MISINGI 10 YA FEDHA, MAISHA NA MAFANIKIO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 сен 2024
  • Please watch: "FIKIA MALENGO YAKO KIRAHISI "
    • FIKIA MALENGO YAKO KIR... -~-
    Mafanikio siku zote yanafundishika kwa wale watakaokuwa tayari kuachana na mazoea mabaya waliyojiwekea ambayo yanawamaliza wao wenyewe. Ni mabadiliko katika tabia ambayo mtu akifuatilia kwa makini lazima atapata matokeo tofauti.
    Leo nimekuandalia misingi hii 10 ambayo ikifanyika kwa usahihi basi tegemea kufanikiwa kifedha na maisha kwa ujumla.
    Usiache kuniambia ni lipi limekugusa na kama kama kingine cha kuongezea basi niandikie ili wengine pia wapate faida hiyo kutoka kwako.
    .
    Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
    .
    NIFUATE MITANDAONI
    INSTAGRAM: / ezdenjumanne
    TWITTER: / ezdenjumanne
    FACEBOOK: / ezdenjumanne
    LINKEDIN: / ezdenjumanne
    .
    For Business please send me an email
    ezdenjumanne@gmail.com
    Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
    #HowToBeSuccessful #Money #MoneyRules

Комментарии • 315

  • @mumdecutymariammariammunga7501
    @mumdecutymariammariammunga7501 5 лет назад +8

    Asante sana ntanza huu mwezi ubarikiwe sana Dia nina imani ntafika ntakapo

  • @joaofielbalide3980
    @joaofielbalide3980 4 года назад +4

    Asante sana kaka mimi naitua joao niko cabo delgado moçambique, zamani nilicua nachindua kua na milioni moja mfuconi lakini kwa somo ili sasaivi ninamiliki milioni 6 na ninazidi cusonga mbele kwa sababu umenifundisha misingi wa kujiwekea.

  • @emotionalvoice972
    @emotionalvoice972 5 лет назад +8

    "Kuwa mipango ya muda mrefu, madhubuti na kuifanyia kazi kikamilifu"
    nimeichukua hiyo, Be blessed bro, Namshukur Mungu sana Kwa kukufanya wew kuwa sababu ya sisi kufunguka zaidi kifikra, kiakili na kimawazo,
    We get out from mental slavery

  • @ukhtyhalimasubscribedismai6497
    @ukhtyhalimasubscribedismai6497 5 лет назад +44

    Asantee Sana brother nakuelewa vilivyo me ni nataka kupanda nivune ctaki kua ombaomba kwa walio panda unatufundisha mengi tutaifanyia kazi hiyo misingi 10 naamini IPO cku nitakaa na kukumbusha kizazi kijacho au kilichopo jinsi unavyo tuelimisha asantee Sana big brother Allahu bless you🙏🙏😍

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 4 года назад +12

    You Hit the Point Bro I'm in the race you've changed 60 percent of my life stay blessed my Brother #EachoneTeachone

  • @leilamohamed7445
    @leilamohamed7445 5 лет назад +2

    Asante nikweli kabisa mtukujipanga mungu akubariki naakuzidishiye uzidi kutuelimisha

  • @heavenmecury3195
    @heavenmecury3195 5 лет назад +4

    thanks borther Ezden, napenda sana ushauli wako,

  • @douglasradley6698
    @douglasradley6698 5 лет назад +8

    you are a good teacher bro i m so happy to find you on youtube and i believe that i will meet with you

  • @Aisha-xx8qq
    @Aisha-xx8qq 5 лет назад +7

    Thank so much Ezden may allah protect you

  • @shaffihsiraji3141
    @shaffihsiraji3141 5 лет назад +10

    Nakubali sana mkuu elimu yako inabadili maisha ya wengi

  • @worshipertv9968
    @worshipertv9968 5 лет назад +18

    Wewe ni mwalimu wangu na mimi kama mwanafunzi wako nimekuelewa sana nitafanyia kazi yote na nimeanza

  • @salafitvsalafitv910
    @salafitvsalafitv910 2 года назад +3

    Mashaallah beautiful recitation

  • @stevenmhesi4635
    @stevenmhesi4635 5 лет назад +20

    kaka ezden ahsante kwa somo ukimsoma R.kiyosaki anakwambia the rich buy luxurious last and poor and middle class buy luxurious first

  • @jumannehamisi6937
    @jumannehamisi6937 4 года назад +2

    Asante sana kaka eze jumanne kwa masomo yako mazuri yenye kujenga. Mungu akuongoze ili uweze kutoa mafunzo zaidi

  • @amanichao6759
    @amanichao6759 4 года назад +7

    Great brother Ezden, ten foundations of Money
    Somo limeingia mahali pake👏👏

  • @francismsangi3244
    @francismsangi3244 5 лет назад +2

    Shukrani somo zuri sana

  • @muufashioncollection2583
    @muufashioncollection2583 5 лет назад +12

    Ww ni jeshi langu najivunia kukusikiliza master mind allah ndio dereva akupe miaka mingi insha_allah nami nijifunze kwako kila siku najivunia kuku sikia

  • @abdatikhamis7208
    @abdatikhamis7208 5 лет назад +4

    Shukran Sana Allah akubarik

  • @shadiyashabankabe5499
    @shadiyashabankabe5499 2 года назад +1

    Thanks kaka mungu akuzidishie, unatukumbusha ndugu zako,

  • @alexandrinadomaino9868
    @alexandrinadomaino9868 3 года назад +1

    Thank you dear brother. Sijutii kukufahamu

  • @abdallahmauka493
    @abdallahmauka493 5 лет назад +13

    Somo la leo nizuri sana nimejifunza kujituma na kufanya kazi kwa bidii yani kupanda mbegu za mafanikio ili uvune ayo mafanikio badae safi sana broo

  • @johnmwongatz
    @johnmwongatz 5 лет назад +15

    Nashukuru kwa somo zuri sana lakini naomba japo utuandalie somo lakutufunda namna yakuweza, kutunza na kuinvest kipato kilicho kidogo mpaka kufikia kipato kikubwa. Asante.

  • @kulthumsalim7070
    @kulthumsalim7070 5 лет назад +5

    Bro ukasahihi naanza kuyatumia masomo yako naimani yatanisaidia...Shukran saana kwa channel hii swahib wangu ndio kaniunganisha🙌.ubarikiwe kaka

  • @shifaazawadi4438
    @shifaazawadi4438 4 года назад +1

    Asante sana kunifungua macho Allah akuzidishie mema

  • @elizabethben2342
    @elizabethben2342 5 лет назад +4

    thanks bro ezeden

  • @collinsmwakisunga8293
    @collinsmwakisunga8293 5 лет назад +5

    Thanks brother somolako nzuli sana mungu akubaliki akupe Maisha malefu ili vizazi na vizaz vije vikutambuwe

  • @aideedjamac9649
    @aideedjamac9649 5 лет назад +3

    Big thanks Mr.Ezden Jumanne

  • @maryamversi2528
    @maryamversi2528 2 года назад +1

    Thanks bro may GOD give you long life

  • @ndiemadavid6734
    @ndiemadavid6734 3 года назад +2

    Very powerful lessons ,

  • @abdulymohamed8177
    @abdulymohamed8177 5 лет назад +3

    Nakubali sana alla atangulie kile unachofundisha jamiii

  • @workoutwithabby2536
    @workoutwithabby2536 4 года назад +1

    I got you na nayafanyia kazi inshaalah allah atakulipa

  • @rahemahrahemah2719
    @rahemahrahemah2719 5 лет назад +8

    Shukran Kaka Ezden Allah akufanyie wepesi uzidi kutuelimisha in Shaa Allah

  • @malalezengo4405
    @malalezengo4405 5 лет назад +2

    Safi sana mwalimu wetu nimekuelewa

  • @birdofpry3897
    @birdofpry3897 5 лет назад +5

    Santeee kaka angu kwa somo zuri...hakika nimejifunza mengi kupitia elimu unayotupatia

  • @fatmafa1896
    @fatmafa1896 5 лет назад +3

    Asande kweli kwa somo nzuri

  • @fatomaeid6639
    @fatomaeid6639 5 лет назад +1

    Hongera sana unazidi kunifungua sana barikiwa

  • @tasha3556
    @tasha3556 2 года назад +1

    Wow nice one bro I really appreciate you thank you so much

  • @allixshabani7818
    @allixshabani7818 5 лет назад +2

    asante sana kaka nitafanya ivyo ishi miaka mia mzee

  • @ramafrica9016
    @ramafrica9016 5 лет назад +5

    Good Education my brother

  • @menalikechildren8836
    @menalikechildren8836 4 года назад +4

    Hii video nimeiona leo na naanza mikakati hivi saivi InshAllah. Usually I don't subscribe in vain, but u've won my sub

  • @catherinelema997
    @catherinelema997 5 лет назад +13

    Keep it up kaka ezden hakika tangu nimeanza kufatilia vipindi vyako nazidi kuona mabadiliko ktk biashara zangu

  • @aishaoman6159
    @aishaoman6159 5 лет назад +1

    Asante sana

  • @ghostelmendez7206
    @ghostelmendez7206 2 года назад +2

    nashukuru mr ezden jumaanne✊🏿🙏🏿

  • @johnboaz4105
    @johnboaz4105 5 лет назад +4

    OK sawa somo nzurii

  • @mshumbushionlinetv6420
    @mshumbushionlinetv6420 5 лет назад +6

    Asante nimejifunga kitu

  • @ahmedymasoud7768
    @ahmedymasoud7768 5 лет назад +2

    leo nimejifunza kitu kikubwa sana broo kwamba tajir anawekeza ili izaee cio ila sisi masikin tunaweka cjui ivi najiuliza tunaweka ili iweje mwisho wasiku tunapata mitihani tunaitumia ile pesa tulio weka tunaanza upya tna ndymana wengi wahali yachini hatuenderei kutokana na mifumo duni tuliyo jiwekea thanks bro

  • @annajames6196
    @annajames6196 5 лет назад +2

    God bless u kaka,,asantee kwa mafundisho yako yaan umenifungua ufahamu sanaa

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 4 года назад +2

    Neither borrower no the lender be, 👍 kukopa bila malengo pointless nakubali hapo bro.

  • @EdwinJaphet
    @EdwinJaphet 5 лет назад +11

    Good today. I like when you go straight to the point. You are improving, big up.

  • @nuruabraham3769
    @nuruabraham3769 4 года назад +1

    ubarikiwe sana kwa elimu unayotupa.

  • @mickeymikii1040
    @mickeymikii1040 5 лет назад +4

    Duh?! 🤔🤔izden umetisha na hili somo you are the best

  • @dynermsumari5215
    @dynermsumari5215 5 лет назад +11

    asante sana....nimeelwa from now on kinaeleweka,umeniboost bro,be blessed

  • @user-ve7we3xb1j
    @user-ve7we3xb1j 5 лет назад +2

    bro asante kwa somo lako nimejifunza vitu muhimu sana vya kufanya matumizi mazuri ya fedha

  • @denniswanjiru9305
    @denniswanjiru9305 4 года назад +1

    Nashukuru kaka umenielemisha kwa 64% ,mola akubariki

  • @alfredalfreads3020
    @alfredalfreads3020 5 лет назад +1

    very good

  • @salafitvsalafitv910
    @salafitvsalafitv910 2 года назад +2

    Mashaallah darsa nzuri sana

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  2 года назад

      Asante sana 🕋SALAFI TV SALAFI TV🕋 kwa kufuatilia. Usiache ku-share link ya somo hili kwenye groups na wengine ili ujumbe ufike mbali zaidi. Stay blessed!

  • @hilalyfazili4227
    @hilalyfazili4227 4 года назад

    Bro you good naku fwatiliy sikuzote naimeni badili meng zaidi brother Asant kwaushauri unaotapa ushauri wamaana bro Asant tena bro you good zidikutu funz kabis ni Hilali toka Africa masharic. Asant tena.

  • @mgallason...5686
    @mgallason...5686 5 лет назад +12

    hakika, unabaki kuwa mwalimu wangu mwema, kwa maana kuwa unaulisha ubongo wangu chakula kinachostahili kuupoza na kuweka wigo mpana wa maarifa. Nahisi kubalikiwa kuwa na mwalimu wa aina yako.

  • @hoseamuyungu9133
    @hoseamuyungu9133 5 лет назад +6

    Ikopoa Sana imeeleweka nimechukua point nyingi

  • @mtundimtundi5153
    @mtundimtundi5153 5 лет назад +2

    Ubarikiwe kaka ,nmejifunza mengi kupitia masomo yako .

  • @saidaahmed364
    @saidaahmed364 4 года назад +2

    MashaAllah bro Allah akuzidishie..umenipa hamasa

  • @sundaymwakamisa491
    @sundaymwakamisa491 5 лет назад +2

    Amen

  • @salomegervace7693
    @salomegervace7693 4 года назад +2

    Ahsante sana mtu wangu wa nguvu

  • @joshuasimon4902
    @joshuasimon4902 4 года назад +1

    Jamni kaka ubarikiwe sana toka nimewza kushuka simu nikakutana na video zako kam hivi sas hakika nimebadilika mno!!! Nimekukubali sana

  • @ndotozakitaabaam5632
    @ndotozakitaabaam5632 5 лет назад +1

    Thanks brother

  • @bonifacehamis4088
    @bonifacehamis4088 Год назад +1

    Leo nimejifunza vitu vingi sana kwako kaka NASHUKURU SANA 🙏🙏🙏

  • @rajabuakbarismail1193
    @rajabuakbarismail1193 5 лет назад +5

    Brother Ezden be blessed bro

  • @francenestory4089
    @francenestory4089 5 лет назад +1

    Napenda sana mawazo kama haya

  • @deusjoseph3752
    @deusjoseph3752 5 лет назад +2

    saf sana kiongoz nimepata somo kubwa sana

  • @hamisadodo453
    @hamisadodo453 5 лет назад +4

    Santeee kaka nakuelewa toka nimeanza kukusikiliza naona naanza kubadilika big up bro

  • @ibrahimuandrea2453
    @ibrahimuandrea2453 4 года назад +1

    Nakuelewa kilasiku Niki kusikiliza nisha jifunza meng sana kutoka kwako asante sana kwa elimu yako

  • @mgallason...5686
    @mgallason...5686 5 лет назад +4

    umenibadilisha sana maisha yangu kwa elimu/digrii hizi nzito ambazo sijutii kukusikiliza na pia naona thamani ya bando langu. najua ipo siku tu, tutaonana ana kwa ana na nitatoa ushuhuda wangu juu ya haya unayonilisha akilini. Just stay stay blessed.

  • @ibrakadabra8125
    @ibrakadabra8125 5 лет назад +9

    Naanza sasa brother..

  • @michaelshayo187
    @michaelshayo187 5 лет назад +5

    Kweli maisha yanataka kujiwekeza sana

  • @mariamm2724
    @mariamm2724 4 года назад +1

    Nakuelewa kaka asnte sana ,kujitolea elimu bure .

  • @frankfiretz
    @frankfiretz 5 лет назад +9

    Ahsante sana kaka, Ezden the rocker mungu azidi kukupa moyo uzidi kutupa madini

  • @JOSEPHBUNDARA-ng4gg
    @JOSEPHBUNDARA-ng4gg Год назад +1

    Nimeipenda na nitaitekeleza kuazia sasa, thanks!

  • @edwardgodfrey6283
    @edwardgodfrey6283 5 лет назад +6

    Thenks brother kwa Somo zuri

  • @lizadhiambo4760
    @lizadhiambo4760 5 лет назад +1

    ahsante sana nimejifunza kitu

  • @twazeranicholaustuvako1860
    @twazeranicholaustuvako1860 5 лет назад +1

    Nimeipenda sana video yako ya utunzaji Wa pesa Mimi nilikua mvivu sana kutunza pesa Ila kwasa nitafanyia kazi ushauri wako kaka ezden ubarikiwe ndugu

  • @hamdanamli9249
    @hamdanamli9249 5 лет назад +1

    Thenkx brouth bgup san

  • @Zefaniaonline
    @Zefaniaonline 5 лет назад +4

    Good brother

  • @mrshila1260
    @mrshila1260 5 лет назад +1

    asante sana

  • @joemouly7877
    @joemouly7877 5 лет назад +8

    Shukran kaka...tutajitahidi kwa nvuvu ili tufanyikiwe

    • @boniphacej5310
      @boniphacej5310 5 лет назад

      asante nimeherimika na somorako maana

    • @josephkmarwa7425
      @josephkmarwa7425 3 года назад

      Asante..kaka..wachache..ndio.wanaweza .kusevu..ila sio .mlevi

  • @shadiyashabankabe5499
    @shadiyashabankabe5499 2 года назад +1

    Pamoja kaka Asante sana

  • @feisal38
    @feisal38 5 лет назад +2

    masha allah nimejifunza mengi tangu nilipo subscribe kwa video zako .

  • @samiasamia6746
    @samiasamia6746 5 лет назад +1

    Asante kaka..ww ni mwalimu

  • @ziggyuae2464
    @ziggyuae2464 5 лет назад +1

    Shkran sanaaa may Allah bless you 🙏

  • @pashmaiko7722
    @pashmaiko7722 5 лет назад +1

    Asante broo

  • @zeynabmohammed445
    @zeynabmohammed445 5 лет назад +9

    Thnx bro for ur Advice

  • @mwelamalibila8988
    @mwelamalibila8988 5 лет назад +1

    Pamoja sana,,, somo kubwa sana

  • @oman3527
    @oman3527 5 лет назад +3

    Somo nzur sanaa Ahsanteee

  • @njochelanim
    @njochelanim 6 месяцев назад +1

    Kuweka akiba ni moja ya njia ya kuinvest💯

  • @goodluckbarack5472
    @goodluckbarack5472 2 года назад +1

    Ujumbe mzuri kaka

  • @SamsonJaphet-y7r
    @SamsonJaphet-y7r Месяц назад +1

    asante mungu akuongezee kwa ushaur

  • @eliasantony4376
    @eliasantony4376 5 лет назад +1

    nashukuru nimejifunza mengi

  • @nizigabosco3359
    @nizigabosco3359 Год назад

    Good words God bless you

  • @rajabukhalfan5908
    @rajabukhalfan5908 5 лет назад +1

    Nimejifunza kitu thanks

  • @mudymkongo9028
    @mudymkongo9028 10 месяцев назад +1

    Asante

  • @badiawadh1192
    @badiawadh1192 4 года назад

    Asante Allah akulipe kheir