MASWALI KWA WAZIRI MKUU: Mbowe achafua hali ya hewa
HTML-код
- Опубликовано: 1 фев 2017
- Hali ya kutoelewana, leo imeibuka katika kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa waziri Mkuu Bungeni, baada ya kiongozi wa kambi rasmi ya upinzanin Bungeni, Freeman Mbowe kuhoji kuhusu madai ya rais kutaka kuvifuta vyama vya siasa.
Ni atr
Big up mbowe
kwani waziri si ajibu mbowe hongera swali limepenya
Lema hayupo kizuizini, Aliyefungwa kafungwa, Mbowe huenda alikuwa na maana nzuri ila kakurupuka ajipange ndio aulize swali
Ajibu swali banh
mbowe Hana MTU nimeipenda
separation of power lazima iheshimike.....mbowe vpi mbona unakurupuka Mzee..... au ndyo madeni ya NHC yanakuchanganya
Maswali hatari hayo, lazima umteteee huyo!!!!!
ongera mbowe
Amani Mkambala
Endelea na msimamo wako wa maswali magumu
Mbowe please, komaa tu kwani nchi hizi za Africa na sisi tukiwemo Mara nyingi kama siyo Mara zote,tunapenda kuwa kuongoza wananchi wetu bila kuwatendea HAKI,HIVYO BASI VIONGOZI WETU WANAPENDA KUWA WAKOLONI WEUSI,STUPIDITY LEADERS, ONE DAY WILL GOT OUR INDEPENDENT.
Nooo,angejitambua kikazi haya yote yaxingemkuta.dogo janja wa arumeru kaona pamenuka xkuizi yupo kimya anajali kazi yake.
Kwa nini umamkataza kujibu wewe!!!!