Msigwa amekimbia tuhuma zake, ili azitwishe CHADEMA Msukuma amethibitisha hilo. Aligeuza rushwa kuwa mshahara. Msukuma akaahidi kutoa ushahidi hadharani. Je, kuondoka kwake ni hiari au ni mbio za kwenda kupoza hoja ya msukuma? Bila shaka watu kama yeye ndo wanaichafua CDM kwa tamaa zao. Je siku waamini wa Kanisa lake wakiwa maskini wasiotoa SADAKA atalikimbia KANISA ?
Hiiiiiiiiiiii, CCM kwa hawa chadema mwaka huu na mwaka kesho kazi mnayo ninacho washauri CCM mjiandae kisaikolojia maana hawa chadema wameshindikana mwaka kesho Raisi anatokea chadema CCM kwaheri,kwaheri,kwaheri mpumzike kwa amani
Pamojaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mwambigija unatutania au unatusimanga 😂😂😂😂
Kwa kuchonga umejaaliwa lakini hutaona Ndani utaisikia hivo hivo na utatunga mashairi
We mwambigija ni mhuni toka miaka ya mbeya cement ni mhuni wa kutosha
Watu.wanajaribu.kutisha.chadema.mwaka.1959.walimtisha.nyerere
Kuwatawaweza.wazungu.wengine.wakaapa.nyerere.aalienda
Mbelle.hadi.akapata
Uhuru..msirudi.nyuma
Mshimano
Dawa.tossha
Msigwa amekimbia tuhuma zake, ili azitwishe CHADEMA
Msukuma amethibitisha hilo.
Aligeuza rushwa kuwa mshahara.
Msukuma akaahidi kutoa ushahidi hadharani.
Je, kuondoka kwake ni hiari au ni mbio za kwenda kupoza hoja ya msukuma?
Bila shaka watu kama yeye ndo wanaichafua CDM kwa tamaa zao.
Je siku waamini wa Kanisa lake wakiwa maskini wasiotoa SADAKA atalikimbia KANISA ?
Uwakomeshe kamanda
Hiiiiiiiiiiii, CCM kwa hawa chadema mwaka huu na mwaka kesho kazi mnayo ninacho washauri CCM mjiandae kisaikolojia maana hawa chadema wameshindikana mwaka kesho Raisi anatokea chadema CCM kwaheri,kwaheri,kwaheri mpumzike kwa amani
Hongera sana mwabingija
Viwatu vifupiii
Ujinga mtupu fungeni barabara leo uone kitakachotokea mnasifiana ujinga mtupu kwenda zenu hapa
Upuzi mtupu