Bright - Ungaunga Mwana (Official Music Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • #Bright #UngaungaMwana
    audio prod by Mazuurec
    video dir by Kilonzo

Комментарии • 558

  • @charlzbaba4421
    @charlzbaba4421 6 лет назад +3

    Nomaaa kama unakubal like hapaa twende pamoja

  • @budaboss8109
    @budaboss8109 Год назад +5

    Huu wimbo sijawah kuuchoka big up bright

  • @abdallahshabani8563
    @abdallahshabani8563 5 лет назад +3

    Hakika upo vizury sana jita dogo utafikia malengo

  • @willytonetz
    @willytonetz 5 месяцев назад +6

    tunao angakia 2024 like hapa

  • @sakinaomar301
    @sakinaomar301 6 лет назад +6

    Wale wakuungaunga wenzangu like hapa tujuwane Bright umetisha mzee baba....

  • @rajabusalum4334
    @rajabusalum4334 3 года назад +3

    Kama unamkubali bright gonga like

  • @emedimejos6244
    @emedimejos6244 3 года назад +2

    Endelea bro yangu juudi yako ndo itakufikisha pale upendapo 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️

  • @kevinwanjala534
    @kevinwanjala534 6 лет назад +2

    Bright nmekubali toka Kenya humu mwanangu

  • @emmaprezzo5092
    @emmaprezzo5092 6 лет назад +5

    kama unaamin jamaa kazngua kwenye muonekano Wa mavaz ukicompea na nyimbo gonga like twende sawa

  • @daudimagumba5838
    @daudimagumba5838 3 года назад +2

    Weweeeeeeh dar hiyo misitaaari kaka umeuaa

  • @eliajohnson4971
    @eliajohnson4971 6 лет назад +4

    Noumaaaaa sana like zanguvu kama unaikubali ngoma hii bright kazi nzuri bro

  • @shabanisakalani7802
    @shabanisakalani7802 6 лет назад +6

    Oya mzee baba goma zako mwangu una jua kuimba sana tena san

  • @petermahimbo9450
    @petermahimbo9450 5 лет назад +3

    Unajuwa kutunga sana ..Big up.

  • @emedimejos6244
    @emedimejos6244 3 года назад +1

    Bro juwa mimi nakukubalisana bright

  • @fatumasaid4370
    @fatumasaid4370 6 лет назад +4

    Tuuunge unge jamn afike panapo staili like hapo kama unamkubali bright

  • @Director2nyifx
    @Director2nyifx 6 лет назад +3

    umetishaaa sana , kama una mkubali Bright Music Gonga like hapa fasta

  • @kassimungemba5830
    @kassimungemba5830 3 года назад +4

    You can't imagine nilivyotafuta jina la huu wimbo you tube.
    Wimbo mzuri sana. Keep the good work dogo. I will keep this in my playlist.

  • @adrianokirombo2722
    @adrianokirombo2722 6 лет назад +3

    Haujawahi kukosea hongera kwa kutuletea kazi nyingne tena nzuri zaiid

  • @ramseyrmsy3366
    @ramseyrmsy3366 5 лет назад +5

    Ipo siku mdogo angu utakua juu zaid

  • @MTALIITV
    @MTALIITV 6 лет назад +6

    yani huu dogo ninachompendea ni hajawai kosea.....kila anachofanya nikikalii🔥

  • @richardkimanga7099
    @richardkimanga7099 5 лет назад +2

    Mkali man ujumbe tosha

  • @fidelisworshiper8966
    @fidelisworshiper8966 5 лет назад +1

    gud kaz nzur cjui nan anayebana mwanangu bright

  • @kimsblessedprince6228
    @kimsblessedprince6228 6 лет назад +14

    Kama umerudia hii nyimbo tena kwa tena gonga like

  • @violetmbate276
    @violetmbate276 5 лет назад

    Swadakta beby Rajab Mtezi love it men.kumbuka manyaronyaro shuleni na Mwangeta vuja changa msela minato ya vumbu

  • @jndaki8273
    @jndaki8273 6 лет назад +1

    Of coz star kid unajitaid mzee ngoma qaliiii

  • @josephatpatrick8304
    @josephatpatrick8304 6 лет назад +4

    kama ridhik ctoi mm tutapat tukiamn tupendena kama pacha tukiamin;duuuh i love thiz verse,be blessed Mr bright big up###

  • @mrckf4342
    @mrckf4342 5 лет назад +7

    ngoma kali sana,, kama umeikubali fanya kugonga like

  • @emmanuelmasunga2716
    @emmanuelmasunga2716 6 лет назад +109

    Daaaah, braza unaandika sio siri.. Nyimbo nmeielewa knoma. Kama umeikubali nawewe gonga like👍👍👍

  • @kasongoMARCEL-n6t
    @kasongoMARCEL-n6t Месяц назад +1

    courage vraiment !!!

  • @jaguarpaw4698
    @jaguarpaw4698 5 лет назад +1

    Dogo namkubali sana bright@

  • @rebeccjackson1520
    @rebeccjackson1520 4 года назад +1

    Nakunpenda buree uko vzr Sanaa

  • @veshbamdogo4896
    @veshbamdogo4896 5 лет назад +2

    Bright Tv nakuheshimu sana respect

  • @kasimilihanselmu5245
    @kasimilihanselmu5245 6 лет назад +5

    Ngoma Qaleeee kichuba cha🔥🔥🔥Sana like twende sauwaa

  • @mvp1415
    @mvp1415 6 лет назад +3

    IVI mliambizana au mda mmoja new video kama nne safi sana
    nyimbo kali sana
    gonga like basi mana sina dola tu nina chenchi

  • @kifarusongeaolg9726
    @kifarusongeaolg9726 6 лет назад +138

    💪💪💪💪💪wale wakupenda mziki mzuri tulike hapa tuzidi Ku ungaunga mwana 👍👍👍

  • @Lituli_jr.
    @Lituli_jr. 6 лет назад +4

    Kama umegundua anaendana na king musics legal gonga like hapa

  • @wambiliwamachalili7325
    @wambiliwamachalili7325 6 лет назад +1

    Big up unaweza Dogo kaza buti

  • @officialdanlyraz9986
    @officialdanlyraz9986 5 лет назад +8

    napenda sauti yako sana come on bro wee n next big thing

  • @johnyohana745
    @johnyohana745 2 года назад

    Imekaa poa sanaa hii ngoma dogo hongera sanaa kwa ubunifu ulio utumia

  • @edibiligasper1873
    @edibiligasper1873 6 лет назад +24

    Bright wewe ni mkali daima best story vocal melody Jah bless

  • @peterpottertv2894
    @peterpottertv2894 6 лет назад +2

    We noma hukoseagi mzee baba

  • @mzasili
    @mzasili 6 лет назад

    Kali br. acha katambee.naikubali... ungaunga mpaka kieleweke

  • @jacquilinekaranja147
    @jacquilinekaranja147 4 года назад

    bright nakukubali..huu wimbo nmeuskiza mchana mzima na usiku pia sitosheki

  • @rahmakhamis111
    @rahmakhamis111 6 лет назад +4

    niwachache wenye roho za korosho wanadslike nyimbo zawasaniii😎

  • @didahmriri3528
    @didahmriri3528 3 года назад

    Dah uko vizur nmependa San wimbo wallah sichok kusikiliza

  • @fatmamajuu5255
    @fatmamajuu5255 5 лет назад +2

    yangu ya kidole sipigi picha nakusoma sana dogo

  • @Magani81
    @Magani81 6 лет назад +35

    Wote wanaomkubal bright km me..... .. Gonga like hapa twende Sawa

  • @Don_abujay
    @Don_abujay 6 лет назад

    Chizi wangu umetisha saana mwanangu.. Ila umenisusa kinouma

  • @charlespascal6221
    @charlespascal6221 5 лет назад +1

    Nakuku bar san

  • @shabanabdallah7320
    @shabanabdallah7320 5 лет назад +3

    unajua mpaka unakela bright love you

  • @rodgerssafari4832
    @rodgerssafari4832 6 лет назад +8

    Bro nakukubali na kukutambua sana all the way from Kenya 🇰🇪 keep it up brother

  • @rehemapeter2734
    @rehemapeter2734 6 лет назад +4

    Ungaunga hapa like kama zote wandugu
    Hii nyimbo ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @nicksonjuma5079
    @nicksonjuma5079 6 лет назад +7

    hey bright you r now become a brighter of TZ..big up broh..twende nalo hadi kieleweke..

  • @alexanderndonde6097
    @alexanderndonde6097 5 лет назад +1

    Bright
    kazi nzuri

  • @lizobrown1724
    @lizobrown1724 6 лет назад +7

    Kama unamkubali bright weka like twende

  • @barakayusto1904
    @barakayusto1904 5 лет назад +1

    Naikubali sna ngoma yko

  • @frorahcharles701
    @frorahcharles701 5 лет назад +1

    Kwa ss maisha ya chini bonge la song

  • @stivinshedrack7841
    @stivinshedrack7841 6 лет назад +3

    Bonge la dude, #officiall_bright we n noma ati

  • @yohanamwashiozya1765
    @yohanamwashiozya1765 5 лет назад +4

    kama unamkubar nipe like jaman

  • @sylvestermatinde7527
    @sylvestermatinde7527 5 лет назад +1

    Imeniingia sana goma LA maana

  • @joshuamgendi3483
    @joshuamgendi3483 5 лет назад

    safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiijiiiiiiiiii bright nimekubareeeeee

  • @amosmwanga4027
    @amosmwanga4027 2 года назад

    Siamini kama kweli huu wimbo hata viewers milioni moja hauna

  • @officialbroja3536
    @officialbroja3536 5 лет назад +3

    I am happy to hear the music but just keep going up man it's nice music and I love it bro just keep going man good it would be just you I love you Music I love your RUclips I love your job bro just keep going up😘😘😘😘🔥🔥🎤🎶🎧

  • @paulmafuru7283
    @paulmafuru7283 6 лет назад +1

    Niko hapa kuwasalimu nakupenda alikiba,mavoko,and bright ooh natarajia corabo siku moja nyote

  • @abdallahjamaly2776
    @abdallahjamaly2776 5 лет назад +1

    Unajua chief big up

  • @geofreykupenda2147
    @geofreykupenda2147 6 лет назад +17

    nimekuelewa mzee wa nyumbi hiiii bombi hiiii na unga unga mwana celewiiii🙆🔥

  • @yaredierick9283
    @yaredierick9283 6 лет назад

    Hujawahi kuniangusha kiukweli, unajua sana!!!!!!!

  • @Mumbere-yk4sg
    @Mumbere-yk4sg 8 месяцев назад +1

    Ni onee uruma

  • @jescampolo2899
    @jescampolo2899 6 лет назад +1

    bright unawez ngoma kal sn

  • @slimhur2170
    @slimhur2170 6 лет назад +12

    Nan anamkubali bright kama mm gonga 👍

  • @aishakichunachamjikasoro9411
    @aishakichunachamjikasoro9411 6 лет назад +31

    Dogo fundi uko poa sana ili ni bonge moja la meseji

  • @karimabdallah3296
    @karimabdallah3296 6 лет назад +9

    Kama unamkubali bright like apa

  • @mc_mackpesa
    @mc_mackpesa 3 года назад

    Hii ngoma Jo nimeicheki pale Maisha magic nimekwon hapa kuikemba

  • @ramachilo4119
    @ramachilo4119 6 лет назад +1

    Mdogo wa mwili mkubwa wa akili sikipingi dogo unajua sana

  • @DaudiMasai
    @DaudiMasai 2 месяца назад

    Dah huu wimbo unanikumbusha mbali

  • @pacifiquerema2347
    @pacifiquerema2347 5 лет назад +3

    ngoma zako zote kali kijana, songa mbele ipo siku 💆‍♂️💆‍♂️💆‍♂️💆‍♂️

  • @barutithedoni9538
    @barutithedoni9538 2 года назад +1

    Ngoma zako bro zinanigusa San lia yote nayote dual

  • @realdanieltz4621
    @realdanieltz4621 6 лет назад +1

    sema video umerud nyuma sana

  • @ramadhanjumanne6370
    @ramadhanjumanne6370 6 лет назад +19

    wew Dogo FUNDI sanaaaa level zako zajuuuu vocal zako utakuja kua kama alikiba

  • @rajabramadhani8931
    @rajabramadhani8931 4 года назад +1

    Tunaugauga nass boy God atajaliyatu

  • @Ambweneonlinetv
    @Ambweneonlinetv 6 лет назад

    Fundi sana huyu kijana 🔥🔥

  • @masoudshabani5225
    @masoudshabani5225 6 лет назад +1

    Uko vizur Sana ndugu yangu natamani niendelee kuisikikiza ngoma muda wotee

  • @dauddanford2960
    @dauddanford2960 6 лет назад +2

    Huu Moto watanuru,,,🤣🤑🤑🤑🤑🤑#hatari Kama tuko sambamba gonga like& comment............ Together

  • @dvjskinnyofficial2473
    @dvjskinnyofficial2473 6 лет назад +310

    walee ambao hamjawahi angushwa na bright gonga like hapa before #1trend. #BRIGHT

  • @shekhekhandereizer559
    @shekhekhandereizer559 6 лет назад +1

    BROO umenifuraisha unajua kudizani ngoma apa apa kwtu bila kwnda nje

  • @جاكلينجاكي-و2د
    @جاكلينجاكي-و2د 5 лет назад +1

    Nampenda braht

  • @zainabualtz1455
    @zainabualtz1455 6 лет назад

    Nyimbo nzuri #Bright 😘 🔥kama umeikubali kama mimi like hapa
    👇

    • @richardmhabi1866
      @richardmhabi1866 5 лет назад

      Naisikiliza mala kwa mala but haichoshi safi saana nakukubali saaana

  • @rickkabakama3781
    @rickkabakama3781 6 лет назад

    kweli umerudi nakubali xn #ungaunga mwana

  • @fedrickpaul6733
    @fedrickpaul6733 6 лет назад

    Hujawahi kosea toka uanze imba mzee ##Bright

  • @bagalazzlenatenda597
    @bagalazzlenatenda597 6 лет назад +1

    Ametisha sana daaah hakika Soko la mziki linakuwa maan kila msanii anazid kuonyesha mabadiliko kila siku hakika katisha sana brother

  • @guccij3549
    @guccij3549 6 лет назад +12

    Kama una jua Bright kafanana na Nasty C like hapa😀

  • @gilsonmatale9622
    @gilsonmatale9622 6 лет назад +5

    Mkali sana wewe. Nakupenda Bure Bright 🤗

  • @brainburster1000
    @brainburster1000 5 лет назад +1

    Unaweza kabixa mbna

  • @sekeyifabian9517
    @sekeyifabian9517 6 лет назад +9

    Always you still to be a hit maker.🎤✍🏻

  • @yudamarco4272
    @yudamarco4272 5 лет назад +3

    ngoma iko poa sana nimeipenda inachoma moyon daah. hongera sana bright

  • @rajabumalipula6135
    @rajabumalipula6135 6 лет назад +2

    Kazi nzuri mdogo Wangu good voice and good video big up.

  • @asmahduhkweliduniaimekwixh8563
    @asmahduhkweliduniaimekwixh8563 5 лет назад +2

    nakupendag buree bright jaman xaf xan

  • @gorgonusshayo920
    @gorgonusshayo920 5 лет назад +1

    Kwakweli hiii nyimbo inaelez3a historia yangu . afu imekuja kuishia ktk maneno aliyoimba baraka wimbo uitwao mawazo . dah

  • @rashidsaid991
    @rashidsaid991 5 лет назад +2

    Kipaji.kaza broo. Usichoke kutoa best song

  • @kimatileexavel2973
    @kimatileexavel2973 6 лет назад

    one love janja Piga kaziii wajueee ......cna facebook Wala Twitter na mbwembwe na insta naungaunga.....