MZEE WA UPAKO NAYE AJIBU MKRISTO KUOMBEWA NA MUISLAMU NA MUISLAMU KUOMBEWA NA MKRISTO...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • MZEE WA UPAKO NAYE AJIBU MKRISTO KUOMBEWA NA MUISLAMU NA MUISLAMU KUOMBEWA NA MKRISTO...
    MTUMISHI wa Mungu Anthony Lusekeolo amezungumza na wanahabari Septemba 24, 2022 ambapo ameeleza msimamo wake juu ya suala la tozo huku akigusia mambo mbalimbali yanayoendelea nchini, ukiwemo mgogoro wa Dk Mwaka na Shehe wa Mkoa wa Dar, Alhad Mussa.
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Комментарии • 26

  • @agnesmpangile7682
    @agnesmpangile7682 2 года назад +3

    Amina baba mzee waupako nimekuelewa

  • @kakuutoenterprises1672
    @kakuutoenterprises1672 2 года назад

    He Is one of the Legend

  • @nomamatata754
    @nomamatata754 2 года назад

    Huyu nae leo kamsahau magufuli...mnafiki sana ...eti yule!!!

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 2 года назад

    Unapotosha watu --- neno LA Mungu limethibitishwa -- linafaa kwa mafundisho na kwa kuwaonya na kuwaadibisha ktk haki -- ni sheria na kanuni inayoweza kuwaongoza watu ktk kila kizazi --- hata Yesu akishuka Leo,ssingebadili chochote -- kwani ni unabii uliokamilika -- Ufu 22: 18 --- 19.

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 2 года назад

    Kweli.

  • @desderymakoi6595
    @desderymakoi6595 2 года назад +4

    Tuweke Utanzania mbele wala sio udini.Umoja wetu kama Taifa la Tanzania ndio inshu lakini udini sio inshu wala yasipate nafasi

  • @ramadhanikibenga4284
    @ramadhanikibenga4284 2 года назад

    Hakuna kuombeana dua hapa kila mmoja aombe kwa imani yake, acheni ujinga

  • @autodiagnosiccenterzanziba2980
    @autodiagnosiccenterzanziba2980 2 года назад

    Haifai muislam kumyembea dua mkisto na na ukisema tuanglalie mbele andali life after death. Na issa tunaamini kuwa mtume sio mungu.

    • @veronicascottmollel7897
      @veronicascottmollel7897 2 года назад

      Hata cc wakristo Kristo ni mwana wa MUNGU na sio MUNGU. Jua kutofautisha

    • @frankmushi8892
      @frankmushi8892 2 года назад

      Nyie wasilamu ni wabinafsi sanaa mnajihisabia haki wakati ndo wazinifu sanaa

    • @ramadhanikibenga4284
      @ramadhanikibenga4284 2 года назад

      @@frankmushi8892 uliziniwa wewe hata utoe ushahidi ?? Acha uzwazwa wewe

  • @hashimlowela294
    @hashimlowela294 2 года назад +3

    Mzee wa upako umeeleweka

  • @Zsdaughter
    @Zsdaughter Год назад

    Uislam uko wazi tu mbona. Suala la kuabudu hauna mbambamba.
    Quran 2: 256.

  • @cassimoa9217
    @cassimoa9217 2 года назад +3

    Suala la Uislamu lipo ktk mazingira yote. Mzee wa Upako , uislamu umekamilika, hivyo basi hata kama angeshuka nani asingebadilisha chcht eti kiende na wakati tulionao. Kila kimeainishwa kutokana na hitaji lako kwa wakati wako. Zungumzia ukristo wenye kubadilika kila wakati

  • @simonmalegesi414
    @simonmalegesi414 2 года назад

    We feki leo umjui magufuri eti yule Mimi umenkela na sikusamei.

  • @elishakinshuli6822
    @elishakinshuli6822 2 года назад +2

    Aya madudu tu uyujamaa ajuikitu watukama Hawa ndo wametumwa kualibu

  • @spabiton7989
    @spabiton7989 2 года назад +2

    Wewe ni mnafiki huna lolote

    • @barakarobert1029
      @barakarobert1029 2 года назад

      Kwel aisee huyo mnafiki sna

    • @winnifridaashery8187
      @winnifridaashery8187 2 года назад +1

      Unafiki wake uko wapi?Basi wewe utakuwa MNAFIKI zaidi

    • @frankmushi8892
      @frankmushi8892 2 года назад

      We ndo mnafiki mkubwa tena unaroho mbayaa nyie na malishababuu pumbavu