MILLARD AYO AFUNGUKA KUMSAIDIA MALKIA CAREEN /AONYESHA PICHA YAKE YA MWISHO NA GADNER HABASH/ROMBO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 апр 2024
  • MILLARD AYO AFUNGUKA NILIMWOMBA GADNER KAZI /AONYESHA PICHA YAKE YA MWISHO NA GADNER HABASH/CAREEN LADY JAYDEE/ CAREEN NA WAFANYAKAZI WENZAKE WAKIAGA MWILI MARA YA MWISHO KWENDA KUZIKWA/WANAKIJIJI MWILI WA GADNER YAWASILI NYUMBANI KWAKE KWA MAZIKO ALIPOZALIWA ROMBO/VIONGOZI NA MASTAA WALIFIKA KINACHO ENDELEA MSIBANI NYUMBANI KWA GADNER HABASHI/MASTAA NA NDUNGU WALIOFIKA MSIBANI #GADNER #MSIBAWAGADNER #MSIBAWAGADNEHABASH #NYUMBANIKWAGADNER #MWILIWAGADNERKIKE;LELWA #KIKELELWA #MILLARDAYO #MILLARD #millardayoGADNERHABASH
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 78

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n 12 дней назад +24

    Gardner kila mmoja amzunguzia kwa mazuri mashalah alkua na roho safiiiiii❤❤❤❤RIP. Pole milrdayo

  • @GrecyJames
    @GrecyJames 12 дней назад +10

    Pole sna Millard umeongea kwa uchungu sna.

  • @sopy3055
    @sopy3055 10 дней назад +5

    Unaweza kuona utu wa gadner kupitia mwanae ata mwanae ana hekima sana, kwa kumtazama tu

  • @fettymilly7664
    @fettymilly7664 12 дней назад +35

    Sema kumuoji boss unatakiwa uwe na confidence km ya bwana mkubwa

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 12 дней назад +4

    Pole sana Millard

  • @VanessaMwandu
    @VanessaMwandu 12 дней назад +12

    Masikini sijui kwann nmejua mengi akiwa kafariki jaman 😭😭😭😭

    • @JustinaSamson-xm2xu
      @JustinaSamson-xm2xu 12 дней назад

      Shoga mwandu ndvyo inavyokuwa mazuri mengi ujulikana ukitoweka ukiwa hai mtu anazungumzia moyon tu na kwa watu wachache wanaomzunguka

    • @SomoeIssa-ft6ml
      @SomoeIssa-ft6ml 11 дней назад

      Ila vanessa ilo jna lako la mwisho kwetu maana yake ni ngumu sn kuizungumza...

    • @lilianhembo9765
      @lilianhembo9765 9 дней назад

      😂😂😂😂 @somoeissa

  • @user-xk7vt1ic4m
    @user-xk7vt1ic4m 6 дней назад

    Pole sana brother

  • @victoriajuvenilleshirima3313
    @victoriajuvenilleshirima3313 11 дней назад

    Miillad so humble

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 12 дней назад +3

    Namfahamu huyu mwamba toka akiwa mlinzi pale TBL Mwanza. Akawa pale mwanza Hotel kwenye duka moja ivi. Akaanza biashara za South. Dah. Mwamba anaroho nzuri sana aisee sio mtu wa kubishana na watu dah chema hakidumu

  • @BerthaModest
    @BerthaModest 10 дней назад +2

    😩🙌sijui Galda uko aliko anajua watu wengi wanamsifu nakujivunia yeye😢mungu nipe mwisho mwema na tujifunze kusifiana tukiw hai jmn

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 12 дней назад +2

    Careen Pole sana kwa kuondokewa na baba

  • @winnesakara6957
    @winnesakara6957 12 дней назад

    Asante

  • @syliviasimon8415
    @syliviasimon8415 12 дней назад +3

    Apumzike kwa amani

  • @salehezimbwe6395
    @salehezimbwe6395 12 дней назад +6

    nilitegemea hiyo kofia yake ingesomeka AYO... lkn inawakilisha new york.. umeniangusha sana

    • @mtumeananiasjohachim8760
      @mtumeananiasjohachim8760 11 дней назад

      Duuuuu, kwahyo hata suruali yake angeandika Ayo, Nyumba yake yote anguzungusha Ayo et?

    • @shaffihsiraji3141
      @shaffihsiraji3141 11 дней назад

      Kofia zake zote za hivo miaka yote NY hata sishangai

    • @KHAMIS_SHILINGI
      @KHAMIS_SHILINGI 9 дней назад

      ​@mtumeananiasjohachim8😂😂😂😂😂😂760

  • @DjmekaMeka
    @DjmekaMeka 12 дней назад +3

    Moyo wa mawingu utawale kwenu wote

  • @johnsonchonja4032
    @johnsonchonja4032 12 дней назад

    Si useme tu kuwa alikwenda times fm😊

  • @WitnessMalobo
    @WitnessMalobo 12 дней назад +3

    Ila mnajuaga kukipamba kichwa cha habar daah 😂

  • @MerinaMihayo
    @MerinaMihayo День назад

    😢😢duh

  • @mamamwajei8789
    @mamamwajei8789 11 дней назад +2

    vile boss anahojiwani na mwajili wake,,,, naskia Raha saaaana et adi nimelia na sijui nalia Nini

  • @hadijaboha6299
    @hadijaboha6299 12 дней назад +5

    Inaumasana kuondokewa na mzazi, mm ninamiezi 8 tangu niondokewe na babayangu mzazi, polesana malkia karèen muhimu n kumuombea apumzike kwa amani

  • @gasparlubaga5866
    @gasparlubaga5866 12 дней назад

    R.i.p Gardner G Habbash

  • @NellySaimon
    @NellySaimon 12 дней назад

    Milady

  • @chabbybae9294
    @chabbybae9294 12 дней назад

    Mmmmmh

  • @judyngowi391
    @judyngowi391 11 дней назад

    Jamani Fina Mango aliendaga wapi????

  • @Economically-Growth-Musicians
    @Economically-Growth-Musicians 12 дней назад

    😢😢😢

  • @Dayotz
    @Dayotz 11 дней назад

    Kwhyo hao wandish wengine hawana maswali😂

  • @winniegg8093
    @winniegg8093 11 дней назад

    R.I.P

  • @ntullyjanga33
    @ntullyjanga33 11 дней назад

    Vido kama sio wwe uliyeshika maiki

  • @redemptajerry5446
    @redemptajerry5446 11 дней назад

    Gardner jamani alikuwa hajui kukasirika

  • @prezzyvassach3218
    @prezzyvassach3218 12 дней назад +1

    Ayo Ana Kua Tozi Nowadays Mpaka Vipuli

    • @ivanayo9802
      @ivanayo9802 12 дней назад +1

      Hamna kipuli hapo mkuu acha kengeza , na haitotokea

    • @prezzyvassach3218
      @prezzyvassach3218 12 дней назад

      Dah Kwel kaka Nime zoom 😅

    • @talents7934
      @talents7934 12 дней назад +3

      Huyu hutakaa uone kitu kama icho kwake huyu Mtu ana jieshimu na anaheshika sana hawezi kufanya huo upumbavu

    • @prezzyvassach3218
      @prezzyvassach3218 12 дней назад

      @@talents7934 Kwel Kaka Ndo Maana Hata Me Nime Shangaaa Namkubali Sanaa Hana Baya

    • @rich.kizza10
      @rich.kizza10 12 дней назад

      kaka😂jamaa sio mambo yake kabisa

  • @user-fq3bf4cd1s
    @user-fq3bf4cd1s 12 дней назад +10

    Millad mbona umefanana na mtt wa karen wewe ndio baba wamtt wa karen?

  • @mohamedelmi7435
    @mohamedelmi7435 12 дней назад +3

    When you're dead, all shall speak well of you, but when you're alive, it is a different ball game.
    Life!

    • @MamyHamso
      @MamyHamso 12 дней назад

      Usisahau msemo wa sifa upewa marehemu 😂😂😂

  • @redemptajerry5446
    @redemptajerry5446 11 дней назад

    shida mtu mwenye vipaji au jambo fulani hatusemi mpaka awe hayupo

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th 12 дней назад

    bado hamja sema

    • @josephk90
      @josephk90 12 дней назад

      Acha roho mbaya ndg yangu maisha siyo yetu haya.😢

  • @MashaMbwana
    @MashaMbwana 12 дней назад

    Jamani yule mtoto mwengine wa Gadner yuko wapi namuona kareen tu

  • @Busweluhardware
    @Busweluhardware 12 дней назад +4

    Asa mbona milady kavaa hereni

  • @user-fq3bf4cd1s
    @user-fq3bf4cd1s 12 дней назад

    Millad mbona umefanana na mtt wa karen wewe ndio baba wamtt wa karen?