Unajua sometimes tuseme ukweli channel nyingi za bongo zimejaa ujinga na hii ni Moja wapo. Hivi unawezaje kuweka content kama hii Kwa maneno ya kufikirika? ingependeza sana kama ungefanya direct interview na mkulima tukaona live shambani, lakini unaongea ukiwa kwenye kijiwe Cha kahawa. Hii sio content bali ni umbea kama umbea mwingine wa vijiwe vya kahawa. Badilikeni RUclipsrs wa Tanzania. Wengine tupo serious kufatilia hizi channel za kilimo lakini unakuta ni pumba tu, kama content za kilimo hauwezi Bora uache tu bro. Najua utaumia lakini ukweli lazima usemwe.
Usiwe wakwanza kutoa maoni bila kujia unachokiongea. Kwenye channel hii kua wakulima wengi sana tumefanya mahojianl. Unakuja na bandle lako la buku unalalamika kama hata nauli ya kuwafata wakulima umetupa
Lubaba TV una tukosa baadhi ya views kwa sababu unaleta story Ambazo ni maneno tu, tunataka fact, kama ni ufugaji fanya interview na wafugaji live, kama ni wakulima fanya interview na wakulima sio story Ambazo kila siku hata tuki ingia kwenye magrup ya WhatsApp tunapata
wanaleta habari wala sio kweli kuhusu muhogo ekari moja kupata zaidi milioni 10 mimi kuna nambawaliitowa nikamuuulia sikupata majibu sahihi mana walisema morogoro kuna soko la muhogo nilipogatilia alanambia soko liko iringa.
Namna ya kuvuna rozella(karkadee)maana napata tabu sana kuichambua rozella moja moja nishauri kama kuna njia nyengine ya kutumia
Mbona mnatuwekea picha ya Ginimbi
Unajua sometimes tuseme ukweli channel nyingi za bongo zimejaa ujinga na hii ni Moja wapo. Hivi unawezaje kuweka content kama hii Kwa maneno ya kufikirika? ingependeza sana kama ungefanya direct interview na mkulima tukaona live shambani, lakini unaongea ukiwa kwenye kijiwe Cha kahawa. Hii sio content bali ni umbea kama umbea mwingine wa vijiwe vya kahawa.
Badilikeni RUclipsrs wa Tanzania. Wengine tupo serious kufatilia hizi channel za kilimo lakini unakuta ni pumba tu, kama content za kilimo hauwezi Bora uache tu bro. Najua utaumia lakini ukweli lazima usemwe.
Fungua yako mwenyewe upost ambavyo sio ujinga.
Usiwe wakwanza kutoa maoni bila kujia unachokiongea.
Kwenye channel hii kua wakulima wengi sana tumefanya mahojianl.
Unakuja na bandle lako la buku unalalamika kama hata nauli ya kuwafata wakulima umetupa
Naitaji namba za whatsApp
Nimefuatilia maelekezo nashukuru nimkulima wa vitunguu mapatikana Nzega
@@ndizundizu3151 vp kilimo cha vitungu kinalipa na vp changamoto zake mm naishi marekani ila nyumbani ni tabora mjini
Lubaba TV una tukosa baadhi ya views kwa sababu unaleta story Ambazo ni maneno tu, tunataka fact, kama ni ufugaji fanya interview na wafugaji live, kama ni wakulima fanya interview na wakulima sio story Ambazo kila siku hata tuki ingia kwenye magrup ya WhatsApp tunapata
Sawa tutalifanyia kazi 🤝
Lakini pia jitahidi kusikiliza kunakitu utajifunza, sio story tu kwasababi imesaidia watu wengi sana
wanaleta habari wala sio kweli kuhusu muhogo ekari moja kupata zaidi milioni 10 mimi kuna nambawaliitowa nikamuuulia sikupata majibu sahihi mana walisema morogoro kuna soko la muhogo nilipogatilia alanambia soko liko iringa.
Biashara gani ya kilimo unaweza kuanza ukiwa na mtaji mdogo? Tafadhali nahitaji majibu ili nielewe
Wasiliana nasi 0764 148 221
Unasema kweli kabisa
Nikianza na tikiti eka mbili gharama yake ni sh ngapi na production yake ikoje
Wasiliana nasi kwa usaidizi zaidi 0764148221
Mimi naona agenda kubwa hapo ni Ku Sabsikalab ndiyo Shamba lenyewe
Rubaba bhana ......yaan hii sawa na stories za vijiweni maana saivi washauri wengi vitendo chenga tu..,😎
Kama unaamini hivyo ni sawa pia 🤝
Hivi kilimo ni utajiri
Tupe maelezo yenye tija tufahamishe
Tufahamishe kilimo cha ALIZETI
Je bamia ni matunda?
Bamia ni Okra kwa english ,angalia kwa you tube,utaiona
Congratulations br
Congratulations br
Namna yakuanza kulima