Historia Ya Tanganyika Part 1

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 июл 2024
  • Historia Ya Tanganyika Kabla Ya Uhuru Na Matukio Yalio Jiri Wakati Wa Mwalimu Jk. Nyerere Part 1-4.NDIO MWISHO
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 73

  • @alfanikirua4572
    @alfanikirua4572 3 месяца назад

    Allah amjaalie...serikali imuangalie japo aonje mema ya nchi

  • @kingsoboropayani5127
    @kingsoboropayani5127 5 лет назад +7

    Nimemuelewa sana mzee yuko vizuri sanaaa kwakweli hajapoteza kumbukumbu natamani nipate nafasi ya kukaa naye na kumuuliza maswali kadhaa

  • @machenicschenga2558
    @machenicschenga2558 5 лет назад +3

    Alhamdulillah ewe mwenyezi mungu unusuru uislamu na waislamu na walio uhujumu wasipo tubu mpaka mwisho mwenyezi mungu wewe ndio unajua cha kuwafanya

  • @abdulkadrimbona4454
    @abdulkadrimbona4454 Год назад

    Mashallah mwenyezi MUNGU ndie mjuzi Amalie mwisho mwema

  • @shimuld6721
    @shimuld6721 5 лет назад +2

    Asante sana mzee Mungu akuzidishie kheri na baraka akuhifadhi akupe maisha marefu na akuandalie jannatul fardaus ameen Yaarabil Alameen jamian

  • @shimuld6721
    @shimuld6721 5 лет назад +5

    Hasbiya Allah waniimal wakiil

  • @salumali6601
    @salumali6601 5 лет назад +5

    Ni wazi kwamba waislamu wa tanzania tumehujumiwa sana. Ni wakati sasa waislamu kuacha tofauyi zetu tuujenge uislamu.

    • @missysher9750
      @missysher9750 2 года назад

      Unaleta ukuma wa dini usilam si ufala tyu mnafirana

  • @sohelvora2783
    @sohelvora2783 5 лет назад +4

    Mfanikuyo yanguna nfanikiyo yakuna ya watu wa ulumuyumgmzima yaku katika dini..dini kamil..din e islam...love from india..india wa tanzaniya marafiqa

  • @khamisiomary4513
    @khamisiomary4513 5 лет назад +3

    Huu ndio ukweli asante mzee

  • @yusufgidudu7749
    @yusufgidudu7749 5 лет назад +3

    Ahsente mzee

  • @josephatmgaya7117
    @josephatmgaya7117 6 лет назад +2

    Upo sawa babu

  • @bahatimatiku4294
    @bahatimatiku4294 5 лет назад +2

    Ana Miaka mingp Syo mnatuongopea bhana naulza akina mkawa wako wap akina kinjekitile ngwale akina kambarage Nyerere yn babu yke Nyerere Oky Asant mzee Wang

    • @abdallahsultanally3984
      @abdallahsultanally3984 5 лет назад +1

      Mzee, ruksa yupo hai mpaka leo ana miaka zaidi ya tisini, mzee kingunge muda si mref rika moja na huyo mzee, mzee mustafa songambele yupo hai mpaka leo, nasoro hasan moyo wa mwanamapinduzi yupo hai mpaka leo, wapo wengi sana hawa wazee

  • @abdulpires9091
    @abdulpires9091 Год назад

    Mashallah Allah atakulipa!

  • @bongotv6384
    @bongotv6384 5 лет назад +7

    nyerere alikuwa na akili na mjanja sana...alijua mazara ya kuchanganya dini na siasa...ndo maana akaweka dini pembeni akatafuta Uhuru kwa tanganyika yote..hii lazima tukubari...bila hvyoo udini na ukabila vingetutesa mpaka leo...RIP BABA WA TAIFA

    • @subiraomar4771
      @subiraomar4771 5 лет назад +1

      Kweli kabisa kumbe umeicheki ee

    • @HassanHassan-sn5cj
      @HassanHassan-sn5cj 3 года назад

      Hujitambui wewe ama ndo mlonufaika na ukandamizaji wa huyo babaenu wataifa.!!
      Ila kwa sasa hapana shaka anakula kichapo kwa bwana wa mabwana!!

    • @annasamwel1463
      @annasamwel1463 2 года назад

      Naam! Dini moja haiwezi kuongoza nchi. Mbali ya hili, dini na siasa si mchanyato mtamu.

    • @AliAli-rx6wu
      @AliAli-rx6wu Год назад

      ​@@annasamwel1463Anna ujue nakuchukia saana siku ile tumeingia guest house inaitwa Safar Guest house Rwagasore Street Mwanza,daah uliharisha mavi na uharo ukachafua kutanda balaa!!! Daah ulinuka kama mavi ya nguruwe!!!

  • @davudyusuf4366
    @davudyusuf4366 5 лет назад +1

    Maashallah

  • @bahatimatiku4294
    @bahatimatiku4294 5 лет назад +5

    Shukuran San Nyerere hawa Jamaa wasingetuletea uhuru wangeishia kuchezea na kwenye kumbi za starehe

    • @nururamadhan3417
      @nururamadhan3417 5 лет назад

      Bahati Matiku fuck ur christian dark thoughts

    • @fungamaliramadhani479
      @fungamaliramadhani479 5 лет назад

      Bahati Matiku ww nimjinga nyelele ajaleta huhuru Mzee wetu waikera mmefanya kazi kubwa bila ya waislamu tusingepata huuru hakika tutawaenzi inshaallah vijana wenu tutawaenzi

    • @ochumbwana7063
      @ochumbwana7063 5 лет назад

      Shida sana kusema kweli

    • @mathiaszakaria7052
      @mathiaszakaria7052 5 лет назад

      Kwelii

  • @ramadhanikipingu3310
    @ramadhanikipingu3310 7 лет назад +7

    the true history of tanganyika b4 independence

  • @swaleheismail46
    @swaleheismail46 6 лет назад +2

    mashaallah

  • @leylajamal276
    @leylajamal276 4 года назад

    Nice

  • @kfastak
    @kfastak 7 лет назад +5

    ahsante sana Kwa hii hitoria

  • @shakiradnan9014
    @shakiradnan9014 7 лет назад +10

    wale waislam wenye uwezo ni vem tukampeleka hijja huyu mzee

  • @jayzanbreezy4777
    @jayzanbreezy4777 2 года назад

    Na wallahi nyerere huwa namchukia sana kwa namna alivoudhulum uislamu,Laana za Allah zidumu nae

    • @sukariyao6537
      @sukariyao6537 Год назад

      😂😂 zitadumu na kwa ukoo wako pia mbaka unakufa 🙏😏

  • @allylongochy5204
    @allylongochy5204 Год назад

    Mzeee huyu msimamo wake nauona mm

  • @dazk7861
    @dazk7861 5 лет назад

    Mashallaah mungu akulinde mzee wetu

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 5 лет назад +3

    Ndo maana anaona bado kumbe fundi saa!!!!

  • @abdulkadrimbona4454
    @abdulkadrimbona4454 Год назад

    Aliweka dini pembeni unauakika

  • @rastafare878
    @rastafare878 2 года назад

    Yaani Nyerere mungu atamlipa huko aliko Inshallah

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 года назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌

  • @abdulkadrimbona4454
    @abdulkadrimbona4454 Год назад

    Alie vuja alikua ni mdini mkubwa

  • @muhrajovic752
    @muhrajovic752 5 лет назад +2

    Crucial point noted "having no baitul-maal" one of failure!!!

  • @ambokileasheengai1140
    @ambokileasheengai1140 Год назад

    Mzee Ulikuwa na msimamo sana,,ila kumbuka hao Wakina Abdul Nassr Na Agakhan walikuwa wanatembelea nini,,sio Mabenz na Ndege Toka Enzi Hizo?,,,,,Leo Tunafukua history kwa Hiyo Dini ni Visasi?Mkumbuke Serikali Ya Tanganyika Haina Dini Ni Yako huko na wako,,,,sio kuingiza kwenye upuuuzi huu,,,,Mungu Hakuziumba Dini

  • @kingosman9311
    @kingosman9311 7 лет назад +3

    mwenyezi mungu azidi kumuadhibu huyo aliyefanya dhulma hii ameen.

    • @robertndabalasi6102
      @robertndabalasi6102 7 лет назад

      unafiki umewala wenyewe ndo ufahamu ukubwa wa dhambi Ya unafiki!

    • @robertndabalasi6102
      @robertndabalasi6102 7 лет назад

      Africa mashariki sio nchi! Hahahh

    • @robertndabalasi6102
      @robertndabalasi6102 7 лет назад

      fasihi simulizi huwa ina tabia Ya kubadilika. kuliko video na maandishi wakati husika. na huwa kila mtu anaeleza Kwa utashi wake. historia imeshajiandika haiwezi kubadilika ndo mungu alivyopanga.

    • @hassandaudi167
      @hassandaudi167 6 лет назад

      haki ya allah hatozimishwa mpaka qiyama kitasimama.

    • @muhssinmshangama6180
      @muhssinmshangama6180 6 лет назад

      Laana tu llah alayhi na moyo mwenyezimungu adumu nao mpaka qiama

  • @salumhilal7911
    @salumhilal7911 5 лет назад +2

    Duuh hawa wazee ni hazina

    • @madengeh
      @madengeh 5 лет назад

      huyu mzee anaongea sana story za kudhani kwanini hakudaiuhuru hana cha kusema kama alikuwa na uwezo kwanini asubiri agakhan .cadian huyo angalia kofia yake.nyerere ameshaondoka miaka 30 sasa.tueleze sasa tufanye nini mimi cha nina gari acha porojo

    • @salumhilal7911
      @salumhilal7911 5 лет назад

      @@madengeh ww mbona huna cha kueleza huyo mzee na ww ni vitu viwili tofauti pamoja na uzee wake lakin kiakili humpati chembe

    • @madengeh
      @madengeh 5 лет назад

      @@salumhilal7911 huyo zero kabisa analalamika tuuu solution nini nyinyi watu wa huko matatizo

  • @zonko0488
    @zonko0488 5 лет назад +4

    Mzee tumekusikia ila ningefurahi ungetupa pia na historia kidogo ya Utumwa na jinsi Waarabu walivyowatumikisha na kuwadhalilisha mababu zetu kipindi hicho maana Tabora ilikuwa njia kuu ya misafara ya watumwa.

    • @abdulmuslih148
      @abdulmuslih148 5 лет назад

      Mwarabu hakufanya biashara ya utumwa abadani

    • @amosmabula918
      @amosmabula918 5 лет назад +1

      Kwa mkanganyiko huu ni vingumu kuamini kwa uislam upon. katika harakati ya kutawala dunia. uislamu ili ukamilike lazima iwepo dola la kiislam Qu'ran inasema wakitawaliwa na dola/serikali nyingine isiyo ya kiislam hii inamaanisha kwamba waislam wote wako chini ya makafiri na ni makafiri hivi sasa baadhi yao wanaamini hivyo.

    • @mathiaszakaria7052
      @mathiaszakaria7052 5 лет назад

      Kweli

    • @hasanmsabila6679
      @hasanmsabila6679 5 лет назад

      Zonko 04

    • @mussamsella5801
      @mussamsella5801 3 года назад

      Historia imepotoshwa sana ...lkn uzuri wake ni kwamba 'Ukweri kadri unavoishi Thamani yake huongezeka na Uongo kadri utakavoishi ndivo thamani yake hushuka'

  • @abdulkadrimbona4454
    @abdulkadrimbona4454 Год назад

    Kama alikua ataki udini alianzisha bakwata ya nini

  • @liyakidada673
    @liyakidada673 7 лет назад +3

    why no english subtitles??

    • @arnoldlucas6909
      @arnoldlucas6909 4 года назад

      You wanna know Swahili if you wanna understand

  • @abdulkadrimbona4454
    @abdulkadrimbona4454 Год назад

    Kwanimi mapadri walikua wanafundisha sala ya mfalme joji

  • @hamischuga6320
    @hamischuga6320 Год назад

    Ndio maana ukiitaka kuisoma history ya Tanganyika utasikia Nyerere kumbe alikuwa muuwaji mkubwa

    • @sukariyao6537
      @sukariyao6537 Год назад +1

      Muuaji kma babako maana bila kuwapa uhuru mbwa nyie sasa hivi mnekuwa watumwa wa waarabu nonsense kabisa nyie

  • @hhmanyamba2871
    @hhmanyamba2871 6 лет назад +4

    tatizo watanzania tukielezwaukweli tunasema udini kwaaliyekuwepo wakiule awezikubisha nyerele kapotosha istori kwamaslai yakanisa