Diamond na Zuchu Ugomvi Hautaisha Tatizo Nyota ZUCHU anatumia nyota ya DIAMOND Sir binladen afichua

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 май 2024
  • SIR BINLADEN 0679 426 148
    Unaweza kututembelea instagram @bingoonlinetz
    #bingoonlinetz
    #sisisiowepesi #TunakupaKwaWakati
    Ahsante kwa Kuiamini na ku SUBSCRIBE BINGO ONLINE TZ Na kuifanya ifikishe Subscribers Milioni 1
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 22

  • @bingoonlinetz
    @bingoonlinetz  20 дней назад

    Sir binladen 067 942 6148

  • @esperanceuwera2768
    @esperanceuwera2768 15 дней назад

    Acha kudanganya watu, umejifanya seer.

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 20 дней назад +1

    Mshirikina tu ww

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 20 дней назад +2

    Hakuna hicho problems ni daimond ni malaya ndo hawasikilizani sio udongo wa ngombe zuchu pia ana nyota zaid ya daimond kwasababu kuimba anajua sauti anayo pia ni mdogo shida iko wapi kwani daimon ameish namwanamke gani haishi na mwanamke hakuna nyota wala babaake nyota

  • @pengefeza2563
    @pengefeza2563 20 дней назад

    Ushirikina tu

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 20 дней назад

    Nipeni ufafanuzi wa A na A masna tunapendana tunagombana hatuwezi lala tumekasirika

  • @salumunsabimana6502
    @salumunsabimana6502 14 дней назад

    Unasema uongo kweupe haitwi dimond jina lake nasebu

  • @user-jd6vr9xw1o
    @user-jd6vr9xw1o 20 дней назад

    Hapana Sheikh ,tatizo ni Diamond kupenda penda wanawake Na kuwa anazalilisha wanawake ,ilo mwanamke kuweza kulihimiri ni shida ndio mana magomvi hayaishi , wivu ndio chanson n'a wangine walitoka ndo viliwashinda

  • @Rehema-uw4et
    @Rehema-uw4et 20 дней назад

    No yako ya simu sheikh ❤❤

  • @user-ff2ud4rw9t
    @user-ff2ud4rw9t 20 дней назад

    Kwahapo umechapia kamawatakapesa kwa daimondi niheliungemueleza akakupa tu kuliko kuongerea mahusiano yawatu yauongo diamond nimalaya tu anajulikana

  • @mamaj3120
    @mamaj3120 20 дней назад

    kweli kama zuchu zamani tulikuwa atumjui kabisa baada ya kuingia wasafi ndo tukamjua na akazidi kujajuu baada ya kuwa kimapenzi na daimond ndo ikazidi

    • @maryamtan682
      @maryamtan682 20 дней назад +1

      Sema nyota zao zinaendana, km ilivyo kuwa kwa zari na zina nguvu

    • @mohammadoman8963
      @mohammadoman8963 20 дней назад +1

      Imanj yako tu na mganga wako zuchu ana nyota yake siku ya 1 tu kutangazwa zuchu alipendwa na watu kabla hata bado hajaingia na diamond kwenye mahusiano

    • @mohammadoman8963
      @mohammadoman8963 20 дней назад

      Acheni ushirikina

    • @Shuu.A
      @Shuu.A 20 дней назад

      Wabongo kitu kidogo nyota hazi yao ushirikina tu na nashekhe wao uchwara uwongo mwingi tu shirki wakubwa zuchu nae hajitambui toka lini wazanzibar wakataka wanaume wa bongo au kuokewa na wabongo anatuzalilisha kwa ufisadi wake

  • @saadabakar7750
    @saadabakar7750 20 дней назад

    Zuchu amezaliwa na nyota yake inang'aa na mtu yoyote.
    Usijipigie prom ya kutaka kudanganya watu na kuwalia pesa zao

    • @SirBinLaden
      @SirBinLaden 20 дней назад +2

      Kabla ya zuchu kwenda kwa Diamond ulikuwa unamjua kiukubwaa wa jina kama unavyomjua sasahiv 😂 punguza kuwa mjuaji Elimu zinawenyew😂😂😂

    • @pengefeza2563
      @pengefeza2563 20 дней назад

      ​@@SirBinLadenzuchu amejijengea jina lake mwenyewe.
      Ana kipaji chake cha kuimba.

    • @user-pk1yl7zt8p
      @user-pk1yl7zt8p 20 дней назад

      Unaumwa ww jinga kabsa usfnnsh Simba na vtu vy hovyo

  • @azizaissa4010
    @azizaissa4010 20 дней назад

    Sasa wewe mtangazaji mtu wa ajabu sana Kwa nini usiulizie watu wa familia yako

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 20 дней назад

    Wajinga tu acha kudanganya watu audhubillah