz hawa ndugu zetu upande wa pili hawana utu ,wasije wakasababisha sisi kubaki yatima, Nawapenda sanaaa!!!!!
Ila mnazingua mnakaheje wote kwenye chopa ikitokea shida
Watu wa putotoko chadema unataka majembe yetu yasiokoe nchi hii kwanini wakae kwenye chupa ya gesi wote ili ikiwaka kama ya Malawi mtatwambiA mpango wa Mungu
Makamanda. Kuweni na tahadhali kuruka wote kwenye chopa sio. Tunawapenda kuliko mnavyofikiri.
🤔
Hii ni hatari viongozi wote wa chadema kwenye helicopter moja ?
Wangesafiri tofauti....
🤔
badilisheni plane mkifanyiwa hujuma mamaisha angalieni kenya irani chopa znamaliza watu jigawanyeni wengine magaei wwngine chopa msituletee msiba wakitaifa tutakuwa vichaaa
🤔