BALAA! MCHUNGAJI AIBUA MAZITO RAIS SAMIA KUHUSIKA SAKATA LA MSIGWA KUHAMA CHADEMA UGOMVI NA MBOWE.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • #raissamia

Комментарии • 18

  • @generosennko8343
    @generosennko8343 3 месяца назад

    Namhurumia mchungaji. Kapitia mtihani mgumu. Huko nyuma aliipenda aone tume huru ya uchaguzi au katiba mpya. Sasa sijui atabadilisha maombi yake kwa mungu au? Tumwombee pastor. Hapo alipo aendelee kulitumikia taifa kwa jinsi itavyompendeza mungu na chama chake pia. Asante pastor kwa kazi nzuri uliyoifanya ukiwa chadema

  • @isackphilipo9870
    @isackphilipo9870 3 месяца назад

    Sahihi sana pia running away from problem is not solving the problem. Yaani Peter leo avae nguo za kijani na hako ka mwili kake mbona atakuwa anaonekana katuni. Biringanya

  • @pwaniseries
    @pwaniseries 3 месяца назад +1

    hakuna siasa ya kweli wote wanatafuta kwaajili njaa njaa zao tu

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 3 месяца назад

    Well said mchungaji

  • @prophetjohnmasso186
    @prophetjohnmasso186 3 месяца назад

    Chadema wakae chini wajiulize Kuna mambo hayako sawa

  • @donaldmaziku7915
    @donaldmaziku7915 3 месяца назад

    Well said

  • @TrustElbashil
    @TrustElbashil 3 месяца назад

    msigwa ni tamaa ya uongozi

  • @CharlesMlaponi-h6z
    @CharlesMlaponi-h6z 3 месяца назад

    Wahehe wakinga wabena ndo wasaliti wa mkwawa

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 3 месяца назад

    Silinde,Katambi,Godwin mollel,Mwita waitara,na wengine wengi waliojengwa kisiasa na Mbowe wakiwa Chadema, ni kipindi chao cha mwisho kula bata,na wajipange wasikombe mboga kwasababu lazima watakuja kulipa gharama kubwa ya usaliti,wasidhani baada ya awamu hii wataendelea kula kiyoyozi cha usaliti wao!

    • @emmanuelsimon545
      @emmanuelsimon545 3 месяца назад

      Ulowataja walikua ccm kabla hawajaenda chadema fatilia vzr toka wakiwa vyuoni hata wakina Ester bulaya huenda n mbinu ya ccm kuwatuma

  • @TrustElbashil
    @TrustElbashil 3 месяца назад

    msipoteze mda wa kumjadili msigwa chadema haifi kama alishindwa magufuri kuimaliza chadema je msigwa ninani? amejimaliza yeye

  • @salomeurio560
    @salomeurio560 3 месяца назад

    Mchungaji wewe, umeongea vizuri sana, Mungu hajawahi kukosa waru wakati wowote ule, ameondoka Msigwa, watakuwepo wengi IMARA kuliko yeye...

  • @Deoathanasmbongo
    @Deoathanasmbongo 3 месяца назад

    Unafki huu wa Msigwa utakutafuna

  • @aloycemruma6552
    @aloycemruma6552 3 месяца назад

    Hii ninjaa hakuna sababu za kueleweka angeenda chama kingine. Sasa naeanataka kuwa fisadi

  • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
    @SmilingFlowerBouquet-hs2hv 3 месяца назад

    Msigwa kwishi siasa tamaa imemponza

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 3 месяца назад

    CHADEMA NI IMARA DAIMA

  • @TrustElbashil
    @TrustElbashil 3 месяца назад

    msigwa alitaka awe anapanda helkopat

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 3 месяца назад

      Eeh? Alitaka apande helicopter? Atapanda nyingi za rangi ya kisamvu!