Mimi nilikuwa wa Kwanza kukataa chato kuwa mkoa,Mimi Ni mzaliwa wa Geita chato naifahamu vizuri sana,chato ilitokana na ukame uliyokuwapo ikapewa kilimo Cha pamba tuu,mazao mengine yalikuwa hayasitawi ndiyo maana ikaitwa chato.najua wengi hawana historian ya chato,hao ukiwauliza tukio lililofanyika chato mwaka 1965 hawawezi kuelezea.ata lubambangwe hawajui maana yake,
Mhe Msukuma Uko Sahihi, mambo mengine ni maamuzi tu. Hata kuhamia Dodoma nafikiri mnaona magumu tunayopitia sasa tusingekuwa na kiongozi Jasiri tungekuwa tunapiga Jalamba kwenda Dar tu
Nanyie watu wauko acheni ujinga yani chato iwe mkoa kuna mikoa mikubwa apa tanzania kama morogoro tabora mnaangaika navijiji vidogo vidogo acheni ubinafsi nyie wasukuma
Huu upuuzi wa kufanya Chato mkoa hemu mtuondolee hapa. Badala tupate mikoa mipya kutoka kwenye mikoa kama Tanga, Morogoro, Tabora na Mtwara, eti tuanze kujadili Chato!?
Kwa Kanda ya ziwa Haina haja ya kuwa na mkoa mwingine sehemu zimeshajigawa na zinatosha, mikoa kama Tanga, Morogoro na Tabora angalau wanaweza omba ombi la mkoa. Ila Chato, kwanza kwa uchumi gani ulioko huko?
Hivi kila mtu akitaka kuwa na kamkoa mtaani kwao tutakuwa na mikoa mingapi nchi hii na italeta faida gani au tija kama si kuongeza matumizi ya serikali tu? UBINAFSI!
Wananchi wa chato muamke , hawa viongozi wanaotaka Chato iwe mkoa hawana nia njema na kodi zetu. Kuanzisha mkoa maana yake ni kuwaongezea wananchi mzigo wa matumizi yasio ya lazima. Hao viongozi wanaangalia matumbo yao na wanajua fika chato ikiwa mkoa majimbo ya uchaguzi yataongezeka na watapata pa kupatia hela za bure.
Mkoa wa Chato!!! Hivi katika mazingira haya ya kutetereka kwa uchumi mnahitisha vikao kulumbana kuhusu mkoa mpya? Huu ni usaliti kwa wananchi tuliyowapa dhamana ya kusimamia mikakati ya maendeleo ili kuinua hali ya wananchi kiuchumi. Hapa hakuna njema kuliko hawa akina Kalemani kuendeleza zile "zidumu fikira za yule..." bila kuangalia athari na hasara zilizopo mbele yetu!.
Hatari sana,
Tunaongeza gharama za uendeshaji wa serikali
Ivi ww mkuu JPM angakuwepo ungeleta uwo ujinga wko
Naomba hiyo ndoto Chato kuwa mkoa ikatimie
Mimi nilikuwa wa Kwanza kukataa chato kuwa mkoa,Mimi Ni mzaliwa wa Geita chato naifahamu vizuri sana,chato ilitokana na ukame uliyokuwapo ikapewa kilimo Cha pamba tuu,mazao mengine yalikuwa hayasitawi ndiyo maana ikaitwa chato.najua wengi hawana historian ya chato,hao ukiwauliza tukio lililofanyika chato mwaka 1965 hawawezi kuelezea.ata lubambangwe hawajui maana yake,
Naomba mungu aana chato iwe mkoa maana kulitoka jembe mungu amlaze mahali pema peponi hayati magufuli amina
Yaan kutokea tu jembe iwe mkoa? Watu wanaangalia uchumi wa hilo eneo sio kutokea mtu fulani. What if iwe mkoa alafu kata 4?Mkoa gani huo
@@hellendaniel3809 we inakuhusu nn mbona una panic choko we 🤣🤣🏃🏃
Mhe Msukuma Uko Sahihi, mambo mengine ni maamuzi tu.
Hata kuhamia Dodoma nafikiri mnaona magumu tunayopitia sasa tusingekuwa na kiongozi Jasiri tungekuwa tunapiga Jalamba kwenda Dar tu
RIP JPM.
Eti Mkoa wa Chato, yaani hivi ndio vipaumbele vyetu kweli? Nendeni mkaione Russia ina ukubwa gani na ina mikoa mipangapi?
Chato haifai kua hata wilaya kwnn wamejenga hospital ya Kanda chato Yan alitaka chato iwe kanda
Chato haifai kua hata wilaya laana kubwa hii si bora hata mbagala ikawa mkoa kuliko chato
Nanyie watu wauko acheni ujinga yani chato iwe mkoa kuna mikoa mikubwa apa tanzania kama morogoro tabora mnaangaika navijiji vidogo vidogo acheni ubinafsi nyie wasukuma
Huu upuuzi wa kufanya Chato mkoa hemu mtuondolee hapa. Badala tupate mikoa mipya kutoka kwenye mikoa kama Tanga, Morogoro, Tabora na Mtwara, eti tuanze kujadili Chato!?
Uko sahihi kabisa kuna mikoa mikubwa sana kama ulivosema hapo juu
Binafsi sioni haja ya kuongeza mkoa hata mmoja
Kwa Kanda ya ziwa Haina haja ya kuwa na mkoa mwingine sehemu zimeshajigawa na zinatosha, mikoa kama Tanga, Morogoro na Tabora angalau wanaweza omba ombi la mkoa. Ila Chato, kwanza kwa uchumi gani ulioko huko?
Shigella usitufokee
Bona amkukataa mapema mbwa nye kiwaraza kama kichwa cha uboooo
Ni Bora hata lushoto ikawa mkoa kuliko chato
Hivi kila mtu akitaka kuwa na kamkoa mtaani kwao tutakuwa na mikoa mingapi nchi hii na italeta faida gani au tija kama si kuongeza matumizi ya serikali tu? UBINAFSI!
Wananchi wa chato muamke , hawa viongozi wanaotaka Chato iwe mkoa hawana nia njema na kodi zetu.
Kuanzisha mkoa maana yake ni kuwaongezea wananchi mzigo wa matumizi yasio ya lazima.
Hao viongozi wanaangalia matumbo yao na wanajua fika chato ikiwa mkoa majimbo ya uchaguzi yataongezeka na watapata pa kupatia hela za bure.
Maandishi mengi kumbe ndani ni uharo wa Bata 🤣🤣🏃🏃RIP JPM 😭🙏
Kuwa mkoa Bado sana
Mkoa wa Chato!!! Hivi katika mazingira haya ya kutetereka kwa uchumi mnahitisha vikao kulumbana kuhusu mkoa mpya? Huu ni usaliti kwa wananchi tuliyowapa dhamana ya kusimamia mikakati ya maendeleo ili kuinua hali ya wananchi kiuchumi. Hapa hakuna njema kuliko hawa akina Kalemani kuendeleza zile "zidumu fikira za yule..." bila kuangalia athari na hasara zilizopo mbele yetu!.
Kila maamuzi yanapoamriwa kisiasa ndiyo chanzo cha matatizo. Chato ikiwa mkoa,tujiandae kila rais ajae kuanzisha mkoa kwao.
RIP JPM.
Wewe mkubwa akili una ukabila tu unawasumbua