NUKSI za kukosa Pesa, Mpenzi, Kazi, Mvuto wakupendwa na watu Tiba BURE kutoka kwa Sir binladeni

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Unaweza kututembelea instagram @bingoonlinetz
    #bingoonlinetz
    #sisisiowepesi #TunakupaKwaWakati
    Ahsante kwa Kuiamini na ku SUBSCRIBE BINGO ONLINE TZ Na kuifanya ifikishe Subscribers Milioni 1

Комментарии • 32

  • @bingoonlinetz
    @bingoonlinetz  3 года назад

    Kama kuna somo unataka kulijua kutoka kwa sir binladen acha comment yako hapo chini na BINGO ONLINE TZ tutakuletea na ili kumpata sir binladen mpigia simu 0679426148
    .
    LINK YA RUclips YA SIR BINLADEN
    ruclips.net/channel/UC5QELa40yMcx2CgwMnoQAWQ

    • @johnnhashim9123
      @johnnhashim9123 4 месяца назад

      Nauliza nuks na vifungu ViPi hapa sheik Kuna tofauti na tofauti yake nininiii

  • @RizikiSizobakwira
    @RizikiSizobakwira 21 день назад

    Mungu''akulinde'''napiya'''nakubali'maneno'''mazuli''yaukweli'''kabisa''nitakutafutakabisa''kweli'''Mungu'''akujaliye

  • @khadhiriramadhan5984
    @khadhiriramadhan5984 4 месяца назад +2

    hii hali iliwahi kuntokea saana napata pesa lakni haikai mambo hayaendi yaani ilikuwa nimikosi ila kwasasa nikosawa Allihamndu Allah 🤲🤲

    • @saidikhamis9747
      @saidikhamis9747 4 месяца назад

      Au ulikuwa unahonga Sana? Kama ukiwa muhongaji Sana pesa yako kweli haitakaa.

  • @AsiyaAsiya-c4h
    @AsiyaAsiya-c4h 11 дней назад

    Sheikh mm ni mtu mmoja ninae kufuatilia sana lakini nipo mbali na Nina tatizo kubwa na ni la mda mrefu taani Kila ninachokifanta hakiendi na hata ndoa tangu ilivunjika mda sana

  • @hawaciza1510
    @hawaciza1510 23 дня назад

    Kaka mimi nacuwuza kakini sioni mafanyikiwo mi Niko na Nuksi nisaidie Kaka

  • @SaumuDastani
    @SaumuDastani 4 месяца назад

    Dr,mimi.nataka kazi

  • @nasrihussein4293
    @nasrihussein4293 2 месяца назад

    Sheikh shida mingi bwanangu alipotehya ulaya na amenisahau kabisa ni a nuksi kibao

  • @nasrihussein4293
    @nasrihussein4293 2 месяца назад

    Ninashida bwana yangu ameenda ulaya kanitoro na shinda mingi ninazo

  • @SulaymanKhamiss
    @SulaymanKhamiss 4 месяца назад

    Assallam Alleykum naweza nikajuwa unapatikana wapi

  • @ZainabuMwambashi
    @ZainabuMwambashi Год назад

    1:17 Naomba nisaidie yakuondoa mkosi

  • @ZainabuMwambashi
    @ZainabuMwambashi Год назад

    Jaman tupo mbali tusaidie hata kututajia hizo dawa TU utakuwa umetusaidia

  • @noamboma-ds7bk
    @noamboma-ds7bk Год назад

    Naomba nisaidie kupata kazi

    • @saidikhamis9747
      @saidikhamis9747 4 месяца назад

      Kupata KAZI mpaka uhangaike sio KUKAA ndani Tu.

  • @EshaShamu
    @EshaShamu 4 месяца назад

    Ustadhi unapatikana wap

  • @ZainabuNamubiru
    @ZainabuNamubiru 6 месяцев назад

    Nina watoto wangu hawana bahati niganye mini

  • @DoreenNiver
    @DoreenNiver 7 месяцев назад

    Jamani Mimi nateseka sana sana hadi nishawaza kujiuwa tu nipumzika nahizi shida

    • @nurudinisalim290
      @nurudinisalim290 4 месяца назад

      usifanye ni jambo baya sana ila nikushaur t emb jaribu kuwashirikisha mambo yako baadhi ya watu ambao wanaweza kukufariji

  • @dianaburton1415
    @dianaburton1415 Год назад

    Nimekuelewa sana

    • @rehemahassan9743
      @rehemahassan9743 4 месяца назад

      Aslkm Mimi ninashida na mumewangu Kila afanyavyo hafanikiwi nuksi nyingi mpaka twakosana

  • @joycemizambwa
    @joycemizambwa Год назад

    Nilikuwa naomba dawa za kutoa mikos kaka

  • @alimzee
    @alimzee Год назад

    Ni nukus ndio ninayo

  • @bitricBakari
    @bitricBakari 8 месяцев назад

    Nisaidie dawa

  • @bitricBakari
    @bitricBakari 8 месяцев назад

    Ninazo unanisaidiaj

  • @aishaaisha4895
    @aishaaisha4895 3 года назад

    Sasa mbona namba hamja weka

  • @salummpoto9094
    @salummpoto9094 2 года назад

    Haaaa ww mwizi

    • @kibatarijuma8059
      @kibatarijuma8059 Год назад +2

      Acha dharau kaka ulimjuaje mwizi kaka na wew siyo mwizi heshimu kazi ya mtu

    • @VickKulekana-si1ib
      @VickKulekana-si1ib 6 месяцев назад +1

      Mh utamwambiaje mtu mwuzi

  • @hajraramadhani3892
    @hajraramadhani3892 3 месяца назад

    L

  • @ZainabuNamubiru
    @ZainabuNamubiru 6 месяцев назад

    Mimi ma watoto wngu Haruna bahati