Nasibu mwanjalila - Mkataa Kwao

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 июл 2020
  • MKATAA KWAO NI MTUMWA

Комментарии • 208

  • @goodluckngapulila6379
    @goodluckngapulila6379 2 года назад +14

    Nimejikuta natamani na mimi ningezariwa mbeya co kwa song iyo co powa moro oyeee

  • @eliasrogathomakolonja4823
    @eliasrogathomakolonja4823 Месяц назад +3

    Imekaa vyema mungu atujaalie KAZI nyingine nzuri zaid ya hii

  • @hasanissantambarasamata3419
    @hasanissantambarasamata3419 2 года назад +12

    Uyole mbeya, nimepamiss Sana home sweet home 🗼, nipo sumbawanga kimaisha ila ntarud uyole itezi,

  • @zainabumalekela2938
    @zainabumalekela2938 7 месяцев назад +6

    Hata mimi nimeipenda sana japo mimi ni mlugulu hii nimeikubali.

  • @reyreveenumba6756
    @reyreveenumba6756 2 года назад +9

    Napataa mzuka wa ajabu nkisikia safwa melody aiseee proudly safwaa

  • @hasanissantambarasamata3419
    @hasanissantambarasamata3419 2 года назад +14

    Japi kisafa kinanisunbua kujua lakini nyimbo za kisafa nazielewa sana uyole mbeya kwetu miss so much home

  • @LucyYohani
    @LucyYohani 9 дней назад +1

    mbeya oyooooooooooooooo ❤jamn sichoki kusikiriza wandari oyooooo

  • @valerianmchau5188
    @valerianmchau5188 2 года назад +32

    Me mchaga lakn hii ngoma naikubali kinoma

  • @danielsunguti9131
    @danielsunguti9131 Год назад +5

    Niko Kenya nipenda huu wimbo

  • @jothamekisouke8199
    @jothamekisouke8199 2 года назад +8

    Safi sana,nmkumbka mama Yangu pindi nkiskia hzi nyimbo

  • @mamaflorah9035
    @mamaflorah9035 3 года назад +11

    Nakupenda kwetu Mbeya

  • @nuruatilyo4300
    @nuruatilyo4300 2 года назад +12

    Nyimbo nzr sana hii, inatufanya tumiss makwetu (kweli wasafwa wanajua sana kuimba)

  • @shedrackmwaipopo219
    @shedrackmwaipopo219 2 года назад +9

    Tasafwa pamwanya mbeya juu ❤❤❤❤

  • @saimonmtonga8456
    @saimonmtonga8456 2 года назад +7

    Uwa najinsikia amani na faraja sana nikisikiliza nyimbo za kikwetu hasa tu pale nikikumbuka nyumbani
    mungu akubaliki sana❤❤❤

    • @HappyJohni
      @HappyJohni Год назад

      Naomba unitumie huu wimbo jmn naupenda sn plz

  • @SereneRussellTerrier-fz6tq
    @SereneRussellTerrier-fz6tq Месяц назад +2

    ❤❤napenda sana nyimbo hizi ijapo mimi ni mhehe

    • @frezo8177
      @frezo8177 Месяц назад

      hujakatazwa kupenda kitu kizuri.. as long as wewe ni mtanzania furahia nyimbo nzuri haijalishi ni kabila gani.. enjoy dada

  • @ndolojnr6054
    @ndolojnr6054 4 месяца назад +5

    Me Mkenya ila natamani sana siku moja nifike mbeya.

  • @alexfrank5342
    @alexfrank5342 2 года назад +4

    Tanzania oyeeeeee Tanzania oyeeeeee my favorite song. I Love my tribe I'm safwa original. Ane indi safwa og na iwelewa

  • @nataemsuya
    @nataemsuya 2 года назад +8

    Narudi nyumbani Tanzania, TANZANIA OYEEEE..Nawapenda sn wote❤❤❣

  • @graciedivyang
    @graciedivyang 10 месяцев назад +2

    Mama alikua msafwa so mimi n msafwa pia👌👌👌👌🥰🥰🥰🥰🥰

  • @NgarasaaJunior
    @NgarasaaJunior День назад

    Mm ni masaiiii lakn ngoma nakukubaliii kinomaaaa yaniii

  • @francoosiako6421
    @francoosiako6421 4 месяца назад

    Jameni wamwinduka , mimi mkenya shemeji wenu. Sichoki kuskiza mtumbuizo wa wimbo wenu. Nawapenda sana ❤❤❤

  • @devothasemen4386
    @devothasemen4386 2 года назад +7

    Sana mbeya kwetu naipenda saaaan ii nyimbo

  • @ambeleshibanda1000
    @ambeleshibanda1000 3 года назад +6

    Mbeya moja

  • @jothamekisouke8199
    @jothamekisouke8199 3 года назад +5

    Aaaah nyumban kumenoga

  • @GeofreySolomon-lp7xl
    @GeofreySolomon-lp7xl 3 месяца назад +1

    Dom home Dom home.....Wagogo ,warangi,wanyambwa hoyeeee

  • @JeremiasikilianiJeremiasikilia
    @JeremiasikilianiJeremiasikilia Месяц назад

    Brother I give you a big respect for this good song

  • @KissaReuben-ut5hg
    @KissaReuben-ut5hg 11 месяцев назад +1

    Daaah huu wimbo unanifanya nikumbuke sana nyumbani mbeya hadi najihisi ukiwa..

  • @josephngonyani1816
    @josephngonyani1816 Год назад +1

    Mimii sio mnyakyusa lakinii hii nyimbo ni nzuri and am proud kuishi mbeya

  • @reganriwa9231
    @reganriwa9231 Год назад +4

    Hongeren Sanaa, nyimbo bora sana ya Asili

  • @mfaumengusa630
    @mfaumengusa630 2 года назад +5

    Mbeya nomaaaa

  • @suleimanpossa5474
    @suleimanpossa5474 Год назад +3

    Mkataa kwao ni mtumwa! Nice song

  • @anjelakayange985
    @anjelakayange985 2 года назад +2

    Jamani hii nyimbo haip gugo tafadhali sana tuweke jamani tudordo

  • @GraceGoodwill
    @GraceGoodwill 2 месяца назад

    Yaani jamani natamani kurudi nyumbani uyole mizani❤

  • @jeremiamtafya8732
    @jeremiamtafya8732 Год назад +2

    Nyimbo hii ipo vizuri sanaa, me napenda sna nyimbo za Makabila.

  • @dossokqkq3582
    @dossokqkq3582 2 года назад +3

    Wasafwa tulishinza mbeya ndo kwetu tania ww

  • @user-sm8zm6tq5c
    @user-sm8zm6tq5c Год назад +1

    Makuku bali sana mwanjalila wa ndaga Mbozi wimbo ukisikiliza mpaka hisia

  • @mariammbilinyi1623
    @mariammbilinyi1623 2 года назад +4

    Kwet mbey kumedamxh xana kalibun Sana mbey by marry mbillinyi

    • @neemakanjeri6647
      @neemakanjeri6647 2 года назад

      Nyimbo hii inanikumbusha mbali sana,duuu mbeya yetu nzuli sana karibuni mbeya jamani

  • @azizizabron7792
    @azizizabron7792 2 года назад +2

    Igoma kwetu..wasafwa hoyeee

  • @michaelkapilima5735
    @michaelkapilima5735 4 месяца назад

    Mimi pia mnyalukoro ila hii ngoma in a feelings zapekeee sana ukikumbuka kwenu haijalishi wapi. Mic home jamaniii mofu

  • @JeremiasikilianiJeremiasikilia
    @JeremiasikilianiJeremiasikilia Месяц назад

    Brother I give u a big respect👏👏

  • @estonmwandala2329
    @estonmwandala2329 2 года назад +2

    Mbeya hoyeeee wasafwa hoye wageni karibu mbeya

  • @Economically-Growth-Musicians
    @Economically-Growth-Musicians 2 месяца назад +1

    Atuyange sanaaa🎉🎉🎉🎉

  • @ElickMalack
    @ElickMalack 3 месяца назад

    Daaaa!!machozi yananilenga lenga nina miaka 2 sjamuona baba na mama kigoma,Mwezi ujao mapema narudi kigoma kuchukua baraka zangu nikamnunulie mama vitenge,

  • @onesmomwinuka2905
    @onesmomwinuka2905 Год назад +1

    Inchi ya amani Tanzania wageni wote tunawakalibisha Tanzania oooooooooyetanzaniaooooooooo!!!!!?!? Nyimbo bora Tanzania ya asili

  • @JumaAthuman-sq5iz
    @JumaAthuman-sq5iz Месяц назад

    ❤❤❤ nayipenda San nyimbo iii san

  • @mhinajerome5964
    @mhinajerome5964 Месяц назад

    Mwanangu sana sichoki kukusikiliza kamanda

  • @iddachikando9304
    @iddachikando9304 2 года назад +3

    Nyimbo nzuri sana narudi nyumba tanzania

  • @IreneMpande-zy7qb
    @IreneMpande-zy7qb 8 месяцев назад +1

    Asante homeboy kwa wimbo mzr

  • @chekatuuongezasiku8471
    @chekatuuongezasiku8471 2 года назад +1

    Hongeren wapendwa mnaipeperusha bendera Yetu vzr

  • @sophiakipeto4436
    @sophiakipeto4436 Год назад +2

    Wa mbeya oyee🤝❤

  • @mhinajerome5964
    @mhinajerome5964 3 месяца назад

    Mwanangu sana nasibu nakupongeza kamanda wangu mwamba kabisa kutoka nyanda zajuu kusini

  • @samwelmwasomola2457
    @samwelmwasomola2457 2 года назад +2

    Nipo mpanda ila lazima nirudi nyumbani Mbeya

  • @nicodemmbughi3731
    @nicodemmbughi3731 Год назад +1

    Waoooo wandali hoyeee🎉🎉🎉

  • @JumaAthuman-sq5iz
    @JumaAthuman-sq5iz Месяц назад

    ❤❤❤ nayipenda San nyimbo iii

  • @zabronadamsony870
    @zabronadamsony870 Год назад +1

    Ane pakaya. Uyole ❤️🥂

  • @nashankimamule1288
    @nashankimamule1288 Год назад +1

    Kwakweli nainjoy Sana nikisikiliza wimbo huu

  • @boazambokile2587
    @boazambokile2587 2 года назад +2

    Hongera kanyimbo kazuri sana

  • @user-dl4sx2iz8m
    @user-dl4sx2iz8m 4 месяца назад

    Dar huwa najisikia sana nikiliza nyimbo kama hizi songwe leteni habar ndugu Zang from njombe town

  • @LucyYohani
    @LucyYohani 9 дней назад +1

    wandari oyoooooo

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 2 года назад +3

    Saaaafi nimeipenda sana

  • @SurprisedCamping-oc3nd
    @SurprisedCamping-oc3nd Месяц назад

    Mmetisha wanangu nyumbani ndo kilakitu❤❤❤

  • @ibrahimismail8982
    @ibrahimismail8982 4 месяца назад

    Aisee bonge la ngoma limepita kwenye veins mpk basi 👏👏👏

  • @gwamakamwakalonge9327
    @gwamakamwakalonge9327 2 года назад +2

    Mbeya ooooooooooyeeeeee

  • @delphinamponela5223
    @delphinamponela5223 Год назад +1

    Nakupenda sana Mbeya 💕💕💕

  • @eddyrio1246
    @eddyrio1246 2 года назад +4

    Iringa oyee, Tanzania oyee nyimbo nzuri Sana

  • @NiceJackson-js5uc
    @NiceJackson-js5uc 11 месяцев назад +3

    Nice Song❤❤❤😊

  • @efromgohele5525
    @efromgohele5525 2 года назад +1

    Naish msumbji mbeya oyeeeee

  • @mayangalajumanne6690
    @mayangalajumanne6690 2 года назад +2

    Mbeya one❤❤❤💯

  • @jolemerci2155
    @jolemerci2155 4 месяца назад

    Nawapendaga bure mimi ni mu Congo kazi zenu nzuri

  • @nollankasililika9443
    @nollankasililika9443 Месяц назад

    Proud to be mnyakyusa ❤😂😂😂

  • @veronicajoseph
    @veronicajoseph Год назад +1

    Wanyakyusa oyeeeee🥰

  • @sarahsanga6767
    @sarahsanga6767 Год назад +1

    Mkataa kwao ni mtumwa naludi nyumban mbeya🎹🙌

  • @EuniceNafula-rl3ms
    @EuniceNafula-rl3ms 22 дня назад

    Love from kenya

  • @annulista2444
    @annulista2444 2 месяца назад

    Daaaaa!!!!nikisikiza hii nyimbo kwakwer nammsi sana bibi yangu kwakwer

  • @mwanyulatz
    @mwanyulatz 4 дня назад

    Kwenye wabungu umeua

  • @elishakalebu6910
    @elishakalebu6910 Год назад +1

    Bro anafanya vzr sana ktk bongo za kitaazania pia karibu kuna different knowledge hapo tuliosoma Qubaa tunaelewanaaa

  • @stevefuraha7550
    @stevefuraha7550 2 года назад +1

    Mbeya oyeeeee

  • @berthamalikwisha-gv9iq
    @berthamalikwisha-gv9iq Год назад +1

    AM malila am in Zambia and I have missed home mbeya ❤❤❤

    • @till...m2585
      @till...m2585 10 месяцев назад

      welcome home 🏡 malila

  • @merrykahaya13
    @merrykahaya13 2 года назад +2

    Nawapenda mnoo wasafwa ukweni uko mungu awabariki sana

  • @elpharama
    @elpharama Месяц назад

    Great tune much love from Kenya ❤❤❤❤❤❤❤

  • @StevenPatrick-zj3mg
    @StevenPatrick-zj3mg Месяц назад

    Bonge la Ngoma, hii kitu inastahili ifike mbali sana.

  • @fredymakali2384
    @fredymakali2384 Год назад +1

    Nakubali sana damu yangu mwanjalila

  • @jonaslegembo2134
    @jonaslegembo2134 2 года назад +2

    Hongera

  • @regnamwasagha8169
    @regnamwasagha8169 2 года назад +2

    Nyimbo nzur jamani mweee

  • @elizabethfabiani4631
    @elizabethfabiani4631 2 года назад +2

    Nyimbo nunu fijo

  • @madawamadinda7444
    @madawamadinda7444 Год назад

    Naikubali sana naimiss mbeya nipo kaisho kyelwa

  • @jonhjumanne8224
    @jonhjumanne8224 Год назад

    Me mnyaturi kwetu singida ila hii Ngoma hainishi hamu yakuisikia mandugu duuh kweli tz tunawatu navitu viramuuuuuuuu

  • @stevefuraha7550
    @stevefuraha7550 2 года назад +1

    Wambyaaaa oyeeeeeeeh

  • @stephanobalisho732
    @stephanobalisho732 Месяц назад

    Mi nyumbani Dodoma aise Ila ngoma hii Kali sana

  • @emmanueljosephmabeyo2790
    @emmanueljosephmabeyo2790 5 месяцев назад

    Mimi ni msukuma wa mwanza lakini hii ngoma naipenda sana

  • @JumaAthuman-sq5iz
    @JumaAthuman-sq5iz Месяц назад

    Hata mm Sina kabila ila Kwa ngoma iyii ya mbeya hatali ogopa yawachache San iyo

  • @TECHTZTV
    @TECHTZTV 5 месяцев назад

    Cjui kwann najikuta nazipenda sana nyimbo za kisafwa

  • @BahatiLunje-xh3lu
    @BahatiLunje-xh3lu Месяц назад

    Tasafwa house tikumbuhaje ukaya

  • @abdulutah4832
    @abdulutah4832 4 месяца назад

    Naupendaga Sana hii ngoma, sichokagi kuiangalia

  • @magdalenamathias5058
    @magdalenamathias5058 4 месяца назад

    Nyimbo za nyumbani ni tamu kweli kweli

  • @harunimwambene3464
    @harunimwambene3464 Месяц назад

    Wandali wapi tujibu mapigo tusikae kinyonge hawa wasafwa wasitutishe

  • @VanesaAmos-gt6vt
    @VanesaAmos-gt6vt 4 месяца назад

    Sem.nn sis wasafwa tunajuh jmn❤❤

  • @user-vl8nz4uv6k
    @user-vl8nz4uv6k 2 месяца назад

    Mm mndengeleko ila hii nyimbo naipenda sana mkataa kwao ni mtumwa

  • @qpwisdomchengula8947
    @qpwisdomchengula8947 2 года назад +1

    Ndaga kwetu
    Tunavipaji jamani

  • @jenimjelwa5717
    @jenimjelwa5717 2 года назад +1

    Jamonii lugha gan mbona celew