MBOWE ALIVYOMBANA WAZIRI MKUU KWA MASWALI, UCHAGUZI, TUME UHURU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024

Комментарии • 46

  • @magdalenaandrew5457
    @magdalenaandrew5457 4 года назад +7

    Waziri mkuu mungu anakuona ,mbowe yuko sawa na maswali yake maan 👮 hawakawiii kuwapiga risasi na mabomu tofauti na ilivyoo ccm

    • @Thebatony-a
      @Thebatony-a 4 года назад

      Ukiwa waziri raha sana yani majibu mepesi alafu kama anasoma alichoandikiwa sio anacho kijua serikali hii inaendeshwa kibabe mh waziri wewe hujui kwakua mnaendeshwa kwenye magari tu nakupewa taarifa zisizo za kweli njooni mitaani sio kuandaa watu muwe na ziala za kushtukiza ndio mtajua mwenyekiti wa mtaa anajifanya mungu mtu mtaani

  • @goodluckchristopher3304
    @goodluckchristopher3304 4 года назад +2

    Mungu anasheria zake ambazo zinagovern this universe, ambazo ukizitafiti na ukazielewa zote utapata kila kitu unachokihitaji kwenye Maisha yako na kufurahia Maisha Kwa ujumla, Je Katiba Ina kila kitu ambacho Mtanzania akiisoma Katiba na kuielewa yote, ataona maendeleo katika Kizazi kilichopo na kijacho? bila kufungamana na upande wowote wa kundi fulani la watu au vyama vya siasa..? Maisha ni very complex kuipata kesho nzuri leo unatakiwa kuitumia kwa usitadi mkubwa na weredi wa kutosha. Tuipende Tanzania, Mambo mazuri huja kwa utaratibu Mzuri.

  • @hermanherman6261
    @hermanherman6261 4 года назад +1

    Fanya Kazi ujenge future yako Acha serikali ifanye Kazi yake maisha ni kufanya Kazi CIO kulaumu serikali

  • @BMx-zj3lz
    @BMx-zj3lz 4 года назад +1

    Hofu humfanya mtu kutenda jambo kwaajili yausalama wake na maisha yake.

  • @africa7479
    @africa7479 4 года назад +6

    Jamn wana ccm wenzangu mkumbuke kuna maisha baada ya hpa, mtaulinzwa uongozi wenu mliutendea nin ,uongo sio mzuri

  • @gloriadhahabu6819
    @gloriadhahabu6819 4 года назад

    Chadema nichama nicha mabepali naunafiki wenu tumeuchoka mbowe nimhuni tu

  • @yekutielgoldstein9712
    @yekutielgoldstein9712 4 года назад

    Safi saaana PM

  • @feiz3180
    @feiz3180 4 года назад

    Majaliwa hebu jisikize unasema nini?.

  • @AhmedSeif-il1xx
    @AhmedSeif-il1xx 2 месяца назад

    Waziri mkuu anakua muongo kma mdogo maskini

  • @AhmedSeif-il1xx
    @AhmedSeif-il1xx 2 месяца назад

    Majaaliwa nikilaza

  • @kijokombao5345
    @kijokombao5345 4 года назад +3

    Waziri mkuu na cabinet yako Mungu anawaona

  • @mariamariam9239
    @mariamariam9239 4 года назад

    Majaliwa hyooo

  • @azmiabdallaazmi5931
    @azmiabdallaazmi5931 4 года назад +1

    Hatuna tume huru Tanzania Mimi nakataa

  • @raymondmwakalindile7315
    @raymondmwakalindile7315 4 года назад +1

    Hoja ya Mh. Mbowe ina mashiko. Itafutwe namna kila chama kishirikishwe kikamilifu katika masuala mazima yanayohusu uchaguzi ili kuondoa hali ya kuona kuna chama fulani kinapendelewa

  • @frankjumanne7285
    @frankjumanne7285 4 года назад

    Ccm haiwapendi Nchi hii na wala hawataki Amani ktk Nchi hii kwasabu kama wangekua wanataka Amani wangewapa watu haki zao za kisheria uchaguzi sio swala la mchezo ni hatari mno uyu mzee ajihoji sana maana rungu litakuja kumuangukia

  • @mashakabakarabdallah6545
    @mashakabakarabdallah6545 4 года назад +1

    waziri mkuu umejibu vizuri ambae hakuelewi yupo kisiasa, hata kutofanya mikutano wanalengo baya ili serkar et ionekane inawakandamiza wapinzani nikujikomoa wenyewe haki haidaiwi fuateni taratibu na mikutano mtafanya.

  • @funguotv6826
    @funguotv6826 4 года назад

    KUFUATILIA MAKALA YA TEMBO, CLICK HAPA ruclips.net/video/47Xofv8i4l8/видео.html
    KUFUATILIA MAKALA YA KIBOKO/HIPPO, CLICK HAPA
    ruclips.net/video/oq2QFWU-ADY/видео.html

  • @eischerschwederm7876
    @eischerschwederm7876 4 года назад +2

    What chadema think, when we win again to fill our stomach,, not on how Tz has been improving..kupita kudaganya wananchi ili wawachugue..you don't need campaign you need to present your efforts on maendeleo and that should shout..Tanzania hatuchagui kupitia sera..ni namna chadema gani ime leta tija..ninachokijua hakuna siku hawajalalamika kwamba tumeleta mchango wa mawazo wa maendelo umekataliwa, tumekatazwa kuboresha miradi..sasa labda tu Mbowe you should know tutachagua kufuata performance na sio brabra..Elezeni mlicho tekeleza, hatutachagu chagua viongozi wakatumikie wazungu, watuletee vitisho na najua hayo yote ni juhudu za kupoteza amani sasa tutaanza na wewe na wanaokutuma don't forget #me love no politics #..na mimi nimtanzania wa kawaida sitakubali propaganda za uwongo kuchafua nchi kujinufaisha nyinyi binafsi..the only thing we know..VYAMA VYA UPINZANI HAVIJAZUIWA..HALAFU HAMNA SERA..ACHA KUTENGENEZA POROJO NA ACHA VITISHO NA WATANZANIA HATUKUUNGI MKONO..MNAFANYAJE SIASA UCHAGUZI BADO.Hoja zinazungumzwa kwenye majimbo na bungeni ..nchi zote iko hivyo..TUNAOMBA MWAKA HUU UNANDAE WHAT HAVE YOU SUCCESSFULLY AS CHADEMA FOR TANZANIANS ACHIEVED ..TUNAOMBA UJE NA SERA YA CHADEMA NA MAFANIKIO THEN WATANZANIA TUAMUE MI PERSONAL SIHITAJI CHAM A I NEED BETTER LIFE CONDITIONS.

    • @floriankissinda6446
      @floriankissinda6446 4 года назад

      Well say

    • @wajinajecha5029
      @wajinajecha5029 4 года назад

      Weye kweli zwazwa kuliko hao mazwazwa yaani maelezo yote hayo ila zote ni pumba tu hakuna cha msingi hata kimoja pole ndugu yangu

    • @GideonMalyego
      @GideonMalyego Год назад

      Hujui hata kuandka mbwa ww

  • @mirajimiraji2762
    @mirajimiraji2762 4 года назад +3

    chama kisichokua na diwani wala mbunge nacho kinafanyia wapi mikutano ya siasa

    • @jamesthomas390jj
      @jamesthomas390jj 4 года назад

      Kinafanya pale ambapo kampeni zimeruhusiwa na tume ya uchaguzi. Sasa mtu tayari ameshachaguliwa na wananchi, wewe unaendaje kueneza siasa zako wakati ndo kwanza yupo kwenye utekelezaji?

  • @kasimasay4797
    @kasimasay4797 4 года назад +1

    Kasi

  • @hermanherman6261
    @hermanherman6261 4 года назад +2

    Most Tz are avarage thinkers

  • @eliasjillanga3158
    @eliasjillanga3158 4 года назад

    Yanga vs Simba wanacheza lin
    Et, Majaliwa

  • @edwardmakonge3371
    @edwardmakonge3371 4 года назад

    mbowe acha vitisho utakuja kuwajibika siku moja.mungu anakuona.

  • @azmiabdallaazmi5931
    @azmiabdallaazmi5931 4 года назад

    Wewe kasimu wanao toa Sera ni wale ambao wameshinda 1015 ambai wanataka kuingia 2020 hawna haki kunanadi Sera zao. Kuwa muungwana

  • @hermanherman6261
    @hermanherman6261 4 года назад +2

    Serikali Ina utaratibu haiwezi kusikiliza ujinga ujinga

  • @nelykaaya6503
    @nelykaaya6503 4 года назад

    Da majibu

  • @hajimakame1062
    @hajimakame1062 4 года назад +1

    Wapizini mnawabana sana hamtaki kusema ukweli

    • @othmarluwawilo8308
      @othmarluwawilo8308 4 года назад

      Mh. Waziri mkuu, hata wewe unajibu ukiwa huna uhuru sawia, huoni hata wabunge wa upinzani wakitaka kuongea na watu wao wanazuiwa? Mbona mnawapandisha hasira watanzania? Kumbukeni madaraka tumewapa lakini yana mwisho.

  • @frankjumanne7285
    @frankjumanne7285 4 года назад

    Unatakiwa kujibu swali sio kujifanya PADIRI unaanza mahubiri ya nni mahubiri kanisani

  • @seregirosi529
    @seregirosi529 4 года назад +1

    Waziri nimemwelewa sana na yupo sawa ktk majibu yake

  • @kavassay8899
    @kavassay8899 4 года назад +1

    Wanaopiga makofi waziri mkuu akiongea tumechoka msitutanie tukiingia mitaan

  • @omarymachea2364
    @omarymachea2364 4 года назад

    Sauti za wapinzani wakizikia tu wanaogopa nakutetema

  • @fednarndmosh9917
    @fednarndmosh9917 4 года назад

    Uyo muongo

  • @mussamwedadi4346
    @mussamwedadi4346 4 года назад

    Cccm duh aibuuu

  • @eischerschwederm7876
    @eischerschwederm7876 4 года назад +1

    Mbowe tuambie ni watanzania wangapi wamekutuma kama ni familia yako na chadema members usilazimishe maoni yako ya watanzania wote is wrong..tupe evidence ya survey au statistic yeyote ya kusema watanzania hawana uhuru wa kidemokrasia..as long as you want to destroy this country

    • @mahelamnazaletimahela9317
      @mahelamnazaletimahela9317 4 года назад

      Kumamako wew ebu angalia ni comment ngapi zinazo unga hoja ya mh mbowe alafu utajua ni watanzania,wanataka au VIP kuma,we usiejitambua