Namhurumia mchungaji. Kapitia mtihani mgumu. Huko nyuma aliipenda aone tume huru ya uchaguzi au katiba mpya. Sasa sijui atabadilisha maombi yake kwa mungu au? Tumwombee pastor. Hapo alipo aendelee kulitumikia taifa kwa jinsi itavyompendeza mungu na chama chake pia. Asante pastor kwa kazi nzuri uliyoifanya ukiwa chadema
Sahihi sana pia running away from problem is not solving the problem. Yaani Peter leo avae nguo za kijani na hako ka mwili kake mbona atakuwa anaonekana katuni. Biringanya
Silinde,Katambi,Godwin mollel,Mwita waitara,na wengine wengi waliojengwa kisiasa na Mbowe wakiwa Chadema, ni kipindi chao cha mwisho kula bata,na wajipange wasikombe mboga kwasababu lazima watakuja kulipa gharama kubwa ya usaliti,wasidhani baada ya awamu hii wataendelea kula kiyoyozi cha usaliti wao!
Namhurumia mchungaji. Kapitia mtihani mgumu. Huko nyuma aliipenda aone tume huru ya uchaguzi au katiba mpya. Sasa sijui atabadilisha maombi yake kwa mungu au? Tumwombee pastor. Hapo alipo aendelee kulitumikia taifa kwa jinsi itavyompendeza mungu na chama chake pia. Asante pastor kwa kazi nzuri uliyoifanya ukiwa chadema
Sahihi sana pia running away from problem is not solving the problem. Yaani Peter leo avae nguo za kijani na hako ka mwili kake mbona atakuwa anaonekana katuni. Biringanya
hakuna siasa ya kweli wote wanatafuta kwaajili njaa njaa zao tu
Well said mchungaji
Chadema wakae chini wajiulize Kuna mambo hayako sawa
Well said
msigwa ni tamaa ya uongozi
Wahehe wakinga wabena ndo wasaliti wa mkwawa
Silinde,Katambi,Godwin mollel,Mwita waitara,na wengine wengi waliojengwa kisiasa na Mbowe wakiwa Chadema, ni kipindi chao cha mwisho kula bata,na wajipange wasikombe mboga kwasababu lazima watakuja kulipa gharama kubwa ya usaliti,wasidhani baada ya awamu hii wataendelea kula kiyoyozi cha usaliti wao!
Ulowataja walikua ccm kabla hawajaenda chadema fatilia vzr toka wakiwa vyuoni hata wakina Ester bulaya huenda n mbinu ya ccm kuwatuma
msipoteze mda wa kumjadili msigwa chadema haifi kama alishindwa magufuri kuimaliza chadema je msigwa ninani? amejimaliza yeye
Mchungaji wewe, umeongea vizuri sana, Mungu hajawahi kukosa waru wakati wowote ule, ameondoka Msigwa, watakuwepo wengi IMARA kuliko yeye...
Unafki huu wa Msigwa utakutafuna
Hii ninjaa hakuna sababu za kueleweka angeenda chama kingine. Sasa naeanataka kuwa fisadi
Msigwa kwishi siasa tamaa imemponza
CHADEMA NI IMARA DAIMA
msigwa alitaka awe anapanda helkopat
Eeh? Alitaka apande helicopter? Atapanda nyingi za rangi ya kisamvu!