wana Global TV nawaomba mukirudi huko tafathali munisaidie kuambia baba Eunice maji yangu mbona hatumi imeisha 2 month tangu nitume hela kutoka Rome Italy nikimutumia text huwa ananiadi tu juma tatu mara lini surely tafathali nawaomba munikumbishie aki ahsante sana 🙏🙏🙏💞🇰🇪🇪🇺
Halafu uchuwe chochote kinacho karibia Mungu,shetani huwa anawapiga,,so ni vizuri kumshukuru Mungu kwa kila hali anayopitia,mnampa Mungu sifa,sababu Yesu amemsingira na Damu yake,, Mungu abariki mtoto Yunis amen
Mother Mary be your daughter Eunice so that your children can be healed and turn to Jesus your Beloved son,,,what baby Eunice doing is Mother Mary using her may the good Lord protect her and guide her Amen
Tumsifu Yesu Kristi na mile Amina. Niko Msumbiji ningependa nip ate maji yalio barikiwa na moto Yunice Niko hapa Maputo. Nifanyeje? Kiswahili changu sio kizuri sana
Mungu aedeleye kumlida mtoto huyo kwani ni Baraka mungu ametuma ili ukubwa wa mungu uonekane mumuchunge vizuri huyo nimalaika Sasa na sisi tunatamani tupate hio maji tufanye njee kuzudi ya tufikie ha Canada mimi na fwata kila siku ushuda wa mtoto alipoaza
Hivi we baba wa yunisi una nini na kanisa,usilazimishe kanisa kutangaza,ndio maana kanisa halijazuia huyo mtoto kufanya kazi,wewe fanya kazi yako na kanisa lifanye yake.
Ni vizuri kuonyesha hao wagonjwa peupe mtoto Yunis akimwakilia maji watu wakishudia kwa macho kupitia video,,tukiona wamepepwa kaa wamepooza baada ya Maombi wana Pona,vyema kuonyesha video hao watu mpaka wapone,cos ushuhuda wa Mungu uko wasi,
Tunaimani kwayote tunayo pokeya kwa mama bikira maria kupitiya combo cake mtoto eunice lakini nasii wazazi wake wakaee kusubiri nakujishusha kusudi mtoto huyu asiipoteze neemaile anayokuwa nayo naamboyo niyakusaidiya watuu.Mungu baba hasaubu kama kanisa inasubiri naniutaratibu wa eklezia ndio maana wanapasha subiri mpaka mapenzi ya Mungu baba ifanyike mpaka eklezia ifanyekaziyakeee île itaonesha kujishusha na Mungu baba ataendelea kufanyakazi mbaka kikamilike na eklezia takatifu pasipo vile wazazi wa yunice wasishangae baada ya muda mtoto amepoteza neema alio kuwanayoo naomba utii sana kwa eklezia navingine vitakuja taratibu .Huo niushauriwangu
OK Mungu atukuzwe,lakini kanisa yiheshimu juu catholique iko hivo inafanya ucunguzi pole pole vile mwenye anataka gutoka kanisa akiamuwa anaenda akitaka kurudi wanamupokea pia,kanisa yetu iko kama yule muzazi nayule mutoto arienda akaenda guharibu mari zake akarudi badayee akamupokea.
MUNGU MPE NEMA HUYU MTOTO UNISI AENDELEE KUWATIBU WATU WENYE MATATIZO. NA SI BINADAMU TUWE NA ROHO NZURI YA KUMWOMBEA IPO CK TUTAENDA KUTIBIWA. NA WENYE ROHO MBAYA ACHENI KUDHURU HUYO MTOTO. HIZO ROHO MBAYA ZIKOME KABISA MUNGU WAUNGUZE HAO WANAOTAKA KUMWUA KWA SUMU HUYO MTOTO.SHETANI NA ASHINDWE KABISA
Nyie jidanganye tu kwa kumtegemea bikra maria! Yesu pekee ndo njia ya uzima iendayo kwa baba! Bikra maria walimalizana na yesu hapa hapa duniani wala yesu hakutaka mazoea! Kama waromani mngekuwa mnasoma biblia mngeelewa! Hamjasoma yesu alivyo wakana hao mnaowaita wazazi wake Walipo mfuata kanisani?
Mon frère, soit béni, le seul nom de Jésus guéri, delivre et nous fait du bien, cet peuples péri faute de connaissance. Ooh seigneur aie pitié de ses parents et delivre cet enfant de la main de satan.
Mimi nipo dar-es-saalum. Mimi mtanisaidiaj Mimi kuyapata hayo maji Baba yunicy ninaomb hiyo GLOBAL TV KAMA WATAFIK HUKU DAR-ES-SAALAM KAMA ITAWEZEKA WANILETEE HAYO MAJI. NINASHID N HAYO MAJI. UWEZEKAN W KUJAHUKO SINA NAULI
KUNA WAKATI ITAJULIKANA TUU KUA NI NGUVU YA NINI INATUMIKA HAPO,SIO KILA MUUJIZA NI WA MUNGU.ITAKAPO ITAJIWA SADAKA KWA AJILI YA HIYO NGUVU, NDIYO WATA HAHA.
Aucun n'es de Dieu, mais de santa, le seul vrai Dieu c'est Jésus Christ de Nazareth., Au nom de Jésus tout genoux fléchi sur la terre, sous la terre et dans les cieux, tu es malade prie au nom de Jésus, parceque lui seul est mort a ma croix pour que nous soyons sauvé
Mimi nipo dar-es-saalum. Mimi mtanisaidiaj Mimi kuyapata hayo maji Baba yunicy ninaomb hiyo GLOBAL TV KAMA WATAFIK HUKU DAR-ES-SAALAM KAMA ITAWEZEKA WANILETEE HAYO MAJI. NINASHID N HAYO MAJI. UWEZEKAN W KUJAHUKO SINA NAULI
Hii nahisi ni tofauti sana kwahiyo kama unaimani nenda kwa kawaida sisi tunaamini Mama Bikira maria hutoa miujiza kwenye Yale maeneo ya watu wenye mioyo migumu sana huwa anajitokeza kama alivyotokea Uganda
ubaya kutuma maji utasubiri sana nilituma hela 2 month sasa ijawai fika ulaya kila wakati hakika siku fulani nikikumbushia najibiwa tu hakika siku fulani itafika miezi miwili chini
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
wana Global TV nawaomba mukirudi huko tafathali munisaidie kuambia baba Eunice maji yangu mbona hatumi imeisha 2 month tangu nitume hela kutoka Rome Italy nikimutumia text huwa ananiadi tu juma tatu mara lini surely tafathali nawaomba munikumbishie aki ahsante sana 🙏🙏🙏💞🇰🇪🇪🇺
I'm healed thank you sister Yunis may God continue blessing young Angel
KWAJINA LA YESU AMEN AMEN
Mungu apewe sifa.Amen❤
Halafu uchuwe chochote kinacho karibia Mungu,shetani huwa anawapiga,,so ni vizuri kumshukuru Mungu kwa kila hali anayopitia,mnampa Mungu sifa,sababu Yesu amemsingira na Damu yake,, Mungu abariki mtoto Yunis amen
Mother Mary be your daughter Eunice so that your children can be healed and turn to Jesus your Beloved son,,,what baby Eunice doing is Mother Mary using her may the good Lord protect her and guide her Amen
Tumsifu Yesu Kristi na mile Amina. Niko Msumbiji ningependa nip ate maji yalio barikiwa na moto Yunice Niko hapa Maputo. Nifanyeje? Kiswahili changu sio kizuri sana
Mungu azidi kumuongoza uyu mtoto azidi kuwasaidia watu wenye huitaji
Kama ni kazi ya mungu utaonekana kwa sababu hata bibilia Ina sema nabii udharauliwa mtaa yake
Asante Mungu kwa nguvu zako,kupitia kwa mtoto Yinis
Thanks be to God. Na Omba number
Mtoto huyu ni zawadi ya Mungu kwetu sisi ni nabii mponyaji kwa uwezo wa Mungu jina lake Mungu ni kuu lihimidiwe amina
Yunis...niombee..nibarikiwe
Mh kwa kweli Mungu amsaidie huyu mtoto
Mungu amsimamie huyu mtoto
Mungu mipango yake haichunguziki!Tumuache awasaidie watu! Ila Mtoto ni Mtoto tunaona kanachezea pazia!
Mungu aedeleye kumlida mtoto huyo kwani ni Baraka mungu ametuma ili ukubwa wa mungu uonekane mumuchunge vizuri huyo nimalaika
Sasa na sisi tunatamani tupate hio maji tufanye njee kuzudi ya tufikie ha Canada mimi na fwata kila siku ushuda wa mtoto alipoaza
Bwana Idi Mumba naomba number yako ya simu.Ahsante.Hannington Mwinga.
Shalom wapendwa. Mimi naishi nje ya Afrika. Napenda kuulizia hivi mtoto Yunis ameisharudi pamoja na mama ye hapo nyumbani? Naomba jibu.
Help and you translate it in English mother Mary pray for us
Huu baba aache kurazimisha watu kuwa na imani.mambo ya mungu harazimishwi. Asubili kwanza na mtoto huo mwishoni watu wabaa watamuuwa.
Wamuache mtoto asaidie watu wenye magonjwa mbalimbali afanye kaz alotumwa na Mungu
Ni kazi nzuri lakini muwachukue picha ingekuwa vizuri zaidi mbarikiwe sana.
Baba amekuwa kijana. Jamani umasikini ni mmbaya sana
🤣🤣Kwakweli
Hivi we baba wa yunisi una nini na kanisa,usilazimishe kanisa kutangaza,ndio maana kanisa halijazuia huyo mtoto kufanya kazi,wewe fanya kazi yako na kanisa lifanye yake.
@@chrisantachelele7610 anajisahau kanisa analo liongerea ni kanisa Catholic halina shobo na mtu 😄😄😄😄mambo ya kutakanzwa peleka kwa gwajima boy
Chezea pesa wewe
Umesema ukweli
Tusaidie namba
Ni vizuri kuonyesha hao wagonjwa peupe mtoto Yunis akimwakilia maji watu wakishudia kwa macho kupitia video,,tukiona wamepepwa kaa wamepooza baada ya Maombi wana Pona,vyema kuonyesha video hao watu mpaka wapone,cos ushuhuda wa Mungu uko wasi,
Tu naomba number yenu
Dah mzee ameshengaa uso.kweli kila mtu azae
Tunaimani kwayote tunayo pokeya kwa mama bikira maria kupitiya combo cake mtoto eunice lakini nasii wazazi wake wakaee kusubiri nakujishusha kusudi mtoto huyu asiipoteze neemaile anayokuwa nayo naamboyo niyakusaidiya watuu.Mungu baba hasaubu kama kanisa inasubiri naniutaratibu wa eklezia ndio maana wanapasha subiri mpaka mapenzi ya Mungu baba ifanyike mpaka eklezia ifanyekaziyakeee île itaonesha kujishusha na Mungu baba ataendelea kufanyakazi mbaka kikamilike na eklezia takatifu pasipo vile wazazi wa yunice wasishangae baada ya muda mtoto amepoteza neema alio kuwanayoo naomba utii sana kwa eklezia navingine vitakuja taratibu .Huo niushauriwangu
Nyie waandishi sio mgetuonesha huyu mama ambae amepona njaa Kali sanaa
We don't know kiswahili
Sasa mbona anakebehi fulani
Mimi ningependa kujua,malipo ni pesa ngapi?
OK Mungu atukuzwe,lakini kanisa yiheshimu juu catholique iko hivo inafanya ucunguzi pole pole vile mwenye anataka gutoka kanisa akiamuwa anaenda akitaka kurudi wanamupokea pia,kanisa yetu iko kama yule muzazi nayule mutoto arienda akaenda guharibu mari zake akarudi badayee akamupokea.
Tunaomba namba ya baba mzazi wa Yunisi
Hata mimi
Nitawapata wapi Tanzania ama munapatikana Kwa nchia gani
Mimi nimeagiza maji na kulipia lakini maji simpati sasa sijui itakuaje
Kinachonishangaza kako bize na michezo Hadi wanakabembeleza kufanya huduma 😂😂😂
Tutafuten pesa jaman hadi mazingira yamebadilika kumbe pesa ni sabuni ya maisha🐒😳
nilienda palikua na nyumba za nyasi lakn saiz ni mijengo
@@neemajohn1272 ulipoenda ulisaidika vizuri sivyo
@@neemajohn1272 Tupatie mrejesho basi mpenzi na sisi tuende😁🏃♀️
Mbona picha za wagonjwa hatuwaoni jaman watoe shuhuda wenyewe
MUNGU MPE NEMA HUYU MTOTO UNISI AENDELEE KUWATIBU WATU WENYE MATATIZO. NA SI BINADAMU TUWE NA ROHO NZURI YA KUMWOMBEA IPO CK TUTAENDA KUTIBIWA. NA WENYE ROHO MBAYA ACHENI KUDHURU HUYO MTOTO. HIZO ROHO MBAYA ZIKOME KABISA MUNGU WAUNGUZE HAO WANAOTAKA KUMWUA KWA SUMU HUYO MTOTO.SHETANI NA ASHINDWE KABISA
Kuamini hayo inataka macho ya rohoni jina la bwana libalikiwe
Naomba uniambie nitapanda gari gani nataka kukuja huko
Maji yanauzwa au ni bure?
Nyie jidanganye tu kwa kumtegemea bikra maria! Yesu pekee ndo njia ya uzima iendayo kwa baba! Bikra maria walimalizana na yesu hapa hapa duniani wala yesu hakutaka mazoea! Kama waromani mngekuwa mnasoma biblia mngeelewa! Hamjasoma yesu alivyo wakana hao mnaowaita wazazi wake Walipo mfuata kanisani?
Mon frère, soit béni, le seul nom de Jésus guéri, delivre et nous fait du bien, cet peuples péri faute de connaissance. Ooh seigneur aie pitié de ses parents et delivre cet enfant de la main de satan.
Mimi nipo dar-es-saalum. Mimi mtanisaidiaj Mimi kuyapata hayo maji Baba yunicy ninaomb hiyo GLOBAL TV KAMA WATAFIK HUKU DAR-ES-SAALAM KAMA ITAWEZEKA WANILETEE HAYO MAJI. NINASHID N HAYO MAJI. UWEZEKAN W KUJAHUKO SINA NAULI
Acha guhangayika uyo nikama loliondo
Jamani sisi tunataka hayomaji tunawagonjwa wanaumwa sana
Utaperi mtupu hii kama babu wa kikombe na mijitu alivyo mipumbavu yatakwenda kama makondoo
tupatie nmbq yawa
KUNA WAKATI ITAJULIKANA TUU KUA NI NGUVU YA NINI INATUMIKA HAPO,SIO KILA MUUJIZA NI WA MUNGU.ITAKAPO ITAJIWA SADAKA KWA AJILI YA HIYO NGUVU, NDIYO WATA HAHA.
Aucun n'es de Dieu, mais de santa, le seul vrai Dieu c'est Jésus Christ de Nazareth., Au nom de Jésus tout genoux fléchi sur la terre, sous la terre et dans les cieux, tu es malade prie au nom de Jésus, parceque lui seul est mort a ma croix pour que nous soyons sauvé
Mimi nipo dar-es-saalum. Mimi mtanisaidiaj Mimi kuyapata hayo maji Baba yunicy ninaomb hiyo GLOBAL TV KAMA WATAFIK HUKU DAR-ES-SAALAM KAMA ITAWEZEKA WANILETEE HAYO MAJI. NINASHID N HAYO MAJI. UWEZEKAN W KUJAHUKO SINA NAULI
Hii nahisi ni tofauti sana kwahiyo kama unaimani nenda kwa kawaida sisi tunaamini Mama Bikira maria hutoa miujiza kwenye Yale maeneo ya watu wenye mioyo migumu sana huwa anajitokeza kama alivyotokea Uganda
ubaya kutuma maji utasubiri sana nilituma hela 2 month sasa ijawai fika ulaya kila wakati hakika siku fulani nikikumbushia najibiwa tu hakika siku fulani itafika miezi miwili chini