Kumekucha,! MBUNGE WA CCM KIGWANGALA AJILIPUA KUMTETEA MANGE KIMAMBI

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 10

  • @drkalokola5861
    @drkalokola5861 Месяц назад +2

    Mbona alimnyanyasa Ndugai as liyesema ukweli.

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds Месяц назад +1

    Nakuunga mkono mr Hamis shida ni hii CCM kumwona mbaya kila aenaenda kinyume nao ni wamezoea kila kitu kusifia tu

  • @HabibuSaid-up5sn
    @HabibuSaid-up5sn Месяц назад

    Atutaki matusi sio oja

  • @sskondopoleani9616
    @sskondopoleani9616 Месяц назад +1

    Inasikitisha watu na Fahamu zenu, mnashindwa kuelewa kati ya KUKOSOA na KUTUKANA, mbona Mange ameanza kusema asemayo siku nyingi tu, hao mnaowaita CHAWA mbona walikuwa KIMYA, lakini safari hii alivuka mpaka, MATUSI yalikuwa *MAZITO* jamani hebu fikirieni

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 Месяц назад

    Yuko wapi Nape Nnauye Waziri wa habari na mawasiliano, mteule wa Rais anayeshughulikia mitandao kizishindwa kuzima picha chafu na tuhuma za Mangi Kimambi mitandaoni dhidi ya Rais? Lakini Nani anayetoa taarifa hizo kwa Mangi Kimambi??? watumishu wa Ikulu wachunguzwe na wizara za mambo ya nje zichunguzwe pia wizara za habari na mawasiliano zichunguzwe. kuna vidudu mtu ndani.

  • @sskondopoleani9616
    @sskondopoleani9616 Месяц назад

    Mhhh Msemaji????? Mbona kuna mchanganyiko??

  • @user-vf9ed1lm4g
    @user-vf9ed1lm4g Месяц назад

    Mtt umlevyo ndivyoakuanyo wati magufuli anatukanwa watu wote mlikua kimya sasa leo yaneludi kwenu mnaanza kulalama

  • @xaixaiobrigado4846
    @xaixaiobrigado4846 Месяц назад

    Ni maoni mzr.
    Lkn mbona wengi mnapenda kuangalia jambo lilikoangukia KULIKOkuangalia nini kisababishi cha jambo kuanguka.
    Kama msirikali mmoja,kasema kuwa kuna wasirikali wengine(anawajuwa) wanahusika/wanafadhili kutukana,kw io mnataka kwamva attention yetu ibakie tu kwa huyo mk wa marekani, >>yaani woite wenye matusi wanapitia kwake?
    Cjui,ila marais ,nafkiri wote, washa tukanwa-wengine kwa njia ya*punch!
    Kuna hata wa kawaida pia walitukanwa tumbili!!
    Matusi kwa wa tZ inakuwa kama jadi hayachagui nani atukanwe nini

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Месяц назад

    Ccm ni ileile,mbinu yao ni kubadili ukali au wepesi wa divai au chupa yake kuwa kubwa,ama ndogo tu! Akija mpole tazama divai au chupa, Akija mpole kadhalika ila lengo la chama ni moja tu! Ukisikia matusi yamezidi jua wamemulikwa vya kutosha, sasa wanatafuta wa kumpa jina baya,watu wakae kimya wapite salama! Haiingii akilini miaka yote wawe wao tu kama Manchester enzi za Ferguson hivi hivi tu!!? Kila tamko watakalotoa linakua ndio habari,watu wanaacha wanacho kitaka kwasababu linaambatana na adhabu kali kisheria tunaufyata, wanapita!!? Mungu atusaidie sana watanzania...

  • @user-rs4vz2vt9z
    @user-rs4vz2vt9z Месяц назад

    Mfariji ni Yesu peke yake.hayo mengine uko sawa.Yesu mwenyewe alikata kuitwa mwema,chambua maandiko Mzee.