MZEE WA UPAKO NAYE AJIBU MKRISTO KUOMBEWA NA MUISLAMU NA MUISLAMU KUOMBEWA NA MKRISTO...
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- MZEE WA UPAKO NAYE AJIBU MKRISTO KUOMBEWA NA MUISLAMU NA MUISLAMU KUOMBEWA NA MKRISTO...
MTUMISHI wa Mungu Anthony Lusekeolo amezungumza na wanahabari Septemba 24, 2022 ambapo ameeleza msimamo wake juu ya suala la tozo huku akigusia mambo mbalimbali yanayoendelea nchini, ukiwemo mgogoro wa Dk Mwaka na Shehe wa Mkoa wa Dar, Alhad Mussa.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Amina baba mzee waupako nimekuelewa
He Is one of the Legend
Huyu nae leo kamsahau magufuli...mnafiki sana ...eti yule!!!
Umeona ehee
Unapotosha watu --- neno LA Mungu limethibitishwa -- linafaa kwa mafundisho na kwa kuwaonya na kuwaadibisha ktk haki -- ni sheria na kanuni inayoweza kuwaongoza watu ktk kila kizazi --- hata Yesu akishuka Leo,ssingebadili chochote -- kwani ni unabii uliokamilika -- Ufu 22: 18 --- 19.
Kweli.
Tuweke Utanzania mbele wala sio udini.Umoja wetu kama Taifa la Tanzania ndio inshu lakini udini sio inshu wala yasipate nafasi
Hakuna kuombeana dua hapa kila mmoja aombe kwa imani yake, acheni ujinga
Haifai muislam kumyembea dua mkisto na na ukisema tuanglalie mbele andali life after death. Na issa tunaamini kuwa mtume sio mungu.
Hata cc wakristo Kristo ni mwana wa MUNGU na sio MUNGU. Jua kutofautisha
Nyie wasilamu ni wabinafsi sanaa mnajihisabia haki wakati ndo wazinifu sanaa
@@frankmushi8892 uliziniwa wewe hata utoe ushahidi ?? Acha uzwazwa wewe
Mzee wa upako umeeleweka
Uislam uko wazi tu mbona. Suala la kuabudu hauna mbambamba.
Quran 2: 256.
Suala la Uislamu lipo ktk mazingira yote. Mzee wa Upako , uislamu umekamilika, hivyo basi hata kama angeshuka nani asingebadilisha chcht eti kiende na wakati tulionao. Kila kimeainishwa kutokana na hitaji lako kwa wakati wako. Zungumzia ukristo wenye kubadilika kila wakati
Stop once
Your insane
Nonsense
Fala kweli🤣🤣
Muislam abakie na uislam wake na mkristo abakie na ukristo wake. Hakuna kuombeana maana imani ni tofauti
We feki leo umjui magufuri eti yule Mimi umenkela na sikusamei.
Aya madudu tu uyujamaa ajuikitu watukama Hawa ndo wametumwa kualibu
Wewe ni mnafiki huna lolote
Kwel aisee huyo mnafiki sna
Unafiki wake uko wapi?Basi wewe utakuwa MNAFIKI zaidi
We ndo mnafiki mkubwa tena unaroho mbayaa nyie na malishababuu pumbavu