Watanzania hyu Mbunge luhaga Mpina naye ni Moja ya mzalendo anaewakilisha hoja vizuri,,, haijrshi ni kwa msilahi gan, lakin tumuombee,,,anatuwakilisha vyema,,❤
Cc hawapendi watu wakweli ..Ni ndio ndioo tuuuh kwasababu wao wanavuta mshahara mkubwa sana na walimu na manesi na mapolisi wetu mshahara haupandi na maisha yanapanda 😢😢
@@AllyMaya-yj3xdSikiliza na uelewe vizuri hoja ya Mpina. Mpina huko nyuma alishapendekeza mashirika ya umma yasiyo na tija yafutwe. Hapa anapinga mchakato uliyotumika kuyafuta au kuyaunganisha mashirika hayo Waziri amekiuka mamlaka aliyokasimiwa.. Kwamba Kikatiba waziri hana uwezo kisheria na kikanuni kufuta mashirika ya umma yaliyoasisiwa kwa sheria ya Bunge.
@@sylvestercameo6263 huna taarifa Mpina mwemyewe hana taarifa sasa mi nafanya kazi Wizara flan toka tangazo hilo litolewe mashirika hayajaungana ila wanasheraia wao wapo wanaandaa sheria ya kuyafuta na kuyaunganisha so hizo sheria zikikamilika zitaenda bungeni mbona kuna watu wapo dodoma wana mwezi wa pili sasa wanamalizia kazi hizo
Yaani nchi yetu,kila kitu hua wanasema kitu kiko kwenye mchakato,au majadiliano yanaendelea,uchunguzi unafanyika,lakini la msingi mwisho wa siku ni havieleweki
Maelezo ya Spika Hayana Utofauti Na Hoja Ya Mpina Lakini Chakustajabisha Wabunge Hawajataka Kuungana Nae Kwenye Hoja Yake Yaan Unaona Watu Wanaogopa Wataonekana Wapo Pamoja Na Mpina Duu Hili Ni Tatizo KweliKweli
Pamoja na kuwa hoja haijaungwa mkono, hoja hii Mh Mpina ameshinda kwani Speaker kwa kutumia kauli za mpina ametoa maelekezo kwa Waziri akiamini Mpina alikuwa sahihi na anaungana na ufafanuzi wa Waziri kuwa ni chakato ndio unafanywa sio kuwa madhirika yameishaunganishwa.
Wabunge was safari hii hawapaswi kurudi bungeni tena kuanzia spika mpakawabuge wote wa ccmabaki mapina na Kenani Na. Deo Sangu Watu wachague wabunge wengine maana hawa Wamevuruga sana bunge wako kwa ajili ya pesa wanazopokea siyo kwa ajili ya maendeleo ya nchi hii
Ipo Siku Watakuja Watu Watafahamu Kwanini Mpina Anasimamia Kile Anachokiamini Maana Mataifa Yetu Haya Watu Wengi Hawakubali Kitu Mpaka Kiuondoke Ndio Utasikia Alikuwa Shujaa Sana
Watanzania hyu Mbunge luhaga Mpina naye ni Moja ya mzalendo anaewakilisha hoja vizuri,,, haijrshi ni kwa msilahi gan, lakin tumuombee,,,anatuwakilisha vyema,,❤
Mpina yuko vizuri sana.Huyu ndio mbunge mzalendo mwenye kustahili kuvikwa taji la utukufu wa Mungu.
Mpina anaakili sana sana me namkubali sana hawa ndio wabunge tunaowataka
Mheshimiwa spika kama mbunge anahoja za msingi kama mheshimiwa Mpina mpeni mda zaidi msiwe mnakatisha watu wenye hoja za msingi.
Mmoja wawaatu Nina wakubali sana ni Luanga mpina kwasababu anajielewa sana anakenga Howard za kibabe sana
Hana strong analysis skills and poor judgements. .Kwa hiyo hoja zake hazina mashiko!
Anazo hoja nzito na zina mashiko sana tatizo mazingira yalivyo hasomi alama za nyakati
Namkubali sana huyu mbunge, sio mnafiki Wala sio chawa kabisa .
Nakukubari sana mpina ,vizuri sana
Sijawahi kuridhishwa na utendaji kazi wa Huyu speaker 🗣️ wa bunge 😢😢
Cc hawapendi watu wakweli ..Ni ndio ndioo tuuuh kwasababu wao wanavuta mshahara mkubwa sana na walimu na manesi na mapolisi wetu mshahara haupandi na maisha yanapanda 😢😢
Bunge zima ni mpina pekeake mwenye akili! Nyingi.
Majungu tu hamna kitu hapa
@@abdulrahmanally1412 hata hivyo nyie waisilamu hamnaga akili
EWE NDUGU USIWATUKANE WAISLAMU KISA UNAJIBISHANA NA MTU MMOJA, TAFADHALI SANA... @@MACHOYATAI-jk6fu
Ccm isivyopenda watu wenye akili itampiga majungu mpaka wamtoe bungeni
MPINA ANA AKILI SANA BASI TUU ANAFANYA KAZI NA WABUNGE VILAZA WAUZA BANDARI
Kwa kweli sisi wanadamu wa Tanzania Mungu atusamehe
Mpina nakufuatilia sana
Muhina mungu akupe afya njema🇹🇿📿✌💪💪💪💪💪💪💪🤳
Mpina
Rais amtumie luhaga ,,luhaga n mtu mwenye akil sana
Rais ndio aseme mashirika yafutwe watu wa hayo mashirika watu walikuwa wanakula hela bure tu😅😅
@@AllyMaya-yj3xdSikiliza na uelewe vizuri hoja ya Mpina. Mpina huko nyuma alishapendekeza mashirika ya umma yasiyo na tija yafutwe. Hapa anapinga mchakato uliyotumika kuyafuta au kuyaunganisha mashirika hayo Waziri amekiuka mamlaka aliyokasimiwa.. Kwamba Kikatiba waziri hana uwezo kisheria na kikanuni kufuta mashirika ya umma yaliyoasisiwa kwa sheria ya Bunge.
@@sylvestercameo6263 huna taarifa Mpina mwemyewe hana taarifa sasa mi nafanya kazi Wizara flan toka tangazo hilo litolewe mashirika hayajaungana ila wanasheraia wao wapo wanaandaa sheria ya kuyafuta na kuyaunganisha so hizo sheria zikikamilika zitaenda bungeni mbona kuna watu wapo dodoma wana mwezi wa pili sasa wanamalizia kazi hizo
Kwa bnadan wasivo penda kuonekana wanakosea akik mpina awez kurudi bungen mana watakata jna mapmaa tu😢😢
Luhaga anajitambua kuliko mabunge mengi humo ndani
Yaani nchi yetu,kila kitu hua wanasema kitu kiko kwenye mchakato,au majadiliano yanaendelea,uchunguzi unafanyika,lakini la msingi mwisho wa siku ni havieleweki
Maelezo ya Spika Hayana Utofauti Na Hoja Ya Mpina Lakini Chakustajabisha Wabunge Hawajataka Kuungana Nae Kwenye Hoja Yake Yaan Unaona Watu Wanaogopa Wataonekana Wapo Pamoja Na Mpina Duu Hili Ni Tatizo KweliKweli
Nafrah kuona wtu mmeanza kumuelewa mpina na ikumbukwe tuu moja ya vichwa vya magufuli ni ivi apa
Mwamba sna hyu jamaa
Safi sana mpina
Mpina ni mbunge kabambe. Tungekuwa na wabunge kama Mpina Tanzania ingesonga mbele
Mpina yupo sahihi
Tuna mawaziri waajabu sana
Sijui Hawa maprofesa walitoka wapi
Mwamba huyu don't give up the future is exciting
Sawa kabisa Mpina
Na mbunge wa jimbo langu nae anasema ndiyo OOO 😅
Ni kwa kuwa kila kitu Bunge linakubali nduo maana serikali inaamua ,maamuzi yanapelejwa Bungen, wabunge wanapiga makofi wanakanyaga twende
Mbiooo mbiooo ndo nini semeni ukwel ndio au hapana
Wasema ukweli nchi hii huwa hawatakiwi, ngoja uone atakavyopingwa
Yaan wengne wanasubili chao tu hawana shida kabisa
Mpina eye wengine viaz
Tulia huwa anamzuia mtu anae ongea ukweli siku zote
MPINA MMOJA SAWA NA WABNGE KUMI WA CCM
Huyo kichwa sanaaaa unaposema ukweli huwa hupendwi tunaombak watu wasiojulikana wasimpe simu wala
Mpina❤❤
Mpina❤
Mpina ni mbunge mwenye akili iliyo hai,anajua kwanini yuko bungeni,namkubali sana
HILI NDIO bunge letu ,wawakilishi wetu wa nchi
Bora ampe cheo huyu akafanye kazi haongeagi mambo ya hovyo Kama nzega vijijini, mpina anaongea mambo magumu
SPIKA MWENYEWE YUPO UPANDE WA SELIKALI YAANI HAKUNA SPIKA😊😊😊😊😊
Spika ni mzuri sana ongea mengine
Speaker yupo vizuri sana ,,,Mfatilie utajua
Tulia Banana... Dah!!!!
Bunge la kinafki sanaa😅😅
Hebu 2025 ifike haraka tuna bunge la hovyo sana.
Pamoja na kuwa hoja haijaungwa mkono, hoja hii Mh Mpina ameshinda kwani Speaker kwa kutumia kauli za mpina ametoa maelekezo kwa Waziri akiamini Mpina alikuwa sahihi na anaungana na ufafanuzi wa Waziri kuwa ni chakato ndio unafanywa sio kuwa madhirika yameishaunganishwa.
Mpina yupo sahihi shida ya baadhi ya wabunge wa ccm hawana uwezo wa kujenga hoja kazi yao ndio hata kama kifungu hakina afya kwa taifa
Hapa watanzania tunaweza kuwa tumempata mkombozi wa Tanzania mh mpina anakoenda ataokoa wanyonge
Hari hii kama ni hivyo mm
Wabunge was safari hii hawapaswi kurudi bungeni tena kuanzia spika mpakawabuge wote wa ccmabaki mapina na Kenani Na. Deo Sangu Watu wachague wabunge wengine maana hawa Wamevuruga sana bunge wako kwa ajili ya pesa wanazopokea siyo kwa ajili ya maendeleo ya nchi hii
Anapinga mchakato wa ufutaji
Ipo Siku Watakuja Watu Watafahamu Kwanini Mpina Anasimamia Kile Anachokiamini Maana Mataifa Yetu Haya Watu Wengi Hawakubali Kitu Mpaka Kiuondoke Ndio Utasikia Alikuwa Shujaa Sana
mpina mbunge wa tanzania
Mpina asikilizwe!
Hili jinamizi la nchi porojo
Huwanataman bunge lisiwepo kwani micanho yawabunge Makin huwa haufanyiwi Kaz yanayo fanyika nimaamuz yao matokeo kilasiku habli nizile zile malalamiko niyale Yale
Mpina ni shujaa na msema kweli anaishi anayoamini ni sawa kwa watanzania muacheni aseme ukweli
Hawa wabunge washenzi sana
Rais ajaye
Hivi bungeni huwa wanajadil nn hasa maana mtu anaongea point mnamkatisha hii ni nini MPINA CHAPA KAZI WEWE NI RAIS WA NCHI HII
Yaani ninapo ona mtu anaipigia debe ccm na muona kama chizi
Wajinga wengi hapo wote ndiyooooooo
jembe pekeee ni zaidi wapinzani
Bunge la kijinga sana utazani matoto ya chekechea an
Huyu mpina itakuwa ngumu sana kurudi bungeni😂😂
Mpina wakimzingua aende upinzani tu
Mpina ni jembe
Mpina sisi tunakukubali sana bunge letukamamaigizo mpina hakika we nimbunge unayejielewa sio ndiooooooooo😂😅😅😅😅
Wabunge wapo kwenye jengo bunge kula miayo na ndyooooo tu Mh Mpina yupo bungeni Kwa ajili ya kuwakilisha wananchi tu