MISINGI 10 YA FEDHA, MAISHA NA MAFANIKIO
HTML-код
- Опубликовано: 16 сен 2024
- Please watch: "FIKIA MALENGO YAKO KIRAHISI "
• FIKIA MALENGO YAKO KIR... -~-
Mafanikio siku zote yanafundishika kwa wale watakaokuwa tayari kuachana na mazoea mabaya waliyojiwekea ambayo yanawamaliza wao wenyewe. Ni mabadiliko katika tabia ambayo mtu akifuatilia kwa makini lazima atapata matokeo tofauti.
Leo nimekuandalia misingi hii 10 ambayo ikifanyika kwa usahihi basi tegemea kufanikiwa kifedha na maisha kwa ujumla.
Usiache kuniambia ni lipi limekugusa na kama kama kingine cha kuongezea basi niandikie ili wengine pia wapate faida hiyo kutoka kwako.
.
Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
.
NIFUATE MITANDAONI
INSTAGRAM: / ezdenjumanne
TWITTER: / ezdenjumanne
FACEBOOK: / ezdenjumanne
LINKEDIN: / ezdenjumanne
.
For Business please send me an email
ezdenjumanne@gmail.com
Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
#HowToBeSuccessful #Money #MoneyRules
Asante sana ntanza huu mwezi ubarikiwe sana Dia nina imani ntafika ntakapo
Asante sana kaka mimi naitua joao niko cabo delgado moçambique, zamani nilicua nachindua kua na milioni moja mfuconi lakini kwa somo ili sasaivi ninamiliki milioni 6 na ninazidi cusonga mbele kwa sababu umenifundisha misingi wa kujiwekea.
"Kuwa mipango ya muda mrefu, madhubuti na kuifanyia kazi kikamilifu"
nimeichukua hiyo, Be blessed bro, Namshukur Mungu sana Kwa kukufanya wew kuwa sababu ya sisi kufunguka zaidi kifikra, kiakili na kimawazo,
We get out from mental slavery
Asantee Sana brother nakuelewa vilivyo me ni nataka kupanda nivune ctaki kua ombaomba kwa walio panda unatufundisha mengi tutaifanyia kazi hiyo misingi 10 naamini IPO cku nitakaa na kukumbusha kizazi kijacho au kilichopo jinsi unavyo tuelimisha asantee Sana big brother Allahu bless you🙏🙏😍
Good
You Hit the Point Bro I'm in the race you've changed 60 percent of my life stay blessed my Brother #EachoneTeachone
Asante nikweli kabisa mtukujipanga mungu akubariki naakuzidishiye uzidi kutuelimisha
thanks borther Ezden, napenda sana ushauli wako,
you are a good teacher bro i m so happy to find you on youtube and i believe that i will meet with you
Thank so much Ezden may allah protect you
Nakubali sana mkuu elimu yako inabadili maisha ya wengi
Wewe ni mwalimu wangu na mimi kama mwanafunzi wako nimekuelewa sana nitafanyia kazi yote na nimeanza
Mashaallah beautiful recitation
kaka ezden ahsante kwa somo ukimsoma R.kiyosaki anakwambia the rich buy luxurious last and poor and middle class buy luxurious first
Asante sana kijana wangu
Nicheki hapa brother 0783915358
Asante sana kaka eze jumanne kwa masomo yako mazuri yenye kujenga. Mungu akuongoze ili uweze kutoa mafunzo zaidi
Great brother Ezden, ten foundations of Money
Somo limeingia mahali pake👏👏
Shukrani somo zuri sana
Ww ni jeshi langu najivunia kukusikiliza master mind allah ndio dereva akupe miaka mingi insha_allah nami nijifunze kwako kila siku najivunia kuku sikia
Shukran Sana Allah akubarik
Thanks kaka mungu akuzidishie, unatukumbusha ndugu zako,
Thank you dear brother. Sijutii kukufahamu
Somo la leo nizuri sana nimejifunza kujituma na kufanya kazi kwa bidii yani kupanda mbegu za mafanikio ili uvune ayo mafanikio badae safi sana broo
Nashukuru kwa somo zuri sana lakini naomba japo utuandalie somo lakutufunda namna yakuweza, kutunza na kuinvest kipato kilicho kidogo mpaka kufikia kipato kikubwa. Asante.
Bro ukasahihi naanza kuyatumia masomo yako naimani yatanisaidia...Shukran saana kwa channel hii swahib wangu ndio kaniunganisha🙌.ubarikiwe kaka
Asante sana kunifungua macho Allah akuzidishie mema
thanks bro ezeden
Thanks brother somolako nzuli sana mungu akubaliki akupe Maisha malefu ili vizazi na vizaz vije vikutambuwe
Big thanks Mr.Ezden Jumanne
Thanks bro may GOD give you long life
Very powerful lessons ,
Nakubali sana alla atangulie kile unachofundisha jamiii
I got you na nayafanyia kazi inshaalah allah atakulipa
Shukran Kaka Ezden Allah akufanyie wepesi uzidi kutuelimisha in Shaa Allah
Safi sana mwalimu wetu nimekuelewa
Santeee kaka angu kwa somo zuri...hakika nimejifunza mengi kupitia elimu unayotupatia
Asande kweli kwa somo nzuri
Hongera sana unazidi kunifungua sana barikiwa
Wow nice one bro I really appreciate you thank you so much
asante sana kaka nitafanya ivyo ishi miaka mia mzee
Good Education my brother
Hii video nimeiona leo na naanza mikakati hivi saivi InshAllah. Usually I don't subscribe in vain, but u've won my sub
Keep it up kaka ezden hakika tangu nimeanza kufatilia vipindi vyako nazidi kuona mabadiliko ktk biashara zangu
Asante sana
nashukuru mr ezden jumaanne✊🏿🙏🏿
OK sawa somo nzurii
Asante nimejifunga kitu
leo nimejifunza kitu kikubwa sana broo kwamba tajir anawekeza ili izaee cio ila sisi masikin tunaweka cjui ivi najiuliza tunaweka ili iweje mwisho wasiku tunapata mitihani tunaitumia ile pesa tulio weka tunaanza upya tna ndymana wengi wahali yachini hatuenderei kutokana na mifumo duni tuliyo jiwekea thanks bro
God bless u kaka,,asantee kwa mafundisho yako yaan umenifungua ufahamu sanaa
Neither borrower no the lender be, 👍 kukopa bila malengo pointless nakubali hapo bro.
Good today. I like when you go straight to the point. You are improving, big up.
Dah
ubarikiwe sana kwa elimu unayotupa.
Duh?! 🤔🤔izden umetisha na hili somo you are the best
asante sana....nimeelwa from now on kinaeleweka,umeniboost bro,be blessed
Dyner nichek 0713747505
Nice
bro asante kwa somo lako nimejifunza vitu muhimu sana vya kufanya matumizi mazuri ya fedha
Nashukuru kaka umenielemisha kwa 64% ,mola akubariki
very good
Mashaallah darsa nzuri sana
Asante sana 🕋SALAFI TV SALAFI TV🕋 kwa kufuatilia. Usiache ku-share link ya somo hili kwenye groups na wengine ili ujumbe ufike mbali zaidi. Stay blessed!
Bro you good naku fwatiliy sikuzote naimeni badili meng zaidi brother Asant kwaushauri unaotapa ushauri wamaana bro Asant tena bro you good zidikutu funz kabis ni Hilali toka Africa masharic. Asant tena.
hakika, unabaki kuwa mwalimu wangu mwema, kwa maana kuwa unaulisha ubongo wangu chakula kinachostahili kuupoza na kuweka wigo mpana wa maarifa. Nahisi kubalikiwa kuwa na mwalimu wa aina yako.
Ikopoa Sana imeeleweka nimechukua point nyingi
Gud brother
Ubarikiwe kaka ,nmejifunza mengi kupitia masomo yako .
MashaAllah bro Allah akuzidishie..umenipa hamasa
Amen
Ahsante sana mtu wangu wa nguvu
Jamni kaka ubarikiwe sana toka nimewza kushuka simu nikakutana na video zako kam hivi sas hakika nimebadilika mno!!! Nimekukubali sana
Thanks brother
Leo nimejifunza vitu vingi sana kwako kaka NASHUKURU SANA 🙏🙏🙏
Brother Ezden be blessed bro
Napenda sana mawazo kama haya
saf sana kiongoz nimepata somo kubwa sana
Santeee kaka nakuelewa toka nimeanza kukusikiliza naona naanza kubadilika big up bro
Nakuelewa kilasiku Niki kusikiliza nisha jifunza meng sana kutoka kwako asante sana kwa elimu yako
umenibadilisha sana maisha yangu kwa elimu/digrii hizi nzito ambazo sijutii kukusikiliza na pia naona thamani ya bando langu. najua ipo siku tu, tutaonana ana kwa ana na nitatoa ushuhuda wangu juu ya haya unayonilisha akilini. Just stay stay blessed.
Naanza sasa brother..
Kweli maisha yanataka kujiwekeza sana
Nakuelewa kaka asnte sana ,kujitolea elimu bure .
Ahsante sana kaka, Ezden the rocker mungu azidi kukupa moyo uzidi kutupa madini
Nimeipenda na nitaitekeleza kuazia sasa, thanks!
Thenks brother kwa Somo zuri
ahsante sana nimejifunza kitu
Nimeipenda sana video yako ya utunzaji Wa pesa Mimi nilikua mvivu sana kutunza pesa Ila kwasa nitafanyia kazi ushauri wako kaka ezden ubarikiwe ndugu
Thenkx brouth bgup san
Good brother
asante sana
Shukran kaka...tutajitahidi kwa nvuvu ili tufanyikiwe
asante nimeherimika na somorako maana
Asante..kaka..wachache..ndio.wanaweza .kusevu..ila sio .mlevi
Pamoja kaka Asante sana
masha allah nimejifunza mengi tangu nilipo subscribe kwa video zako .
Asante kaka..ww ni mwalimu
Shkran sanaaa may Allah bless you 🙏
Asante broo
Thnx bro for ur Advice
Pamoja sana,,, somo kubwa sana
Somo nzur sanaa Ahsanteee
Kuweka akiba ni moja ya njia ya kuinvest💯
Ujumbe mzuri kaka
asante mungu akuongezee kwa ushaur
Shukrani sana na karibu sana
nashukuru nimejifunza mengi
Good words God bless you
Nimejifunza kitu thanks
Asante
Asante Allah akulipe kheir