Ukiwa waziri raha sana yani majibu mepesi alafu kama anasoma alichoandikiwa sio anacho kijua serikali hii inaendeshwa kibabe mh waziri wewe hujui kwakua mnaendeshwa kwenye magari tu nakupewa taarifa zisizo za kweli njooni mitaani sio kuandaa watu muwe na ziala za kushtukiza ndio mtajua mwenyekiti wa mtaa anajifanya mungu mtu mtaani
Mungu anasheria zake ambazo zinagovern this universe, ambazo ukizitafiti na ukazielewa zote utapata kila kitu unachokihitaji kwenye Maisha yako na kufurahia Maisha Kwa ujumla, Je Katiba Ina kila kitu ambacho Mtanzania akiisoma Katiba na kuielewa yote, ataona maendeleo katika Kizazi kilichopo na kijacho? bila kufungamana na upande wowote wa kundi fulani la watu au vyama vya siasa..? Maisha ni very complex kuipata kesho nzuri leo unatakiwa kuitumia kwa usitadi mkubwa na weredi wa kutosha. Tuipende Tanzania, Mambo mazuri huja kwa utaratibu Mzuri.
Hoja ya Mh. Mbowe ina mashiko. Itafutwe namna kila chama kishirikishwe kikamilifu katika masuala mazima yanayohusu uchaguzi ili kuondoa hali ya kuona kuna chama fulani kinapendelewa
Ccm haiwapendi Nchi hii na wala hawataki Amani ktk Nchi hii kwasabu kama wangekua wanataka Amani wangewapa watu haki zao za kisheria uchaguzi sio swala la mchezo ni hatari mno uyu mzee ajihoji sana maana rungu litakuja kumuangukia
waziri mkuu umejibu vizuri ambae hakuelewi yupo kisiasa, hata kutofanya mikutano wanalengo baya ili serkar et ionekane inawakandamiza wapinzani nikujikomoa wenyewe haki haidaiwi fuateni taratibu na mikutano mtafanya.
KUFUATILIA MAKALA YA TEMBO, CLICK HAPA ruclips.net/video/47Xofv8i4l8/видео.html KUFUATILIA MAKALA YA KIBOKO/HIPPO, CLICK HAPA ruclips.net/video/oq2QFWU-ADY/видео.html
What chadema think, when we win again to fill our stomach,, not on how Tz has been improving..kupita kudaganya wananchi ili wawachugue..you don't need campaign you need to present your efforts on maendeleo and that should shout..Tanzania hatuchagui kupitia sera..ni namna chadema gani ime leta tija..ninachokijua hakuna siku hawajalalamika kwamba tumeleta mchango wa mawazo wa maendelo umekataliwa, tumekatazwa kuboresha miradi..sasa labda tu Mbowe you should know tutachagua kufuata performance na sio brabra..Elezeni mlicho tekeleza, hatutachagu chagua viongozi wakatumikie wazungu, watuletee vitisho na najua hayo yote ni juhudu za kupoteza amani sasa tutaanza na wewe na wanaokutuma don't forget #me love no politics #..na mimi nimtanzania wa kawaida sitakubali propaganda za uwongo kuchafua nchi kujinufaisha nyinyi binafsi..the only thing we know..VYAMA VYA UPINZANI HAVIJAZUIWA..HALAFU HAMNA SERA..ACHA KUTENGENEZA POROJO NA ACHA VITISHO NA WATANZANIA HATUKUUNGI MKONO..MNAFANYAJE SIASA UCHAGUZI BADO.Hoja zinazungumzwa kwenye majimbo na bungeni ..nchi zote iko hivyo..TUNAOMBA MWAKA HUU UNANDAE WHAT HAVE YOU SUCCESSFULLY AS CHADEMA FOR TANZANIANS ACHIEVED ..TUNAOMBA UJE NA SERA YA CHADEMA NA MAFANIKIO THEN WATANZANIA TUAMUE MI PERSONAL SIHITAJI CHAM A I NEED BETTER LIFE CONDITIONS.
Kinafanya pale ambapo kampeni zimeruhusiwa na tume ya uchaguzi. Sasa mtu tayari ameshachaguliwa na wananchi, wewe unaendaje kueneza siasa zako wakati ndo kwanza yupo kwenye utekelezaji?
Mh. Waziri mkuu, hata wewe unajibu ukiwa huna uhuru sawia, huoni hata wabunge wa upinzani wakitaka kuongea na watu wao wanazuiwa? Mbona mnawapandisha hasira watanzania? Kumbukeni madaraka tumewapa lakini yana mwisho.
Mbowe tuambie ni watanzania wangapi wamekutuma kama ni familia yako na chadema members usilazimishe maoni yako ya watanzania wote is wrong..tupe evidence ya survey au statistic yeyote ya kusema watanzania hawana uhuru wa kidemokrasia..as long as you want to destroy this country
Waziri mkuu mungu anakuona ,mbowe yuko sawa na maswali yake maan 👮 hawakawiii kuwapiga risasi na mabomu tofauti na ilivyoo ccm
Ukiwa waziri raha sana yani majibu mepesi alafu kama anasoma alichoandikiwa sio anacho kijua serikali hii inaendeshwa kibabe mh waziri wewe hujui kwakua mnaendeshwa kwenye magari tu nakupewa taarifa zisizo za kweli njooni mitaani sio kuandaa watu muwe na ziala za kushtukiza ndio mtajua mwenyekiti wa mtaa anajifanya mungu mtu mtaani
Mungu anasheria zake ambazo zinagovern this universe, ambazo ukizitafiti na ukazielewa zote utapata kila kitu unachokihitaji kwenye Maisha yako na kufurahia Maisha Kwa ujumla, Je Katiba Ina kila kitu ambacho Mtanzania akiisoma Katiba na kuielewa yote, ataona maendeleo katika Kizazi kilichopo na kijacho? bila kufungamana na upande wowote wa kundi fulani la watu au vyama vya siasa..? Maisha ni very complex kuipata kesho nzuri leo unatakiwa kuitumia kwa usitadi mkubwa na weredi wa kutosha. Tuipende Tanzania, Mambo mazuri huja kwa utaratibu Mzuri.
Fanya Kazi ujenge future yako Acha serikali ifanye Kazi yake maisha ni kufanya Kazi CIO kulaumu serikali
Hofu humfanya mtu kutenda jambo kwaajili yausalama wake na maisha yake.
Jamn wana ccm wenzangu mkumbuke kuna maisha baada ya hpa, mtaulinzwa uongozi wenu mliutendea nin ,uongo sio mzuri
Duuuuu
Msangi msangi kazi ipo
Chadema nichama nicha mabepali naunafiki wenu tumeuchoka mbowe nimhuni tu
Safi saaana PM
Majaliwa hebu jisikize unasema nini?.
Waziri mkuu anakua muongo kma mdogo maskini
Majaaliwa nikilaza
Waziri mkuu na cabinet yako Mungu anawaona
Majaliwa hyooo
Hatuna tume huru Tanzania Mimi nakataa
Hoja ya Mh. Mbowe ina mashiko. Itafutwe namna kila chama kishirikishwe kikamilifu katika masuala mazima yanayohusu uchaguzi ili kuondoa hali ya kuona kuna chama fulani kinapendelewa
Ccm haiwapendi Nchi hii na wala hawataki Amani ktk Nchi hii kwasabu kama wangekua wanataka Amani wangewapa watu haki zao za kisheria uchaguzi sio swala la mchezo ni hatari mno uyu mzee ajihoji sana maana rungu litakuja kumuangukia
waziri mkuu umejibu vizuri ambae hakuelewi yupo kisiasa, hata kutofanya mikutano wanalengo baya ili serkar et ionekane inawakandamiza wapinzani nikujikomoa wenyewe haki haidaiwi fuateni taratibu na mikutano mtafanya.
KUFUATILIA MAKALA YA TEMBO, CLICK HAPA ruclips.net/video/47Xofv8i4l8/видео.html
KUFUATILIA MAKALA YA KIBOKO/HIPPO, CLICK HAPA
ruclips.net/video/oq2QFWU-ADY/видео.html
What chadema think, when we win again to fill our stomach,, not on how Tz has been improving..kupita kudaganya wananchi ili wawachugue..you don't need campaign you need to present your efforts on maendeleo and that should shout..Tanzania hatuchagui kupitia sera..ni namna chadema gani ime leta tija..ninachokijua hakuna siku hawajalalamika kwamba tumeleta mchango wa mawazo wa maendelo umekataliwa, tumekatazwa kuboresha miradi..sasa labda tu Mbowe you should know tutachagua kufuata performance na sio brabra..Elezeni mlicho tekeleza, hatutachagu chagua viongozi wakatumikie wazungu, watuletee vitisho na najua hayo yote ni juhudu za kupoteza amani sasa tutaanza na wewe na wanaokutuma don't forget #me love no politics #..na mimi nimtanzania wa kawaida sitakubali propaganda za uwongo kuchafua nchi kujinufaisha nyinyi binafsi..the only thing we know..VYAMA VYA UPINZANI HAVIJAZUIWA..HALAFU HAMNA SERA..ACHA KUTENGENEZA POROJO NA ACHA VITISHO NA WATANZANIA HATUKUUNGI MKONO..MNAFANYAJE SIASA UCHAGUZI BADO.Hoja zinazungumzwa kwenye majimbo na bungeni ..nchi zote iko hivyo..TUNAOMBA MWAKA HUU UNANDAE WHAT HAVE YOU SUCCESSFULLY AS CHADEMA FOR TANZANIANS ACHIEVED ..TUNAOMBA UJE NA SERA YA CHADEMA NA MAFANIKIO THEN WATANZANIA TUAMUE MI PERSONAL SIHITAJI CHAM A I NEED BETTER LIFE CONDITIONS.
Well say
Weye kweli zwazwa kuliko hao mazwazwa yaani maelezo yote hayo ila zote ni pumba tu hakuna cha msingi hata kimoja pole ndugu yangu
Hujui hata kuandka mbwa ww
chama kisichokua na diwani wala mbunge nacho kinafanyia wapi mikutano ya siasa
Kinafanya pale ambapo kampeni zimeruhusiwa na tume ya uchaguzi. Sasa mtu tayari ameshachaguliwa na wananchi, wewe unaendaje kueneza siasa zako wakati ndo kwanza yupo kwenye utekelezaji?
Kasi
Most Tz are avarage thinkers
Yanga vs Simba wanacheza lin
Et, Majaliwa
mbowe acha vitisho utakuja kuwajibika siku moja.mungu anakuona.
Wewe kasimu wanao toa Sera ni wale ambao wameshinda 1015 ambai wanataka kuingia 2020 hawna haki kunanadi Sera zao. Kuwa muungwana
Serikali Ina utaratibu haiwezi kusikiliza ujinga ujinga
Da majibu
Wapizini mnawabana sana hamtaki kusema ukweli
Mh. Waziri mkuu, hata wewe unajibu ukiwa huna uhuru sawia, huoni hata wabunge wa upinzani wakitaka kuongea na watu wao wanazuiwa? Mbona mnawapandisha hasira watanzania? Kumbukeni madaraka tumewapa lakini yana mwisho.
Unatakiwa kujibu swali sio kujifanya PADIRI unaanza mahubiri ya nni mahubiri kanisani
Waziri nimemwelewa sana na yupo sawa ktk majibu yake
Wanaopiga makofi waziri mkuu akiongea tumechoka msitutanie tukiingia mitaan
Sauti za wapinzani wakizikia tu wanaogopa nakutetema
Uyo muongo
Cccm duh aibuuu
Mbowe tuambie ni watanzania wangapi wamekutuma kama ni familia yako na chadema members usilazimishe maoni yako ya watanzania wote is wrong..tupe evidence ya survey au statistic yeyote ya kusema watanzania hawana uhuru wa kidemokrasia..as long as you want to destroy this country
Kumamako wew ebu angalia ni comment ngapi zinazo unga hoja ya mh mbowe alafu utajua ni watanzania,wanataka au VIP kuma,we usiejitambua