Full Interview na Mtoto Itham Mwenye Akili za Ajabu, Anajua Kila Kitu Kuanzia Siasa Mpaka Soka
HTML-код
- Опубликовано: 17 апр 2017
- #Mtoto #Ithan #Mahafudh, mwenye umri wa miaka miwili, ameendelea kuthibitisha #kipaji kikubwa alichonacho, akiwa na uwezo wa kuwataja karibu marais wa nchi zote duniani ambapo #Pasaka hii, alikuwa kivutio kwenye #event iliyoandaliwa na #Shilawadu ambapo alijibu maswali yote ya papo kwa hapo.
Mtoto huyo, licha ya uwezo wake wa kutaja majina ya viongozi mbalimbali, anao uwezo mkubwa wa kukariri mambo mengi kwa wakati mmoja. Mtazame zaidi hapa... bit.ly/2oOwCko
Maajabu mengine ya mtoto Ithan ni kuwa anafahamu kuendesha gari na pia anajua kutumia kompyuta na simu za kisasa yaani smartphones, kwani anao uwezo wa kuingia katika mitandao mbalimbali ya kijamii. Visit globalpublishers.co.tz/
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
/ uwazi1
/ uwazi1
/ uwazi1
Genius boy
God be with you... Kenyans in Saudi Arabia watching
It's Only God who knows
masha allah nyie wazee mpelekeni mtoto akahifadhi Q-arun ataishi kwamisingi mema hatamkifa atawaombea duwa jamani tusihangaike na dunia
Uwezo wa Mungu mtoto mdogo sana Mungu amtunze
Usimunyeshe kwenye mitandao binadamu wanaweza kumfanyia husda, mungu amlinde na amuongoze zaid
Mfundishe dini uyo asome Qur'an awe mwana wachuon Inshallah
mashaa Allah mpelekeni shulea ya kiisilam mtoto wenu ili ahi fadhi Qur'an ndio azina ya kweli katka maisha yenu baada ya kufa kwenu
Naam Naam
MASHAALAH MTOTO AITHAM INATAKIWA KWA SASA AANZE MADRASA UMRI UNARUHUSU NA PIA APEKWE CHEKE CHEKEA AKAANZE ELIMU ILI UMRI UNAPOONGEZEKA AHIFADHI VITU HIVYO MUHIMU KWA AJILI YA KUJIANDAA KATIKA MAISHA YAKE HONGERENI WAZAZI KUPATA HUYO MTOTO MWENYE KIPAJI CHA HALI YA JUU
mashaalah Allah amkuuze zaid ya hapo
His memory ability is extremely high. Such personalities excell in programming where remembering queries and commands is among the most important traits which very few humans have.
Mtoto mzur Maasha Allah gonge liker apa kama angelisoma dini yake akaifadhi Cor an
mfundishen na dini amjue mungu
this young boy is really genius according to is doing
Mimi najua tu president wetu wa kenya na president wa Tz hawa wengi haha sifatilii God bless you more boy
mashallah mtto huyo inafaa mumpelek n madrassa pia kwan hyo ndo ilmu ya akhera dunian mapita n kwa mungu tutaregea
Maashallah! Mola amjalie azamie kwenye swala zima la elimu.Huenda ikawa mtoto huyu akaja kuvumbua makubwa na kutatua matatizo yanayosumbua waja duniani. Inshallah! Pokeeni salam chekwa kutokea Kenya.
Ningependa sana aijue qur an ili awe katka misingi mizur ya kimaadili na aweze kwendana na maamrisho pamoja na makatazo ya MwenyezMungu.
Alaf wasimnyoe km walivyofanya hapo..
akiaanza tu kuran atawaza kuchinja chinja tu na kuvaa suruali njiwa
william appolinary : unatombwa braza
+Nurdin Ahmedi sasa mbona unatoa tusi we jitete bans usitukane
nafikiri ajifunze vitu ambavyo vitamuingizia pesa...Asome elimu itakayo msaidia kuleta maendeleo ktk taifa..Mtoto n Mzalendo Tayari Huyu....Ajifunze Biblia Nafikiri
Anastazius Cyriacus ajifunze bibilia ili aingie motoni
Masha allah ana kipaj kikubwa sana
MashaAllah mungu amuhifadhi ningefurahi umpeleke shule nzuri MashaAllah beautiful family
Mashaallah
Masha allah
mama maaamaaaa uyu mtoto namempenda bure nampenda sana nataman angekuwa wangu
very sharp mind! congrate boy.
kubwa sana Mpeleke Madrasa ahifadhishwe Qur an kitabu chake na Muongozo wake , Azidi kuwa Mtoto bora
Apelekwe Best Schools....Ajifunze Kupambanua baya na Jema....Ajue Kutumia mazingira yanayo mzunguka kujiletea maendeleo....Sio kukimbilia Qur an tuu
Anastazius Cyriacus mbona haupendi watu wakimwambia ajifunze Qur'an????
tulia kfr ww
qur-an ni bora
Wewe muhaya hawezi kujitokeaza mzamini, peleka shule.
Mungu atufichie mtoto mzuri asije akatekwa
dogo nomaaa!! as an adult i would just answer 4 of the first questions
I pray for the family and the bright Boy Itham, May God bless him and become more successful for the help of the future generations in his growth.
Aaaw, this kid though 💕💗💗💗💗
allah amlinde kwa kipaji
alichomjalia inashaallah mpeleke madrasa akaijue qu-ran tukufu pa1 na mitume wake
Mashallah mungu amuhifathi mtoto na namuombea mungu ampe akili zaidi ya kuisoma quran inshallah l
Bwana ndiye mchungaji wake,hakika
wema na fadhili za Bwana zitamfuata siku zote za maisha yake
atakuwa salama kwa jina la Yesu.
I adore him. Gods blessings
MashAllah...
my God bless itham mungu ambele mnonga
Nais wivu kwa uyu mtoto mana anauwezo wa kuifadh vingi dunian mungu mwepushe na mabaya
Mwanangu umenishangaza sana, yaani nimefurahishwa na wewe, wazazi mtoto huyo mpeni malezi bora daima ili nyota yake iendelee kung'aa..
This is so amazing ,mm nawajua mawaziri lakini sijui kazizao,jamani heeeee uyo mtoto anifundishe mim jamaniiii.
mtoto mzuri sana mpe kazi afundishe wenzie
mashallah Itham
He can be a great teacher too.
vizur san axe ni genius wa ukwel
Dah mtoto katisha balaa hongera nyingi sana kwake
MTOTO ANA KIPAJI, FAMILIA TULIVU, MASWALI MAZURI NA YANAELIMISHA PIA. THANKS GLOBAL TV.
mmmhhh mtt mzuri Sana
Seiff Kibwana
Seiff Kibwana mashallah ni bora angehifadhi quran
saidi juma mungu amzidishie
Seiff Kibwana my ty so r to
Mashaa Allah ❤️❤️
Masha'Allah barakallah fikum
to the parents, it would be appropriate to learn more about gifted kids to know how to balance expectations on this child. there are great innovation that his brain can process. but most important is to protect your child from people whò might want to take advantage of his gift. already you can see technology is a field to explore. he can manipulate a phone without formal education.
God bless you little boy
good good
mashllah uko vzr mtt mungu akusidishie
Wazazi mfundisheni Quran ahifadhi ndio cha maana zaidi kuliko hayo kwa umri wake
Hata bible ipo vizuri sana💖💖
TWENDE NA WAKATI⏰⏰⏰💒💒💒
Tunaenda kidunia dogo yuko vzr unataka biblia hata rais magu angekua paloko kunamgawanyo wa lishe duniani
My God!!what a genius!
Nampa hongera sana Itham na mungu azidi kumtangulia
Mashallah
mtoto mzuri sana kwa Dunia kwa ujumla
Mashallah mtoto akili nzuri
Good boy for studies and good memories.
Mfundishen na dua yakulala nakuingia choon
makubwa dua ya chooni
+dina elpha unadhani chooni unaingia tu?
Fafi 90
mafunzo ya dini ni lazima kwa watoto wote sio huyo tu, hata elimu dunia ni lazima kwa watoto wote...
huyo dogo anabidi akasome shule nzuri sana, dogo ni genius wa bongo, a sapotiwe na serikali atakuja fanya maendeleo mazuri.
Good talent God bless that baby.
Maashaallaah Mimi mwenye tuu sinamoja Wala mbir hahaha mungu amuongoze kipaji chake kikue
yk vizuri
Mungu kamjalia kipaji mtoto huyo hiyo inaonesha dhahiri ukimuangalia kwa umakini ...Eee Mungu Nijalie mimi nipate waoto kama hao wenye vipaji maalum.Itham kanifurahisha sana na imenifanya nimsikilize kwa umakini sana
Mashaallah mungu amkuze vyema ktk maadili ya dini pia
Ma Sha Allah... Allah akuekee In sha Allah
Inshallah nahona somo la quran ndio sahi kwake
gifted child, he should be taken to a special school
Ma Shaa Allah
natamani siku moja global tv muwaunganishe na yule mtto anaefundisha form one na huyu tuone hiyo interview itakua aje
eliud edwin
mtoto uyu kweli anafaa kuendelezwa kipaji chake
mtoto huyu mungu amjaliezaid ila natamani namimi nipate mtoto kamahuyu jamani.
Sa God amu protect
Nenda kazae na yule mama naww akuzalie ktt Kama hicho😜
Ubarikiwe sana tena uinuliwe zayidi
Hata mm mwanangu ana kipaji km cha huyo mtoto alianza kumtambua mama yake akiwa na miezi mitatu ,kucheza mziki alipokaa tu sasa ana mwaka 1 na miezi 4 anacheza na kuimba miziki akisikia kwenye tv ,cm au redioni
Huyo atakuwa Kiba
It all about life and living together we see and meet this
Mungu amuzidishie
nice God bless ifan
God blessing you beby boy
Naimani kuna vitu vingi hapo sema ndio hivo tu umaskin unatusumbua ila kwa nchi za wenzetu angepewa thaman ya hali ya juu
só happy
Nice mtoto
appriciate.....
Tunatakiwa kuwalinda na kuwajali watoto wote wenye vpji na wasio nao,, hongera wazazi na watanzania kwa ujumla tuwasaide hawa watto
Mshukuru Mungu baba mwanao ana IQ ya hali ya juu.Namwombea afike mbali
Ilove him
mashallah
mashaallah
uyo ni kiongozi mkubwa wa baadae hapa Tanzania na duniani. Tena akili zake ni kubwa sana pia uyo atakuwa mwanasiasa mkubwa upeo wake ni balaa.
Grace Golden katunikisahili
Grace Golden u
Dogo yuko sawa mungu amzidishie
Hongera kwa wazazi na mtoto.
Mtot atasifiwa akiihifadhi Quran tukufu sio mambo ya dunia ivo
Wowoooo honger San mtoto
Maashaallah
all are good can be done but should be followed in human right at all.
daaaah! mpaka nimetaman na Wang angekua hvyo
hongera sana mtot
MashAllah
Itham kweli washangaza malaika wa mungu
waohhhh Allah ambariki
itakua vizuri akihifadh quran na uwezo wake utazidi maradufu
Mussa Ameir mhhhh umeanza kutoa kasoro
Mussa Ameir jamani wacha kumkasoro uyu dogo. ..kila mtu n.a. kipaji chake
mm mwenyew naungana na ww
Lemmy Lujen kwani kamkasoro?katoa maoni tuu nivizuri pia akijua na masuala ya dini
Zainab Bukari hamuwezi juwa kama anafunzwa au la...ila kipaji chake kilichojitokeza mwanzo ni huu apa..sawa bas...maoni yke yamesikika
Jamani mtoto uyo anakipaj kisicho chakawaid kumbuka iyonizawad kutoka kwaallah so I wish mngempeleka akahifadhi Quran ingekua vizur zaid maybe Allah alitaka haitham aje dunian kuhifadh Qur'an mpeleken akamjue mola wake nawetu
Shetani anatafuta watoto kama hawa so Mpelekeni kwenye maombi Mungu aliye hai amlindee siku zote
sabina assenga we acha ayo mambo ya kidunia.mtoto apelekwe madrasa tu
what a smart kid
mungu amuwezeshe zaid na zaidi
Haleluya