UKISOMA SURA HII HAINGII MWIZI WALA MCHAWI NDANI KWAKO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • ‪@Tadhkiraonlinetvworld_wide‬

Комментарии • 10

  • @Ayuminchasi
    @Ayuminchasi Месяц назад

    Alhamdulillah kwa kupewa ulinzi na ALLAH

  • @SultanSaid-js9yj
    @SultanSaid-js9yj Месяц назад

    Allah akuhifadhi sheikh

  • @seifsalum3018
    @seifsalum3018 Месяц назад

    Hahaha eti mwizi haingii masufi jamani

  • @innocentndikumana8928
    @innocentndikumana8928 Месяц назад

    Mashallah ❤

  • @user-fi4qy9se4r
    @user-fi4qy9se4r Месяц назад

    Mashallah

  • @BushDoctor-dw8el
    @BushDoctor-dw8el Месяц назад

    Ukitaka mwizi asiingie eka Askari na mbwa Kali.
    Shetani ni sifa ya muelekeo wa mtu kwa hiyo nae pia haingii pakiwa na security.
    Acheni kupotisha umuhimu wa Qur'an bwana.
    Qur'an umuhimu wake ni kukutoa kizani (ushirikina) na kukuelekaza kwenye mwanga (kumtii na kufuata maamrisho ya Allah) period

    • @naimarashid490
      @naimarashid490 Месяц назад

      Wewe Ni muislam.?TUJITAIDI KUISOMA DINI VIZURI TUSIPINGE HADITHI ZA MTUME S.A.W.SHEIKH IN SHAA ALLAH YUKO SAWA

    • @BushDoctor-dw8el
      @BushDoctor-dw8el Месяц назад

      @@naimarashid490 ikiwa wajua shekhe yuko sawa fuata wewe dini yenu ya kufuata hadithi walizomaingizia mtume. Na nakuapia kwa Allah mtume hana ameepukana na uzushi huo.
      Unayofyata ni dini ya shetani ila hujui kwa sababu husomi Qur'an kwa kuielewa ila ikiwa unasoma unasoma kama kasuku bila kuielewa.
      Siku ya hisabu shekhe wako atakuruka wallahi.

    • @BushDoctor-dw8el
      @BushDoctor-dw8el Месяц назад

      @@naimarashid490 Na ikiwa unaamini dini yako unasoma kutoka kwa vitabu vya mashekhe wako basi sawa.
      Dini inatoka kwa Qur'an pekee.
      Al jaathiya Aya 6.
      Al qalam Aya 44.
      Al furqaan Aya 17-19

  • @user-xn3sg8rh3m
    @user-xn3sg8rh3m Месяц назад

    Sh kipozeo huna elimu we fitna we Kila unapoenda wapemba wachawi huna lolote hunaelimu umekua komedi t