MASWALI KWA WAZIRI MKUU: Mbowe achafua hali ya hewa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2017
  • Hali ya kutoelewana, leo imeibuka katika kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa waziri Mkuu Bungeni, baada ya kiongozi wa kambi rasmi ya upinzanin Bungeni, Freeman Mbowe kuhoji kuhusu madai ya rais kutaka kuvifuta vyama vya siasa.

Комментарии • 14

  • @sulemanWaydad
    @sulemanWaydad Месяц назад

    Ni atr

  • @devisdomician9469
    @devisdomician9469 7 лет назад

    Big up mbowe

  • @marychacha825
    @marychacha825 7 лет назад +3

    kwani waziri si ajibu mbowe hongera swali limepenya

    • @yusuflittanda2949
      @yusuflittanda2949 7 лет назад

      Lema hayupo kizuizini, Aliyefungwa kafungwa, Mbowe huenda alikuwa na maana nzuri ila kakurupuka ajipange ndio aulize swali

  • @sifuelinyaki3341
    @sifuelinyaki3341 4 года назад

    Ajibu swali banh

  • @marychacha825
    @marychacha825 7 лет назад +1

    mbowe Hana MTU nimeipenda

    • @charlesmagere9020
      @charlesmagere9020 7 лет назад

      separation of power lazima iheshimike.....mbowe vpi mbona unakurupuka Mzee..... au ndyo madeni ya NHC yanakuchanganya

  • @trgphonegeorge3832
    @trgphonegeorge3832 6 лет назад

    Maswali hatari hayo, lazima umteteee huyo!!!!!

  • @amanimkambala8146
    @amanimkambala8146 7 лет назад

    ongera mbowe

  • @juvenalishao1652
    @juvenalishao1652 7 лет назад

    Endelea na msimamo wako wa maswali magumu

  • @gaspermassawe7397
    @gaspermassawe7397 7 лет назад

    Mbowe please, komaa tu kwani nchi hizi za Africa na sisi tukiwemo Mara nyingi kama siyo Mara zote,tunapenda kuwa kuongoza wananchi wetu bila kuwatendea HAKI,HIVYO BASI VIONGOZI WETU WANAPENDA KUWA WAKOLONI WEUSI,STUPIDITY LEADERS, ONE DAY WILL GOT OUR INDEPENDENT.

    • @princeedward2741
      @princeedward2741 7 лет назад

      Nooo,angejitambua kikazi haya yote yaxingemkuta.dogo janja wa arumeru kaona pamenuka xkuizi yupo kimya anajali kazi yake.

  • @trgphonegeorge3832
    @trgphonegeorge3832 6 лет назад

    Kwa nini umamkataza kujibu wewe!!!!