‘’CHATO KUWA MKOA TUMUOMBE MUNGU, MKUBWA MWENYE MAAMUZI YA MWISHO ATAMKE’’ M/KITI WA CCM GEITA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • Kufuatia kwepo kwa mvutano wa kuunda Mkoa mpya wa Chato Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Geita Nicolaus Kasendamila amesema suala hilo linapaswa kutafutiwa njia mbadala, baada ya Mkoa wa Kagera, Mwanza na Kigoma kutilia ngumu kuachia baadhi ya maeneo yao.
    #mwangazatvupdates

Комментарии •