Full Interview na Mtoto Itham Mwenye Akili za Ajabu, Anajua Kila Kitu Kuanzia Siasa Mpaka Soka

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 апр 2017
  • #Mtoto #Ithan #Mahafudh, mwenye umri wa miaka miwili, ameendelea kuthibitisha #kipaji kikubwa alichonacho, akiwa na uwezo wa kuwataja karibu marais wa nchi zote duniani ambapo #Pasaka hii, alikuwa kivutio kwenye #event iliyoandaliwa na #Shilawadu ambapo alijibu maswali yote ya papo kwa hapo.
    Mtoto huyo, licha ya uwezo wake wa kutaja majina ya viongozi mbalimbali, anao uwezo mkubwa wa kukariri mambo mengi kwa wakati mmoja. Mtazame zaidi hapa... bit.ly/2oOwCko
    Maajabu mengine ya mtoto Ithan ni kuwa anafahamu kuendesha gari na pia anajua kutumia kompyuta na simu za kisasa yaani smartphones, kwani anao uwezo wa kuingia katika mitandao mbalimbali ya kijamii. Visit globalpublishers.co.tz/
    Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
    / uwazi1
    / uwazi1
    / uwazi1

Комментарии • 437

  • @jbdebbielish8483
    @jbdebbielish8483 6 лет назад +6

    Genius boy
    God be with you... Kenyans in Saudi Arabia watching
    It's Only God who knows

  • @maryamsinganomaryamsingano7938
    @maryamsinganomaryamsingano7938 7 лет назад +6

    masha allah nyie wazee mpelekeni mtoto akahifadhi Q-arun ataishi kwamisingi mema hatamkifa atawaombea duwa jamani tusihangaike na dunia

  • @surayammanga8190
    @surayammanga8190 6 лет назад +12

    Uwezo wa Mungu mtoto mdogo sana Mungu amtunze

  • @makamefoum8058
    @makamefoum8058 6 лет назад +4

    Usimunyeshe kwenye mitandao binadamu wanaweza kumfanyia husda, mungu amlinde na amuongoze zaid

  • @biyambaarakallahufiikshekh9198
    @biyambaarakallahufiikshekh9198 3 года назад +2

    Mfundishe dini uyo asome Qur'an awe mwana wachuon Inshallah

  • @fatwimamakungu5456
    @fatwimamakungu5456 7 лет назад +42

    mashaa Allah mpelekeni shulea ya kiisilam mtoto wenu ili ahi fadhi Qur'an ndio azina ya kweli katka maisha yenu baada ya kufa kwenu

  • @asmakhamis498
    @asmakhamis498 7 лет назад +3

    MASHAALAH MTOTO AITHAM INATAKIWA KWA SASA AANZE MADRASA UMRI UNARUHUSU NA PIA APEKWE CHEKE CHEKEA AKAANZE ELIMU ILI UMRI UNAPOONGEZEKA AHIFADHI VITU HIVYO MUHIMU KWA AJILI YA KUJIANDAA KATIKA MAISHA YAKE HONGERENI WAZAZI KUPATA HUYO MTOTO MWENYE KIPAJI CHA HALI YA JUU

  • @salmaakida3485
    @salmaakida3485 7 лет назад +11

    mashaalah Allah amkuuze zaid ya hapo

  • @esthermutali2563
    @esthermutali2563 7 лет назад +1

    His memory ability is extremely high. Such personalities excell in programming where remembering queries and commands is among the most important traits which very few humans have.

  • @shummylove1084
    @shummylove1084 5 лет назад +2

    Mtoto mzur Maasha Allah gonge liker apa kama angelisoma dini yake akaifadhi Cor an

  • @juliusbryson2599
    @juliusbryson2599 6 лет назад +11

    mfundishen na dini amjue mungu

  • @datiussemju9619
    @datiussemju9619 7 лет назад +7

    this young boy is really genius according to is doing

  • @beckybeto4328
    @beckybeto4328 7 лет назад +2

    Mimi najua tu president wetu wa kenya na president wa Tz hawa wengi haha sifatilii God bless you more boy

  • @ayshahamsi2297
    @ayshahamsi2297 6 лет назад +1

    mashallah mtto huyo inafaa mumpelek n madrassa pia kwan hyo ndo ilmu ya akhera dunian mapita n kwa mungu tutaregea

  • @vanasae9823
    @vanasae9823 6 лет назад

    Maashallah! Mola amjalie azamie kwenye swala zima la elimu.Huenda ikawa mtoto huyu akaja kuvumbua makubwa na kutatua matatizo yanayosumbua waja duniani. Inshallah! Pokeeni salam chekwa kutokea Kenya.

  • @mbwanarajab7238
    @mbwanarajab7238 7 лет назад +31

    Ningependa sana aijue qur an ili awe katka misingi mizur ya kimaadili na aweze kwendana na maamrisho pamoja na makatazo ya MwenyezMungu.
    Alaf wasimnyoe km walivyofanya hapo..

    • @kudoja_fish_shop9592
      @kudoja_fish_shop9592 7 лет назад +2

      akiaanza tu kuran atawaza kuchinja chinja tu na kuvaa suruali njiwa

    • @nurdinahmedi8653
      @nurdinahmedi8653 7 лет назад

      william appolinary : unatombwa braza

    • @jackliineurio8099
      @jackliineurio8099 7 лет назад +1

      +Nurdin Ahmedi sasa mbona unatoa tusi we jitete bans usitukane

    • @anastaziuscyriacus5415
      @anastaziuscyriacus5415 7 лет назад +7

      nafikiri ajifunze vitu ambavyo vitamuingizia pesa...Asome elimu itakayo msaidia kuleta maendeleo ktk taifa..Mtoto n Mzalendo Tayari Huyu....Ajifunze Biblia Nafikiri

    • @hasnuhasan9577
      @hasnuhasan9577 7 лет назад +3

      Anastazius Cyriacus ajifunze bibilia ili aingie motoni

  • @shekilashekilaabudulha5038
    @shekilashekilaabudulha5038 6 лет назад +4

    Masha allah ana kipaj kikubwa sana

  • @faridahussein4962
    @faridahussein4962 6 лет назад +2

    MashaAllah mungu amuhifadhi ningefurahi umpeleke shule nzuri MashaAllah beautiful family

  • @aishamkongo3333
    @aishamkongo3333 6 лет назад +5

    Mashaallah

  • @nuurbonzo7330
    @nuurbonzo7330 7 лет назад +6

    Masha allah

  • @fatimamohammed2332
    @fatimamohammed2332 5 лет назад +1

    mama maaamaaaa uyu mtoto namempenda bure nampenda sana nataman angekuwa wangu

  • @sofiaahmed8880
    @sofiaahmed8880 6 лет назад +3

    very sharp mind! congrate boy.

  • @mrsmrshassan7473
    @mrsmrshassan7473 7 лет назад +23

    kubwa sana Mpeleke Madrasa ahifadhishwe Qur an kitabu chake na Muongozo wake , Azidi kuwa Mtoto bora

    • @anastaziuscyriacus5415
      @anastaziuscyriacus5415 7 лет назад +4

      Apelekwe Best Schools....Ajifunze Kupambanua baya na Jema....Ajue Kutumia mazingira yanayo mzunguka kujiletea maendeleo....Sio kukimbilia Qur an tuu

    • @Ajira_na_biashara
      @Ajira_na_biashara 7 лет назад +1

      Anastazius Cyriacus mbona haupendi watu wakimwambia ajifunze Qur'an????

    • @burbiddy316
      @burbiddy316 6 лет назад

      tulia kfr ww

    • @burbiddy316
      @burbiddy316 6 лет назад +1

      qur-an ni bora

    • @myunaniniahmad6463
      @myunaniniahmad6463 4 года назад

      Wewe muhaya hawezi kujitokeaza mzamini, peleka shule.

  • @eddahjulius2646
    @eddahjulius2646 5 лет назад +1

    Mungu atufichie mtoto mzuri asije akatekwa

  • @willynkya
    @willynkya 7 лет назад +4

    dogo nomaaa!! as an adult i would just answer 4 of the first questions

  • @godfreydignalis163
    @godfreydignalis163 6 лет назад

    I pray for the family and the bright Boy Itham, May God bless him and become more successful for the help of the future generations in his growth.

  • @_naimali
    @_naimali 6 лет назад +3

    Aaaw, this kid though 💕💗💗💗💗

  • @muddybmuddyb8165
    @muddybmuddyb8165 6 лет назад +1

    allah amlinde kwa kipaji
    alichomjalia inashaallah mpeleke madrasa akaijue qu-ran tukufu pa1 na mitume wake

  • @maryamomar2002
    @maryamomar2002 6 лет назад +1

    Mashallah mungu amuhifathi mtoto na namuombea mungu ampe akili zaidi ya kuisoma quran inshallah l

  • @nuruwilson9081
    @nuruwilson9081 3 года назад

    Bwana ndiye mchungaji wake,hakika
    wema na fadhili za Bwana zitamfuata siku zote za maisha yake
    atakuwa salama kwa jina la Yesu.

  • @shanieshallow7887
    @shanieshallow7887 6 лет назад

    I adore him. Gods blessings

  • @fatumaababy1281
    @fatumaababy1281 7 лет назад +2

    MashAllah...

  • @juliaphilemon4347
    @juliaphilemon4347 7 лет назад +1

    my God bless itham mungu ambele mnonga

    • @saliutz3681
      @saliutz3681 6 лет назад

      Nais wivu kwa uyu mtoto mana anauwezo wa kuifadh vingi dunian mungu mwepushe na mabaya

  • @gloriafrank737
    @gloriafrank737 6 лет назад +1

    Mwanangu umenishangaza sana, yaani nimefurahishwa na wewe, wazazi mtoto huyo mpeni malezi bora daima ili nyota yake iendelee kung'aa..

  • @scottsanga557
    @scottsanga557 6 лет назад +1

    This is so amazing ,mm nawajua mawaziri lakini sijui kazizao,jamani heeeee uyo mtoto anifundishe mim jamaniiii.

  • @laurencekb489
    @laurencekb489 6 лет назад +1

    mtoto mzuri sana mpe kazi afundishe wenzie

  • @princesspee6004
    @princesspee6004 7 лет назад +4

    mashallah Itham

  • @esthermutali2563
    @esthermutali2563 7 лет назад +1

    He can be a great teacher too.

  • @jumamrindoko5667
    @jumamrindoko5667 6 лет назад +1

    vizur san axe ni genius wa ukwel

  • @ayubudamianmwanga4329
    @ayubudamianmwanga4329 6 лет назад +1

    Dah mtoto katisha balaa hongera nyingi sana kwake

  • @SuperKibwana
    @SuperKibwana 7 лет назад +17

    MTOTO ANA KIPAJI, FAMILIA TULIVU, MASWALI MAZURI NA YANAELIMISHA PIA. THANKS GLOBAL TV.

  • @rukiaomary4380
    @rukiaomary4380 5 лет назад +2

    Mashaa Allah ❤️❤️

  • @aishasalim1393
    @aishasalim1393 6 лет назад

    Masha'Allah barakallah fikum

  • @esthermutali2563
    @esthermutali2563 7 лет назад +1

    to the parents, it would be appropriate to learn more about gifted kids to know how to balance expectations on this child. there are great innovation that his brain can process. but most important is to protect your child from people whò might want to take advantage of his gift. already you can see technology is a field to explore. he can manipulate a phone without formal education.

  • @mwangazagrace7976
    @mwangazagrace7976 7 лет назад +4

    God bless you little boy

  • @asmaaliy7980
    @asmaaliy7980 6 лет назад

    mashllah uko vzr mtt mungu akusidishie

  • @fatma2496
    @fatma2496 7 лет назад +38

    Wazazi mfundisheni Quran ahifadhi ndio cha maana zaidi kuliko hayo kwa umri wake

    • @scottsanga557
      @scottsanga557 6 лет назад +1

      Hata bible ipo vizuri sana💖💖

    • @scottsanga557
      @scottsanga557 6 лет назад +1

      TWENDE NA WAKATI⏰⏰⏰💒💒💒

    • @antonymwajombe8536
      @antonymwajombe8536 3 года назад

      Tunaenda kidunia dogo yuko vzr unataka biblia hata rais magu angekua paloko kunamgawanyo wa lishe duniani

  • @vickk5225
    @vickk5225 6 лет назад

    My God!!what a genius!

  • @emmanueldawson4073
    @emmanueldawson4073 7 лет назад

    Nampa hongera sana Itham na mungu azidi kumtangulia

  • @ayshamahariq8126
    @ayshamahariq8126 6 лет назад +2

    Mashallah

  • @thomasorembo6131
    @thomasorembo6131 7 лет назад +1

    mtoto mzuri sana kwa Dunia kwa ujumla

  • @alvismumkaranja3360
    @alvismumkaranja3360 6 лет назад +3

    Mashallah mtoto akili nzuri

  • @gloryshayo9309
    @gloryshayo9309 3 года назад +1

    Good boy for studies and good memories.

  • @fafi9092
    @fafi9092 7 лет назад +23

    Mfundishen na dua yakulala nakuingia choon

  • @thadeomaina7614
    @thadeomaina7614 6 лет назад +1

    mafunzo ya dini ni lazima kwa watoto wote sio huyo tu, hata elimu dunia ni lazima kwa watoto wote...

  • @Jameskaguo
    @Jameskaguo 7 лет назад

    huyo dogo anabidi akasome shule nzuri sana, dogo ni genius wa bongo, a sapotiwe na serikali atakuja fanya maendeleo mazuri.

  • @ABENNIPRO2565
    @ABENNIPRO2565 6 лет назад

    Good talent God bless that baby.

  • @ahmedrashed7138
    @ahmedrashed7138 2 года назад

    Maashaallaah Mimi mwenye tuu sinamoja Wala mbir hahaha mungu amuongoze kipaji chake kikue

  • @thadeuskisaka4804
    @thadeuskisaka4804 5 лет назад +1

    yk vizuri

  • @sechongemussa3550
    @sechongemussa3550 7 лет назад

    Mungu kamjalia kipaji mtoto huyo hiyo inaonesha dhahiri ukimuangalia kwa umakini ...Eee Mungu Nijalie mimi nipate waoto kama hao wenye vipaji maalum.Itham kanifurahisha sana na imenifanya nimsikilize kwa umakini sana

  • @mimahussein9314
    @mimahussein9314 7 лет назад

    Mashaallah mungu amkuze vyema ktk maadili ya dini pia

  • @ladymuna4945
    @ladymuna4945 3 года назад

    Ma Sha Allah... Allah akuekee In sha Allah

  • @ramosfally2318
    @ramosfally2318 5 лет назад +1

    Inshallah nahona somo la quran ndio sahi kwake

  • @faboge
    @faboge 6 лет назад

    gifted child, he should be taken to a special school

  • @sumiismaelsumi8137
    @sumiismaelsumi8137 6 лет назад +1

    Ma Shaa Allah

  • @eliudedwin3424
    @eliudedwin3424 7 лет назад +7

    natamani siku moja global tv muwaunganishe na yule mtto anaefundisha form one na huyu tuone hiyo interview itakua aje

  • @jofreyinosent9779
    @jofreyinosent9779 6 лет назад +1

    mtoto uyu kweli anafaa kuendelezwa kipaji chake

  • @allyabeid342
    @allyabeid342 7 лет назад +10

    mtoto huyu mungu amjaliezaid ila natamani namimi nipate mtoto kamahuyu jamani.

  • @rebeccatushabe
    @rebeccatushabe 6 лет назад

    Ubarikiwe sana tena uinuliwe zayidi

  • @masukamarco1659
    @masukamarco1659 7 лет назад +2

    Hata mm mwanangu ana kipaji km cha huyo mtoto alianza kumtambua mama yake akiwa na miezi mitatu ,kucheza mziki alipokaa tu sasa ana mwaka 1 na miezi 4 anacheza na kuimba miziki akisikia kwenye tv ,cm au redioni

  • @anthonykihanga1000
    @anthonykihanga1000 5 лет назад

    It all about life and living together we see and meet this

  • @milkametrine2670
    @milkametrine2670 6 лет назад

    Mungu amuzidishie

  • @alhajimohamedi5454
    @alhajimohamedi5454 6 лет назад +1

    nice God bless ifan

  • @paulinaelibarick6960
    @paulinaelibarick6960 6 лет назад

    God blessing you beby boy

  • @kibahasrall7387
    @kibahasrall7387 7 лет назад +3

    Naimani kuna vitu vingi hapo sema ndio hivo tu umaskin unatusumbua ila kwa nchi za wenzetu angepewa thaman ya hali ya juu

  • @saramkin4055
    @saramkin4055 6 лет назад

    só happy

  • @lathifakhamady6309
    @lathifakhamady6309 7 лет назад +2

    Nice mtoto

  • @menacekatembwa6181
    @menacekatembwa6181 6 лет назад

    appriciate.....

  • @ericjonstz3120
    @ericjonstz3120 4 года назад

    Tunatakiwa kuwalinda na kuwajali watoto wote wenye vpji na wasio nao,, hongera wazazi na watanzania kwa ujumla tuwasaide hawa watto

  • @stellakimwery2024
    @stellakimwery2024 6 лет назад

    Mshukuru Mungu baba mwanao ana IQ ya hali ya juu.Namwombea afike mbali

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
    @ifgodsayyes.nobodycansayno1796 7 лет назад

    Ilove him

  • @nautharyabubakary406
    @nautharyabubakary406 5 лет назад +1

    mashallah

  • @saidothman4527
    @saidothman4527 6 лет назад +1

    mashaallah

  • @gracegolden5595
    @gracegolden5595 7 лет назад +5

    uyo ni kiongozi mkubwa wa baadae hapa Tanzania na duniani. Tena akili zake ni kubwa sana pia uyo atakuwa mwanasiasa mkubwa upeo wake ni balaa.

  • @emmanuelzao
    @emmanuelzao 7 лет назад

    Hongera kwa wazazi na mtoto.

  • @alickomasoud5477
    @alickomasoud5477 6 лет назад +3

    Mtot atasifiwa akiihifadhi Quran tukufu sio mambo ya dunia ivo

  • @pelusiemanueli6926
    @pelusiemanueli6926 3 года назад

    Wowoooo honger San mtoto

  • @mohdkhatib223
    @mohdkhatib223 6 лет назад

    Maashaallah

  • @cletusngwadakulima9926
    @cletusngwadakulima9926 7 лет назад

    all are good can be done but should be followed in human right at all.

  • @rebecasamuel6657
    @rebecasamuel6657 6 лет назад +1

    daaaah! mpaka nimetaman na Wang angekua hvyo

  • @tumainimwakasungu9145
    @tumainimwakasungu9145 6 лет назад

    hongera sana mtot

  • @samiyalibao7017
    @samiyalibao7017 7 лет назад

    MashAllah

  • @victorfibretv5923
    @victorfibretv5923 6 лет назад +1

    Itham kweli washangaza malaika wa mungu

  • @jemakhalifa6807
    @jemakhalifa6807 6 лет назад

    waohhhh Allah ambariki

  • @mussaameir8715
    @mussaameir8715 7 лет назад +69

    itakua vizuri akihifadh quran na uwezo wake utazidi maradufu

    • @christinahaule9726
      @christinahaule9726 7 лет назад +1

      Mussa Ameir mhhhh umeanza kutoa kasoro

    • @lemmylujen6985
      @lemmylujen6985 7 лет назад +2

      Mussa Ameir jamani wacha kumkasoro uyu dogo. ..kila mtu n.a. kipaji chake

    • @lugangagustv1777
      @lugangagustv1777 7 лет назад +3

      mm mwenyew naungana na ww

    • @zainabbukari1910
      @zainabbukari1910 7 лет назад +1

      Lemmy Lujen kwani kamkasoro?katoa maoni tuu nivizuri pia akijua na masuala ya dini

    • @lemmylujen6985
      @lemmylujen6985 7 лет назад +1

      Zainab Bukari hamuwezi juwa kama anafunzwa au la...ila kipaji chake kilichojitokeza mwanzo ni huu apa..sawa bas...maoni yke yamesikika

  • @activefuntz848
    @activefuntz848 6 лет назад

    Jamani mtoto uyo anakipaj kisicho chakawaid kumbuka iyonizawad kutoka kwaallah so I wish mngempeleka akahifadhi Quran ingekua vizur zaid maybe Allah alitaka haitham aje dunian kuhifadh Qur'an mpeleken akamjue mola wake nawetu

  • @sabinaassenga3086
    @sabinaassenga3086 6 лет назад +1

    Shetani anatafuta watoto kama hawa so Mpelekeni kwenye maombi Mungu aliye hai amlindee siku zote

    • @ramosfally2318
      @ramosfally2318 5 лет назад

      sabina assenga we acha ayo mambo ya kidunia.mtoto apelekwe madrasa tu

  • @suzanewilliams1453
    @suzanewilliams1453 7 лет назад

    what a smart kid

  • @noelahjonathan6508
    @noelahjonathan6508 7 лет назад

    mungu amuwezeshe zaid na zaidi

  • @sae3dalsaifi211
    @sae3dalsaifi211 6 лет назад

    Haleluya