KAZOA NDANI YA IMANI PART 1

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 фев 2025

Комментарии • 57

  • @amandenicy3489
    @amandenicy3489 Год назад +4

    Nakubali kazi kubwa MR KAZZOA"

  • @azizimkwinda6936
    @azizimkwinda6936 Год назад +4

    Daah we jamaa nakukubali, ile ile

  • @ramadhanmbudo1596
    @ramadhanmbudo1596 Год назад +1

    Mashallah Filamu nzuri Sana na Ina maudhui mazuri yasiyopitwa na wakati.
    Safi Sana Kaka Allah azidi kukuneemesha kwa ilmu hii kubwa uliyotukumbusha ktk Filamu hii

    • @mrkazoa2232
      @mrkazoa2232  Год назад

      AMIIIN. Shukran sana kwa support

  • @jaymapepefatma5936
    @jaymapepefatma5936 10 месяцев назад

    This is love from Mozambique 🇲🇿❤😊😅😅

  • @enockmwilongo5771
    @enockmwilongo5771 Год назад +5

    Sheikh Kazoa umetisha sana humu 😂

  • @mmn7480
    @mmn7480 Год назад +2

    Nafurah kkuona kazoa❤❤❤ maan wasafi sikuoni jmni I miss you

  • @zayumar2955
    @zayumar2955 Год назад

    Nakupenda kazoa cha uroho😅😅😅 ila hii uliigiza zaman make ni mwembamba pia naziona ramboo😅😅😅

  • @mmn7480
    @mmn7480 Год назад +3

    😂😂😂😂😂😂😂😂nampenda kazoa jmni

  • @Boaz22
    @Boaz22 Год назад +5

    Mama sele ni mpole mpaka Raha,anajua kuigiza mnoo

  • @chawanakheri7484
    @chawanakheri7484 9 месяцев назад

    Hiki kipande kimalizie bhanaaa
    nimeona kitumbua kilipigwa teke ila hatimae kimerudiwa kwa style ya mwamba 😄😅😁

  • @ThegreatDrfloriansteven6674
    @ThegreatDrfloriansteven6674 Год назад +3

    Well done bro

  • @nanahmekaupbeautifu237
    @nanahmekaupbeautifu237 Год назад +3

    Uyu kaka ivi kasha pewa tuzo ya uchekeshaji Bola tanzania kamaajapewa apewe jamani

  • @shaviercharvinho18
    @shaviercharvinho18 Год назад +2

    Tokea miaka iyo hujafunguwa RUclips channel lakini hujacgerewa

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Год назад

    Haaaaa kazowa kabadilisha jina anaitwa frenki uroho bwana

  • @vmahenge8
    @vmahenge8 6 дней назад

    Mbona hatusikii wanavyo ongea

  • @AnwarAli-vs9mp
    @AnwarAli-vs9mp Год назад +1

    Munafanya masikhara na dini 😮😮cio mafala nyie munacheza na mungu cio mungu afanyiwi masikhara

    • @mrkazoa2232
      @mrkazoa2232  Год назад +1

      Umeangalia mwanzo mwisho wa Filamu? Si unaongea upuuzi tu na kukashifu elimu wanayotoa wenzio kuhusu dini na mwezi mtukufu wa Ramadhan. Angalia mwanzo mwisho kisha njoo na hoja hapa. Tumesoma dini sheikh usichukulie wote hawajasoma. Dini haipo hivyo kama unavyodhani. Rudi darasani.

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Год назад

      Yupo swa. Dini ya kiisilam haifundishwi kwa vichekesho au uigizaji. Dini inafundishwa kwa kukaa/kufuata walimu, masheikh na ulamaa ukasomeshwa. Ndio mna siku hzi maasi mengi sana kwa sbbu tumeingiza usanii ktk kufundishana dini ya kiisilam.

    • @AnwarAli-vs9mp
      @AnwarAli-vs9mp Год назад

      Ushajibiwa

    • @masterplan9203
      @masterplan9203 Год назад

      Kwani kibaya kipi apo

    • @mrkazoa2232
      @mrkazoa2232  Год назад +2

      @@Fear_Allah394 Namuamini ALLAH kwenye dhima yangu na sio wewe binadamu na wala wewe huwezi kutoa hukumu ya kusema hiki ni dhambi na kitakupeleka motoni...kupitia filamu hii nimepata pongezi kutoka kwa viongozi wa dini tena wakubwa. So si kila mtu atakaa chini kusikiliza mawaidha ya dini bali kufikisha elimu kuna aina mbalimbali au mbinu tofauti ili kuwafikia walengwa tofauti. Tambua wewe ni binadamu tu hiyo dini usiifanye ni fimbo ya kuchapia wengine coz dini yetu haipo hivyo. Tusome dini ili kuielewa na sio kukariri. Ahsante. ALLAH ndiye anayejua hatima ya mwanadamu na si wewe.

  • @aliyshemweta9753
    @aliyshemweta9753 Год назад +4

    Umepotelea wapi kaka mbona wasafi hamuonekani Tena kaka

    • @mrkazoa2232
      @mrkazoa2232  Год назад

      Soon

    • @Kabeya410
      @Kabeya410 Год назад

      Mbona tayari washarudi vijambo na vijambo vipo hewani 😅

  • @ramadhanmbudo1596
    @ramadhanmbudo1596 Год назад

    Unafurahi na unaelimika kwa wakati mmoja haichoshi kabisa.
    Kuna vionjo vya Nai na kigoma Cha daku Daku kimenikumbusha miaka mingi Sana nikiwa kijana mdogo wa madrasa

  • @eddienyota5
    @eddienyota5 Год назад +3

    Naam Chaurohoo😂

  • @macklineremmanuel1742
    @macklineremmanuel1742 Год назад

    Wasafi mpaka lini???
    Hiyo Ni ishara ya kukua
    Kuna umri ukifikia ukikaa nyumbani unaona aibu, acha wapambane😜

  • @mwanahawaninga6160
    @mwanahawaninga6160 Год назад

    Samahani sio kwa ubaya hivi hilo ni tumbo au begi mbona unamatonge makubwa

  • @sadunabdallah7303
    @sadunabdallah7303 Год назад +1

    Nimgum lakin sio sana kuhishinda roho2 mkubwa

  • @CHAMEMPIRE
    @CHAMEMPIRE Год назад +1

    Safi sanaaa

  • @barakaelgabriel913
    @barakaelgabriel913 Год назад +3

    Chi hindi hili jamani kaacha????

  • @yussufdjuma7296
    @yussufdjuma7296 Год назад

    😂😂😂😂🇺🇸❤❤❤

  • @husnaomary-ok7fl
    @husnaomary-ok7fl Год назад

    Achante kwa ukumbucho

  • @husnaomary-ok7fl
    @husnaomary-ok7fl Год назад

    🤣🤣🤣

  • @montteyfloki3953
    @montteyfloki3953 Год назад

    Wale mnaolalamika kwamba anachezea dini ooh blah blah blah huku youtube mmefata nini🙄🙄🙄

  • @anifaabduly481
    @anifaabduly481 Год назад +1

    😂😂😂

  • @holylostborn
    @holylostborn Год назад

    😂😂😂😂😂

  • @asmarajabu5786
    @asmarajabu5786 Год назад

    😂😂😂

  • @ramlaabubakar1114
    @ramlaabubakar1114 10 месяцев назад

    😂😂😂