asateni Samia kwa kusumbua jamii ya maaasai kwenye vijiji vyao husika aifaidiki kwa lolote tusikubali Tena kupuuzwa na uongozi ulioko CCM ni mamba anaetula sisi watanganyika wote tuikimbieni CCM kama joka lakutisha auwuuuuiiii napiga mayoowee naitaka dunia ijue kuijulisha madhambi ya Samia na wajomba zake wanatuuwa wenu ni Simba sauti ya wanyonge
Inauma Kwakweli Ndungu zangu wa Masaï poleni sana ila Mungu atajibu kwa Wakati wake Tuombe sote Mungu
POLENI SANA MASAI
Semeni msife mkikaa kimya
Wewe acha ubaguzi kwa kutaja jamii ya wamaasi
CCM MKUUWETU WA MKOA ARUSHA RC MAKONDA HATUMWONI
asateni Samia kwa kusumbua jamii ya maaasai kwenye vijiji vyao husika aifaidiki kwa lolote tusikubali Tena kupuuzwa na uongozi ulioko CCM ni mamba anaetula sisi watanganyika wote tuikimbieni CCM kama joka lakutisha auwuuuuiiii napiga mayoowee naitaka dunia ijue kuijulisha madhambi ya Samia na wajomba zake wanatuuwa wenu ni Simba sauti ya wanyonge