BREAKING: JAKATE MWEGELO AMTOLEA UVIVU MANGE KIMAMBI, AMCHANA LIVE
HTML-код
- Опубликовано: 14 апр 2024
- Katibu mkuu wa uvccm Taifa, Ndg. Jokate Mwegelo amewataka vijana wa umoja huo kua na mshikamano na kutokubali viongozi kudhiakiwa na kudhalilishwa na baadhi ya watu katika mitandao ya kijamii.
Ndg. Jokate mwegelo ameyasema hayo leo aprili 15, 2024 mara baada ya mapokezi katika ofisi ya umoja huo, mkoani Dodoma, tayari kuanza utendaji kama mtendaji mkuu wa jumuiya ya vijana.
Nae aliekua katibu mkuu wa umoja huo ambae kwasasa ni mkuu wa wilaya ya simanjiro Mhe. Fakii Lulandala amemtakia kheri katibu huyo mpya na kuwashukuru viongozi wa umoja wa vijana kwa kushirikiana nae vyema kipindi chote cha uongozi.Karibu Ngasa Media - Tunatoa huduma Zifuatazo
MEDIA COVERAGE
1.Goverment Events
2.Social Events
3.Documentary
4.Live Streaming
5.Zoom Meting
6.Photo & Videograph
BUSINESS ADVERTISEMENT
#Hotel
#Appartiment
#Restaurant
#Supermakert
#Hall
#Sallon
#New Business
PTINTING
1.Banner
2.Sticker & Flyers
3.Brochures
4.Business Card
5.Graphics Design
6.Logo Design
7.Tshirt Printing
Call Us
0716909567
0766909567
DODOMA
Huyo mange mngemwacha tu Yani anachosema kimya hvyo mnazidi kumpa hela
Joketi wewe ni kiongozi mahili mungu akufanyie wepesi wa kazi zako hongera sana piga kazi waumbuwe wasionahekima nabusara na muelekeo wameishiwa hao ❤🙏
Imeiva dada hongera sana nimeipenda kujiamini kwako umekuwa shujaa mpaka kuongea songea mbele dada
Nadhani si sahihi kwa viongozi wa Serikali kujibizana kwenye mitandao na Mange ili hali mna majukumu mengi ya kufanya kuondoa dhiki za wananchi. Ni vyema kugombana na mlevi? Ni sahihi kujibishana na mgonjwa wa akili?
Mtu akikutukana usipomjibu lazima atanyamaza. Atajiona mjinga.
Basi tutumie hekima ili tofauti ionekane.
Mungu tusaidie maarifa!
Woow
Mimi nadhani mange angejibiwa Kwa vitendo Sio midomomidomo Kama mange mwenyewe. 😞
Uko vizuri km vijana
Angalia usicheke nao wanafiki wako hapo dadaangu wanaopiga makofi ndio wako hapo hapo ni noma hawakufurahiii FANYA KAZI MAMA YETU SAMIA SULUHU HASANI ALIOKUTUMA HONGERA SANA DADA ... tunakuamini
Nakupenda jojo❤️
Nani aliwapa kura wezi nyie
Joket chapa kazi huyo anayenunuliwa aachana naye'Sisi tupo pamoja na samia.
Nakuamini unaweza kuleta umoja
Hapo ndio kwako wewe ni bint muelewa achana kichaa huyu anajiona katoka juu hajazsliwa nanwanamke aangaliwe kimoyomoyo sana tuwe kimyaa kwani kuwa kimya nako nijibu kuuubwa kwetu wa TZ hatuna mbamba