Bright - Bila Mungu Sitoboi (Official Music video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024

Комментарии • 452

  • @albertbyendatv7436
    @albertbyendatv7436 Год назад +19

    Vita nikali, mishale yote imenyoshwa kwangu.
    Wangapi wamesikia hio point.
    Gonga like hapa

  • @BrysonMsonga-ts8el
    @BrysonMsonga-ts8el Год назад +2

    Melody mashairi Head voice chest voice zote ziko poa aseeee huyu kijana anadeserve kufika mbali sanaaaaaaa

  • @Miunokunoga
    @Miunokunoga Год назад +5

    Keep your mind set💪💪💪 umeimba uhalisia tuuu.. BILA MUNGU SITOBOI HATA MIMI..#manyoyamusic

  • @charlesjacksonbusanda2568
    @charlesjacksonbusanda2568 Год назад +6

    Aliyeangalia zaidi ya mara mbili kama mimi naomba like yake
    Ni bonge la song 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @yahyaharun8334
    @yahyaharun8334 Год назад +1

    Mafanikia hayaji ila ncha ya upanga,mungu ndokila kituh waache waseme tuh watupandishe cheo wasizo ziona

  • @Gmavoicetz
    @Gmavoicetz Год назад +2

    Nakubal Sana mkal Bright 💪🔥🔥👊

  • @shaushaibu9792
    @shaushaibu9792 Год назад +9

    Wimbo mzuri sana wewe ni msanii wangu toka kitambo sana nimemuona wimbo wangu pendwa

  • @ebengapierre8826
    @ebengapierre8826 5 месяцев назад +1

    hizi ndongoma ambazo unasikia mpaka unahona inakugusa wewe kumbe siowewe uliye himba kumbe ni kweli ongera ❤❤❤❤❤ ndio bila mungu uwezi Fanya lolote mungu akuzidishie ili ufanye vyema 🇨🇩🇨🇩

  • @ianshigali
    @ianshigali Год назад +19

    Bright mi nishabiki wako kuanzia enzi za Aibu' kazi nzuri bro💪 mob love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @saibabatz_
    @saibabatz_ Год назад +2

    Marioo ndo alikupoteza na sio mwingine

  • @edenbettnasibuziege
    @edenbettnasibuziege Год назад +1

    Mwana aje aje nimeipenda mdundo ujumbe Kila kiTu kipo shwareee nimeipenda

  • @dasproz50
    @dasproz50 Год назад +2

    Naomba tufanye wimbo ndugu yangu ni mimi Dasproz klok from Sweden.

  • @BrysonMsonga-ts8el
    @BrysonMsonga-ts8el Год назад +1

    Kwann nyimbo kama hizi huwa hazifikishi views million alafu ni nyimbo kubwa sanaaaaa

  • @chudjawewa2645
    @chudjawewa2645 Год назад +6

    Najiandaa kwa mapokezi maana ninauwakika aujawah kukosea ww mtu lete ngoma iyo mdogo wangu mafans wako tupo tunaisubiri kwa shaukkkkkk❤

    • @bright_tz
      @bright_tz  Год назад +2

      Ameen kaka asante

    • @moshatheprince4714
      @moshatheprince4714 Год назад

      God is everything 🎉 chukua maua yako

    • @chudjawewa2645
      @chudjawewa2645 Год назад +1

      ​​​@@bright_tzlisubiri kwa hamu kubwa sana hii ngoma na nilijua tu ya kwamba autotuangusha mafans wako na ni kweli umetimiza jukumu lako na sasa ni wa kupokea maua yako 🎉🎉🎉

  • @johnsebastian9552
    @johnsebastian9552 Год назад +38

    Habari jamani. Yesu KRISTO anakupenda wewe unayesoma huu ujumbe, mpoke Yesu leo. Sema hii sala.
    Yesu nakuamini kuwa Wewe ni Bwana na mwokozi wa maisha yangu, naamini ulikuja duniani ukafa siku ya tatu ukafufuka, nisamehe dhambi zangu zote, namkataa shetani nakupokea Wewe Bwana Yesu katika maisha yangu, nifanye upya.. Amen

  • @lavatone319
    @lavatone319 Год назад +1

    Sikupingi ndg mungu ndo jibu hakika bila mungu ,,,,,,,,

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Год назад +1

    Utatoboa tu boy,jiamini tu hakuna asiye na mungu ila kutoboa ni juhudi tia bidii kama hivyo yani..

  • @henrybovick93
    @henrybovick93 Год назад +7

    Massage nzuri sana big up bro bila Mungu sitoboi.

  • @kismatideboy
    @kismatideboy Год назад +2

    Ukweli kabisa kaka bila Mungu ni noma,adui hana alama 🙏

  • @shouayzieomar534
    @shouayzieomar534 Год назад +11

    Mungu mbele sisi nyuma, Yeye ndie kiongozi wetu🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @dokasimwamlima3550
    @dokasimwamlima3550 Год назад +3

    Umefunika kweli kweli bila mungu hauwezi toboa kwel nice jumbe💪💪💪💪💪👈👈

  • @shabs221
    @shabs221 Год назад +2

    Naikubali hii ngoma. Message iko on point.

  • @sknapoleonshoo3145
    @sknapoleonshoo3145 Год назад +2

    Kiu halisia huwezi kutoboa bila Mwenyenzi Mungu.

  • @LehanaBanda-uf5wh
    @LehanaBanda-uf5wh Год назад +2

    Fanya hata ngoma 3 zaidi ya hapo amini utafika mbali.

  • @BostondawaKhan-jb3uy
    @BostondawaKhan-jb3uy Год назад +1

    Naipenda sana kbs, bila mungu atutoboi sote

  • @ShabikiWaYanga
    @ShabikiWaYanga 8 месяцев назад +3

    2024 bila Mungu sitoboi may God be my side

  • @kennedyvirtuoso9248
    @kennedyvirtuoso9248 Год назад +4

    Msanii wangu WA siku zote...

  • @alexkapange663
    @alexkapange663 Год назад +1

    Uko vizur endelea kukaza Una kipaji cha Hari ya juu

  • @mwizaluchiba6264
    @mwizaluchiba6264 Год назад +4

    Mungu abariki Muziki wako shem🙏🏻

    • @bright_tz
      @bright_tz  Год назад

      Ameen shem🙏🙏🙏😍

  • @kingswadata
    @kingswadata Год назад +2

    Kaka wew ni fire naomba tufanye ngoma pamoja

  • @t9tz264
    @t9tz264 Год назад +2

    Safii mzee #bright Kongole kwa #Tawa..naona Mziki mzur unaendelea sasa

  • @NGULYATI
    @NGULYATI Год назад +8

    Awike awike jogoo atupe taarifa 🔥🔥

  • @kadito-o3j
    @kadito-o3j Год назад +3

    You deserve more flowers from me 🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🫂

  • @simbampole4851
    @simbampole4851 Год назад +13

    Naupwilu nao huu wimbo daaah mungu ibariki kazi ya Miko yeke 🙏🙏🌹

  • @dizzohdankah2470
    @dizzohdankah2470 Год назад +1

    Akiamungu nayo hii nimekubali Dizzoh Gospel kenya

  • @madders254
    @madders254 Год назад +3

    🔥🔥🔥true bila mungu sitoboi

  • @saidmungi1787
    @saidmungi1787 Год назад +1

    Hivyo hivyo mdogo wangu mkubwa mungu

  • @DrNick-hg6il
    @DrNick-hg6il Год назад +2

    Hii ndiyo midundo sasa🔥🔥🔥🔥🔥

  • @chabahaya7823
    @chabahaya7823 Год назад +1

    👏👏toka nkuone ukiwa unashut leo ndio umeitoa duu

  • @legawayz6093
    @legawayz6093 Год назад +1

    Saf saf bila Mungu hakuna kitu at,👏👏👏

  • @victorcephas3618
    @victorcephas3618 Год назад +2

    Angepita Kontawa humu ilikuwa balaa zito

  • @amosratemo7958
    @amosratemo7958 Год назад +1

    Ukweli mtupu...bila mungu hakuna kutoboa

  • @ttttt300
    @ttttt300 Год назад +2

    Unyama mwingi yaani from USA hapa

  • @israelbhai1340
    @israelbhai1340 Год назад +4

    Ni zaidi ya wimbo...God bless your hustles

  • @Vonkstar_KE
    @Vonkstar_KE Год назад +6

    Mungu atafungua njia 🙏

  • @danielowino3162
    @danielowino3162 Год назад +3

    I have known you because of this songs 🔥

  • @marioarlindo5074
    @marioarlindo5074 Год назад +2

    Poa sana 🔥🔥🔥🔥🇲🇿🇲🇿🙏💪

  • @Majestino
    @Majestino Год назад +1

    Kontawa ana igwa na rosa rée, afu brihgt anafata

  • @Zabronmasupplements
    @Zabronmasupplements Год назад +1

    Anza na Mungu maliza na Mungu
    Here we go

  • @LukangujimussaLukanguji-qh8wt
    @LukangujimussaLukanguji-qh8wt Год назад +1

    Kaza sana dogo nahisi marioo ndo kaichukua nyota yako

  • @Youngcjayotix
    @Youngcjayotix Год назад +1

    Nikiwa na mungu nitafanya collabo na bright tz

  • @celiony257
    @celiony257 9 месяцев назад +1

    Hii ndo ya kwanza kwangu nikiwa na uzuni nayi play ❤❤❤
    Love from Celio kutoka 🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @farajakayuki
    @farajakayuki Год назад +1

    Oooh bila Mungu sitoboi😢

  • @Fananisha_house_upvc
    @Fananisha_house_upvc Год назад +1

    𝐁𝐢𝐥𝐚 𝐦𝐮𝐧𝐠𝐮 𝐬𝐢𝐭𝐨𝐛𝐨𝐢🙏 𝐢𝐦𝐞𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐡𝐢𝐨𝐨

  • @luckychugu5416
    @luckychugu5416 Год назад +3

    ile quality yako sasa💣💥

  • @hafidhikasimu7436
    @hafidhikasimu7436 Год назад +1

    Huyu mwamba leo ndo nimeanza kumwelewa yess Big song for now

  • @patrickmp8879
    @patrickmp8879 Год назад +1

    Bila Mungu sitoboi it s nice song 😍😍

  • @leahdeogratius2069
    @leahdeogratius2069 Год назад +5

    Nilisubiri kwa hamu!! I love your Music

  • @MuuhSalehe-wm6pc
    @MuuhSalehe-wm6pc Год назад +1

    Oya wanangu tumsapoti uyujamaa ngomakali sana

  • @enockfrancis211
    @enockfrancis211 Год назад +1

    Amen broo umetishaa sana MUNGU ndo mfanikishaji

  • @Best_tz
    @Best_tz Год назад +2

    Daah Kama Picha La Ki russ unyama tu mwaka huu

  • @DeborahMbise-zg5hr
    @DeborahMbise-zg5hr Год назад +1

    Nakukubal kaka hujawah niangusha,gud song 4 real touchable one.

  • @mandosylverclassic8931
    @mandosylverclassic8931 Год назад +1

    Broo umeweza sana hapa song yenye hope na mvuto kaka nakubali hapa

  • @gastonpeter8885
    @gastonpeter8885 Год назад +11

    NI MUNGU KWANZA KWA KILA KITU TUKIFANYACHO 🔥🔥

  • @pedebway
    @pedebway Год назад +1

    Kazi nzur mdg wng naiman inakuja kujenga katka nchi yetu kwetu wote

  • @nancolower_8032
    @nancolower_8032 Год назад +48

    Mbona unachelewa huu wimbo kk😥

    • @saiko_solus_deus
      @saiko_solus_deus Год назад

      💯🔫

    • @chilomonidomtown3472
      @chilomonidomtown3472 Год назад +1

      Sikiliza vizur shabiki utaelewa iviiivi uwelew

    • @donalfa1850
      @donalfa1850 Год назад +2

      Nimeona comment yako kwa marioo
      Hili goma mbona linaenda mzee🚨🚨🚨💪

    • @nancolower_8032
      @nancolower_8032 Год назад +1

      @@donalfa1850 comment ilikua wakat tunasubir wimbo

    • @donalfa1850
      @donalfa1850 Год назад +1

      @@nancolower_8032 gatchu

  • @mbezzoprince9462
    @mbezzoprince9462 Год назад +1

    Mkali wangu kaza buti unaweza sana

  • @didasmashwilili
    @didasmashwilili Год назад +1

    Kazi nzuri sanaa kumbe bongo flavor bila mapiano inawezekana 🎉🎉🔥🔥🔥

  • @DontvRwanda
    @DontvRwanda Год назад +3

    Wow this sod cut deep God bless your work 🙏🙏🙏

  • @hamisishaame1458
    @hamisishaame1458 Год назад +2

    Brother you are next king of bongo flavour and i belief on you

  • @UdakuKingdom
    @UdakuKingdom Год назад +2

    Umetisha sana tafuta promo njoo dm ista utoboke tupite tiktok istagram ngoma ipenye 💥💥💥💥🙌

  • @frankngawina1720
    @frankngawina1720 Год назад +2

    Hongera Ngoma kaliii.....!

  • @BongoMani-wv1ii
    @BongoMani-wv1ii Год назад +2

    Pongezi sana kazi nzuri

  • @hajjiboyclassic
    @hajjiboyclassic Год назад +5

    Bila Mungu sitoboi..❤❤ good sound Nipo 🇰🇪

  • @elvismbogo9755
    @elvismbogo9755 Год назад +2

    Tunao mkubali brigth

  • @mkaisa6104
    @mkaisa6104 Год назад +1

    Unaguza nafsi yangu wimbo huu 🔥

  • @rajabdallah9341
    @rajabdallah9341 Год назад +1

    Bonge la star 🌟 🌟🌟🌟🌟 hakika unajua kaka

  • @tobiasamkeyia6465
    @tobiasamkeyia6465 Год назад +3

    Wow bg up kaka kaza🔥

  • @fredrickkakui4391
    @fredrickkakui4391 Год назад +2

    Wow 🔥 📛 👩‍🚒 🚒 🧯 🎆 🔥 from kenya 🇰🇪 with love

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 Год назад +2

    ❤❤❤❤huu Wimborne mtamuuu❤

  • @sizaadolph2287
    @sizaadolph2287 Год назад +1

    Starkid karud vyema pg kelele kwa kugonga like

  • @gentlemenempire9350
    @gentlemenempire9350 Год назад +1

    Bila MUNGU hata Sisi hatupo.......wapi like ya Bright ❤❤❤❤❤

  • @kissflavour-bp8lr
    @kissflavour-bp8lr Год назад +1

    Oya kaka umetisha, iddy mrangi hapa temboni

  • @brianomondi1018
    @brianomondi1018 Год назад +3

    Kazi Safi bro, bila mungu hauwezi ukatoboa🙏🏽🙏🏽🙏🏽🔥🔥🔥

  • @remyboyvcb
    @remyboyvcb Год назад +4

    Nikweli bila MUNGU HUWEZI KUTOBOWA kaka yangu, ila usiache mlango open ukitumainia MUNGU ndiye atufunga, bro wangu jiongeze
    NB:NATAMANI SIKU MOJA NA WW UTOBOWE, MACVOICE NA IBRAH WAMAKONDE NI WATOTO WADOGO SANA KWAKO(GAME 🎶🎶)
    🙏🙏 FANYA KWELI BRO WANGU
    AND GOD BE WITH YOU 🙏🙏❤️

  • @mrchuwamoviescenter5762
    @mrchuwamoviescenter5762 Год назад +1

    Huyo kijana wa kigoma humo ndani kauwa sanah😂

  • @nadhifumohamedi-vp7rt
    @nadhifumohamedi-vp7rt Год назад +1

    Bira mungu sitoboi sanaaaa 🙏

  • @CPRJ_ekaboy
    @CPRJ_ekaboy Год назад +1

    Kakaangu usinjali mungu yupo , nahakika utatobowa

  • @adammodesto6626
    @adammodesto6626 Год назад +1

    We jamaa unajua San ngoma kali

  • @khalidibero
    @khalidibero Год назад +1

    Kuna baadhi ya ngoma zilizotoka hivi karibuni kama hii na Rosa Lee ni kali sana ila pongezi nampa KONTAWA na sina sababu ya kufanya hivyo.

  • @TheMeshYZee
    @TheMeshYZee Год назад +5

    Mwamba amerudi🔥

  • @King-Buda
    @King-Buda Год назад +1

    Namuona KONTAWA kwa Mbali

  • @emmanottytz
    @emmanottytz Год назад +5

    BILA MUNGU SITOBOI ASEE

  • @stanleymshihiri3605
    @stanleymshihiri3605 Год назад +1

    Hii ngoma Kali sana nakupa maua yako

  • @joozeycraft2361
    @joozeycraft2361 Год назад +1

    Fanya kolabo na kontawa,mwaendana

  • @lelomellowtz
    @lelomellowtz 7 месяцев назад +2

    Unapambana sana my brother, Hujui tu ni kwa kiasi gani hii ngoma itaacha alama kubwa sana kwenye jamii juu ya mziki wako.
    Usichoke, keep up with the hustle, una uandishi mzuri, na hata kwa mziki kama huu Mungu anakubariki...YOU ARE SUPER TALENTED.
    THIS SONG IS TOO GENERATIONAL, YAN MPAKA WAJUKUU ZAKO WATAKUJAGA KUSIKILIZA HII NYIMBO. HONGERA.
    I AM YOUR NO..ONE FAN.

  • @iringafunditv
    @iringafunditv Год назад +1

    Bila mungu sitoboi🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @bwastybwoyz8574
    @bwastybwoyz8574 Год назад +2

    Mimi pia bila mungu sitoboi

  • @afriwayfilms
    @afriwayfilms Год назад +32

    This song deserves to be translated to a million languages. 🔥🔥🔥

  • @devibantostarbigboytz3182
    @devibantostarbigboytz3182 Год назад +2

    Kazi safi kaka ❤