Madhara ya Bangi | Dr Said Mohamed

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 50

  • @dianaprotas7212
    @dianaprotas7212 3 года назад +6

    i like it spendi mwanaume anaevuta bangi

  • @devotharujwahuka421
    @devotharujwahuka421 Месяц назад

    Asante nimeelewa Virginia sana

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 28 дней назад

    Sheikhe umeongea sahihi kabisaa shukrani ila watumiakii WA bangi lazima watachukia sigara mbayaaa ungaa piya mbayaaa na bangi piya ndio babalao mbayaaa mungu atunusuru

  • @vanessaenock1337
    @vanessaenock1337 3 года назад +3

    Kuna baadhi ni kweri kunabaadhi shekhe umetudanganya kidogo

  • @musahangi7310
    @musahangi7310 10 месяцев назад

    Tafazali usome zaidi kuhusu bangi shehk

  • @Jay-ij1fl
    @Jay-ij1fl 4 года назад

    Ustadh hapo kanizingua tu! Nlipita shule na B- shukran kwa bhangi. Kuna tofauti ya bhangi na kuvuta unga. Hayo uliyoyasema ni wavutaji wa unga.

    • @dotdots7868
      @dotdots7868 3 года назад +1

      Bangi haikufanya upate b uongo,endelea uone utakua B.hind

  • @Jay-ij1fl
    @Jay-ij1fl 4 года назад +3

    Harufuuuuu😂😂 Ustadh kanimaliza hapo😅😂😂

  • @dotdots7868
    @dotdots7868 3 года назад +1

    Bangi sio mboga!

  • @nassorondutwe4042
    @nassorondutwe4042 4 года назад +1

    Ostaz unatudanganya

  • @privatesanya429
    @privatesanya429 4 года назад +1

    Ostaz huyu yeye mwenyewe mvuta bangeee, mtizameni macho

    • @kadikmctv7578
      @kadikmctv7578 4 года назад

      Private Sanya hahahaaaaaaa

    • @dotdots7868
      @dotdots7868 3 года назад

      Yeye mgonjwa.bangi utawacha!

    • @allysadogol2581
      @allysadogol2581 3 года назад

      Shekh na wewe uwache kuvuta bangi bwana mbn washtukashtuka

  • @ciyaalbaangi1327
    @ciyaalbaangi1327 6 месяцев назад

    Huyo ustadh nimenshuku Mcho yake 😂😂

  • @alliymkobe3949
    @alliymkobe3949 6 лет назад +1

    Hongera kwa mawaidha yako maalim
    Nina maswali binafsi naomba nitafute
    No.0765360430

  • @ludzonlinetv4488
    @ludzonlinetv4488 4 года назад +6

    Nganja haina madhara, xema tu inagandisha ubongo, ila bora bangi kuliko pombe

  • @petermasele5692
    @petermasele5692 5 лет назад +2

    Hiyo ni bange siyo bangi pumba tupu

  • @abassjuma2216
    @abassjuma2216 3 года назад

    Tiba yaku 2miya kwa m2 aliye athirika na bangi

  • @ommygzanzibar4711
    @ommygzanzibar4711 4 года назад +4

    sheikh unazingua iyo bange au bangi maana haupo sawa kabisa unaonekana unatatizo ya akili kwani wewe hauhui kama bangi ni dawa au unapotezea tu

    • @captendunga1392
      @captendunga1392 3 года назад

      Hizo unazoleta ndo bangi sasa na shehe keshawaelezea watu kama wewe.. wavuta bangi hamuna uwezo wa kufikiri.

    • @dotdots7868
      @dotdots7868 3 года назад

      Yeye mgojwa.bangi utawacha

  • @aliabusultan2997
    @aliabusultan2997 4 года назад

    ustadh uko sawa kama waweza nitumia namba yko nitafurai tuonge kiundani my no 0790211195

  • @robman5039
    @robman5039 3 года назад

    Smock weed

  • @eriezarichardmbeya1233
    @eriezarichardmbeya1233 4 года назад

    Inategemeana kichwa na kichwa?,,,,,,

  • @gabrielishmael5956
    @gabrielishmael5956 4 года назад +1

    Mpaka leo,hakuna maabara duniani imethibitisha kuwa cannabis/bhang/marijuana ina athari....maana kuna watu wamevuta na IQ zao zimekuwa juu kuliko wasiovuta na viceversa is true.

  • @yourboyayyad3197
    @yourboyayyad3197 4 года назад +3

    Uongo mtupu 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @jacksonedson5660
    @jacksonedson5660 4 года назад +1

    ww mwenyewe ni mvutaj

    • @dotdots7868
      @dotdots7868 3 года назад

      Havuti yeye akona ugonJwa.bangi utaacha.

  • @vangiftshine
    @vangiftshine 4 года назад

    Unachosema ni kweli

  • @kelvinkiria7852
    @kelvinkiria7852 4 года назад

    Anayo yaongea nikweli

  • @kadikmctv7578
    @kadikmctv7578 4 года назад

    shekhe...iv kati ya pombe , sigara na bhangi.. kipi ni hatar ??

  • @hermannbiniface9458
    @hermannbiniface9458 6 лет назад +3

    unaongea utumbo tu

    • @yasinijuma6646
      @yasinijuma6646 4 года назад

      Yeah uyu kweli shehk mvutaji😂😂

    • @rastamoja934
      @rastamoja934 4 года назад

      You must be stupid you deserve ass finger

    • @dotdots7868
      @dotdots7868 3 года назад

      Bangi utaacha,watu wa bangi tumewaona!

  • @kelvinkiria7852
    @kelvinkiria7852 4 года назад

    Anayo yaongea nikweli