Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Nimejikuta natamani na mimi ningezariwa mbeya co kwa song iyo co powa moro oyeee
Imekaa vyema mungu atujaalie KAZI nyingine nzuri zaid ya hii
Uyole mbeya, nimepamiss Sana home sweet home 🗼, nipo sumbawanga kimaisha ila ntarud uyole itezi,
Hata mimi nimeipenda sana japo mimi ni mlugulu hii nimeikubali.
Napataa mzuka wa ajabu nkisikia safwa melody aiseee proudly safwaa
Japi kisafa kinanisunbua kujua lakini nyimbo za kisafa nazielewa sana uyole mbeya kwetu miss so much home
We kabila gan
mbeya oyooooooooooooooo ❤jamn sichoki kusikiriza wandari oyooooo
Me mchaga lakn hii ngoma naikubali kinoma
Wewe kama mimi tu nataman ningepata limix kwa miondoko hii ya mkoa wang
@@andersonsadock8470😊😊😊😊😊
karibu mbeya
Mimi pia mchaga lkn ❤❤❤❤
Me msukuma ila jamaa katisha
Niko Kenya nipenda huu wimbo
Safi sana,nmkumbka mama Yangu pindi nkiskia hzi nyimbo
Nakupenda kwetu Mbeya
Nyimbo nzr sana hii, inatufanya tumiss makwetu (kweli wasafwa wanajua sana kuimba)
Tasafwa pamwanya mbeya juu ❤❤❤❤
Uwa najinsikia amani na faraja sana nikisikiliza nyimbo za kikwetu hasa tu pale nikikumbuka nyumbani mungu akubaliki sana❤❤❤
Naomba unitumie huu wimbo jmn naupenda sn plz
❤❤napenda sana nyimbo hizi ijapo mimi ni mhehe
hujakatazwa kupenda kitu kizuri.. as long as wewe ni mtanzania furahia nyimbo nzuri haijalishi ni kabila gani.. enjoy dada
Me Mkenya ila natamani sana siku moja nifike mbeya.
Karibu sana mbeya kuna kikuyu nyingi huko
Karib can
Karibu sana kwetu
Karibu sana ni kuzuli sana
Aàà@@NaimaSalehe-nq5zd
Tanzania oyeeeeee Tanzania oyeeeeee my favorite song. I Love my tribe I'm safwa original. Ane indi safwa og na iwelewa
Narudi nyumbani Tanzania, TANZANIA OYEEEE..Nawapenda sn wote❤❤❣
Mama alikua msafwa so mimi n msafwa pia👌👌👌👌🥰🥰🥰🥰🥰
Mm ni masaiiii lakn ngoma nakukubaliii kinomaaaa yaniii
Jameni wamwinduka , mimi mkenya shemeji wenu. Sichoki kuskiza mtumbuizo wa wimbo wenu. Nawapenda sana ❤❤❤
Sana mbeya kwetu naipenda saaaan ii nyimbo
Mbeya moja
Aaaah nyumban kumenoga
Dom home Dom home.....Wagogo ,warangi,wanyambwa hoyeeee
Brother I give you a big respect for this good song
Daaah huu wimbo unanifanya nikumbuke sana nyumbani mbeya hadi najihisi ukiwa..
Mimii sio mnyakyusa lakinii hii nyimbo ni nzuri and am proud kuishi mbeya
Hongeren Sanaa, nyimbo bora sana ya Asili
Mbeya nomaaaa
Mkataa kwao ni mtumwa! Nice song
Jamani hii nyimbo haip gugo tafadhali sana tuweke jamani tudordo
Ipo
Yaani jamani natamani kurudi nyumbani uyole mizani❤
Nyimbo hii ipo vizuri sanaa, me napenda sna nyimbo za Makabila.
Wasafwa tulishinza mbeya ndo kwetu tania ww
Makuku bali sana mwanjalila wa ndaga Mbozi wimbo ukisikiliza mpaka hisia
Kwet mbey kumedamxh xana kalibun Sana mbey by marry mbillinyi
Nyimbo hii inanikumbusha mbali sana,duuu mbeya yetu nzuli sana karibuni mbeya jamani
Igoma kwetu..wasafwa hoyeee
Mimi pia mnyalukoro ila hii ngoma in a feelings zapekeee sana ukikumbuka kwenu haijalishi wapi. Mic home jamaniii mofu
Brother I give u a big respect👏👏
Mbeya hoyeeee wasafwa hoye wageni karibu mbeya
Atuyange sanaaa🎉🎉🎉🎉
Daaaa!!machozi yananilenga lenga nina miaka 2 sjamuona baba na mama kigoma,Mwezi ujao mapema narudi kigoma kuchukua baraka zangu nikamnunulie mama vitenge,
Inchi ya amani Tanzania wageni wote tunawakalibisha Tanzania oooooooooyetanzaniaooooooooo!!!!!?!? Nyimbo bora Tanzania ya asili
❤❤❤ nayipenda San nyimbo iii san
Mwanangu sana sichoki kukusikiliza kamanda
Nyimbo nzuri sana narudi nyumba tanzania
Asante homeboy kwa wimbo mzr
Hongeren wapendwa mnaipeperusha bendera Yetu vzr
Wa mbeya oyee🤝❤
Mwanangu sana nasibu nakupongeza kamanda wangu mwamba kabisa kutoka nyanda zajuu kusini
Nipo mpanda ila lazima nirudi nyumbani Mbeya
Waoooo wandali hoyeee🎉🎉🎉
❤❤❤ nayipenda San nyimbo iii
Ane pakaya. Uyole ❤️🥂
Kwakweli nainjoy Sana nikisikiliza wimbo huu
Hongera kanyimbo kazuri sana
Dar huwa najisikia sana nikiliza nyimbo kama hizi songwe leteni habar ndugu Zang from njombe town
wandari oyoooooo
Saaaafi nimeipenda sana
Mmetisha wanangu nyumbani ndo kilakitu❤❤❤
Aisee bonge la ngoma limepita kwenye veins mpk basi 👏👏👏
Mbeya ooooooooooyeeeeee
Nakupenda sana Mbeya 💕💕💕
Iringa oyee, Tanzania oyee nyimbo nzuri Sana
Huyu wa Ndaga huko Mbeya sio Iringa
Oyeeeeeeeee
Nice Song❤❤❤😊
Naish msumbji mbeya oyeeeee
Mbeya one❤❤❤💯
Nawapendaga bure mimi ni mu Congo kazi zenu nzuri
Proud to be mnyakyusa ❤😂😂😂
Wanyakyusa oyeeeee🥰
Mkataa kwao ni mtumwa naludi nyumban mbeya🎹🙌
Love from kenya
Daaaaa!!!!nikisikiza hii nyimbo kwakwer nammsi sana bibi yangu kwakwer
Kwenye wabungu umeua
Bro anafanya vzr sana ktk bongo za kitaazania pia karibu kuna different knowledge hapo tuliosoma Qubaa tunaelewanaaa
Mbeya oyeeeee
AM malila am in Zambia and I have missed home mbeya ❤❤❤
welcome home 🏡 malila
Nawapenda mnoo wasafwa ukweni uko mungu awabariki sana
Wa Mbeya tupo vizuri sana
Mungu awa bariki sana
Great tune much love from Kenya ❤❤❤❤❤❤❤
Bonge la Ngoma, hii kitu inastahili ifike mbali sana.
Nakubali sana damu yangu mwanjalila
Hongera
Nyimbo nzur jamani mweee
Nyimbo nunu fijo
Fijoooo
Naikubali sana naimiss mbeya nipo kaisho kyelwa
Me mnyaturi kwetu singida ila hii Ngoma hainishi hamu yakuisikia mandugu duuh kweli tz tunawatu navitu viramuuuuuuuu
Wambyaaaa oyeeeeeeeh
Mi nyumbani Dodoma aise Ila ngoma hii Kali sana
Mimi ni msukuma wa mwanza lakini hii ngoma naipenda sana
Hata mm Sina kabila ila Kwa ngoma iyii ya mbeya hatali ogopa yawachache San iyo
Cjui kwann najikuta nazipenda sana nyimbo za kisafwa
Tasafwa house tikumbuhaje ukaya
Naupendaga Sana hii ngoma, sichokagi kuiangalia
Nyimbo za nyumbani ni tamu kweli kweli
Wandali wapi tujibu mapigo tusikae kinyonge hawa wasafwa wasitutishe
Sem.nn sis wasafwa tunajuh jmn❤❤
Mm mndengeleko ila hii nyimbo naipenda sana mkataa kwao ni mtumwa
Ndaga kwetuTunavipaji jamani
Jamonii lugha gan mbona celew
Kisafwa from mbeya
Nimejikuta natamani na mimi ningezariwa mbeya co kwa song iyo co powa moro oyeee
Imekaa vyema mungu atujaalie KAZI nyingine nzuri zaid ya hii
Uyole mbeya, nimepamiss Sana home sweet home 🗼, nipo sumbawanga kimaisha ila ntarud uyole itezi,
Hata mimi nimeipenda sana japo mimi ni mlugulu hii nimeikubali.
Napataa mzuka wa ajabu nkisikia safwa melody aiseee proudly safwaa
Japi kisafa kinanisunbua kujua lakini nyimbo za kisafa nazielewa sana uyole mbeya kwetu miss so much home
We kabila gan
mbeya oyooooooooooooooo ❤jamn sichoki kusikiriza wandari oyooooo
Me mchaga lakn hii ngoma naikubali kinoma
Wewe kama mimi tu nataman ningepata limix kwa miondoko hii ya mkoa wang
@@andersonsadock8470😊😊😊😊😊
karibu mbeya
Mimi pia mchaga lkn ❤❤❤❤
Me msukuma ila jamaa katisha
Niko Kenya nipenda huu wimbo
Safi sana,nmkumbka mama Yangu pindi nkiskia hzi nyimbo
Nakupenda kwetu Mbeya
Nyimbo nzr sana hii, inatufanya tumiss makwetu (kweli wasafwa wanajua sana kuimba)
Tasafwa pamwanya mbeya juu ❤❤❤❤
Uwa najinsikia amani na faraja sana nikisikiliza nyimbo za kikwetu hasa tu pale nikikumbuka nyumbani
mungu akubaliki sana❤❤❤
Naomba unitumie huu wimbo jmn naupenda sn plz
❤❤napenda sana nyimbo hizi ijapo mimi ni mhehe
hujakatazwa kupenda kitu kizuri.. as long as wewe ni mtanzania furahia nyimbo nzuri haijalishi ni kabila gani.. enjoy dada
Me Mkenya ila natamani sana siku moja nifike mbeya.
Karibu sana mbeya kuna kikuyu nyingi huko
Karib can
Karibu sana kwetu
Karibu sana ni kuzuli sana
Aàà@@NaimaSalehe-nq5zd
Tanzania oyeeeeee Tanzania oyeeeeee my favorite song. I Love my tribe I'm safwa original. Ane indi safwa og na iwelewa
Narudi nyumbani Tanzania, TANZANIA OYEEEE..Nawapenda sn wote❤❤❣
Mama alikua msafwa so mimi n msafwa pia👌👌👌👌🥰🥰🥰🥰🥰
Mm ni masaiiii lakn ngoma nakukubaliii kinomaaaa yaniii
Jameni wamwinduka , mimi mkenya shemeji wenu. Sichoki kuskiza mtumbuizo wa wimbo wenu. Nawapenda sana ❤❤❤
Sana mbeya kwetu naipenda saaaan ii nyimbo
Mbeya moja
Aaaah nyumban kumenoga
Dom home Dom home.....Wagogo ,warangi,wanyambwa hoyeeee
Brother I give you a big respect for this good song
Daaah huu wimbo unanifanya nikumbuke sana nyumbani mbeya hadi najihisi ukiwa..
Mimii sio mnyakyusa lakinii hii nyimbo ni nzuri and am proud kuishi mbeya
Hongeren Sanaa, nyimbo bora sana ya Asili
Mbeya nomaaaa
Mkataa kwao ni mtumwa! Nice song
Jamani hii nyimbo haip gugo tafadhali sana tuweke jamani tudordo
Ipo
Yaani jamani natamani kurudi nyumbani uyole mizani❤
Nyimbo hii ipo vizuri sanaa, me napenda sna nyimbo za Makabila.
Wasafwa tulishinza mbeya ndo kwetu tania ww
Makuku bali sana mwanjalila wa ndaga Mbozi wimbo ukisikiliza mpaka hisia
Kwet mbey kumedamxh xana kalibun Sana mbey by marry mbillinyi
Nyimbo hii inanikumbusha mbali sana,duuu mbeya yetu nzuli sana karibuni mbeya jamani
Igoma kwetu..wasafwa hoyeee
Mimi pia mnyalukoro ila hii ngoma in a feelings zapekeee sana ukikumbuka kwenu haijalishi wapi. Mic home jamaniii mofu
Brother I give u a big respect👏👏
Mbeya hoyeeee wasafwa hoye wageni karibu mbeya
Atuyange sanaaa🎉🎉🎉🎉
Daaaa!!machozi yananilenga lenga nina miaka 2 sjamuona baba na mama kigoma,Mwezi ujao mapema narudi kigoma kuchukua baraka zangu nikamnunulie mama vitenge,
Inchi ya amani Tanzania wageni wote tunawakalibisha Tanzania oooooooooyetanzaniaooooooooo!!!!!?!? Nyimbo bora Tanzania ya asili
❤❤❤ nayipenda San nyimbo iii san
Mwanangu sana sichoki kukusikiliza kamanda
Nyimbo nzuri sana narudi nyumba tanzania
Asante homeboy kwa wimbo mzr
Hongeren wapendwa mnaipeperusha bendera Yetu vzr
Wa mbeya oyee🤝❤
Mwanangu sana nasibu nakupongeza kamanda wangu mwamba kabisa kutoka nyanda zajuu kusini
Nipo mpanda ila lazima nirudi nyumbani Mbeya
Waoooo wandali hoyeee🎉🎉🎉
❤❤❤ nayipenda San nyimbo iii
Ane pakaya. Uyole ❤️🥂
Kwakweli nainjoy Sana nikisikiliza wimbo huu
Hongera kanyimbo kazuri sana
Dar huwa najisikia sana nikiliza nyimbo kama hizi songwe leteni habar ndugu Zang from njombe town
wandari oyoooooo
Saaaafi nimeipenda sana
Mmetisha wanangu nyumbani ndo kilakitu❤❤❤
Aisee bonge la ngoma limepita kwenye veins mpk basi 👏👏👏
Mbeya ooooooooooyeeeeee
Nakupenda sana Mbeya 💕💕💕
Iringa oyee, Tanzania oyee nyimbo nzuri Sana
Huyu wa Ndaga huko Mbeya sio Iringa
Oyeeeeeeeee
Nice Song❤❤❤😊
Naish msumbji mbeya oyeeeee
Mbeya one❤❤❤💯
Nawapendaga bure mimi ni mu Congo kazi zenu nzuri
Proud to be mnyakyusa ❤😂😂😂
Wanyakyusa oyeeeee🥰
Mkataa kwao ni mtumwa naludi nyumban mbeya🎹🙌
Love from kenya
Daaaaa!!!!nikisikiza hii nyimbo kwakwer nammsi sana bibi yangu kwakwer
Kwenye wabungu umeua
Bro anafanya vzr sana ktk bongo za kitaazania pia karibu kuna different knowledge hapo tuliosoma Qubaa tunaelewanaaa
Mbeya oyeeeee
AM malila am in Zambia and I have missed home mbeya ❤❤❤
welcome home 🏡 malila
Nawapenda mnoo wasafwa ukweni uko mungu awabariki sana
Wa Mbeya tupo vizuri sana
Mungu awa bariki sana
Great tune much love from Kenya ❤❤❤❤❤❤❤
Bonge la Ngoma, hii kitu inastahili ifike mbali sana.
Nakubali sana damu yangu mwanjalila
Hongera
Nyimbo nzur jamani mweee
Nyimbo nunu fijo
Fijoooo
Naikubali sana naimiss mbeya nipo kaisho kyelwa
Me mnyaturi kwetu singida ila hii Ngoma hainishi hamu yakuisikia mandugu duuh kweli tz tunawatu navitu viramuuuuuuuu
Wambyaaaa oyeeeeeeeh
Mi nyumbani Dodoma aise Ila ngoma hii Kali sana
Mimi ni msukuma wa mwanza lakini hii ngoma naipenda sana
Hata mm Sina kabila ila Kwa ngoma iyii ya mbeya hatali ogopa yawachache San iyo
Cjui kwann najikuta nazipenda sana nyimbo za kisafwa
Tasafwa house tikumbuhaje ukaya
Naupendaga Sana hii ngoma, sichokagi kuiangalia
Nyimbo za nyumbani ni tamu kweli kweli
Wandali wapi tujibu mapigo tusikae kinyonge hawa wasafwa wasitutishe
Sem.nn sis wasafwa tunajuh jmn❤❤
Mm mndengeleko ila hii nyimbo naipenda sana mkataa kwao ni mtumwa
Ndaga kwetu
Tunavipaji jamani
Jamonii lugha gan mbona celew
Kisafwa from mbeya