MBEGU ZA MITI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Jambe Seed, Wauzaji wa mbegu bora za miti

Комментарии • 27

  • @wilisonwilliam6484
    @wilisonwilliam6484 Месяц назад

    Naomba namba unitumie nataka mbegu

  • @absalommmartin2851
    @absalommmartin2851 6 лет назад

    Asante kwa elimu bora kuhusu njia nzuri za upandaji miti pia na vitu vyakuzingatia kuhusu kilimo cha miti, je ile miti ya awali msimuliaji alikuwa akitueleza ya umri wa miaka mnne na hii ya mkulima ya miaka mitatu ni tofauti ningependa kujua

    • @kilimobiashara9361
      @kilimobiashara9361  6 лет назад

      wasiliana na namba zilizo oneshwa katika kipindi, utahudumiwa vizuri

  • @NTE255
    @NTE255 5 лет назад +1

    Nashukuru sana kwa afya ya ubingo mnayotupa. Napenda kujua je
    Miti hii ya mbao inaweza kustawi vyema mkoa wa Morogoro Kilosa?
    Na kama inawezekana, je naweza kupata wapi miche ya mikaratusi mkoani Morogoro?

  • @stewarddriver1242
    @stewarddriver1242 2 года назад

    Naomba namba ya Steven mlimbila

  • @jimmyprotazi2063
    @jimmyprotazi2063 6 лет назад +1

    Asante kwa kutupa elimu @kilimoBiashara naomba kuuliza mkoa wa kagera wilaya ya kyerwa Mbegu izo za mkaratuzi zinafaha naomba ushauli

    • @straitnews3441
      @straitnews3441 5 лет назад +1

      Jimmy Protazi VP babu na mm nipo kagera ninevutiwa na hii kitu especially kwa pines ila ardhi ya bei rahis ndo napata WAP huku

    • @protazipius6281
      @protazipius6281 4 года назад

      @@straitnews3441 0755845130 nitafte Gideon kanje tuongee

  • @maniamba.tz_
    @maniamba.tz_ 4 года назад

    Inapendeza sana

  • @jessydevis9595
    @jessydevis9595 4 года назад

    Mpo wapi

  • @pierresaltary795
    @pierresaltary795 2 года назад

    Naweza kupata mbegu ya miti na sio seedling

  • @mohammedahmedsaeed7048
    @mohammedahmedsaeed7048 5 лет назад

    Karibuni Nina mpango wa kununua shamba la Miti . Mbegu wa ekari itani kuwa bei gani na kiwango chake?

  • @pelezi84
    @pelezi84 6 лет назад +1

    Asante sana kwa mafunzo mazuri,
    Naomba kuwashauri wadau pia wanaweza kupata elimu zaidi na kukutana na wataalamu kwenye Mitibiashara forum, forum.mitibiashara.or.tz/
    Karibuni sana.

    • @kilimobiashara9361
      @kilimobiashara9361  6 лет назад

      wasiliana nao wataalamu kupitia namba zilizooneshwa katika kipindi

  • @desmondgideon7683
    @desmondgideon7683 6 лет назад

    Ningependa kuwekeza katika biashara ya kulima miti na kununua mbegu kutoka kwenu, lakini nilikua na maswali ambayo ningependa kupata majibu, wapi naweza pata shamba nikalima miti? Na kwa kuanzia ni hekari ngapi zinafaa (najua inategemea na mtaji but roughly)?? Na mengi zaidi, sijui hizo namba za simu mlizo weka nikipiga zinaweza kunipa majibu? Asante

  • @straitnews3441
    @straitnews3441 5 лет назад

    Hizo mbegu ndo tatizo tunazipataje

  • @avax5717
    @avax5717 6 лет назад

    Hiyo miti haioti mkoa wa Pwani? Namaanisha maeneo ya Kibaha, vigwaza hivi

    • @kilimobiashara9361
      @kilimobiashara9361  6 лет назад

      hapana inahitaji eneo la barid na muinuko

    • @avax5717
      @avax5717 6 лет назад

      @@kilimobiashara9361 kwa hiyo huku pwani miti gani inafaa?

    • @kilimobiashara9361
      @kilimobiashara9361  6 лет назад

      Mitiki

    • @avax5717
      @avax5717 6 лет назад

      @@kilimobiashara9361 ooh asante sana

    • @eliminomtozi2602
      @eliminomtozi2602 3 года назад

      @@kilimobiashara9361
      Nnauzaa shamba la kalibea hekalii 50
      7 years 0622520218