Inahuzunisha isay nimejikuta nalia nikikumbuka vyenye Niko mbali na wanangu naumia sana Mungu atulindie watoto wetu tuko pamoja Hadi mwisho One ❤ from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Feeling emotional and tears rolling down my chiks what the families goes thru in the name of stepmothers,good scripture from Steve mweusi big up from 254 Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mih Niko hapa mpaka itakapo ishia hii movie 🎥😢😢😢... afu kingine usichokijua hii movie Iko hot kuliko vyote za zamani Steve mweusi 😢😢😢😢❤❤❤❤... nakukubali Sana na ninachokushauri uongeze juhudi kaka mashabiki tupo❤❤❤❤❤....
Jamani kumbe ni Aziza, dah! hadi machozi yamenitoka duu Aziza hongera na pole kwa scene ngumu km hiyo,, Steve naomba mpe maokoto mengi Aziza kwa hii series!
Hapa bila unafiki hii mmecheza kweli kama kufikiria mmefikilia sanaaa hingelini sanaaa Mungu azidi kuwajalia katika kila hatua mnayokuwa mnazidi kwenda
Naendelea kuwafuwatilia na kujifunza jinsi ambavyoo tunatakiwa kuwajali wazazi wetu nawashukuru Sana endeleeni kutufahamisha jinsi ya kuwa na Imani katika kuwasaidia tupo pamoja nipo Zanzibar
Itakuwa labda mama yake si kichaa. Kuna kitu wanakificha mamake Dogo Sele yu majifichoni amah????? ......Aiisee ila 😂😂😂😂Leo mumeninasa nimebaki na mzuka Bado wa kuitazama......Can't wait for the next episode much love from 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤❤❤❤❤❤❤❤
TABIRI UNAHISI PART 5 ITAKUAJE UKIPATIA MSHINDI ATAPEWA ZAWADI ASANTE KWA SUPPORT YAKOOOOO
inatoka
itakuwa ni kali zaid
Mama ni mama tu❤❤❤❤
Mshindi mie weka gift yangu❤
Moto Moto Masha Allah.twagoja❤
Inahuzunisha isay nimejikuta nalia nikikumbuka vyenye Niko mbali na wanangu naumia sana Mungu atulindie watoto wetu tuko pamoja Hadi mwisho One ❤ from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Rehema
@@HafsaMasoud-j2x naam
Ananitoa machozi sere jamani 😭mungu nilindie watoto wangu mpaka wajitambue 🙏pole sana mwanagu seremani mungu atakusimamia
Kwanba sele nimtoto wa tajiri
Wenye mama hongera kuna wengi hawana n wengine n wazim 😢😢😢dogo sele unacheza vizuri mtoto🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Feeling emotional and tears rolling down my chiks what the families goes thru in the name of stepmothers,good scripture from Steve mweusi big up from 254 Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hajira kumbe huwa mkali hivi duuuh!!!! Masikini Dogo sele 😢😢. Nakubali Sana Steve mweusi 🙌🏼👏🏼
Steve kwakeli mungu akupe maisha marefu tuu pamoja na kikosi chako hii episode n moto bwana ina mafunzo mazuri sana ❤❤❤❤❤❤❤
"Ni ngumu kuamini yatakuja kupita" This has touched me this morning...
Yesuuuuuuuù
Unatisha Steve kwa uzembe kwenye majukumu yako( nice comedian 👍)😂😂😂😂😂
Petit Steve mweusi tu es très fort je te suis depuis en RD Congo 🇨🇩🇨🇩 trop d'amour ❤️❤️
Haip
Haip
Mungu nilindie mwanangu Erick,nipo mbali nae ipo sk nitakuwa nae atafurahia tu❤
I like this song ❤❤❤ ningetamani siku zirudi nyuma na me nipate upendo wa mama jamani inazidi kupamba moto next please
Amiin kwamba inazidi kupambana moto
Stivu tafuta jimama moja lenye matako makubwa uwe unalihonga hapo dukani hadi raha utaenjoy 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kazi zuri san brother mwenyezi mungu akutangulie katika maisha yako mdogo wangu 🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu akueke dogo Sele much love frm 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Muendelezo jmn sele nakukubli sana ❤❤❤❤
Yaani hii series ni maixha yangu kabisaa yalio pita kipind nipo ndogo duuuh Steve Big up😢😢😢 from 🇲🇿🇲🇿
Pole San my dear
Pole sana na wale wa mama wenye wana acha wa toto kwenye ali kama ilo pole
sanaaaaa!!!!😮😊
Jamani wakina baba mujifuze kitu hapa nawapenda sana from shwazirand
Mpaka nimetokwa na machozi aki sele baba na Steve much ❤❤❤❤❤❤🎉🎉nawapenda sana big up
Yani sele umeupiga mwing kwaajil yahii move jmn unanifanya nilie kila ninapotizama hii movie yako iko vzr aiseeh 😢😢
Story Nzuri Sana brother 🙌❤️
Dogo sehere umetisha baba hongera sana mtoto nzuri mashaallah kazi ipo moto 🔥🔥🔥 san Mungu akubaliki ❤❤
Mih Niko hapa mpaka itakapo ishia hii movie 🎥😢😢😢... afu kingine usichokijua hii movie Iko hot kuliko vyote za zamani Steve mweusi 😢😢😢😢❤❤❤❤... nakukubali Sana na ninachokushauri uongeze juhudi kaka mashabiki tupo❤❤❤❤❤....
Aliyendika scripts so genius ana fkria sana .Big up sana 👑
Mbwela umetorokwa na Sele, acha kuzubaa hahahaaa nakutania bhana kk kazi nzuri nakukubali sana
Hivi kumbe Hajirakidotty actress una roho mbaya ukiamua uwiiiiii
Katika kazi nzur nzur Steve ii ya moto sana❤
Kazi nzuri sana❤❤❤❤ nivile tu munatuchereweshaga
steve 😂😂😂😂😂kashindwa na change mahesabu kidogo yanamzingua waaaaah kusoma sio muhimu kweli😂😂😂kazi ipo stivoo..❤❤❤❤❤❤
Wow amazing dogo sele ❤❤🎉kwa kazi unaofanya I'm watching from kenya
Utabiri wangu sele anaongea ukwel kuusu manyanyaso na mama yake atapona steve nipe Maua yangu😅
Steve i enjoy your episodes daily❤.....i love the show❤
Makini kazi nzuri tuko pamoja mpaka mwishoooooooooo
Steve nakubali sana lakini mbona kwenye dr.ndemwa umetutupa kabisa I love dogo sele's reactions
Napenda siku moja nipatane na huyo kijana namsaport
Jamaniii siyo comment za kuomba like hata kuombea aenderee kufanya mambo mauzuli zaidi ya hayqqa❤blessed 🙌 Steve mweusi
Hii kwa kweli inasikitisha
Issa Mashauzi aliimba Mama ni Mama
Mama wa kambo ni balaa Inshallah siku moja baba ata jua ukweli na changa moto unapitia
Stève je te suis depuis Bujumbura en tout cas tu es fort courage!!
Very sad this movie but all characters plays well appreciation to team mweusi families also tell mrs ndaro we needs mr machale epsod
Kweli matezo ya Mama wa kambo waaaau
Mungu amsaidie Sele na matezo na changa moto anaipata 🙏🙏🙏🙏
Watching from UAE
Jamani mnanikumbushambali inauma😢😢😢😢😢 pole sanaaaa sele mungu akupekipaji tuletey nambatano
🎉🎉🎉🎉 umetishaass mwamba steeeeeeveeeee😢😢😢
Inaumiza Sana dogo sele sijui kwanini hamwambii baba yake ukweli was changamoto anazopitia ila ni movie tu
Vizur sana. Wa Tanzania wenzangu. Kwaku tuleteya vitu. Vizur ❤❤❤
Nataka ku comment uchungu Wangu wte alafu nikakumbuka ni movie inatufunza kitu 😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤ ongeren sana
nice one dogo sele much love from kenya❤❤❤
Nimeipenda 😢😢tunangoja next kZi nzuri❤❤
Jamani kumbe ni Aziza, dah! hadi machozi yamenitoka duu Aziza hongera na pole kwa scene ngumu km hiyo,, Steve naomba mpe maokoto mengi Aziza kwa hii series!
umechelewa sana kujua kaka😁
Moving together ❤❤❤one love from country 254
Ni zur San Ila mnachelewesha had mnakera
Gakyzicw
Waaaah kama waishi na mama shukuru maulana azidi kumlinda awe hai
Finally mbwela nmemuona kwa Ii kitu fire🤝🥰🥰
Kazi safi
Huyu sele amripamba pia hajira
Wakenya tumeikubali👊👊👊
Maisha niliyopitia nikitazama na hii movie 😢😢 nachoka kabisa yan. Asante MUNGU ulinipitisha katika yale magumu
Jmn nimempenda baba ake sele jins alivyo❤🥲🤭🫣
Muoe
Hapa bila unafiki hii mmecheza kweli kama kufikiria mmefikilia sanaaa hingelini sanaaa Mungu azidi kuwajalia katika kila hatua mnayokuwa mnazidi kwenda
Inauma kbs mungu tujarie afya tuwalee watoto wetu 😭😭selemani anapitia magumu kbs
Moving together ❤❤❤ much love... MashaaAllaw Tabarkallah Steve broo Allah Kareem
14:31 SELE WALA AJAKIMBIA KAVUTWA NHUMA YA CAMERA😂😂😂 MNATUPIGA BANAA😢❤ WE MWEUSS WEWE
MUNGU KWANZA🙏🙏🙏
Seen By Mr walimwengu.
Lakin kweri muna uwezo kbs unaona, nyie wote munawelewa kbs chakufanya👏👏! Steve hujafukuzwa dukani!! 😅😅😅😅😂😂😂
Waaaau very interesting story really big up xna team steven ❤❤❤❤❤❤
Hapa inaonekan huyu jamaa ndio baba Sele sasa wanatak wamchukue mama Sele wakamtibu 😂😂😂😂😂
Good job selemani❤❤❤❤❤❤❤
Dope❤...nifikisheni 2k subscribers,niko na mixes kaliii🔥🔥🔥
Hajra Roho mbaya kumbe🤣🤣, Kakake na Hamad nakubali mbona tamu tu kila ijayo!! 254.
Nilikuwa naisubiri kwa hamu nimeipata 4 sasa kabla sijaimaliza kusikiliza leteni ya 5 mschelewe nawapenda san kaz nzur ❤❤❤❤❤
Endeleza hii Episode❤️❤️❤️ Ndugu
😢😢😢😢 ongera dogo sele...please msikadi kutoa muendelezo .kwakweli inauma nashindwa kujikaza Ata mumenipe nawaza wanangu wanaishi vp?? 😢😢 kwa umbali nilio ila naamini mungu yupamoja nao❤❤❤❤
The biggest show/episodes in East and Central Africa,,Pick up steve mweusi ###live from kenya
ONE LOVE FROM KENYA 🇰🇪 ❤.
Selemani unaceza vizuri san mutoto pewa mawuwa yako❤❤❤
Sele unaNiliza mwangu kwakweli kazi nzuri
Baba mtuuuu anampenda sana mwanaeeeee
mama wa kambo kulea mtoto wa mwengine ni mtihani kweli duu!Maulana atusaidie tuwalee watoto wetu vizuri 😢
Dogo sele pole kwa matatizo unayopitia unakipaj cha kuigiza big up sana
Nakbali sana kazi zenu wew na Ndaro pa1 san
Steve wewe na kikosi chako mungu akuweke sana unaelimisha jamii.mimi hukufuatililia sana God bless you all ❤❤❤❤
Naona mwisho...mama uyo kichaa atakuwa sawa alafu uyo baba atamrudia...wataishi wote na selemani....sele atapata nafasi ya kukaa na mamaake
mwenye hili duka mumlipe hela nyingi sana, mmeitumia sana😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂 mtoto mwenyewe sio mdogo ww wzita watu wajekumxhukua wafkiri atakungojea kwn yy chizi hyo chizi kakimbia sembuse huyo 😂😂😂😂😂😂
my best sele ❤❤❤ love you so much dogo
Fantastic series 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Huyo dada nimechukia san
@@Jackilinedanielikilika Hahaha usimchukie huyo Dada yupo kufikisha ujumbe Kwa Hadhira na jamii Kwa ujumla
Jamani wanawake heeee😂😂
How I love this episodes is on another level❤
Huwa inaniliza sana
Daa wakwaza Leo nipe like Kama unamukubali Dogo sele
This is the best thing that has happened to me🥳💯the episodes are amazing.Good work Steve,,,
Part5 huyu hajira kidoti ataumbuk kuhusu steve na mwanae wa siri nipe zawad kbisa😂😂😂😂
Naendelea kuwafuwatilia na kujifunza jinsi ambavyoo tunatakiwa kuwajali wazazi wetu nawashukuru Sana endeleeni kutufahamisha jinsi ya kuwa na Imani katika kuwasaidia tupo pamoja nipo Zanzibar
Ongera sana tunawapenda sana ❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮 majirani zetu ❤❤❤
😅😅Steve mweusi anachekesha .
Bora babaake sele angefika tu shuleni
Amazing I really love this Suleiman
Uyo mtoto anafanya niyamwage machozi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Itakuwa labda mama yake si kichaa. Kuna kitu wanakificha mamake Dogo Sele yu majifichoni amah????? ......Aiisee ila 😂😂😂😂Leo mumeninasa nimebaki na mzuka Bado wa kuitazama......Can't wait for the next episode much love from 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤❤❤❤❤❤❤❤
Muuza duka hamna kabisaa 😂😂😂❤
Jaman naombeni mauwa yangu🎉🎉 nimekuwa wa kwanza ku comments
wallah hadjira umenichekesha et ume kulaa😂😂😂😂😂😂😂
Je vous suis depuis Congo 🇨🇩🇨🇩 DRC ✌
Mungu awalindie wenye mama na muwaombee waishi maisha marefu
Nashukuru kwani ni kama mume ni chezeya hii picha😢😢🇨🇩
Kama bado mama yako yu hai inatakiwa kumupa raha❤
😂😂😂este grupo é fantástico, fazer-me ficar feliz todos momentos
Mambo
Mama.♥️
Mm nainjoy xan kuangalia comedy za xtevu mweux nice