Lema: 'Tunapiga Vita Mikataba ya Kihuni,Msilete Propaganda za Udini'. Ni Kuhusu Mkataba wa Bandari
HTML-код
- Опубликовано: 3 окт 2024
- Kupitia kampeni yao ya #OkoaBandariZetu CHADEMA wakishirikiana na wanaharakati mbalimbali na viongozi wengine wa kijamii wanafanya mkutano wa hadhara katika viwanja vya Bulyaga Temeke.
Wanaharakati na CHADEMA wameendelea kusisitiza mkataba wa bandari kati ya Tanzania na Dubai hauna maslahi mapana kwa nchi. Mkutano huu wa CHADEMA unafanyika ikiwa ni wiki mbili toka CCM kuanza mikutano yao ya hadhara ya kufafanua kuhusu suala la bandari.
Endelea kufuatilia The Chanzo tupo hapa katika viwanja vya Bulyaga kurusha Live
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2023 © All Rights Reserved.
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika
God bless lema😇
Nilikuwa naona genius huyu jamaa kumbe wakawaida tu hamna kitu hajadili hoja ten anajadili dini
Wewe nae kama Kenge walioanzisha hoja ya udini ni akina nani?
Hongera sana.....uloliongea ni ukweli sana tuu....Mungu akulinde
Lema ubarikiwe Sana. Mungu atakulipa hapa duniani na siku ukienda. Umeongea maneno yenye uchungu sana. Machozi yamenitoka 🤦🏽😥😥
Lema tupe darasa huru namna hiyo💪💪💪💪
Udini sindio mmeanzisha mnakataa nn temeke si mlileta tamasha la dini mpk mkazuiliwa na msajili wa vyama chadema ni chama Cha kidini mmekwishaa hao mnao wabagua hamtapata hata kura Yao Moja Tena wako wengi Kwa mamilion
Usianike upumbavu wako mtandaoni..walao kuwa mjinga nyoko
mungu akulinde sana bro✌️✌️
Epukeni lugha chafu nyinyi ni viongozi mnaifunza nn jamii unawezaje kuita mikataba uhuni
Imani kali ktk maendeleo ya Nchi ndiyo bora
Ukweli siku zote unaokoa Taifa
Wewe lema hujitambui, mikataba ya hovyo ianzie kwenye memo U, baina ya kanisa na serikali 1992, mtuambie mkataba huu utaisha lini, mnachota fedha za walipa kodi, mnalipwa mishahara kwa payroll za serikali na bado wananchi wakija kwenye huduma zenu mnawakamua mafedha mengi mengi. Itoshe mjitambue hamna lolote mfumo kristo unawasumbua
Wewe mkokoteni, mjinga uliekosa elimu.
Kweli kabisa lema uko vizur.watanzania wengi hatuna akili kabisa.bandari iziuzwe tuandamaneni watanzania jamani
Mbona kuna mikataba ya kihuni kuliko huu wa bandari lkn mmeinyamazia?kwa mfano mkataba wa muungano mbona mmeunyamazia?
Hongera lema
Acha uongo, mbona mikataba ya wazungu hamsemi mnafunga. Midomo yenu
Udini tena mzee duuhh
Huyu kamanda namkubali Sana miaka yote anajua kusema ukwel na hataki unafiki siasa anaijua Sana Sana na Hata Dini ndio chakula chake Cha uzima Brother Lema one Love.
Fact
NI KWELI KABISA LEMA ANAUFURAHISHA SANA MOYO WANGU, MUNGU AZIDI KUIHIFADHI IMANI YAKO NA IKUE ZAIDI. AMINA
Lema jembe, hazing kubwa ktk jamii ya Tanzania.
Wanafiki wakubwa Hawa kipindi Magufuli anapambania nchi hii mlimsema vibaya tumesha kushtukia nyie mpo kimaslah yenu
@@hassankaita1039 kazi ya wapinzani siyo kusifia serikali,kazi ya wapinzani ni kukosoa serikali maana wao pia malengo yao nikukitoa chama tawala madarakani ili waongoze wenyewe.
Hongera sana kiongozi wangu 🎉🎉🎉🎉🎉
Sauti ya chadema
Salute mzee
Muulize mbowe kwenye kauli zake za kwanza kabisa (huu zanzibari alimaanisha nn hapo)?
Lema ni mmoja tuu!!!
Samia mungu akujaalie uingie peponi yani mama mvumilivu sana enzi ya magufuli wangekua washahama nchi zamani mama umewapa Uhuru kisha wanakuponda
Hilo bango ni sauti zenu wachache wengi ktk watanzania tupo na furaha y madarasa y uviko, miradi y maji,barabara, hospitali,stendi z kisasa, SGR , ununuzi w ndege za mizigo n za abiria mradi wa umeme Mwl Nyerere project. Yaaan kazi iendeleee
Bata kweli wee
People power
Mwamba nimekuelewa
Udini
Hapo sasa ndipo tunashangaa mkataba kupigiwa debe kuna nini
Acha ujinga ww sio kila jambo ni kupinga huu mkataba ni mzuri na ni faida kubwa sana kwa taifa! Semeni mtakatiwa Mirija tu ya wizi hapo bandarini ndio mnaropoka sana
Wajinga walikwisha Tanzania,hawa watawala wamejisahau wanawaza kwamba hii nchi ni mali yao binafsi
Yaani huyo Samia aondoke tu. Anajaribu nchi
@@dorahy1579 Fact
Kutokana na ujinga wenu ndo maana Mkristo mwenzenu aliwanyoosha had mkahama nchi, viongozi waislam wana busara ndoo maana leo mpo majukwaani.
Nakukubali br
Yes
GOD bless your people
Uko vizuri brother
Waislamu n watu wenye akili na wanasubra usiwafananishe na hao maasikofu wenu wa mchongo ao
Hata bumbumbu wanajisifu mbele ya maaskofu wasomiiii utawatingisha wapiii?
Halitasalia jiwe juu ya jiwe ambalo halitabomolewa.
Lema Mungu akulinde
Amteketeze
@@khamismachano2374 uteketee naww hautabak Kama jiwe
Tunaunga mkono mkataba wa uwekezaji hapa bandarini,watu wengi wamepotoshwa na propaganda za kisiasa tu,nchi itapiga hatua kubwa na pato litaongezeka wakija hao wawekezaji wa dpw,hakuna mkataba wa milele watu wanapotoshwa tu.
Wewe sio Mtanzania unaonekana tuu!! Tafuta kwenu.
@@mbagaherbal4796 😂😂😂😂🤣 Kwa hiyo watu kama nyinyi ndo watanzania kweli.
@@mbagaherbal4796 ndo maana mnaambiwa kumbe nyinyi mnachuki tu, hakuna Cha mkataba Wala nini nyinyi mnachuki binafsi,wangekuwa mnaowapenda kutoka ulaya wanasambaza ushoga mngekaa kimya.
@@mkude mmhhh! Hata Waarabu wenyewe wanapenda Sana hiyo kitu
@@mbagaherbal4796 hayo ni majungu tuu Dunia nzima inajua ukweli propaganda za kitoto zilikuwa zamani,wazungu wanautaka kuwalazimisha muingie kwenye jambo la ushoga mnawaona wa maana wanamaeneo makubwa makubwa nchi hii na hamna yoyote anaezungumza,malikia wa uingereza maeneo ya ifakara wanamaeneo makubwa ya Ardhi na sehemu tofauti ya nchi hii watu wote kimya,migodi mkapa aliwapa wazungu miaka 100 mmejaa kimya gas ya mtwara IPO chini ya wazungu ukiulizwa wewe mkataba wake Wala huukui,ila mama kuweka wazi ili jambo imekuwa nongwa,acha uoga bro wale wanakuja kuwekeza kibiashara tu hawawezi kuoewa milele hizo ni propaganda tu.
Udini mnao mwingi sana inshallah.Allah atawaweza
Chadema hawana ajenda wameivamia bandari katiba washaachana nayo hawa wendawazim
Endelea kutetea kunyongwa pimbi wewe
Tusemeeni tusio jua tukasemee wapi, Sema bb Sema✌️
Jembe 👊👊👊
Kwahio congo na Kenya nao wannangalia uchaguzi wa 2025?
Tatizo huongei vipengele vibaya kwenye huo mkataba ili tujue ubaya wake amewapa Ukitaka kumjua kiongozi bora ni yule anae semwa vibaya akavumilia kama hayasikii aka vumilia kama hawezi kuwarudi huyo atakua ni mfano
Duh wanajianika mpaka wanaona aibu. Mungu Mkubwa
Upande wa pili mmeelewa sasa
Mbona mlifunga midomo yenu wakati wa magufuli mnamuonea mama samia
Mwamba ongea wambie mungu
Endeleeni na mikutano yenu ya kidini na kibaguzi chadema mnajimaliza wenyewe msilaumu mtu mama kakupeni Uhuru kufanya siasa nyie mmegeuza ubaguzi wa utaganyika na uzanzibari na ndugu yangu Saleh mwalimu achana nao hao rudi nyumbani ukasaidie maendeleo.
Arafu hakuna watu nawachukia kama nyie mbuzi ,msiojitambua kwakuweka mabango ya dini kwenye issue za msingi za maisha Na maendeleo ya watanzania mbwa nyie
Kuna ubaguzi gani hapo,au wewe ndio mbaguzi?
Kwendeni zenu hukoooo !!!
Kwanza nyie Wazanzibari ndo wabaguzi wakubwa halafu tena nyie Wazanzibari ndo mnyamaze kabisa kwa hili la DP. World, huyo Bi. Kidude bin Ushungi, pamoja na Waziti Makame Mbarawa, na huyo katibu mkuu wizara ya ujenzi na uchukuzi wote hao ni Wazanzibari, kwa pamoja wame tukosea sana sisi Watanganyika kwa kuuza rasilimali muhimu za nchi yetu kama hiyo Bandari. Na hii ni hujuma za wazi kabisa kwa Tanganyika. Kwani wasingie mkataba huo na Bandari za Zanzibar kama kweli walioina kuna masirahi mapana ina maana wao hawapendi Zanzibar iliyo nchi yao ipate maendeleo? Kwahiyo wamesaini makusudi ili kutufanya tena Watanganyika kuwa watumwa wa Waraabu na hili hatuto mung'unya maneno bali tutapaza sauti kupinga na kulaani kwa nguvu zote na hatuto muogopa mtu awaye yote; na kama ni muungano ni bora uvunjike kwanza hatuutaki kwasababu muungano wenyewe ulikuwa ni makubaliano ya watu wawili ambaye ni Karume na Nyerere na sio Watanganyika wote. Sisi Watanganyika tunataka muungano wa serikali tatu au moja na sio huu wa mchongo. Tunataka serikali ya Tanganyika irudi kama mwanzo 1961.
MUNGU IBARIKI TANGANYIKA; MUNGU IBARIKI AFRIKA !
🥺🥺😟😟😳😳 12:04
wakristu tuyakatae magaidi
We jamaa huna maakio
Upo sahihi Sana kiongozi nakuelewa sana mh Lema
Iwe ni kwa udini au ukabila tumesema wizi hatutaki viongozi wetu na wapambanaji wetu tupo nyuma yenu, na mungu wa mbinguni awatangulie kwa kila hatua
Acha uwongo we domo
Ilani ya uchaguzi chadema imesema wazi itaingia ubia na makampuni kuendesha bandari ya dsm msitufanye wajinga Kenya congo wameingia mkataba na uae nao wajinga mpuuzi tu tokalini chadema ikafutahikia mkataba mnono wa ccm lazima mpigie kelele maana mnataka wafeli ili mchekelee
kunguni wewe 😳😳
Hujui hata unacho kiongea wallah
Hamna Heshima Nyie watu,Mbona mnapenda sana Matusi?
We ndo hujielewi bro
Warabu hawana njaa ww ni matajiri kitambo marekani anaiba kila siku kwa warabu mpaka kawa tajiri lkn warabu hawajawahi kuterereka kiuchumi.
* Tuonyeshe kipengele kwenye huo mkataba kilichosema mkataba ni wa milele.
Jifunze kuongea kwa busara.
Tudumishe Amani,Tanzania ni ya Amani.
Duh!
@@masumbukopindu1513
??
Waambieeeeeee ukosahihi
Msela DP WORLD KONGOLE....
Genius LEMA,Hilo la miaka 100 inaudhi sana,WAARABU wameisha shtukia uchumi wao kwa wakati ujao wa mafuta,maana saizi kuna gunduzi za magari ya umeme biashara yao ita dorora.
Uyu jamaa mchochez wa dini
Chadema tawi la kanisa Leo mmetuthibitishia mpaka haleluya wakristo watupu na maaskofu juu Tena anafoka kwa rais utadhani ni mtoto wake pumbavu kabisa andhani as ni kondoo wake mfundisheni kuongea mbele ya watanzania
Nyie ndio mnaoleta udini mnasahau maslahi ya Taifa dhambi unayoitengeneza haitakuacha salama jifunze kupitia somalia na sudani alafu utengue kauli
@@paulntalima6998Chadema ni chama cha kanisa usikatae, fuatilia safu za uongozi hadi kwenye matawi, angalia wabunge wake tangu 2005 Waislamu hawazidi asilimia 5% kwenye asilimia 100%
Sasa kwa hali hiyo unataka ushahidi gani? Msione watu hawajui wananyamaza tu.
Fala wee
@@theleo3899 Na wewe mara trillions
@@omaryjumas6327 ww jamaa n mdini sana unapenda ubaguzi sijui n Mungu gani unayemwabudu in short mm familia yetu wote n waislamu ila sjawahi ona ubaguzi kama wako unatumia udini kusambaza roho ya chuki shame upon you
Dola biliono 1.9 no hela inayokusanywa na TRA MIEZI MIWILI TU. USITUTISHE
Yan kweny huu mjadala ni kosa la jinai kumtaja HAYATI Dr. JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI😔😔
😁 Raia wamesha sahau katiba mpya inayotakiwa kabla ya uchaguzi. Haya tupiganie bandari tushtuke uchaguzi huo hapo 😁 CCM wanashika nafasi kama kawaida, hakuna tume hulu 😁 Ccm wanamitego mikali kila ukikaribia uchaguzi wanawatoa wapinzani katika dira.
Kwani wakiishika unahisi Mungu ataacha kuwaadhibu?? Hicho kiburi kitaisha bro
Ni huru na sio hulu
@@omarymnuru8746 asante kwakunikumbusha
@@nabimanyafesto5014 😁😁😁 Wa Tz wakishindwa hatua ya mwiiisho kabisa wanamuachia Mungu. 😁 Twende kazi
Si wajinga
Chema chajiuza, kibaya chajitembeza
Nyie chadema hamtudanganyi tena mrengo wenu tuanaujuwa
KAMA NYINYI SI WADINI HAO MAASKOFU WAMEFWATA NINI KWENYE JUKWAA HILO LA SIASA!!!?
Nyie ngo,mbe kabisa mnabwabwaja tu akili zero
@@benson20301naona mashoga nimewagusa
Mashoga mama Ako Kuna la msenge hata mfanye nini Tanzania ni wakristo ni wengi hamtatubabaisha
@@benson20301 hata kiswahili hujui nyani wewe, kama nyinyi muko wengi mbona kwenye sensa mnakataa kipengele cha dini?
Cc wakristo hutujali manbo madogo ya nyie mama wa jambo waislamu ndio wanakataa udini kwenye sensa hata selikari walipotoa kua wakristo wengi mlipinga sililiza ukristo ni mungu hamwezi kupambana na mungu nyie ni binadamu ndio maana Israel imeishanda Palestine Kwa sababu mungu hawezi pigana na binadamu.jitambue nyie mnasema tu ndio maana Kila kitu mnalalamika ajira mnasema wakristo wemepata wengi ndio kwani Tanzania wakristo ni wengi ingia google uone nyie ni watu wa mwilini nyamaza hamna saiti umeiona wapi wakristo wanalalamika lakini wanajua yupo mkuu Ambae ni mungu anatupigania.nyie korani ikichomea mandamano jiulize mtume wenu amelala au kama ana nguvu ujibambanie .
Yaan vibunge hivi haviangalii mbele
Hakuna la Maana, bandari ni lazima ikodishwe kwa DPW Nchi ipate pesa. Wewe unaongea nini unafikiri hakuna watanzania wenye akili sio?
Kwahiyo we ndo zimo??
Kumbe choko wewe. Mbna huekewi? Ni wapi wamekataa hisikodishwe . Mkataba ndio hoja
Tafuta yakwako ukodishe
Wenye akili wako wengi ndio hao wanataka mkataba huu mbovu uvunjwe sema nyie mazuzu mko wachache halafu mnasapoti mkataba mbovu .
@@FredsonHytham-dx4xkhao wengi ndo kwenye huo mkutano wa kidini,mbona wapo wachache sanaa hapo kwenye huo mkutano.
Kuna ujinga umeanza nchi hii kutumia udini na jinsi huu sio wanaotangaza udini waache,waache ,waache ujinga huu ni ujinga
Waraabu ni wakatili sana kuna agenda iliyojificha, kama udini basi wasilamu wanaongoza.
Hzo siasa tu! Hamna lolote hapo.
Matusi ndiyo sera?
Unacho kitamka kinajulisha wewe ni Nani
Unakitu umekificha nacho ni udini
1.Kwani hayo mafuta yanatumika kwenye magari peke yake?
2. Kwa akili yako akija mzungu kumiliki bandari utakuwa wa miaka mitano au? Na nani anaeongoza kwa uwizi mwarabu au mzungu?
Acha kuropoka njoo na hiyo mikataba mizuri?
Lema acha kudanganya watu na kutukana uslam
ITUMWE MSG DUBAI WATZ TUMEGOMA KUWAPA MOYO WA NCHI YETU, WALIOSAINI WAKATUMIKIE DUBAI WALIPE AD SENTI YA MWISHO
Shooo time
Ni wapiga madili nyinyi na wachungaji mnakwepa kodi mnatetea biashara zenu
HAKIKA CHADEMA INA HAZINA YA VIONGOZI WENYE AKILI NYINGI SANA ZIKIONGOZWA NA UZALENDO HONGERENI SANA.
Mbona mlikubali matacha. Au turudi analogy? Bandali zimeshindwa kuendelea na analogy.
Jambazi sugu mstaafu huna sera rudi kwa mabwana zako ulaya
Chadema mnajimaliza wenyewe hamna lolote kichwani. Kwani Waarabu wakikubaliwa kufanya biashara kuna tatizo ganu? Hata Marekani na Ulaya wanafanya biashara nao, wewe una tatizo la ukabila na Mdini. Wewe ndiyo mjinga tena Kamanda wa wajinga. Bwege tu wewe.
Jamba izo lema
Nyasa inaunganisha nchi mbili tanganyika,malawi na msumbiji
Hii mkataba ndio chanzo kikubwa cha umaskini
Watawala ni watu hatari sana, wanatangaza amani huku wameficha mawe na mapanga; wanakosa hoja wanaamua kutumia propaganda ya udini ili watu watishike wasiongelee huu mkataba, na leo nimeamini kwann UAE wanakuja kwa kasi Africa, coz soko la mafuta Ulaya linaenda kupungua miaka ya mbeleni kwa7b ya teknolojia kukua..wanaamua kutaka kutununua kupitia mkataba wa hovyo.
Hata wewe hapo unaongea tu ukipata hivho kiti utafanya hayo hayo. Hapo unapiga porojo kusudi pia uende kupiga ukora Ki wako. Tu Ayala Maghufuli mwingine siyo nyinyi waiixi
Huo ni uchozeji waislam wanakili hawawezi kukufuata shetani wewe
Bahati nzur tushakujieni kuwa nyie ni wabaguzi wa kidini
Walikubagua wapi na kwa lipi?
Huyu shoga haongea usenge mtupu
Nyasa Luna msumbiji Tanzania na Malawi ongelea maswala ya inchi nyingine sio mahali pake
🎉🎉🎉🎉
WAGALATIA WENYE AKILI TIMAMU HAWEZI KUPIGIA KURA CHADEMA🇹🇿🇹🇿🇹🇿HAWO WAKIPEWA NCHI WIKI MOJA NCHI INAKUWA BANKRUPTCIES NI MAJIZI HASA MBOWE AMEKULA RUZUKU MIAKA 30. MPAKA LISU AKAKIMBIA ULAYA 😢😢😢
Mbona wewe maskini kwani chadema ndio wana nchi?
Acha uongo,chadema walishawahi kushinda dola ipi mpaka utoe tathmini zako???
Acha uongo,chadema walishawahi kushinda dola ipi mpaka utoe tathmini zako???
Acha uongo,chadema walishawahi kushinda dola ipi mpaka utoe tathmini zako???
@@RedBelt-m2k CHADEMA WALISHINDA UDIWANI WAKAIBA PESA NYINGI SANA MULIZE MBOWE 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
This is godbless lema ✌
Naona udini uleee
Umeongea ukweli mtupu
Wewe ni zaidi ya mbwa,nguruwe....!!!huna akili
Lema unamdomo wakati was makifuli ulifyata ukenda CANADA huyo unaemwambia ndie alokurudisha
NYINYI CHADEMA NDIO WADINIIIIIII
wasenge wamebaki ccm tu.
Badrika ndg kishat
Kwa hivo kenya tumeyakanyaga😂😂
We alikua zambezi kwanza sijui kama umeshaacha? usisingizie sauti ya watanzania