GUMZO!!! NDOTO YA CHATO KUWA MKOA YAZUA UTATA, RC SHIGELLA AFUNGUKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024

Комментарии • 29

  • @samwelhechei8537
    @samwelhechei8537 Год назад +1

    Hatari sana,
    Tunaongeza gharama za uendeshaji wa serikali

  • @jumaabdalla3374
    @jumaabdalla3374 Год назад +2

    Ivi ww mkuu JPM angakuwepo ungeleta uwo ujinga wko

  • @lutegobusweru5949
    @lutegobusweru5949 Год назад +2

    Naomba hiyo ndoto Chato kuwa mkoa ikatimie

  • @benderarulenge2477
    @benderarulenge2477 Год назад

    Mimi nilikuwa wa Kwanza kukataa chato kuwa mkoa,Mimi Ni mzaliwa wa Geita chato naifahamu vizuri sana,chato ilitokana na ukame uliyokuwapo ikapewa kilimo Cha pamba tuu,mazao mengine yalikuwa hayasitawi ndiyo maana ikaitwa chato.najua wengi hawana historian ya chato,hao ukiwauliza tukio lililofanyika chato mwaka 1965 hawawezi kuelezea.ata lubambangwe hawajui maana yake,

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Год назад +2

    Naomba mungu aana chato iwe mkoa maana kulitoka jembe mungu amlaze mahali pema peponi hayati magufuli amina

    • @hellendaniel3809
      @hellendaniel3809 Год назад

      Yaan kutokea tu jembe iwe mkoa? Watu wanaangalia uchumi wa hilo eneo sio kutokea mtu fulani. What if iwe mkoa alafu kata 4?Mkoa gani huo

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 Год назад

      @@hellendaniel3809 we inakuhusu nn mbona una panic choko we 🤣🤣🏃🏃

  • @sebmalunde5945
    @sebmalunde5945 Год назад +1

    Mhe Msukuma Uko Sahihi, mambo mengine ni maamuzi tu.
    Hata kuhamia Dodoma nafikiri mnaona magumu tunayopitia sasa tusingekuwa na kiongozi Jasiri tungekuwa tunapiga Jalamba kwenda Dar tu

  • @sebmalunde5945
    @sebmalunde5945 Год назад +2

    RIP JPM.

  • @gilbertkalanda9354
    @gilbertkalanda9354 Год назад

    Eti Mkoa wa Chato, yaani hivi ndio vipaumbele vyetu kweli? Nendeni mkaione Russia ina ukubwa gani na ina mikoa mipangapi?

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Год назад

    Chato haifai kua hata wilaya kwnn wamejenga hospital ya Kanda chato Yan alitaka chato iwe kanda

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Год назад

    Chato haifai kua hata wilaya laana kubwa hii si bora hata mbagala ikawa mkoa kuliko chato

  • @frenkfrenk5064
    @frenkfrenk5064 Год назад +5

    Nanyie watu wauko acheni ujinga yani chato iwe mkoa kuna mikoa mikubwa apa tanzania kama morogoro tabora mnaangaika navijiji vidogo vidogo acheni ubinafsi nyie wasukuma

  • @Hamy1109
    @Hamy1109 Год назад +2

    Huu upuuzi wa kufanya Chato mkoa hemu mtuondolee hapa. Badala tupate mikoa mipya kutoka kwenye mikoa kama Tanga, Morogoro, Tabora na Mtwara, eti tuanze kujadili Chato!?

    • @mohammedikingazi5109
      @mohammedikingazi5109 Год назад

      Uko sahihi kabisa kuna mikoa mikubwa sana kama ulivosema hapo juu

    • @ellymaz2187
      @ellymaz2187 Год назад

      Binafsi sioni haja ya kuongeza mkoa hata mmoja

    • @priminusmukyanuzi710
      @priminusmukyanuzi710 Год назад

      Kwa Kanda ya ziwa Haina haja ya kuwa na mkoa mwingine sehemu zimeshajigawa na zinatosha, mikoa kama Tanga, Morogoro na Tabora angalau wanaweza omba ombi la mkoa. Ila Chato, kwanza kwa uchumi gani ulioko huko?

  • @ibel4lf
    @ibel4lf Год назад +1

    Shigella usitufokee

  • @babuloliondo74
    @babuloliondo74 Год назад +1

    Bona amkukataa mapema mbwa nye kiwaraza kama kichwa cha uboooo

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Год назад

    Ni Bora hata lushoto ikawa mkoa kuliko chato

  • @hoseastephen4508
    @hoseastephen4508 Год назад +1

    Hivi kila mtu akitaka kuwa na kamkoa mtaani kwao tutakuwa na mikoa mingapi nchi hii na italeta faida gani au tija kama si kuongeza matumizi ya serikali tu? UBINAFSI!

  • @barneymunuo5659
    @barneymunuo5659 Год назад +5

    Wananchi wa chato muamke , hawa viongozi wanaotaka Chato iwe mkoa hawana nia njema na kodi zetu.
    Kuanzisha mkoa maana yake ni kuwaongezea wananchi mzigo wa matumizi yasio ya lazima.
    Hao viongozi wanaangalia matumbo yao na wanajua fika chato ikiwa mkoa majimbo ya uchaguzi yataongezeka na watapata pa kupatia hela za bure.

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 Год назад

      Maandishi mengi kumbe ndani ni uharo wa Bata 🤣🤣🏃🏃RIP JPM 😭🙏

  • @habibumallanga2381
    @habibumallanga2381 Год назад +1

    Kuwa mkoa Bado sana

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 Год назад +1

    Mkoa wa Chato!!! Hivi katika mazingira haya ya kutetereka kwa uchumi mnahitisha vikao kulumbana kuhusu mkoa mpya? Huu ni usaliti kwa wananchi tuliyowapa dhamana ya kusimamia mikakati ya maendeleo ili kuinua hali ya wananchi kiuchumi. Hapa hakuna njema kuliko hawa akina Kalemani kuendeleza zile "zidumu fikira za yule..." bila kuangalia athari na hasara zilizopo mbele yetu!.

  • @simonmwaliru8590
    @simonmwaliru8590 Год назад

    Kila maamuzi yanapoamriwa kisiasa ndiyo chanzo cha matatizo. Chato ikiwa mkoa,tujiandae kila rais ajae kuanzisha mkoa kwao.

  • @sebmalunde5945
    @sebmalunde5945 Год назад +2

    RIP JPM.