Diamond na Zuchu Ugomvi Hautaisha Tatizo Nyota ZUCHU anatumia nyota ya DIAMOND Sir binladen afichua
HTML-код
- Опубликовано: 4 май 2024
- SIR BINLADEN 0679 426 148
Unaweza kututembelea instagram @bingoonlinetz
#bingoonlinetz
#sisisiowepesi #TunakupaKwaWakati
Ahsante kwa Kuiamini na ku SUBSCRIBE BINGO ONLINE TZ Na kuifanya ifikishe Subscribers Milioni 1 - Развлечения
Sir binladen 067 942 6148
Acha kudanganya watu, umejifanya seer.
Mshirikina tu ww
Hakuna hicho problems ni daimond ni malaya ndo hawasikilizani sio udongo wa ngombe zuchu pia ana nyota zaid ya daimond kwasababu kuimba anajua sauti anayo pia ni mdogo shida iko wapi kwani daimon ameish namwanamke gani haishi na mwanamke hakuna nyota wala babaake nyota
Ushirikina tu
Nipeni ufafanuzi wa A na A masna tunapendana tunagombana hatuwezi lala tumekasirika
Unasema uongo kweupe haitwi dimond jina lake nasebu
Hapana Sheikh ,tatizo ni Diamond kupenda penda wanawake Na kuwa anazalilisha wanawake ,ilo mwanamke kuweza kulihimiri ni shida ndio mana magomvi hayaishi , wivu ndio chanson n'a wangine walitoka ndo viliwashinda
No yako ya simu sheikh ❤❤
067 942 6148
Kwahapo umechapia kamawatakapesa kwa daimondi niheliungemueleza akakupa tu kuliko kuongerea mahusiano yawatu yauongo diamond nimalaya tu anajulikana
kweli kama zuchu zamani tulikuwa atumjui kabisa baada ya kuingia wasafi ndo tukamjua na akazidi kujajuu baada ya kuwa kimapenzi na daimond ndo ikazidi
Sema nyota zao zinaendana, km ilivyo kuwa kwa zari na zina nguvu
Imanj yako tu na mganga wako zuchu ana nyota yake siku ya 1 tu kutangazwa zuchu alipendwa na watu kabla hata bado hajaingia na diamond kwenye mahusiano
Acheni ushirikina
Wabongo kitu kidogo nyota hazi yao ushirikina tu na nashekhe wao uchwara uwongo mwingi tu shirki wakubwa zuchu nae hajitambui toka lini wazanzibar wakataka wanaume wa bongo au kuokewa na wabongo anatuzalilisha kwa ufisadi wake
Zuchu amezaliwa na nyota yake inang'aa na mtu yoyote.
Usijipigie prom ya kutaka kudanganya watu na kuwalia pesa zao
Kabla ya zuchu kwenda kwa Diamond ulikuwa unamjua kiukubwaa wa jina kama unavyomjua sasahiv 😂 punguza kuwa mjuaji Elimu zinawenyew😂😂😂
@@SirBinLadenzuchu amejijengea jina lake mwenyewe.
Ana kipaji chake cha kuimba.
Unaumwa ww jinga kabsa usfnnsh Simba na vtu vy hovyo
Sasa wewe mtangazaji mtu wa ajabu sana Kwa nini usiulizie watu wa familia yako
Wajinga tu acha kudanganya watu audhubillah