Duh! Binti Huyu Amshangaza MAGUFULI, Waziri AMELIA Hadharani!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Duh! Binti Huyu Amshangaza MAGUFULI, Waziri AMELIA Hadharani!
    Mtoto wa kike, Sumayya Juma Abdalah mwenye umri wa miaka 12, ameliza Ummat Muhamad uliofika katika uwanja wa Taifa kushuhudia Mashindano makubwa ya Quraan Tufuku yaliyofanyika leo Mei 19,....
    Miongoni mwa walioguswa na mtoto huyu wakati anasoma Quraani ni pamoja na Rais Dkt John Magufuli ambaye ndiye mgeni rasmi, lakini pia Naibu Waziri wa Fedha, Dkt Ashatu Kijaji, ambaye ameshindwa kujizuia na kujikuta akimwaga machozi......
    Mashindano hayo yameandaliwa na Taasisi ya Al-Hikma chini ya Sheikh Nurdeen Kishk, ambapo yameshirikisha nchi 20 barani Afrika...
    #MASHINDANOYAQURAAN
    Https://www.youtube.co.... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website:
    www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Комментарии • 2,2 тыс.

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 5 лет назад +853

    Allah umuepushe na mitihani ya dunia na ampe maisha marefu ya furaha na ucha Mungu

  • @omariselemani479
    @omariselemani479 5 лет назад +106

    Allah akbar, wallahy anayekubali Qur’an kuwa ndicho kitabu kitukufu zaidi kuliko kitabu kingine hapa ulimwengu Like

  • @shamimkingazi8925
    @shamimkingazi8925 5 лет назад +496

    Wallah naona wivu mpaka nalia 😢😢😢😢😢😢mashallah mdogo wangu Allah akulipe ilmu ziada 😭😭😭😭😭😭😭nakupenda

  • @judithwambura9234
    @judithwambura9234 5 лет назад +563

    Am Christian but God is good all the time God will pay this child Amin

  • @ZaksVillage
    @ZaksVillage 3 года назад +25

    A president who respected his citizens regardless of belief or class. I admired this man for the past 5 years. May Allah bless and protect this great nation. 🇸🇴 ❤️🇹🇿. Umoja Amani na upendo.

  • @shamilakarimu3820
    @shamilakarimu3820 4 года назад +17

    Mashallaah mwenyezi mungu amjalie awe mwenye kuigwa namuomba mungu anijalie kizazi chema inshallah kama waikubali dini hii ndo ya haki gonga lake twende sawa ubalikiwe

  • @wilonjahatua2067
    @wilonjahatua2067 5 лет назад +756

    Kbs kama umemuelewa huyu binti kwa uwezo wake wa kuhifadhi guran acha majungu na wivu gonga Like yako hapa Tanzania oyeeeeeeeeeee

  • @salmaothuman9762
    @salmaothuman9762 5 лет назад +333

    😢😢😢😢😢😢😢furaha uleta majonzi ukisikia mtoto kama huyu anasoma Quran vizuri mungu akupushie na mabalaa ya dunia

  • @veronicascottmollel7897
    @veronicascottmollel7897 5 лет назад +304

    Mlee mtoto ktk Njia impasayo nae hataiacha hata atakapo Kuwa mzee! Hongera Sana Bint.

    • @naamohamed9964
      @naamohamed9964 5 лет назад +5

      Na hongera kwa wazazi pia ila bira kusahau neem za allah hizo

    • @mauayusufumauayusufu7862
      @mauayusufumauayusufu7862 5 лет назад +4

      Mashallah sumayyah😘😘💞💓💞💞💓 mungu akujaalie afya njema.

  • @martherroman6492
    @martherroman6492 5 лет назад +87

    mungu amlinde siku zote za maisha yake na ampe afya njema mi ni mkristu ila kiukweli amenigusa sana god bless you 👏👏

    • @shafiipesa3356
      @shafiipesa3356 5 лет назад +3

      nikweli kbsa mi pia mkristo ila du huyu mtoto ni hatar allah ampiganie afike mbsli zaid

    • @mwanjeasuman3449
      @mwanjeasuman3449 4 года назад +1

      Manshallah .my younger sister congratulations. May Almighty Allah protect you from shayitwan and grant u Janna

    • @musinmaumba2837
      @musinmaumba2837 4 года назад

      Amiin

    • @jumamashala4162
      @jumamashala4162 4 года назад

      Kiukweli amenigusa Sana God bless yuo

    • @J4UPro
      @J4UPro 3 года назад

      Safi sana ndugu yetu katika Adam

  • @resishansonoresisha3958
    @resishansonoresisha3958 5 лет назад +162

    Am Christian,but my young sister your so amazing
    Masha Allah
    Allah inkaalish habibty

    • @yakobomkristo872
      @yakobomkristo872 5 лет назад

      Sifagilii Uongo, Mkristo Humalizia Kwa Kusema Aleluya, Siyo Mashallah

    • @resishansonoresisha3958
      @resishansonoresisha3958 5 лет назад +9

      @@yakobomkristo872 hiyo ni lugha,na ndo maan hat Dr John Magul amewasalim kwa kiislam,kwan yy ni muislam!?
      Kwakuw imelenga kwa waislam ndo maan nmetumia neno Masha Allah,,,,
      Unacoment kutok na maelezo hayo,nikisem aleluya angenielewa!?????
      Ko penda kuish kulingana na mazngira mpendw
      Pia comment kulngan na video inavyojieleza
      Asante
      Na honger kwa kutokufagilia uongo ila ELEWA kwanza kisha reply
      Thanks

    • @yakobomkristo872
      @yakobomkristo872 5 лет назад

      Salamu Haina Shida Mpendwa, Hata Wewe Ungesalimia Nisingetia Neno, Tatizo Umetaja Jina La mungu Mwingine, Hivi Hujui Kwamba BWANA ni Mungu Mwenye Wivu? Ndiomana Nilikuwa Na Mashaka Na Ukristo Wako Mpendwa.

    • @resishansonoresisha3958
      @resishansonoresisha3958 5 лет назад +4

      @@yakobomkristo872 pole sana,nmetumia lugha ya Kiarabu ndo maan nikaandika vile,Allah mean God masha Allah,mean hongera,vzr na n.k
      Jaribu kunielewa plz mpendw

    • @sammo6090
      @sammo6090 5 лет назад +4

      Welcome in islam free

  • @user-tt9wf8ti8m
    @user-tt9wf8ti8m 5 лет назад +430

    Mashaallah mungu akujalie shahada siku ya kufa kwako

  • @hassinaalharthi5984
    @hassinaalharthi5984 5 лет назад +145

    Mashaallah Tabaraka Rahman bahti yako ya binti si rahisi kuhitafhi qur Anni . Mashaallah wewe na wazazi wako. Allah atijalie na vizazi vyetu woote na vizazi vijazo.

    • @hajimaulid5252
      @hajimaulid5252 5 лет назад +1

      Asalam

    • @aminasudi2938
      @aminasudi2938 5 лет назад +1

      Mashaallah natamani angekuwa ndio Jasmin wangu jamani wallah nimesikia raha akufanyie wepesi inshaallah

    • @hassinaalharthi5984
      @hassinaalharthi5984 5 лет назад +1

      @@aminasudi2938 amiin yaraabii Kwa sote wazazi wanafuraha ya aje maana ukifa huozi unafufuliwa kama ulivyo zikwa Subhana llah . Allah atupe mwisho mwema yaarabi. Watu wakimbilia elmu ya dunia basi wazarau elmu ya akhera allahu Akbar.

    • @bigtv3145
      @bigtv3145 5 лет назад

      Nicee

    • @deusdeditndeki8000
      @deusdeditndeki8000 5 лет назад

      Hassina Al Harthi amin

  • @harounali1626
    @harounali1626 5 лет назад +281

    Mashaallaah Allaah subhanahu wataala Amuhifadhi bintu huyu na Amlinde na shari za shaitwan na wanaadam pale wanapo husudu.

  • @hamidhamad4462
    @hamidhamad4462 5 лет назад +119

    Kama umetowa machozi kumuangaliya bint huyu bas gong like mungu ambariki

  • @hallasafi2982
    @hallasafi2982 5 лет назад +31

    kama ni mtanzania na umependa hii sauti imekuvutia gonga like hapa na useme mashallhaaa 😍

  • @aliabdallah2220
    @aliabdallah2220 5 лет назад +58

    Maashallaah
    Allah amuongoze mtoto Sumayya kwa kuhifadhi kwake Qur'an aje awe kiongozi bora duniani inshaallaah

  • @mussakhamis57
    @mussakhamis57 5 лет назад +256

    Ya Rabbi tujaalie tuwe Miongoni mwa wenye kukixoma kitabu chako kitukufu...

  • @lugendopius1231
    @lugendopius1231 5 лет назад +157

    Mimi pia mkiristo nimemkubali Bing anajua sana japo sielewi mungu mlinde bint na hila za ibilis.

  • @zaitunmukiri3121
    @zaitunmukiri3121 5 лет назад +8

    MashaAllah, I want my kids to also recite like her inshaAllah

  • @gloriousnp
    @gloriousnp 5 лет назад +21

    Wow just wow
    Am a Christian but this little girl is something else
    Mungu wa mbingu na nchi amuinue mpaka ashangae
    Na asipotee kamweee 🙏🙏🙏🙏🙏👌
    HAKIKA wazazi /walezi wake wamefanya kazi nzuri
    Kweli “mlee mtoto katika njia impasayo naye hataiacha hata atakapokuwa mzee ....mithali 22:6

  • @cyberchannel1833
    @cyberchannel1833 5 лет назад +608

    mimi.mkristo lakini napenda sana taratibu za kiislam kwakweli daaah. Mungu amsaidie bint ashinde.

  • @witnessemmanuel8785
    @witnessemmanuel8785 5 лет назад +179

    Hongera mdogo angu kumcha MUNGU ni njia salama

  • @hassangomai8884
    @hassangomai8884 5 лет назад +462

    anaye taka raisi wetu magufuli asilimu agonge na like njingi tu

    • @sakinamubaraka1246
      @sakinamubaraka1246 5 лет назад +8

      Mimi wakwanza namuombeaa sana

    • @sarahpita4990
      @sarahpita4990 5 лет назад +4

      Asilimu kwenye dini ya majini sio?

    • @user-qr2gj3jp9l
      @user-qr2gj3jp9l 5 лет назад +5

      @@sarahpita4990 unawazimu wewe

    • @sakinamubaraka1246
      @sakinamubaraka1246 5 лет назад +14

      @@sarahpita4990 majini mnayo nyie msiokuwa naakili😠😠
      Hivi wakiristo mgekuwa mnaakili msinge ingia kanisani na viatu wakati ndio nyumba ya ibada lakin kitanda mnakipa utukufu mnavua viatu ndio mlale Hivi hii kweli ni akili au matepo unapotaka kusema kitu fikiri Kwanzaa

    • @yazidihassan9759
      @yazidihassan9759 5 лет назад +6

      Mungu msamehe mja wako huyu muongoze katika njia ilionyooka kama halijui alitendalo kama anajua mlaani umuweke pamoja na firauni lanatullah

  • @smileitsfree2809
    @smileitsfree2809 3 года назад +3

    SubhanAllah beautiful recitation Allahumma barik💖

  • @dullahsbeatz3658
    @dullahsbeatz3658 5 лет назад +7

    Mmmmh Masha'Allah Mashaallah Masha'Allah Jazakhalahu Kheiry Sumaiyah T Abdallah 👍🔥🔥🔥😘😘😘

  • @rogaciandeodatus6529
    @rogaciandeodatus6529 5 лет назад +460

    Ambao wameskia tu saut lakin hawajaelewa alichosema gonga like

    • @barakakasim4724
      @barakakasim4724 5 лет назад +1

      Duh

    • @nzwilamakonda8053
      @nzwilamakonda8053 5 лет назад

      Hahahaa

    • @asryseif4713
      @asryseif4713 5 лет назад

      Mashaallah nimependa unaenda na neno pia na hatua allah akulinde akupe afya njema na akupe wepesi ili uzid kutimiza yale ulio ya kusudia

    • @omarybabuutv972
      @omarybabuutv972 5 лет назад +3

      Hata ķiingereza au kichina huwezi elewa mpaka ujifunze

    • @angelkelvin6599
      @angelkelvin6599 5 лет назад +2

      Hata sijaelewa but saut ni zur

  • @aminahamisi7854
    @aminahamisi7854 5 лет назад +206

    Natamani angechukua ushindi mwaka huu mwanamke inshaallah

    • @aishamohammed2097
      @aishamohammed2097 5 лет назад +1

      Amina Hamisi in shaa Allah

    • @hamidbahren1650
      @hamidbahren1650 5 лет назад +11

      kam umempend huyu bint kwa neema ya qur an aliyopewa na ALLAH kam nlvompenda mim sema mashllah halafu gonga like hpo

  • @ashurafabby1981
    @ashurafabby1981 5 лет назад +219

    Watt wadog mashallah sie mijitu mzima hata ikhlas hatuijui

  • @mejubinty8069
    @mejubinty8069 5 лет назад +12

    MashaAllah ,Mwenyezi Mungu amuongoze Leo hapa duniani,amuepushe na kila shari za dunia

  • @aishamother9943
    @aishamother9943 5 лет назад +10

    Mashallah mashallah Mungu nasi atupe umri tuweze kuwafunza wana wetu Ameen

  • @abdullahnassor9504
    @abdullahnassor9504 5 лет назад +334

    Kila aliefurahia ushindi wa 5 wa mtoto huyu namba like chini hapo

    • @rukiarswidu834
      @rukiarswidu834 5 лет назад

      Umejaaliwa binti allah akulinde

    • @apollonick6399
      @apollonick6399 5 лет назад

      Hongera kwako na kwa Tanzania

    • @jamilaahamad2952
      @jamilaahamad2952 5 лет назад +1

      Mashaa Allah

    • @sabrinaslenga687
      @sabrinaslenga687 5 лет назад +1

      Maaashalah had nimelia

    • @corrolesscps
      @corrolesscps 5 лет назад

      Abdullah Nassor . Binti alie lelewa kwenye malezi ya ustarabu na hekima na kujieshimu, binti mpole mnyenyekevu, asie na makuu na kumpenda muumba wake, binadam tuwe kama hivi watu wataratibu

  • @sirj1597
    @sirj1597 5 лет назад +105

    Mm Mkiristo Ila kwa hapo Jamani Hadi mwili Umesisimka Mdogo wangu hongera sana Jitaidi kuijua zaidi elimu ya mungu kwani ndio ya milele na uzima ila hii ya Mzungu ni ya mda2 Mungu Akuongoze ukue kwenye misingi Bora ya Dini Nimekupenda Sana mdogo wangu HONGERA SANA BY MWENYEKITI WA KAMATI YA WASOMA COMENT TZ

    • @kingungengombari9159
      @kingungengombari9159 5 лет назад +5

      Hahaha jomba ulipomalizia umenifurahisha sana maaana mi ni MJUMBE WA WASOMA COMMENTS BILA KUKOMENT

    • @crismhangaiki7237
      @crismhangaiki7237 5 лет назад +1

      Sir J good comment

    • @middymsagati4195
      @middymsagati4195 5 лет назад +1

      Sir J r

    • @sirj1597
      @sirj1597 5 лет назад

      Kingunge Ngombari hahhaaaa

    • @salamaibondo6747
      @salamaibondo6747 5 лет назад

      Sir J jaman yote ya dunia tuache haya ni mapito turudi kwake zala wajala raha ya dunia ipo lakin inayo mwisho balituthiruna lighata dunia waliaghirat dunia abika subhallah

  • @sirj1597
    @sirj1597 5 лет назад +234

    Jamani nasikia Raha hadi mwili unasisismka Mpka machozi ya furaha yanataka kunitoka HONGEra mdogo wangu Hicho ni kipaji cha pekee Sio kila mtu anacho

    • @mwajabukudra4868
      @mwajabukudra4868 5 лет назад

      mungu akutangulie mxhani baby wetu

    • @njechelesaidi8172
      @njechelesaidi8172 5 лет назад

      Allah ampe maisha marefu

    • @user-eg1dr6so4c
      @user-eg1dr6so4c 4 года назад

      Allah akujaliye kila la kheri

    • @sulemohd4812
      @sulemohd4812 4 года назад

      Mash Allah. Munguakuepushenahusda

    • @fadi_bl
      @fadi_bl 4 года назад

      Mm Kila nikiangalia na Kumskiza Machozi yananitoka Kwa Uzito wa Maneno ya Allah

  • @halimamajid5252
    @halimamajid5252 5 лет назад +6

    Mashaallah.. Yaani machoziyananitoka. Namuomba Allah amjaalie awe mtoto mwema kwa wazee wake nakwawaislamu kwa ujumla. Allah mlinde nahusda zawalimwengu yaarabbi.

  • @hajjpharmz169
    @hajjpharmz169 5 лет назад +9

    Mashaa allah, mdogo wangu ulistahili kuwa mshindi namba 1, na uwezo unao ila nilichogundua afya haikuwa sawa flue ilikusumbua,,, nilitamni uchukue nafas ya kwanza,, mungu akuhifadhi na akulipe kila la her

  • @saudamgaza6843
    @saudamgaza6843 5 лет назад +69

    Maahaallah.
    MwenyeziMungu akuzidishie na akuongoze ktk njia impasayo yy tu..

  • @bananatz4216
    @bananatz4216 5 лет назад +74

    From Oman Muscat mashaallah mashaallah yani hadi raha wallah allah atujaalie vizazi vyema tusio zaa na walio zaa allah awafanyie wepesi ktk kuhifadhi quran

  • @shamsaahmed9136
    @shamsaahmed9136 3 года назад +4

    Manshaallah ❤️❤️❤️❤️Allahbarik jamani kaniliza huyo mtoto kwa furaha 🤲🏽🤲🏽🤲🏽🤲🏽

  • @suhaylamwinyi8555
    @suhaylamwinyi8555 5 лет назад +4

    Allah amlinde na husda na vijicho ,,,,mashaallah Allah amhifadhi ktk Qur'an na ampe mwisho mwema in shaa Allah

  • @husseinomary4466
    @husseinomary4466 5 лет назад +168

    Tusomeshe watoto quran inshaallah

  • @ashraffkeebiyla5170
    @ashraffkeebiyla5170 5 лет назад +73

    Maashaa-Allah!Maashaa-Allah!
    Uwanja Umefurika..Allah atujaalie Duniani Mema..na Akhera Mema,,Aamin yaa rabbil aalamiin

    • @Najah4ah
      @Najah4ah 5 лет назад +2

      Allahuma Amin!

    • @wendomaliki5125
      @wendomaliki5125 5 лет назад

      Allah Karim.

    • @seleboy2395
      @seleboy2395 4 года назад

      kishiki ww ni sheikh lakin unakera kwann unapenda kujipendekeza kwa kafiri

    • @silverring3434
      @silverring3434 4 года назад

      Tunatakiwa tuishi nao kwa wema huenda ikawa sababu ya kubadili imani yk na yy biidhillah

    • @latifayasco2154
      @latifayasco2154 4 года назад

      Ashraff Keebiyla .nimependa

  • @neemaevarest2294
    @neemaevarest2294 5 лет назад +6

    Mm mkristo cjaelewa chochote ila nawapenda sana gonga like hapa hata kama haujaelewa inshallah mtoto mzuri

  • @bintmhammad9557
    @bintmhammad9557 5 лет назад +13

    Ma sha Allah Allah amkinge na fitna za dunya...quran itabaki kua juu zaidi

  • @asedtembo4742
    @asedtembo4742 5 лет назад +21

    Mwenyezi mungu amhifadhi katika uislam na atupe subira na hekma ktk malezi JAZZAKALLAH FIIKUM

  • @patriciaegbert245
    @patriciaegbert245 5 лет назад +200

    mi ni mkrisitu ila dogo nimekukubar Mungu akutangulie umetuwakilisha vyema

  • @faizabaishe5172
    @faizabaishe5172 5 лет назад +41

    MaashAllah mabrq, Allah atuongeze katika njia ilonyoka na watoto wetu, Allah akuhifadi InshAllah heri

  • @gracegilbert2882
    @gracegilbert2882 5 лет назад +97

    cjaelewa chochote ila mashallah mtoto nzuri una soma vizur mwaya.

    • @tematema3101
      @tematema3101 5 лет назад +1

      Mimi.je.naona.picha tu

    • @babuysalum8598
      @babuysalum8598 5 лет назад +1

      Mutaelewa wapi na hapa sio pahala penu kwa anaelewa anachsema na hongera atampa nyi kueni wajinga tu hamtaelewa mpk mnakufa hamuelewi km kifo kimefika

    • @rehemamadai8451
      @rehemamadai8451 5 лет назад

      Wew Grace utaelewaje ingekuwa nyimbo ya boni mwaitege ungeelewa

    • @dullyvidully7798
      @dullyvidully7798 5 лет назад +3

      Jitahidini kufatilia vizur Qur-an hususan Qur-an tafsiri mtaelewa Nini wanaongea watoto

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 5 лет назад

      @@dullyvidully7798, Ni kweli kabisa. Pia wangekua wanaeka number ya aya inayosomwa au text ili wasioelewa wakapata kujua kinachosemwa kwa kuangalia tafsir.

  • @wacmber2131
    @wacmber2131 5 лет назад +28

    Utamu wa dini ya kiislam IPO hapa hata kama huelewi Qur'an hupenya ndani ya nafsi ya msikilizaji bila waswas utajikuta umekaa makini waskiza yet hujui kinachosomwa.....TAKBIIIR

    • @rahmamziray4118
      @rahmamziray4118 5 лет назад

      Bnt Simber alah akbar

    • @ashanjango9937
      @ashanjango9937 5 лет назад

      Bnt Simber Manshaallah, Allah akupandishe Daraja hapa Duniani mpaka kesho Akhera Inshaallah

    • @aminaluttu649
      @aminaluttu649 5 лет назад

      Anajua anachokisoms ndo maana analia halii kwa furaha anataja utukufu wa allah pia anaelezea khofu yake juu ya allah waislam nandugu zangu wasio waislam tumche allah kama vile tunamuona

    • @salhasabuni9929
      @salhasabuni9929 4 года назад

      Mashallah allah amhifadhi napia amjaalie shahada kabla lima'uut

  • @wadhhaalwadhahi8676
    @wadhhaalwadhahi8676 5 лет назад +3

    ما شاء الله لا قوة إلا بالله تبارك الرحمن .. اللهم اجعلها قرآنًا يمشي على الأرض واجعل اخلاقها القرآن ❤️❤️❤️❤️

  • @happyakyoo4236
    @happyakyoo4236 5 лет назад +52

    Jamani japo sielewi ila machozi yananitoka eti,mwenyezi mungu akuzidishie,na hila za walimwengu natamani ushinde

    • @saidchilimba1489
      @saidchilimba1489 5 лет назад +1

      HAPPY AKYOO Asalam aleikum kumbe nawe upo. Masha Allah bint sumaiyyah kawawakilisha wanawake wote dunian

    • @allymngwaya6219
      @allymngwaya6219 5 лет назад

      Amiin

    • @rukaiyasalim1019
      @rukaiyasalim1019 5 лет назад

      Ameen

    • @asiamohammedabdalla3923
      @asiamohammedabdalla3923 5 лет назад

      Allah amlinde na husda za bin adam na majini nasi mola utujaalie watoto kamahuyu bint mashallah amiin

    • @maryamzanzibar8175
      @maryamzanzibar8175 4 года назад

      Mungu akupe maisha malefu uwainue na wengine

  • @edwardgwaspika4943
    @edwardgwaspika4943 5 лет назад +37

    Wow! Yuko super big up sana!

    • @michaelndilima6210
      @michaelndilima6210 5 лет назад

      Safi sana mungu aliyetuuba sote waislam na wakristo hapa duniani atubariki kwa umoja wetu bila kubaguana

  • @rowdyrondarouseyfire9476
    @rowdyrondarouseyfire9476 5 лет назад +47

    MashaAllah 😚😚😚may Allah Guide you from evil. Allah The Great.

  • @violetlihanda9935
    @violetlihanda9935 5 лет назад +3

    Mashaallah.Allah akupe maisha marefu na akulinde hila zote za hasad.

  • @fathiyasaad8041
    @fathiyasaad8041 5 лет назад +14

    Allah ampe noor ya dunia na akhera btfull MashaaAllah tabarakah Allah Allah muihifadhi mtoto wetu

  • @halimaramadhani4040
    @halimaramadhani4040 5 лет назад +54

    Allah akuongoze mdogo wangu wallah uislamu raha 😘

  • @alidochi2889
    @alidochi2889 5 лет назад +68

    Huyu Sumaiyya Allah amkuze na awalipe Wazazi wake Kila la Kheri
    Lkn Magufuli is The Special Father

  • @mkinalagekinoga1766
    @mkinalagekinoga1766 5 лет назад +73

    Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo, Mashaallah....

  • @neiahm3675
    @neiahm3675 5 лет назад +18

    Mashallah
    May Allah swt grand us children who can recite Quran better
    Amin

  • @alawiymtimkavu45
    @alawiymtimkavu45 5 лет назад +5

    الحمداللہ رب العلمین ۔
    Mwenyezimungu awahifadhi wote walio khifadhi Quran ya اللہ Subhana llah wataala. Na viongozi wote walio hudhuria katika kongamano la wale Tahfidhi Al Qur ani.
    Nasisote Nakila Inchi Iliyo wakilishwa na Khafidhiwao Basi ALLAH atubariki kwa barakazake za Qur'an yake.
    Ameen.
    🌙✋

  • @camillas.edrees6155
    @camillas.edrees6155 5 лет назад +31

    Ma’asha’Allah Tabaaraka’Allah Mwanangu,, Mola Akuhifadhi na Akubariki zaidi na wazazi wako

    • @khesoisailepu3635
      @khesoisailepu3635 4 года назад

      mwenyenzi mugugu azidi kukutia nguvu

    • @mbabekia5386
      @mbabekia5386 4 года назад

      Nataman kama ndo amina wangu anaisoma hiyoo mungu amfanyie wepes inshalaa

  • @rayaali7551
    @rayaali7551 5 лет назад +49

    Bismilaaah maasha allaaaaah yaaraby akuzidishiee na mmungu akulinde na uaduwi wa sheittaani na mahaasidi walee wanapo hasidi yaaraby mmungu azidi kukuongowa na kukuongoza katika njia ilio nyooka ya hapa dunianii na yaa aakhera yaraby atuongolee na kutuongozea na watoto wetu woote kwa ujumlaa AAMEENA YAARABY LAALAMEENA 🙏🙏🙏🙏🙏

    • @kakawilson2428
      @kakawilson2428 5 лет назад

      Mungu baliki watu wenyegusoma kitabu chamungu

    • @adamjohn8379
      @adamjohn8379 4 года назад

      Jaman mochozi yamenitoka he ww

  • @aminamkamba4244
    @aminamkamba4244 5 лет назад +46

    MaashAALLAH MDOGO WANGU UMEIONGOZA NCHI YETU ALLAH AKULINDE NAMABAYA

    • @salhairakoze6867
      @salhairakoze6867 4 года назад

      Allahu akbar ya rabii hakika uisilam ni dini ya hakii.allah awaongoze kweli.

  • @nistexanishaa6316
    @nistexanishaa6316 5 лет назад +31

    Masha Allah may Allah protect her from the evil eyes

  • @mgenisuleiman56
    @mgenisuleiman56 4 года назад +4

    Ya Allah bless this child here After grant her subra and iman and make her among the good people in dunia and akhera be bless daughter 🤲🤲🤲😘😘

  • @Almisbahy9551
    @Almisbahy9551 5 лет назад +102

    Nataman Huyu Bint Ashinde Wallaah

  • @mudybekar7932
    @mudybekar7932 5 лет назад +37

    Da..h nifuraha iliyooje kuwa maarufu kwa jambo km ili la Allah

  • @nahlasword4870
    @nahlasword4870 5 лет назад +56

    Mashallah yaraab mzidishie nguvu na kipaji

  • @abdiomarimohamed6626
    @abdiomarimohamed6626 4 года назад +1

    Ameen Allah amuepushe na shida za dunia! Ampe ujuzi, elmi zaidi ya akhera na dunia zaidi, awasaidi watoto, vizazi vijazo. Alhamdulilah!

  • @suma643
    @suma643 5 лет назад +2

    Inapendeza kwa kweli pamoja na ukristu wangu lakini huwa napenda sana mtu akiso ma qrhn mashallah binti M.Mungu akuongoze daima kamwe usiyumbishwa na ya dunia....bravo🙌

  • @seniornyungu9718
    @seniornyungu9718 5 лет назад +57

    Naomba Rais wetu Asilim,amependeza sana.

  • @consesamallya9763
    @consesamallya9763 5 лет назад +82

    Mimi ni mkristu ila mtoto amesoma vizuri sana

  • @mamaboys7195
    @mamaboys7195 5 лет назад +17

    Masha ALLAH...ALLAH akupe nguvu nakuepushe mbali n husda za mahasidi. Watching from🇦🇪

  • @rhiophiri9645
    @rhiophiri9645 5 лет назад +24

    congrats young lady we r watching u ,from johansburg,we r happy with u in this holy month of ramadhan

  • @ndunguyealex2771
    @ndunguyealex2771 5 лет назад +25

    I’m a Christian but this make me cry 😭

  • @munirayakoub3682
    @munirayakoub3682 5 лет назад +74

    Mungu akuzidishiye kira lilo kuwa nakheel mdogowangu nawatoto wrote waliozaliwa na watakao zaliwa

    • @ghulamjanmwipopo4925
      @ghulamjanmwipopo4925 5 лет назад +1

      Munira Yakoub

    • @niaally5365
      @niaally5365 5 лет назад +1

      dah nashindwa kuongea mwanangu allah akuepushe na mitihani ya dunia umenifanya nilie sana ummy wangu

  • @hamadeddy8089
    @hamadeddy8089 5 лет назад +60

    Mash Allah yaan nataman hata mwanangu maana anasoma vzr

    • @munirayakoub3682
      @munirayakoub3682 5 лет назад +2

      Inshaalha ipo siku atashiriki

    • @ummuismail7597
      @ummuismail7597 5 лет назад +2

      wote in sha Allan watakaofundisha wtt wao Qur'an....Allah siku yakiama atawavisha taji ....allah atujalie tuwe miongoni mwao .

  • @user-ll4rz8ug1g
    @user-ll4rz8ug1g 5 лет назад +40

    Maashaallah anasoma vizuri allah amlipe kika ka kheri dunia wal akhera inshaallah

  • @caliyarecaliyare5506
    @caliyarecaliyare5506 5 лет назад +6

    Mashallah
    wonderful my Allah protect our children

  • @saadiasaidi4385
    @saadiasaidi4385 5 лет назад +6

    Ma shaa Allah ught Allah Tabaraqal akukuze vyema,akulinde na masheitwan waalibifu In Shaa Allah
    hakika raha
    Hongera sana

  • @barakamalini7239
    @barakamalini7239 5 лет назад +35

    gonga like kama unaimini quran ni tiba

  • @YusufAli-ib6xu
    @YusufAli-ib6xu 5 лет назад +13

    Masha Allah Masha Allah Masha Allah
    Subhan Allah Subhan Allah Subhan Allah
    May Allah protect you and your family
    Insha Allah May Almighty Allah reward you and your family Insha Allah and Insha Allah you become the most powerful AAlima
    Insha Allah Ameen

  • @habibakhalfan1065
    @habibakhalfan1065 5 лет назад +10

    Asante Rais wa wote_Allah akulipe Kila jema Kwa kutujali Na kutupenda wananchi wote

    • @alipamoja4890
      @alipamoja4890 5 лет назад

      Amna kitu hapo

    • @rumeisabeby8673
      @rumeisabeby8673 5 лет назад

      Yarabb tujalie wazazi tuweze kuwafudisha wanawe tu dini yetu ya haki nawawe wana wema

  • @nyamtigaibrahim530
    @nyamtigaibrahim530 3 года назад +6

    Haya ndio malezi bora lakini Mitoto mingine imeshika nyimbo za diamond kuliko hata vitabu vya dini au masomo ya shule daaaaaaaaaaaaaah safi Sana kwa mzazi wa huyu binti MUNGU Pamoja nawe

  • @joharlijuma9445
    @joharlijuma9445 4 года назад +1

    Masha Allah mdogo Wangu kipenzi Allah akuepushe na Shari za dunia na akupe mwisho mwema

  • @daudirajabu6798
    @daudirajabu6798 5 лет назад +13

    Maashallah binti mungu akujalie zaidi ya hapo

  • @user-oc8zr7vt8z
    @user-oc8zr7vt8z 5 лет назад +48

    Mashallah mashallah mwenyezimungu amzidishie ameen

  • @Almisbahy9551
    @Almisbahy9551 5 лет назад +33

    Daah Bint Nliempend Kapat No 5 C Mbaya Ila Nngekuw Mi Ndo Jaj Nngempa No 1 Kisha Nikaend Kufanya Tawba Kwakwel Nmetaman Angekuw Mdgo Wngu

    • @mwajumaabeidy8137
      @mwajumaabeidy8137 5 лет назад

      Kabisaa

    • @omarjuma6054
      @omarjuma6054 5 лет назад

      Saamir Almis-bahy hahahahaha kaka umenifurahsha cn

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 5 лет назад +1

      😊Kusoma Qur-an wanaangalia hukmu za usomaji wa Qur-an unavyoziwakilisha ktk usomaji wako na sio sauti au mahadhi.

  • @sachaabasi5514
    @sachaabasi5514 3 года назад

    Mungu ambariki na ampe maisha marefu,Na atujaalie kizazi kijacho kiwe kama yeye wa kupenda qur'an

  • @solverman7459
    @solverman7459 5 лет назад +5

    MASHAALLAH MUNGU AKUSIMAMIE VYEMA KWA KILA JAMBO............
    Yaah, Allah jalia kizazi changu niwe kama huyu Bint kwa juhudi nitakazozifanya

  • @petermelkiony679
    @petermelkiony679 5 лет назад +7

    Allah akubariki sana binti kuifadhi Qu-ran tukufu namna hii ndyo njia ya kutafuta uwepo wa Tabara

  • @aliabdallah2220
    @aliabdallah2220 5 лет назад +10

    Nimemuona Mhe: Ashantu Kijaji. Naibu waziri wa Fedha Allah amuongoze nayeye inshaallaah

    • @vickytimbukgba8231
      @vickytimbukgba8231 5 лет назад

      wenyewe hatujaelewa tuseme amen

    • @seleboy2395
      @seleboy2395 4 года назад

      mashaallah wazanzibar wamejitahid kusambaza dini bara mana ilikuwa wapo katika kiza lakin saiv kidogo na tutazid kuwasilimisha kwan wengi hawajielewi

  • @emmamayombo8848
    @emmamayombo8848 5 лет назад +26

    Sielewi kitu lakini daah huyu mtoto anaswali vizuri 👏👏👏

    • @ashamdee9052
      @ashamdee9052 5 лет назад +1

      Allah huakbaru

    • @prospermwimanzi7398
      @prospermwimanzi7398 5 лет назад +1

      Huko sio kusali japo yupo ktk ibada ya usomaji Quran

    • @faikasaid9653
      @faikasaid9653 4 года назад +1

      mashallah allah akuhifadh dunian na kesho akher na akujalie umri mrefu💞💞

  • @razansalim532
    @razansalim532 5 лет назад +4

    MashaAllah MashaAllah MashaAllah jadha ka Allah kheir jamani mpaka raha shukrani

  • @yusufmwangichannel6692
    @yusufmwangichannel6692 4 года назад +1

    Masha Allah, Allahu Akbar, Allah amzidishie elmu na azidi kumuongiza katika njia ilio nyooka na aepukane na njia asio ipenda Allah. Amiin Thumma Amiin

  • @aishaail4455
    @aishaail4455 5 лет назад +40

    KWA UWEZO WA ALLAH SUMAIY AWE NO 1.

  • @sarahpita4990
    @sarahpita4990 5 лет назад +23

    Wakristo tuna upendo sana hii crip ingekua inazungumzia maswala ya yesu tungetukanwa sana...... Lkn sisi tunawatakia mema tu !!!

    • @ahmedkhamishaji8314
      @ahmedkhamishaji8314 5 лет назад

      Hii sikweli kwasababu hata cc tukikuta clip zinazoigusa jamii tunackiliza nakukoment kwa wema

    • @sarahpita4990
      @sarahpita4990 5 лет назад +1

      @@ahmedkhamishaji8314 labda wewe brother lkn walio wengi wanadhihaki

    • @mwantumkhamis3995
      @mwantumkhamis3995 5 лет назад +1

      Umeongea ukweli mtupu dada

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 5 лет назад +2

      Hapana sio kweli, kwa mujibu wa mafundisho ya Uislam Yesu na Muhammad ni ndugu, muislam akimtukana bwana Yesu hapo hapo anakuwa sio muislam. Na ndo maana kwenye Qur'an kuna sura nzima ya mama yake bwana Yesu inayoitwa Surat Mariyam ambapo ndani ya Qur'an mama yake Yesu na Yesu mwenyewe historia na sifa zao njema tena zilizotukuka zimeelezewa kwa kina. Ila inawezekana wewe umekutana na mtu asiyeujua uislam huku anajifanya muislam hali ya kuwa si muislam. Muislam hawezi kumtukana bwana Yesu hata siku moja. Na muislam anayeujua uislam hawezi kumtukana au kugombana mkiristu eti tu kwa sababu ametofautiana nae dini. Ndugu yangu Mafunzo ya uislam hayako hivyo.

    • @manyaramrema6531
      @manyaramrema6531 5 лет назад

      @@rayisadesigns2646 mbali na kuwa muislam unaonekana una hekima

  • @mwanaidimunga9099
    @mwanaidimunga9099 5 лет назад +12

    Masha'Allah sumaiya
    Mwenyezi Mungu anijalie kizazi chenye hofu ya allah
    Innsha'Allah

  • @thaurakhatib8066
    @thaurakhatib8066 3 года назад +2

    Mashallah Mashallah, Allah amjaalie kila la kheir. Ameen

  • @salimasaid9628
    @salimasaid9628 5 лет назад +1

    Masha Allah..Masha Allah..Masha Allah hasbiyallah M.Mungu azidi kukupa faham na akuongoze njia iloyonyooka na awajaalie watt wetu waweze kuhifadhi qur'an na sio miziki yaarabby