Bright - Ungesubiri (Official Music Video)
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- #ungesubiri #bright
Directed by 🎥 : @jayshoot
Produced by : @moccogenius
CatchUp Bright On ;
Instagram : / brightmusictz
Tiktok : / brighttanzania
Facebook : / brightmusictz
#bright #ungesubiri
🎤🎧🤝 fantastic # good song kak,kak ongeza juhudi kaka mziki sahz umekuwa unahitaji skills nyingi watu wanapenda video kali
Da HUU wimbo mzuri sana unafundisha sana kama umeuelewa huu wimbo na utamvumilia mwezi wako,nipe like
😢😢😢karika nyimbo zote za Bright huu ninoma sana anastahili pongezi
Mapenz ni ulemavu wa vijana weng sanaa.... Ila inshallah tutalishinda ilo giza na kuuona mwanga
Haukoseyagi mwanga naishi kweny nyayo zako💪💪
Hatari brooo
Ok sawa sawa mkulima wa mpunga ujawahi kuniangushaaaa apa ume kaa penyeweeeed lets gooo..
Oyaa mistari yenye akili,,, sio kweli👐
Kaka ngoma Kali sana
Umesahau penzi langu
Nimechelewa but naomba likes from +254
🔥
🔥
🔥
🔥
🔥
Daah haya maisha wadada tuvumilieni jamani hatupendi maisha magumu
Isingekuwa ukomavu wa akili usingeigusa jamii, bro barikiwa sana.
we are living in the world where people don't accept the truth but lies ati ngoma kali lazima iwe madem warembo lavish life wapi likes za bright maze
Brit unajua sana broo mungu akupiganie so inspired vijana wapambnaj
Wasiposizikiliza hizi ngoma zako saiv watakuja tu baadae wakae kwa kutulia wakusikilize.
Such a big n pure talent.
Wakati wa Mungu utakufikia tu kaka.
Tuendelee kupambania💪🏽
Shukrani
Bright kipaji kipo kabisa ila sema kila kitu na muda wake
🙌🙌🙌
Mwandishi: Una neno la kusema juu ya hii ngoma!!?
Nay Wa Mitego: DADADEKI 🙌🏹🎯
🔥🔥🔥sna singidani boy
Nimependa iyi nyimbo san nzuri san
unanigusa sana kama amenitungia mm duuuuh
Hataliiii bright hii ngoma Kali sana kaka🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Bright anafaa apige bonge la show Nairobi...
Unajua sana sijui kwanini huvumi my brother.😭😭😭nothing without god
Msanii wangu pendwa🎉😊
Smart music 🎶🎶🎶🎶 voice ka ya de baraka de prince🎉🎉🎉🎉🎉
Mziki mzuri kweli 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nani Tena Huyu ,Aaaaah kumbe Familia 👑👑
"Hata mama yangu eti nimchonganishi hakulishi hakuvishi, we mama vipi ndo adabu gani?" Uandishi mzuriii🙌🙌
Thanks for the support
safi sana 😂
Braza cheza umuumu naona utarudi kwenye chati nikuongeza ujuzi tu🔥🔥🔥
Kazi Kali sana kaka nakubali sana Bright 🔥🔥🔥🔥🔥
Kma unasikiliza uku unahuzunika na kusoma comment like hapa
dah ulipotea kichaa wangu
mwimbo huu unafundisha sana
I agree with this one nah ,he dey make me enjoy I say from Kenya ...✨✨✨
Kazi kazi
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 bonge LA ngoma Bright✊✊
Unajua sana kaka mungu akushike
Ngoma kari ipo vzuri 🔥🔥🔥🔥
Safi budaa oiiii...nimeachia ngoma yangu na mimi naomba saport yenu aisee
usiwe kimy sana broooo
Pokot tribe, Napenda
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥utamu usiokwisha 🔥🔥🔥🔥
Kazi nzuri
Wimbo nzuri sana.
🇿🇲 Zambia tukusikiliza .
Asante sana
Dogo ukopoa utafika mbali omba ufanye nyimbo na diamond utakua umetoboa
Bonge la ngoma
Nakubali mwamba ❤ yanachangamoto
Kali sana
Sawa kijana
🔥🔥🔥🔥 Ngoma Kali sana
Ngoma nzur unajua aisee🔥🔥🔥🔥
Video kaliii🔥🔥🔥
Noma sanaaa
Ifakara boy
Uyu dada kajinyonga kweli au?? 😭 all in all ngoma kali 🔥🔥🔥🔥🔥
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Unaropoka hushikiki, yani ngumi na mikiki💔🎶
The C.EO himself ❤bwana wee hii kali kuliko let’s enjoy good music from star kid ❤❤
❤🙏boss
Hii kazi ya moto sana
Amizing come back 💥💥✌🏿✌🏿
Duuuh kali kinyama
naipenda mno 🥵🥵🥵🥵💎💎
Nimeipenda sana
Kaka kazi nzuli sana❤
Nice so much bro good song
Kama unakubali talent ya starkid like hapa📌💥💥💥
BRIGHT GOOD MUSIC BRO 👏👏👏👏
Wimbo mkubwaa
Kali hii
namuona Manavu anakimbiwa
Fund wa music 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Tumekumiss saana mwana
Huju jamaa ana rise mda simrefu......"* Big up
Nomaaaaaaaa
Mwaka 2024 nikiwa naiona ngoma yangu pendwa ikinipa moyo niendelee kupambana 😊😊
Dogo unaweza sana
Nakukubali sana ❤❤
Unyama sana mzee
Asante
umetisha kaka
Kofiaaaa uvuiii tuuuu 😳😳😳 ilaa kaziii zuriii kaka.
Team bright tujuane hapa
ungengoja kwanza sasa😭😭😭
Jaman nimechelewa kidogo lakini naomba likes from 🇳🇱
Good vybz
Kaliiii
Bright nakukubali sana charlie yangu mungu akusimamie make muzik wa bongo noma sana, ongera kwa wimbo mzur
Fundiiiii
Huyuu mwamba anakibaj chaa kipekee aisee japo bado ilaa Kuna sk yake2 kwa tunao muombea afikee mbal tujuane kwa like
Hakika ukoo mzima nayegemewa mie ndo baba mie ndo mama ~BASHITE~
wimbo mzuri sana . video NOT CLEAR
This Guy is another thing, Zidi kukazania, kunao tunaokuamini
Big up bro
Sio poaaa
Nimependa sana ujumbe
Nice song
Nice sound
Nice vocal
Nice video
Nice one broo
Dah nakuja huko hii machine nyingine Kaka bright
Kalii