MILLARD AYO AFUNGUKA KUMSAIDIA MALKIA CAREEN /AONYESHA PICHA YAKE YA MWISHO NA GADNER HABASH/ROMBO
HTML-код
- Опубликовано: 22 апр 2024
- MILLARD AYO AFUNGUKA NILIMWOMBA GADNER KAZI /AONYESHA PICHA YAKE YA MWISHO NA GADNER HABASH/CAREEN LADY JAYDEE/ CAREEN NA WAFANYAKAZI WENZAKE WAKIAGA MWILI MARA YA MWISHO KWENDA KUZIKWA/WANAKIJIJI MWILI WA GADNER YAWASILI NYUMBANI KWAKE KWA MAZIKO ALIPOZALIWA ROMBO/VIONGOZI NA MASTAA WALIFIKA KINACHO ENDELEA MSIBANI NYUMBANI KWA GADNER HABASHI/MASTAA NA NDUNGU WALIOFIKA MSIBANI #GADNER #MSIBAWAGADNER #MSIBAWAGADNEHABASH #NYUMBANIKWAGADNER #MWILIWAGADNERKIKE;LELWA #KIKELELWA #MILLARDAYO #MILLARD #millardayoGADNERHABASH
- Развлечения
Gardner kila mmoja amzunguzia kwa mazuri mashalah alkua na roho safiiiiii❤❤❤❤RIP. Pole milrdayo
Ukishakufa unakua mzuri ndugu
Pole sna Millard umeongea kwa uchungu sna.
Unaweza kuona utu wa gadner kupitia mwanae ata mwanae ana hekima sana, kwa kumtazama tu
Sema kumuoji boss unatakiwa uwe na confidence km ya bwana mkubwa
Uzuri wanafanya kazi kama washkaji sio ki boss
😂😂😂😂huyu jamaa hatak aonekan kma ni boss uzuri vidonga anafanya kazi kama mshkaj wak
😂😂😂
Vido vidox hajawahi kuniangusha
Pole sana Millard
Masikini sijui kwann nmejua mengi akiwa kafariki jaman 😭😭😭😭
Shoga mwandu ndvyo inavyokuwa mazuri mengi ujulikana ukitoweka ukiwa hai mtu anazungumzia moyon tu na kwa watu wachache wanaomzunguka
Ila vanessa ilo jna lako la mwisho kwetu maana yake ni ngumu sn kuizungumza...
😂😂😂😂 @somoeissa
Pole sana brother
Miillad so humble
Namfahamu huyu mwamba toka akiwa mlinzi pale TBL Mwanza. Akawa pale mwanza Hotel kwenye duka moja ivi. Akaanza biashara za South. Dah. Mwamba anaroho nzuri sana aisee sio mtu wa kubishana na watu dah chema hakidumu
😩🙌sijui Galda uko aliko anajua watu wengi wanamsifu nakujivunia yeye😢mungu nipe mwisho mwema na tujifunze kusifiana tukiw hai jmn
Tukisifiwa tukiwa haii sumu itatuhusuu
Careen Pole sana kwa kuondokewa na baba
Asante
Apumzike kwa amani
nilitegemea hiyo kofia yake ingesomeka AYO... lkn inawakilisha new york.. umeniangusha sana
Duuuuu, kwahyo hata suruali yake angeandika Ayo, Nyumba yake yote anguzungusha Ayo et?
Kofia zake zote za hivo miaka yote NY hata sishangai
@mtumeananiasjohachim8😂😂😂😂😂😂760
Moyo wa mawingu utawale kwenu wote
Si useme tu kuwa alikwenda times fm😊
Ila mnajuaga kukipamba kichwa cha habar daah 😂
😢😢duh
vile boss anahojiwani na mwajili wake,,,, naskia Raha saaaana et adi nimelia na sijui nalia Nini
Vp ushanyamaza?
Inaumasana kuondokewa na mzazi, mm ninamiezi 8 tangu niondokewe na babayangu mzazi, polesana malkia karèen muhimu n kumuombea apumzike kwa amani
R.i.p Gardner G Habbash
Milady
Mmmmmh
Jamani Fina Mango aliendaga wapi????
😢😢😢
Kwhyo hao wandish wengine hawana maswali😂
R.I.P
Vido kama sio wwe uliyeshika maiki
Gardner jamani alikuwa hajui kukasirika
Ayo Ana Kua Tozi Nowadays Mpaka Vipuli
Hamna kipuli hapo mkuu acha kengeza , na haitotokea
Dah Kwel kaka Nime zoom 😅
Huyu hutakaa uone kitu kama icho kwake huyu Mtu ana jieshimu na anaheshika sana hawezi kufanya huo upumbavu
@@talents7934 Kwel Kaka Ndo Maana Hata Me Nime Shangaaa Namkubali Sanaa Hana Baya
kaka😂jamaa sio mambo yake kabisa
Millad mbona umefanana na mtt wa karen wewe ndio baba wamtt wa karen?
Mshanza Wabongo 😂😂😂😂
Niliwazaa uzushi huuu 😂😂😂
@user😂😂-uj1mr4zk8r
When you're dead, all shall speak well of you, but when you're alive, it is a different ball game.
Life!
Usisahau msemo wa sifa upewa marehemu 😂😂😂
shida mtu mwenye vipaji au jambo fulani hatusemi mpaka awe hayupo
bado hamja sema
Acha roho mbaya ndg yangu maisha siyo yetu haya.😢
Jamani yule mtoto mwengine wa Gadner yuko wapi namuona kareen tu
Asa mbona milady kavaa hereni
😂
Yeye mwenyew starrrrrrrrrr
Ulitaka avae bangili au shanga 😂
😂😂😂@@ShaniJohn-qh3cm
Team upinde??? Au ni sharobaro
Millad mbona umefanana na mtt wa karen wewe ndio baba wamtt wa karen?
hamna mtoto wako ww
@@salamasaidi6620 yap