Asante kwa elimu bora kuhusu njia nzuri za upandaji miti pia na vitu vyakuzingatia kuhusu kilimo cha miti, je ile miti ya awali msimuliaji alikuwa akitueleza ya umri wa miaka mnne na hii ya mkulima ya miaka mitatu ni tofauti ningependa kujua
Nashukuru sana kwa afya ya ubingo mnayotupa. Napenda kujua je Miti hii ya mbao inaweza kustawi vyema mkoa wa Morogoro Kilosa? Na kama inawezekana, je naweza kupata wapi miche ya mikaratusi mkoani Morogoro?
Asante sana kwa mafunzo mazuri, Naomba kuwashauri wadau pia wanaweza kupata elimu zaidi na kukutana na wataalamu kwenye Mitibiashara forum, forum.mitibiashara.or.tz/ Karibuni sana.
Ningependa kuwekeza katika biashara ya kulima miti na kununua mbegu kutoka kwenu, lakini nilikua na maswali ambayo ningependa kupata majibu, wapi naweza pata shamba nikalima miti? Na kwa kuanzia ni hekari ngapi zinafaa (najua inategemea na mtaji but roughly)?? Na mengi zaidi, sijui hizo namba za simu mlizo weka nikipiga zinaweza kunipa majibu? Asante
Naomba namba unitumie nataka mbegu
Asante kwa elimu bora kuhusu njia nzuri za upandaji miti pia na vitu vyakuzingatia kuhusu kilimo cha miti, je ile miti ya awali msimuliaji alikuwa akitueleza ya umri wa miaka mnne na hii ya mkulima ya miaka mitatu ni tofauti ningependa kujua
wasiliana na namba zilizo oneshwa katika kipindi, utahudumiwa vizuri
Nashukuru sana kwa afya ya ubingo mnayotupa. Napenda kujua je
Miti hii ya mbao inaweza kustawi vyema mkoa wa Morogoro Kilosa?
Na kama inawezekana, je naweza kupata wapi miche ya mikaratusi mkoani Morogoro?
Naomba namba ya Steven mlimbila
Asante kwa kutupa elimu @kilimoBiashara naomba kuuliza mkoa wa kagera wilaya ya kyerwa Mbegu izo za mkaratuzi zinafaha naomba ushauli
Jimmy Protazi VP babu na mm nipo kagera ninevutiwa na hii kitu especially kwa pines ila ardhi ya bei rahis ndo napata WAP huku
@@straitnews3441 0755845130 nitafte Gideon kanje tuongee
Inapendeza sana
Mpo wapi
Naweza kupata mbegu ya miti na sio seedling
Karibuni Nina mpango wa kununua shamba la Miti . Mbegu wa ekari itani kuwa bei gani na kiwango chake?
unahitaji kununua wapi na miti ya aina gani
0622520218
Asante sana kwa mafunzo mazuri,
Naomba kuwashauri wadau pia wanaweza kupata elimu zaidi na kukutana na wataalamu kwenye Mitibiashara forum, forum.mitibiashara.or.tz/
Karibuni sana.
wasiliana nao wataalamu kupitia namba zilizooneshwa katika kipindi
Ningependa kuwekeza katika biashara ya kulima miti na kununua mbegu kutoka kwenu, lakini nilikua na maswali ambayo ningependa kupata majibu, wapi naweza pata shamba nikalima miti? Na kwa kuanzia ni hekari ngapi zinafaa (najua inategemea na mtaji but roughly)?? Na mengi zaidi, sijui hizo namba za simu mlizo weka nikipiga zinaweza kunipa majibu? Asante
Zinafanya kazi piga!
niko Nyakanazi Biharamulo naomba aina ya miti inayofaa kwa udongo wetu
Hizo mbegu ndo tatizo tunazipataje
Naulizia kilimo cha mitiki,je,inakubari mkowa wa tabora upande wa kusini,
Hiyo miti haioti mkoa wa Pwani? Namaanisha maeneo ya Kibaha, vigwaza hivi
hapana inahitaji eneo la barid na muinuko
@@kilimobiashara9361 kwa hiyo huku pwani miti gani inafaa?
Mitiki
@@kilimobiashara9361 ooh asante sana
@@kilimobiashara9361
Nnauzaa shamba la kalibea hekalii 50
7 years 0622520218