MISINGI 10 YA FEDHA, MAISHA NA MAFANIKIO
HTML-код
- Опубликовано: 10 фев 2025
- Please watch: "FIKIA MALENGO YAKO KIRAHISI "
• FIKIA MALENGO YAKO KIR... -~-
Mafanikio siku zote yanafundishika kwa wale watakaokuwa tayari kuachana na mazoea mabaya waliyojiwekea ambayo yanawamaliza wao wenyewe. Ni mabadiliko katika tabia ambayo mtu akifuatilia kwa makini lazima atapata matokeo tofauti.
Leo nimekuandalia misingi hii 10 ambayo ikifanyika kwa usahihi basi tegemea kufanikiwa kifedha na maisha kwa ujumla.
Usiache kuniambia ni lipi limekugusa na kama kama kingine cha kuongezea basi niandikie ili wengine pia wapate faida hiyo kutoka kwako.
.
Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
.
NIFUATE MITANDAONI
INSTAGRAM: / ezdenjumanne
TWITTER: / ezdenjumanne
FACEBOOK: / ezdenjumanne
LINKEDIN: / ezdenjumanne
.
For Business please send me an email
ezdenjumanne@gmail.com
Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
#HowToBeSuccessful #Money #MoneyRules
Asantee Sana brother nakuelewa vilivyo me ni nataka kupanda nivune ctaki kua ombaomba kwa walio panda unatufundisha mengi tutaifanyia kazi hiyo misingi 10 naamini IPO cku nitakaa na kukumbusha kizazi kijacho au kilichopo jinsi unavyo tuelimisha asantee Sana big brother Allahu bless you🙏🙏😍
Good
Asante nikweli kabisa mtukujipanga mungu akubariki naakuzidishiye uzidi kutuelimisha
thanks borther Ezden, napenda sana ushauli wako,
Thanks kaka mungu akuzidishie, unatukumbusha ndugu zako,
You Hit the Point Bro I'm in the race you've changed 60 percent of my life stay blessed my Brother #EachoneTeachone
Asante sana kaka eze jumanne kwa masomo yako mazuri yenye kujenga. Mungu akuongoze ili uweze kutoa mafunzo zaidi
Wewe ni mwalimu wangu na mimi kama mwanafunzi wako nimekuelewa sana nitafanyia kazi yote na nimeanza
"Kuwa mipango ya muda mrefu, madhubuti na kuifanyia kazi kikamilifu"
nimeichukua hiyo, Be blessed bro, Namshukur Mungu sana Kwa kukufanya wew kuwa sababu ya sisi kufunguka zaidi kifikra, kiakili na kimawazo,
We get out from mental slavery
Thank so much Ezden may allah protect you
Asante sana kunifungua macho Allah akuzidishie mema
Great brother Ezden, ten foundations of Money
Somo limeingia mahali pake👏👏
Ww ni jeshi langu najivunia kukusikiliza master mind allah ndio dereva akupe miaka mingi insha_allah nami nijifunze kwako kila siku najivunia kuku sikia
leo nimejifunza kitu kikubwa sana broo kwamba tajir anawekeza ili izaee cio ila sisi masikin tunaweka cjui ivi najiuliza tunaweka ili iweje mwisho wasiku tunapata mitihani tunaitumia ile pesa tulio weka tunaanza upya tna ndymana wengi wahali yachini hatuenderei kutokana na mifumo duni tuliyo jiwekea thanks bro
Mashaallah beautiful recitation
Nakubali sana mkuu elimu yako inabadili maisha ya wengi
I got you na nayafanyia kazi inshaalah allah atakulipa
you are a good teacher bro i m so happy to find you on youtube and i believe that i will meet with you
Asante sana kaka mimi naitua joao niko cabo delgado moçambique, zamani nilicua nachindua kua na milioni moja mfuconi lakini kwa somo ili sasaivi ninamiliki milioni 6 na ninazidi cusonga mbele kwa sababu umenifundisha misingi wa kujiwekea.
Thank you dear brother. Sijutii kukufahamu
Santeee kaka angu kwa somo zuri...hakika nimejifunza mengi kupitia elimu unayotupatia
Shukran Sana Allah akubarik
Big thanks Mr.Ezden Jumanne
Shukrani somo zuri sana
Thanks brother somolako nzuli sana mungu akubaliki akupe Maisha malefu ili vizazi na vizaz vije vikutambuwe
Asante sana ntanza huu mwezi ubarikiwe sana Dia nina imani ntafika ntakapo
bro asante kwa somo lako nimejifunza vitu muhimu sana vya kufanya matumizi mazuri ya fedha
Asande kweli kwa somo nzuri
Bro ukasahihi naanza kuyatumia masomo yako naimani yatanisaidia...Shukran saana kwa channel hii swahib wangu ndio kaniunganisha🙌.ubarikiwe kaka
Kuweka akiba ni moja ya njia ya kuinvest💯
Safi sana mwalimu wetu nimekuelewa
Very powerful lessons ,
God bless u kaka,,asantee kwa mafundisho yako yaan umenifungua ufahamu sanaa
Nimeelewa sana kaka nitafanyia kazi.
Duh?! 🤔🤔izden umetisha na hili somo you are the best
Hongera sana unazidi kunifungua sana barikiwa
Bro you good naku fwatiliy sikuzote naimeni badili meng zaidi brother Asant kwaushauri unaotapa ushauri wamaana bro Asant tena bro you good zidikutu funz kabis ni Hilali toka Africa masharic. Asant tena.
Somo la leo nizuri sana nimejifunza kujituma na kufanya kazi kwa bidii yani kupanda mbegu za mafanikio ili uvune ayo mafanikio badae safi sana broo
Ubarikiwe kaka ,nmejifunza mengi kupitia masomo yako .
Nimeipenda na nitaitekeleza kuazia sasa, thanks!
Shukran Kaka Ezden Allah akufanyie wepesi uzidi kutuelimisha in Shaa Allah
Neither borrower no the lender be, 👍 kukopa bila malengo pointless nakubali hapo bro.
MashaAllah bro Allah akuzidishie..umenipa hamasa
umenibadilisha sana maisha yangu kwa elimu/digrii hizi nzito ambazo sijutii kukusikiliza na pia naona thamani ya bando langu. najua ipo siku tu, tutaonana ana kwa ana na nitatoa ushuhuda wangu juu ya haya unayonilisha akilini. Just stay stay blessed.
Nakuelewa kilasiku Niki kusikiliza nisha jifunza meng sana kutoka kwako asante sana kwa elimu yako
hakika, unabaki kuwa mwalimu wangu mwema, kwa maana kuwa unaulisha ubongo wangu chakula kinachostahili kuupoza na kuweka wigo mpana wa maarifa. Nahisi kubalikiwa kuwa na mwalimu wa aina yako.
Nashukuru kwa somo zuri sana lakini naomba japo utuandalie somo lakutufunda namna yakuweza, kutunza na kuinvest kipato kilicho kidogo mpaka kufikia kipato kikubwa. Asante.
Hii video nimeiona leo na naanza mikakati hivi saivi InshAllah. Usually I don't subscribe in vain, but u've won my sub
asante sana kaka nitafanya ivyo ishi miaka mia mzee
Jamni kaka ubarikiwe sana toka nimewza kushuka simu nikakutana na video zako kam hivi sas hakika nimebadilika mno!!! Nimekukubali sana
kaka ezden ahsante kwa somo ukimsoma R.kiyosaki anakwambia the rich buy luxurious last and poor and middle class buy luxurious first
Asante sana kijana wangu
Nicheki hapa brother 0783915358
thanks bro ezeden
Ahsante sana mtu wangu wa nguvu
Asante kaka..ww ni mwalimu
Bravo 👏 my brother 🙏
Mashaallah darsa nzuri sana
Asante sana 🕋SALAFI TV SALAFI TV🕋 kwa kufuatilia. Usiache ku-share link ya somo hili kwenye groups na wengine ili ujumbe ufike mbali zaidi. Stay blessed!
Santeee kaka nakuelewa toka nimeanza kukusikiliza naona naanza kubadilika big up bro
Well done
Nakuelewa kaka asnte sana ,kujitolea elimu bure .
Asante nimejifunga kitu
Nashkur Sanaa ni funzo Zur sana
Shkran sanaaa may Allah bless you 🙏
Shukran bro Allah akuzidishie👏🤝
Ahsante sana kwa masomo Yako ya elimu ya pesa,mungu akulinde endelea kufundisha usiache kutuelimisha kaka
Napenda sana mawazo kama haya
asante sana....nimeelwa from now on kinaeleweka,umeniboost bro,be blessed
Dyner nichek 0713747505
Nice
ahsante sana nimejifunza kitu
saf sana kiongoz nimepata somo kubwa sana
Asante Allah akulipe kheir
OK sawa somo nzurii
Asante kakaangu Mungu azidi kuku bariki
Asante sana
Good words God bless you
Shukran kaka...tutajitahidi kwa nvuvu ili tufanyikiwe
asante nimeherimika na somorako maana
Asante..kaka..wachache..ndio.wanaweza .kusevu..ila sio .mlevi
Kweli maisha yanataka kujiwekeza sana
ubarikiwe sana kwa elimu unayotupa.
Ikopoa Sana imeeleweka nimechukua point nyingi
Gud brother
Nimejifuzaa sana nitafanyia kazii
Naanza sasa brother..
very good
Nimeipenda sana video yako ya utunzaji Wa pesa Mimi nilikua mvivu sana kutunza pesa Ila kwasa nitafanyia kazi ushauri wako kaka ezden ubarikiwe ndugu
Ujumbe mzuri kaka
Keep it up kaka ezden hakika tangu nimeanza kufatilia vipindi vyako nazidi kuona mabadiliko ktk biashara zangu
Asantee Bro be blessing
Thenkx brouth bgup san
Brother Ezden be blessed bro
Thanks brother
Asantee kw somo lako
Mwarim.upo vizuri umebadiri maisha.yangu.pakubwa
Good Education my brother
Pamoja sana,,, somo kubwa sana
Asante Sana kwa mafundisho
nashukuru nimejifunza mengi
Good today. I like when you go straight to the point. You are improving, big up.
Dah
Nimejifunza kitu thanks
Akiba zako zitakufanya kuinvest siku zijazo✊
Excellent!..
asante mungu akuongezee kwa ushaur
Shukrani sana na karibu sana
Atsante sana kwa somo zuli
MashAlla somo zuri
nashukuru mr ezden jumaanne✊🏿🙏🏿