Huyu mama kachelewa kuzaa lakini mtoto wake ana akili MashaAllah Kuna baadhi ya watu wanakwambia ukichelewa kuzaa watoto wanakuwa hawana akili hongera mama mungu akupe umri mrefu uweze kuwalea watt wako
una uhakika kachelewa kuzaa?na huyo Gift ni mtoto wa kwanza kwake? huyo mama anazaidi ya huyo Gift hapo kuna Elisha,Cecilia,wa 3 jina nimemsahau na 4 ni huyu Gift sasa
Tuna weza kusema waliotunga vitabu vya biology topic ya genetics iongezwe kua inherited genes siyo alibinisim tu Bali hata uwezo wa kufikiri pia maana siyo wa kwanza kusikia haya
Da mtoto unaweza kwakweli tatizo kuzaliwa bongo maana vipaji kama hivi wala hawavitilii maanani wala kuvilinda sijui hata kama tuna ma scientist ambao wanafanya uchunguzi na serikali kama inawatunza kuwaendeleza.
Vipaji vya watoto wa Kitanzania bana😂😂😂wote kutaja majina ya viongozi ndo kipaji yanii....mtoto amefanya vizuri ila ishakua common sasa i wish ingekua otherwise au basi
@@trophywilson7211 hujawahi ona mtoto wa 8years ana masters na kuna mwingine 12years ana phd tena hesabu .Huku wenzetu is not all about money wanatunza vipaji na always wanataka kuchunguza why and how aka Mungu watu they dont joke na watoto kama hawa wanatunzwa sana vizuri.
SUBSCRIBE NOW UWE WA KWANZA KUONA:🏾 bit.ly/3MraYdQ
Suberscber*
Mashaaallah
@@li9onlinetv h
MUNGU ahsante kwa uwezo wa mtoto huyu mlinde akue vema tunza kipaji ulichompa watu wote waseme Amin !!!!!!!
Amen.
L
L
L
L
Amina 🙏
Amina kwakwel mngu akuuze lipari chake
watu husema kiki malaika huyo semeni tena ni ushirikina much love and blessings beautiful angel 🙏🙏🙏💞🇰🇪🇪🇺
Ushirikiana au kipaji ?
Mungu akufanye uwe kichwa na sii mkia mtoto Mungu akulinde
Mungu ni WA Ajabu Sana..Mungu amlinde Mtoto huyu
MUNGU akulindee mwanangu 🙏🙏tunakuombeaaa my love
Tanzania mtanihamisha Mimi mambo mazuri yanatendeka huko Ni kuonyesha Mungu yuko nanyi....hongera
Suberscber "
MASHALLAH MASHALLAH ALLAH AMKUZE SALAMA AMUEPUSHE NA MA HUSDA ZA WALIMWENGU
Suberscber "
Mungu asante kwa mtoto huyu
Serikali hiyo ni treasure ya nchi jamani Tumuendeleze uwezo upo. Huyo si mtt wa kawaida na bado akiwa mdogo sana
Lord we thank you for this wonderful Gift she's a gift like her name . May God give her more knowledge and powers.
Mungu akuinue zaid mtoto mzur I real love you
@@rmerynuru8660 mmpmmpmmmmmpmm0pmmmm0
Mungu akiamua kunitumia yeyote umri wowote hashindwi
Kweli Mungu wa ajabu sana Ee Mungu mtunze mtoto huu
Mashaallah mtto mzur m
OMG she’s so cute 🥰 and blessed 😊
Suberscber "
This talent needs to be natured to full capacity...
Kweli ni Gift kutoka kwa Mungu🙏🏾🙏🏾
Neema ya Mungu iwe juu yako mtoto mzuri
Ee Mwenyezi Mungu nijalie kizazi chenye kumjua Mungu, na kuwa na upevu wa akili🙏
Fantastic!
Mungu mlinde mtoto huyu, akue na kipaji chake!!
Subhanallah mungu anazidi kutuonyesha utukufu wake
Hongera zake
Hongera kwa mtoto Gift ana kipaji kikubwa hat mm siwezi saluti kwake
An angel talking.
waaoo nimempenda huyu mtoto Mungu azidi kumtunza. Duu kanishinda hata Mimi
Good hata kam kamezeshwa lakin anaakili mi mwanangu aeleze lolote hat ukimfundia neno a baada ya dakik mbili kasahau hongera mzazi shukran kwa muumba
Mungu akulinde mtoto mzuri utimize ndoto yko
Nice your beautiful children
M Ugandan but i came to know my prezido at 12yrs Old may God keep her
Amen 🙌🙏🙏🙏
Aisee kwer siyo utanii Wala siyo kiki amenishinda ad mm
Mashaallh alhamundllh jambo la kher
Amazing
It's gift from GOD
.........Yesu akasema, "nakushukuru ee baba Mwenyezi kwa kuwa umewafungulia watoto ..............
Mungu amjalie huyu mtoto afike mbali
Ana kipaji Mungu amlinde
Baby girl nakuombea Mungu akufungulie milango upate ufadhili wa kukuza kipaji chako 🙏
Mungu amuongozee mtoto huyu walee wazeee wa mjini wasijee wakamchezeaaa huyu mtotoo!!
Maajabu ya dunia...hii ndiyo miujizaaaaa..Utukufu kwa Munguuuu😭😭😭
Mwacheni Mungu aitwe Mungu🙏🙏 akili za Mungu hazichunguzikiiii..
Azidi kutunzwa na Bwana.
Mungu akurinze mtoto mzur natamani ungekua mwanangu unakipaji sana nsiomba serikali iyamsimsmie ili aje awe kiongozi mkubwa baadae
Amina mama
Duhuuuuu🙄mie mwenyew sijuwi yote hayo🤣🤣🤣hongera toto m/ mungu akulinde
Allahu Akhar
Mashaallah 🙏🙏🙏 Allah amhifardh
Huyu mama kachelewa kuzaa lakini mtoto wake ana akili MashaAllah Kuna baadhi ya watu wanakwambia ukichelewa kuzaa watoto wanakuwa hawana akili hongera mama mungu akupe umri mrefu uweze kuwalea watt wako
Binaadam wanaongeatu Mungu ndiyekilakitu
una uhakika kachelewa kuzaa?na huyo Gift ni mtoto wa kwanza kwake?
huyo mama anazaidi ya huyo Gift
hapo kuna Elisha,Cecilia,wa 3 jina nimemsahau na 4 ni huyu Gift sasa
Mungu amuongoze kwa kweli.inapendeza
Wowoooo honger mtoto
Wow mashallah
Maashaallah ❤❤❤
Kizazi Cha Cres kina maarifa yasiyo ya kawaida bado watazaliwa wasiohitaji hata kwenda shule ila watafanya Mambo makubwa ya kutisha
Dunia imeisha
MashaaAllah MashaaAllah MashaaAllah
Pole na mafua beby😅❤🙌
Good
Mwachen Mungu aitwe Mungu jamani,kweli Mungu anafanya njia pasipo njia.Damu ya Yesu imfunike mtoto huyu afike mbali.
Jamani mimi hapo mhhhh mbio zitaniokoa maswali 2
MashaAllah
Tuna weza kusema waliotunga vitabu vya biology topic ya genetics iongezwe kua inherited genes siyo alibinisim tu Bali hata uwezo wa kufikiri pia maana siyo wa kwanza kusikia haya
Mungu ni mwema
Kako vzr...
100 Kwa 100
Mimi mkubwa ivi tu ukiniuliza maswali ya viongozi olaaaah 😄😄😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Same me 🤣
Yani hanatupita hata wakubwa wazima
@@marthajohn9120 mimi mwenzio ata jina langu tu kuna mda nasahau
Kama mimi sijuwi chochote 🤣🤣🤣🤣🤣
Yan mm na degree yangu kwa huyu mtoto n sifuri😂 hapo vitabu vya din ndo empty set. Eeh Mungu nisaidiee, unirehem na umlinde huyu mtto 🙏
😃😃😃
Yaan kwenye dini me ziro hapo sijui waziri wa Madini mpaka nie Google
Lakini mtoto mwenyewe kaulizwa nani anakufundisha amesema mamake anamfundisha
Mashallah
Even the boy next to her is clever...... Naona alikuwa anajibu zingine.... Wacha waendelee hivyo wakisaidiana...
Amen
Mashaallah
Born gifted Gift ila ana bahati mbaya kuzaliwa kweny nch yenye mfumo mbovu sana hasa elimu
😂😂😂😂💃👆
Da mtoto unaweza kwakweli tatizo kuzaliwa bongo maana vipaji kama hivi wala hawavitilii maanani wala kuvilinda sijui hata kama tuna ma scientist ambao wanafanya uchunguzi na serikali kama inawatunza kuwaendeleza.
Hatari dogo duhhhh
Amen!
Mungu azidi kumtunza mtoto huyu anakitu kikubwa sana kitaonekana hapo badae
Mungu wangu mtoto mdogo lakini anakipaji🙏
Duh
Ameniweza huyo. Mtoto
Dogo ana database yake kichwani
Ana database yake ipo full
Wah. GoD is great
Hata mtoto wangu ni wa ajabu, huyu Mungu amtunze
MUNGU hambariki sana
💞💞
Vipaji vya watoto wa Kitanzania bana😂😂😂wote kutaja majina ya viongozi ndo kipaji yanii....mtoto amefanya vizuri ila ishakua common sasa i wish ingekua otherwise au basi
Mtangazaji tu Kalewa
Jamani tuna vitu vya kujivunia sisi wa africa
Mmm hizo nguvu mziombee saana sizije kutoweka
😂😂safi sana toto
Duh!
Ukipata picha hapa ndo wanatupiga wamarekani vipaji hivi bado tz we are not sanity
😍😍😍😍💯
Niulize hata moja sijui labda Kassim Majaliwa.
🤣🤣🤣🤣
Mimi huyu Namujuwa mama Samia tu 🤣🤣🤣
Natama angekuwa mtotowangu
Hahahaha Asha buanaa
Hata,wa mwezako
Furahia2
Hizi hutendeka tu Tanganyika sio rest of Afrika
Mungu ni mkubwa
Tatizo lao wanataja majina ya viongoz tu wajalibu kumkaririsha na formula za physics na chemistry
Kweliii
🤔🤔🤔🤔💪🌟🌟🌟🌟
daaa
Hivi ni kweli hivi vitu jamanii
Eee sema kuna mtu ndani yake anahitaji Maombi aaivurugwe huyo mtu
Asome shule zenye vipaji maalum, apewe kipaumbele
Maskini alafu kana mafua🙏🙏🙏🙏
Huyu angekuwa kwa wazungu angekuwa na bachelor mpaka sasa maana kule hao wa ivo wanapata phd wakiwa na mika 5 au 7 tu
Hahaha siyo kweli ila tu angelipwa noti za uhakika
@@trophywilson7211 hujawahi ona mtoto wa 8years ana masters na kuna mwingine 12years ana phd tena hesabu .Huku wenzetu is not all about money wanatunza vipaji na always wanataka kuchunguza why and how aka Mungu watu they dont joke na watoto kama hawa wanatunzwa sana vizuri.
MUNGU NI MWEMA SANA
vizuri sana