Mt. Yohane Paul II Alivyopokelewa na Hayati Kardinali Rugambwa 1/9/1990 na Kuhutubia Kanisa Kuu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 фев 2025
  • Tafadhali Subscribe, Like, Comment na Share tone hili la upendo kwa ndugu jamaa na marafiki.
    Jumuika nasi katika mitandao mingine ya Kijamii:
    Instagram: / jugo_media
    Facebook: / jugomedia2019
    Mawasiliano:
    JUGO MEDIA,
    Sokoine Drive, Posta
    P. O. BOX 34014,
    Dar es Salaam.
    For Bookings and other Enquiries
    Phone Number +255757560764/657790405
    #miaka30mt.yohanepauloiitz #jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa #australia #unitedstates #canada #america

Комментарии • 110

  • @JosephinaMasubi
    @JosephinaMasubi 6 месяцев назад +1

    Mt.Yohani Paulo wa LL hautasahaulika Tanzania. Utuombee Kwa Mungu Na Mama Bikira Maria. Nchi yetu Iendelee kuwa Na Amani. Amina.

  • @venerandamaufi8574
    @venerandamaufi8574 Год назад +1

    Ilikuwa baraka na shangwe kubwa hapa kwetu Tanzania!asante Yesu!❤

  • @anuaritemndeme7832
    @anuaritemndeme7832 2 года назад +2

    Nampenda Sana huyu Baba, Asanteni jugo media kutukumbusha furaha hii. Nilikuwa darasa la nne tulisikiliza misa yake kwenye radio tukiwa misa yetu ya kipindi cha dini. Padre Edwin apumzike kwa amani, Mtakatifu Yohane Paulo wa pili utuombee. Nimefurahi Sana

  • @ezekielawaree9660
    @ezekielawaree9660 3 года назад +8

    Tulipata baraka ya pekee asantè sana Mh,Ally Hassan ,kwa kutuletea Kiongozi mkubwa sana sana duniani Mungu akubariki Amina.

    • @oscarfilimbi5717
      @oscarfilimbi5717 2 года назад

      Hakika tulipata baraka sana ktk nchi yetu kutembelewa na kiongozi mkubwa kabisa kabisa duniani,ulimwengu wote ulikuwa ukifuatilia ujio wake,ni Mtakatifu hasa,alikuwa na nguvu za ajabu alipita karibu yangu mwili wangu ulitokwa na jasho ghafla,pumzika kwa amani Baba Mtakatifu Yohane Paul wa Pili.

  • @daudimaembe3360
    @daudimaembe3360 9 месяцев назад +2

    Saint John Paul II Pray for us sinners

  • @ponsianaprotas8990
    @ponsianaprotas8990 2 года назад +2

    Asante Mungu kuanzisha Kanisa moja, Takatifu, Katoliki, la Mitume.

  • @kabembamartin4489
    @kabembamartin4489 3 года назад +5

    Ziara iliyotukuka ya mtakatifu yohane Paulo wa Pili. Hongera mzee Ali Hassan kwa kumleta nchini

  • @sabinusmalima3051
    @sabinusmalima3051 2 года назад +2

    Mzee Mwinyi alichokifanya kumpokea kiongozi wa mkuu wa wakatoliki duniani ni ukomavu wa uongozi na imani yake. Aombewe maisha mzee wetu na viongozi wetu wa sasa wapate cha kujifunza.

    • @Johnmhepela
      @Johnmhepela 7 месяцев назад

      Kabisa Mzee mwinyi nilimkubal

  • @venerandamaufi8574
    @venerandamaufi8574 Год назад

    Ilikuwa baraka na shangwe kubwa hapa Tanzania!thanks God!

  • @henrylugongo632
    @henrylugongo632 3 года назад +6

    Ni nchi ya Tanzania tu ndo Alitembea kwa AMANI,Kuliko nchi zote Alizotembelea,MWENYEZI MUNGU AMLEHEMU PAPA J,II 🙏🙏🙏

  • @cosmaskamugisha5918
    @cosmaskamugisha5918 2 года назад

    Ilikuwa ni baraka kuu daima Kwa Tanzania, wajibu wetu kuenzi historia ya nchi yetu,kulilinda kanisa katoriki wengi wanapotosha Imani ya kweli.

  • @ponsianaprotas8990
    @ponsianaprotas8990 2 года назад +1

    Mungu asante. Nchi yetu ilitembelewa na Mtakatifu tuliyeishi naye. Mtakatifu Baba Mtakatifu John Paulo wa pili utuonbee. Nchi yetu imebarikiwa sana kwa makuu haya. Nimefurahi sana Kwa kumbukumbu hii. Asante kwa waliyotuletea hii.

  • @vendelinmassawe1795
    @vendelinmassawe1795 10 месяцев назад

    Dah... Kifo bhana, hakika aridhi inameza kwa kweli asilimia zaidi ya 80% walioko hapo wako katika nyumba zao za milele. (wako kwenye mashimo ya makaburi.)😢😢😢😢😢

  • @henrylugongo632
    @henrylugongo632 3 года назад +5

    Asante kwa wewe uliyoirusha

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 года назад +5

    "Mungu ibariki Tanzania na watu wake"

  • @reginaamadeus4866
    @reginaamadeus4866 2 года назад

    Mt. John Paul wa pili utuombee
    Mungu aendelee kukubariki mzee wetu Ally Hassan Mwinyi! Kiongozi halisi uliewapeleka watu wako kwa Mungu na sio kwenye dini! Hakika umebarikiwa

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 года назад +2

    Mh.mzee wetu Hassan Mwinyi utawala wako.ulokuwa wa baraka sana. Ulimkaribisha Mtf wa.karne yetu ukala nae na mazungumzo naye. Bahati iliyoje?

  • @saumsaum1916
    @saumsaum1916 2 года назад +1

    Vile vitenge nilikuwa navyo. Kalibu mgeni wetu tanzania

  • @andreamissama1273
    @andreamissama1273 3 года назад +4

    Mtakatifu Yohane Paulo II Utuombee. Ilikuwa Baraka kubwa kwetu.

  • @angelsulle7177
    @angelsulle7177 2 года назад

    Ubarikiwe Mh. Ali Hasan Mwinyi kwa kumpokea St.John Paulo nchini ktk utawala wako

  • @agathamburu8910
    @agathamburu8910 3 года назад +6

    SAINT JOHN PAUL PRAY FOR UNITY IN EAC.AMEN

  • @venerandamaufi8574
    @venerandamaufi8574 Год назад

    Mt baba John Paul wa pili,utuombee,endelea kuombea amani ya Tanzania!

  • @rumb5876
    @rumb5876 3 года назад +5

    Good memory, thank you Jugo media, be Blessed

  • @minjagas1343
    @minjagas1343 2 года назад

    Tanzania taifa la kuigwa .kiongozi mwisalamu mgeni mkatoliki.

  • @felisterkokuberwa5783
    @felisterkokuberwa5783 3 года назад +2

    Oh so nice St John Paul pray for us , Rugambwa pray for us

    • @unclejonah7350
      @unclejonah7350 3 года назад

      we jipeleke kwa Mungu ...uombewe nn kwani Mungu atakusikia kwa niaba y'ako .......a u tired u can't go to God by ua self or u think this pop has the front seat in heaven 🤔🤔

  • @paulmpwagi7313
    @paulmpwagi7313 3 года назад +1

    Atakumbukwa sana sana hapa tz enzi hizo nasoma darasa la nne 4

  • @emmanuelmboya671
    @emmanuelmboya671 Год назад

    Yes alikuwepo.

  • @hervelove1
    @hervelove1 2 года назад

    The way he picked up those small children kwa miguu ya polisi. Amazing

  • @StephenMsofe
    @StephenMsofe Год назад

    Hii ni baraka Kwa wtanzania Kwa nyakati zote Mt yahane 2 utuombee

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 3 года назад +2

    Hivi unabii unasemaje .. juu ya mtu mwenye cheo na mamlaka ya upapa... Eee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz

  • @jpstudiospro.9051
    @jpstudiospro.9051 3 года назад +2

    JOHN PAUL II PRAY FOR US

  • @adamdaudi6191
    @adamdaudi6191 2 года назад

    Daaa, watu mnapekua, mpaka hii clip mnayo?, hongereni!.

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup68 3 года назад +1

    Kumbe teckonolojia ya picha ilikua ya rangi kwa wenzetu ,rest in pop yohann &bishop rugambwa

  • @Mo_Classic_Brand
    @Mo_Classic_Brand 3 года назад +2

    Ujio wa Papa yohane Paulo wa pili

  • @shayopaterini8678
    @shayopaterini8678 3 года назад +1

    Papa paul wa pili prayers for us

  • @ponsianaprotas8990
    @ponsianaprotas8990 2 года назад +1

    Nilikuwa Mnovisi mwaka was kwanza, tulikuwa tunasikiliza redio tulijawa na furaha isiyopimika.

  • @JOSEPHDUNIA-qi3ol
    @JOSEPHDUNIA-qi3ol 11 месяцев назад

    MUNGU ATUKUZWE MILELE 🌎

  • @ibel4lf
    @ibel4lf 3 года назад +3

    Can we get a part two of this

  • @emmanuelbonifas2804
    @emmanuelbonifas2804 2 года назад +2

    Ilikuwa bahati ya pekee na sidhani kama itakuja kurudia tena kwa mwenendo tulionao sasa hivi nchi yetu imezungukwa na shetani kila kona

  • @kazimotomaswi9700
    @kazimotomaswi9700 2 года назад

    Papa mwenye historia ya kipekee

  • @godfreymrosso2051
    @godfreymrosso2051 Год назад

    MT YOHANE 2 UTUOMBEE

  • @emmanuelmboya671
    @emmanuelmboya671 Год назад

    Ni huyu mtakatifu john paul wa 2 aliyefika Tanzania utuombee ss na Taifa letu.

  • @conradminja2236
    @conradminja2236 2 года назад

    Baba mtakatifu utuombee

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 2 года назад

    Nakumbuka hili tukio hapo Kurasini

  • @geraldlema961
    @geraldlema961 3 года назад +6

    Nimemuona Hayati Askofu Amedeus Msarakie

  • @mlimilachannel3047
    @mlimilachannel3047 Год назад

    Kama nimemuona Anna Makinda?

  • @yohanadeus1292
    @yohanadeus1292 3 года назад +1

    Mambo ya miaka ya 1990

  • @paschaldamian4597
    @paschaldamian4597 3 года назад +2

    Mapokez yalikuwa hafifu san hat jukwaa halikujengwa ona upepo unavowasumbua

    • @shayopaterini8678
      @shayopaterini8678 3 года назад +1

      Kwa mwaka tisin hiyo ni babkubwa

    • @georginamulebya4932
      @georginamulebya4932 2 года назад +1

      Ndiyo maana tunabarikiwa Tanzania.Tunamshukuru sans Mungu kwa kutupa tunu tuliyopata mwaka 1990. Baba huyo sasa ni Mtakatufu. Mungu alitupendelea sana. Asante Mungu.

  • @titusnjenje556
    @titusnjenje556 2 года назад

    Uwo mwaka nilikuwa na umri wa mwezi mmoja tu tangu nizaliwe

  • @ibel4lf
    @ibel4lf 3 года назад +1

    Mkanda wa ujio wa Papa ulipotea ndani kwetu

  • @clarencebitegeko7079
    @clarencebitegeko7079 3 года назад

    Hiyo Park iko wapi?

  • @janviersobhane6492
    @janviersobhane6492 2 года назад

    MATHATO 15:8-13

  • @faithyfrank3242
    @faithyfrank3242 2 года назад

    John Paul

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 3 года назад +1

    Hii ya lini 🤔

  • @Mo_Classic_Brand
    @Mo_Classic_Brand 3 года назад

    JP 2

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 3 года назад

    HANA BARAKOA 👏👏🙏🙏🙏

    • @henrylugongo632
      @henrylugongo632 3 года назад

      Hiyo sio LEO,

    • @reubenmuganyizi8537
      @reubenmuganyizi8537 3 года назад

      Enzi hizo hakuna ,it was Corona,free country,

    • @kabembamartin4489
      @kabembamartin4489 3 года назад

      Hahaha barakoa Tena? Mwaka 1990 mwaka ambao hata marehemu mwl. Nyerere alimvulia kofia mzee Mwinyi kwa uthubutu aliouonyesha wa kumleta nchini.

    • @ibel4lf
      @ibel4lf 3 года назад

      Mwaka 1990

  • @edsoneliah2802
    @edsoneliah2802 2 года назад

    Hivi, naomba kueleweshwa; kwani Papa anapigiwa saluti na yeye sio kiongozi wa nchi? Ni kiongozi wa dini

    • @derickaby1731
      @derickaby1731 Год назад +1

      Vatican City inatambulika kama nchi,na papa ndiye kiongozi wa hiyo nchi

    • @hgrintercon9537
      @hgrintercon9537 Год назад

      Na ina kiti cha kudumu UN...

  • @paulrwechungura4284
    @paulrwechungura4284 2 года назад

    Pope

  • @josephmoyo5617
    @josephmoyo5617 2 года назад

    Utuombee

  • @fabiolapanga1933
    @fabiolapanga1933 3 года назад

    Pope yohone Paulo wa pili utuombee nikiona hizi picha zako huwa nalia

  • @unclejonah7350
    @unclejonah7350 3 года назад +1

    shetani ushindwe kwa jina la Yesu ......na uangamizwe milele na milele .mbinu na njoa zako twazijia ....wenye hekima tu ila wabumbafu watasema ety mtakatifu cjui nani awombee .ni kweli maandiko yanavyosema uko duniani na ako na mamlaka makubwa anayemkufuru Mungu kwa jina la mtakatifu na anasema anaweza kusamahe dhambi .na watu wa ulimwengu ambao majina yao hayapo katika kitabu cha uzima watamsujudu mtu huyo😢😢😢😢

    • @manyamabenedictor1795
      @manyamabenedictor1795 3 года назад +2

      Wewe wajiona mwenye hekima ,MUNGU akusamehe kwa maana haujui usemalo.

    • @unclejonah7350
      @unclejonah7350 3 года назад

      @@manyamabenedictor1795 akusamehe pia kwa kutokujua ....juu sio makosa y'ako n umeipenda dini Sana kuliko kujijengea msimamo wako na biblia y'ako unangoja kusomewa na viongozi wa dini lako ulidhani yesu anashuka kulichukia dhehebu ama dini fulani pole ?

    • @samsonfulgence5553
      @samsonfulgence5553 3 года назад

      Wew naye uncle Jonauh sijui ni wa wapi! Yaani unajiona wew ndo Malaika mkuu, na kwamba wew unamjua Mungu na watu wengine woote hawamjui ispokuwa wew🤔! Unakufuru kwa kuwadharau wengine na kuwakebehi mitume wake. Ndiyo maana Kagame kaweka sheria za kulazimisha kila anayetaka kuanzisha kanisa walau awe na shahada ya theolojia maana uelewa wenu naona ni shida. Ulishawahi kuona au kusikia wao wakiwakebehi ninyi? Au wew ndiye Yesu unayehukumu wadhambi? Shame on you.

    • @samsonfulgence5553
      @samsonfulgence5553 3 года назад

      @@unclejonah7350 Sasa wew unayejisomea na huelewi kitu chochote, si afadhali anayesomewa na kuelewa? Sasa wew unajua nin ktk biblia tofauti na kejeli? Ungelikuwa unajua hata kitu kidogo tu, ujuzi au ujuvi huo ungelijionyesha ktk hekima! Au wew mungu wako anakaa ktk madharau na kebehi kwa wengine?

    • @unclejonah7350
      @unclejonah7350 3 года назад

      @@samsonfulgence5553 huyu sio mtume wa Mungu sababu anajiita yesu na yesu sio binadamu najua hilo huwezi elewa sababu umeshajizoesha kuwa elimu ya vitabu na shahada ndouelewa wa biblia ..........hapo tu yaonyesha u have a low self esteem so ua urguments are based on how u love ua dini ....nothing in ua mind is based in the bible

  • @sabatosabibi2191
    @sabatosabibi2191 3 года назад +1

    Mnyama kwenye aridhi ya tz ufunuo 13

    • @jamesmasome359
      @jamesmasome359 2 года назад

      Mnyama wewe...

    • @angelsulle7177
      @angelsulle7177 2 года назад +1

      Wasabato ni wafuasi wa wayahudi walimwua Yesu mnadondosha mate usiku na mchana kulipinga Kanisa Katoliki lkn mbona hamfikii hata robo ya Wakatoliki mmelaaniwa ninyi

    • @leonardchoma3765
      @leonardchoma3765 2 года назад +1

      Usabato umejaa fitina,kutukana makanisa mengine pamoja na uzushi na uongo uongo tu.