DR.MOHAMED: ATAPIKA NYONGO UJIO WA AHOUA SIMBA SC | HATUSUBILI MSIMU UJAO, UBINGWA UPO MSIMBAZI.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
    KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.

Комментарии • 38

  • @JosephTibu
    @JosephTibu 3 месяца назад +1

    TUOMBE MAJINI YA UTOPOLO YASIMZULU ,SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @MikidadiNyangi
    @MikidadiNyangi 2 месяца назад +2

    Uongoz wa simba uwe makin sana kwan uto wana wapiga misumar wachezaj wetu

  • @nikasmkud7332
    @nikasmkud7332 3 месяца назад +2

    Ni kweli ni mzuri Mungu atubariki acheze afikie malengo hayo AMINA .

  • @HalidiKilale-i8i
    @HalidiKilale-i8i 3 месяца назад +1

    Hawa Simba jamani watawaua vyura jamani sio kwa usajili huu...

  • @AbubakarSufian-z4w
    @AbubakarSufian-z4w 3 месяца назад +2

    Nakubal

  • @minazsaid2470
    @minazsaid2470 3 месяца назад +2

    Mbona unajimaliza mapema anyway si umefungiwa wewe kujihusisha mambo ya mpira

    • @sonmjofficialtv9090
      @sonmjofficialtv9090 3 месяца назад +1

      Hajafungiwa kujihusisha na Mpira ila kushiriki katika mambo ya ndan ya simba ikiwa kama vikao na mikutano ya simbimba (mambo ya ndani) ila kuiongelea au kwenda uwanjani huko anashiriki tu

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le 3 месяца назад

    Kwan chama ndio watu tumeondokewa na wazaz na maisha yanakwenda ijekuwa chama kuondoka cmba naende cmba ipo kabla yeye hajazaliwa naitaendelea kuwepo kazi utopolo

  • @jumamakame3978
    @jumamakame3978 3 месяца назад +1

    Tumekuzowea na mwaka jana uliwasifu kina onana kuliko hivo 😂😂😂😂

  • @HalidiKilale-i8i
    @HalidiKilale-i8i 3 месяца назад

    Jamani simba wanasajili tz hii hakuna timu walio sajili Kama Simba sport club ni hatari Sana...

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le 3 месяца назад

    Tatizo cmba tunazidiwa kwenye tunguri basiiii hivyo

  • @ezzepuritykamwene2121
    @ezzepuritykamwene2121 2 месяца назад

    Mkiwasifia sana wahuni wanaingia msituni,, utaona jmaa anakua majeruhi

  • @ABDALLAHMWATANDA
    @ABDALLAHMWATANDA 3 месяца назад

    CHAMA ALIIIISHI NDANI YA SIMBA MIAKA 6 ..INATOSHA ....YANGA ACHENI WIVU... SIMBA VIONGOZI WAO HAWAITAJI YANGA ILA ALI KOMWE YEYE ANAITAJA SIMBA.....OHHHH MUTALE KAMA SIBOMANI NYOKO sana

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 3 месяца назад

    Hahaha kweli mnaweza kuwa machiz😂😂😂😂

  • @geofreykasinda1895
    @geofreykasinda1895 3 месяца назад

    Nachoona mashambiki wenzangu wa Simba ebu tuache kumsimfikia wachezaji , ni kuwatia pressure tu na ndo sisi tutawashusha kiwango Kwa haraka, ebu utupungunze meneno

  • @kihilenahimana8821
    @kihilenahimana8821 3 месяца назад

    Huyu anaejiita Dr/Mchambuzi hajui lolote ktk uchambuzi ,isipokuwa ushabiki na ucommediani kama msemaji wake.😊

  • @ConjestarSamwel-xr3jw
    @ConjestarSamwel-xr3jw 3 месяца назад

    Simba nguvu moja! Mungu awatangulie wachezaji wetu wacheze vizuri awamu hii wasituagushe jamani,

  • @KhatibuKhamis-yq5zq
    @KhatibuKhamis-yq5zq 3 месяца назад

    Ardhi iliomtoa pacome yao yaooo😊

  • @subiralema
    @subiralema 3 месяца назад

    Ata onana mlisema ndugu wa etoo

  • @PiusLaymond
    @PiusLaymond 3 месяца назад

    Nimechunguza kuanzia chama atoke chama washabki wa simba kama wamepagawa wanafulah hata lig haijaanza

  • @kamazimamuganyizi6932
    @kamazimamuganyizi6932 3 месяца назад

    Mbona watu wa Yanga mna hasira huyu anaeongelewa ni mchezaji wa Simba

  • @isayamneja7020
    @isayamneja7020 3 месяца назад

    Endelea kusifia
    Usichokijua, ndio mata
    tizo yenu

  • @RamadhaniMuhando
    @RamadhaniMuhando 3 месяца назад

    Wew ndie unae jua kafungiwa ila tunakutony kua yup hur hajafungiw

  • @drallan6879
    @drallan6879 3 месяца назад +2

    Dr Mohamed hongera u love Simba deeply

  • @jeremiamadinga9579
    @jeremiamadinga9579 3 месяца назад

    Huyu inaonekana nimlevi mbona maelezoyake nikama mlevi?

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 3 месяца назад +1

    Doktar mo huyu dogo viongoz wamenda sawa Kwakwer Mo dewji apewe mauwa yake analeta vinu vya nyuqway anavishusha vtu

  • @kihilenahimana8821
    @kihilenahimana8821 3 месяца назад

    Mpaka mtangazaji amemchoka kwa uongo.

  • @PiusLaymond
    @PiusLaymond 3 месяца назад

    Jamani msiongeesana mtaona aibu nyny watu wa simba

  • @subiralema
    @subiralema 3 месяца назад

    Mnajipa moyo kweli😂😂😂

  • @SamiriWahab-ue1wy
    @SamiriWahab-ue1wy 3 месяца назад

    Yanga bingwa Mara 5 kwa huu usajili

  • @KhatibuKhamis-yq5zq
    @KhatibuKhamis-yq5zq 3 месяца назад

    Wameanza kujisahau😂😂😂

  • @mwajumatubajike1743
    @mwajumatubajike1743 3 месяца назад

    Acha wivuuu kaa kimyaaa d'octave Moo m'acheter aisément simba yakeee yanga roho mbayaaaaa

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le 3 месяца назад

    Mbona yanga usajili wao hauvumi kama cmba?????

  • @amaniwanga8621
    @amaniwanga8621 3 месяца назад

    Woohoo 🎉🎉 Dr moo

  • @MusaDadi-pd3jd
    @MusaDadi-pd3jd 3 месяца назад

    Unamsifia mpaka unavuka viwango