Lema: 'Tunapiga Vita Mikataba ya Kihuni,Msilete Propaganda za Udini'. Ni Kuhusu Mkataba wa Bandari

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • Kupitia kampeni yao ya #OkoaBandariZetu CHADEMA wakishirikiana na wanaharakati mbalimbali na viongozi wengine wa kijamii wanafanya mkutano wa hadhara katika viwanja vya Bulyaga Temeke.
    Wanaharakati na CHADEMA wameendelea kusisitiza mkataba wa bandari kati ya Tanzania na Dubai hauna maslahi mapana kwa nchi. Mkutano huu wa CHADEMA unafanyika ikiwa ni wiki mbili toka CCM kuanza mikutano yao ya hadhara ya kufafanua kuhusu suala la bandari.
    Endelea kufuatilia The Chanzo tupo hapa katika viwanja vya Bulyaga kurusha Live
    Unaweza kutufuatilia kupitia;
    TWITTER: / thechanzo
    INSTAGRAM: / thechanzo
    FACEBOOK: / thechanzo
    TIKTOK: www.tiktok.com....
    Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
    The Chanzo Initiative, 2023 © All Rights Reserved.

Комментарии • 282

  • @pauloropian2367
    @pauloropian2367 Год назад +8

    Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika

  • @EdgarLema-qi9or
    @EdgarLema-qi9or Год назад +3

    God bless lema😇

  • @abdulhalimomar5329
    @abdulhalimomar5329 Год назад +2

    Nilikuwa naona genius huyu jamaa kumbe wakawaida tu hamna kitu hajadili hoja ten anajadili dini

    • @magembekisabo9632
      @magembekisabo9632 Год назад

      Wewe nae kama Kenge walioanzisha hoja ya udini ni akina nani?

  • @SarahShao-jw1up
    @SarahShao-jw1up Год назад +15

    Hongera sana.....uloliongea ni ukweli sana tuu....Mungu akulinde

  • @kingmichael1234
    @kingmichael1234 Год назад

    Lema ubarikiwe Sana. Mungu atakulipa hapa duniani na siku ukienda. Umeongea maneno yenye uchungu sana. Machozi yamenitoka 🤦🏽😥😥

  • @RomaMichael-ei6di
    @RomaMichael-ei6di Год назад +1

    Lema tupe darasa huru namna hiyo💪💪💪💪

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 Год назад +5

    Udini sindio mmeanzisha mnakataa nn temeke si mlileta tamasha la dini mpk mkazuiliwa na msajili wa vyama chadema ni chama Cha kidini mmekwishaa hao mnao wabagua hamtapata hata kura Yao Moja Tena wako wengi Kwa mamilion

    • @leonardmhagama5828
      @leonardmhagama5828 Год назад

      Usianike upumbavu wako mtandaoni..walao kuwa mjinga nyoko

  • @killysamky9373
    @killysamky9373 Год назад +3

    mungu akulinde sana bro✌️✌️

  • @KassimSalim-fi1me
    @KassimSalim-fi1me Год назад +1

    Epukeni lugha chafu nyinyi ni viongozi mnaifunza nn jamii unawezaje kuita mikataba uhuni

  • @derickcowly6681
    @derickcowly6681 Год назад +7

    Imani kali ktk maendeleo ya Nchi ndiyo bora

  • @ramadhanmwandambotuntufye5972
    @ramadhanmwandambotuntufye5972 Год назад +3

    Wewe lema hujitambui, mikataba ya hovyo ianzie kwenye memo U, baina ya kanisa na serikali 1992, mtuambie mkataba huu utaisha lini, mnachota fedha za walipa kodi, mnalipwa mishahara kwa payroll za serikali na bado wananchi wakija kwenye huduma zenu mnawakamua mafedha mengi mengi. Itoshe mjitambue hamna lolote mfumo kristo unawasumbua

  • @LoshilaaMollel-qh5pb
    @LoshilaaMollel-qh5pb Год назад +2

    Kweli kabisa lema uko vizur.watanzania wengi hatuna akili kabisa.bandari iziuzwe tuandamaneni watanzania jamani

  • @hamisimlala4700
    @hamisimlala4700 Год назад +1

    Mbona kuna mikataba ya kihuni kuliko huu wa bandari lkn mmeinyamazia?kwa mfano mkataba wa muungano mbona mmeunyamazia?

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga7020 Год назад +2

    Hongera lema

  • @madamuhimu9354
    @madamuhimu9354 Год назад +2

    Acha uongo, mbona mikataba ya wazungu hamsemi mnafunga. Midomo yenu

  • @luganojohn2673
    @luganojohn2673 Год назад +5

    Udini tena mzee duuhh

  • @yomseyyomsey5114
    @yomseyyomsey5114 Год назад +16

    Huyu kamanda namkubali Sana miaka yote anajua kusema ukwel na hataki unafiki siasa anaijua Sana Sana na Hata Dini ndio chakula chake Cha uzima Brother Lema one Love.

    • @nicholauskilosa5336
      @nicholauskilosa5336 Год назад +1

      Fact

    • @FrankMwakatundu-cu6bd
      @FrankMwakatundu-cu6bd Год назад +2

      NI KWELI KABISA LEMA ANAUFURAHISHA SANA MOYO WANGU, MUNGU AZIDI KUIHIFADHI IMANI YAKO NA IKUE ZAIDI. AMINA

    • @richardmushi1418
      @richardmushi1418 Год назад +1

      Lema jembe, hazing kubwa ktk jamii ya Tanzania.

    • @hassankaita1039
      @hassankaita1039 Год назад

      Wanafiki wakubwa Hawa kipindi Magufuli anapambania nchi hii mlimsema vibaya tumesha kushtukia nyie mpo kimaslah yenu

    • @nicholauskilosa5336
      @nicholauskilosa5336 Год назад +1

      @@hassankaita1039 kazi ya wapinzani siyo kusifia serikali,kazi ya wapinzani ni kukosoa serikali maana wao pia malengo yao nikukitoa chama tawala madarakani ili waongoze wenyewe.

  • @jacoblongo6814
    @jacoblongo6814 Год назад +5

    Hongera sana kiongozi wangu 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @allyhassan7169
    @allyhassan7169 Год назад +13

    Sauti ya chadema

  • @denisjoel1592
    @denisjoel1592 Год назад +8

    Salute mzee

  • @KingkajosiRuvumwa-it8dx
    @KingkajosiRuvumwa-it8dx Год назад +2

    Muulize mbowe kwenye kauli zake za kwanza kabisa (huu zanzibari alimaanisha nn hapo)?

  • @samsonmaiko6089
    @samsonmaiko6089 Год назад

    Lema ni mmoja tuu!!!

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid9637 Год назад +1

    Samia mungu akujaalie uingie peponi yani mama mvumilivu sana enzi ya magufuli wangekua washahama nchi zamani mama umewapa Uhuru kisha wanakuponda

  • @shabanikibene344
    @shabanikibene344 Год назад +3

    Hilo bango ni sauti zenu wachache wengi ktk watanzania tupo na furaha y madarasa y uviko, miradi y maji,barabara, hospitali,stendi z kisasa, SGR , ununuzi w ndege za mizigo n za abiria mradi wa umeme Mwl Nyerere project. Yaaan kazi iendeleee

  • @pauloropian2367
    @pauloropian2367 Год назад +2

    People power

  • @simonkongwe
    @simonkongwe Год назад +3

    Mwamba nimekuelewa

  • @mohamedhamismagoraonlinetv459
    @mohamedhamismagoraonlinetv459 Год назад +2

    Udini

  • @atugonzalugemalila5142
    @atugonzalugemalila5142 Год назад +3

    Hapo sasa ndipo tunashangaa mkataba kupigiwa debe kuna nini

  • @maase2023
    @maase2023 Год назад +2

    Acha ujinga ww sio kila jambo ni kupinga huu mkataba ni mzuri na ni faida kubwa sana kwa taifa! Semeni mtakatiwa Mirija tu ya wizi hapo bandarini ndio mnaropoka sana

  • @nicholauskilosa5336
    @nicholauskilosa5336 Год назад +16

    Wajinga walikwisha Tanzania,hawa watawala wamejisahau wanawaza kwamba hii nchi ni mali yao binafsi

  • @saidmtenda1628
    @saidmtenda1628 Год назад +1

    Kutokana na ujinga wenu ndo maana Mkristo mwenzenu aliwanyoosha had mkahama nchi, viongozi waislam wana busara ndoo maana leo mpo majukwaani.

  • @SizaAdolph
    @SizaAdolph Год назад +1

    Nakukubali br

  • @GmayoMayo
    @GmayoMayo Год назад +1

    Yes

  • @pauloropian2367
    @pauloropian2367 Год назад +3

    GOD bless your people

  • @nabimanyafesto5014
    @nabimanyafesto5014 Год назад +3

    Uko vizuri brother

  • @TwahaSaidiLigoola-kr1rt
    @TwahaSaidiLigoola-kr1rt Год назад +6

    Waislamu n watu wenye akili na wanasubra usiwafananishe na hao maasikofu wenu wa mchongo ao

    • @angelsulle7177
      @angelsulle7177 Год назад

      Hata bumbumbu wanajisifu mbele ya maaskofu wasomiiii utawatingisha wapiii?

  • @davidmpiluka5224
    @davidmpiluka5224 Год назад +5

    Halitasalia jiwe juu ya jiwe ambalo halitabomolewa.

  • @thomasdaniel1137
    @thomasdaniel1137 Год назад +3

    Lema Mungu akulinde

  • @mkude
    @mkude Год назад +3

    Tunaunga mkono mkataba wa uwekezaji hapa bandarini,watu wengi wamepotoshwa na propaganda za kisiasa tu,nchi itapiga hatua kubwa na pato litaongezeka wakija hao wawekezaji wa dpw,hakuna mkataba wa milele watu wanapotoshwa tu.

    • @mbagaherbal4796
      @mbagaherbal4796 Год назад

      Wewe sio Mtanzania unaonekana tuu!! Tafuta kwenu.

    • @mkude
      @mkude Год назад

      @@mbagaherbal4796 😂😂😂😂🤣 Kwa hiyo watu kama nyinyi ndo watanzania kweli.

    • @mkude
      @mkude Год назад

      @@mbagaherbal4796 ndo maana mnaambiwa kumbe nyinyi mnachuki tu, hakuna Cha mkataba Wala nini nyinyi mnachuki binafsi,wangekuwa mnaowapenda kutoka ulaya wanasambaza ushoga mngekaa kimya.

    • @mbagaherbal4796
      @mbagaherbal4796 Год назад

      @@mkude mmhhh! Hata Waarabu wenyewe wanapenda Sana hiyo kitu

    • @mkude
      @mkude Год назад +1

      @@mbagaherbal4796 hayo ni majungu tuu Dunia nzima inajua ukweli propaganda za kitoto zilikuwa zamani,wazungu wanautaka kuwalazimisha muingie kwenye jambo la ushoga mnawaona wa maana wanamaeneo makubwa makubwa nchi hii na hamna yoyote anaezungumza,malikia wa uingereza maeneo ya ifakara wanamaeneo makubwa ya Ardhi na sehemu tofauti ya nchi hii watu wote kimya,migodi mkapa aliwapa wazungu miaka 100 mmejaa kimya gas ya mtwara IPO chini ya wazungu ukiulizwa wewe mkataba wake Wala huukui,ila mama kuweka wazi ili jambo imekuwa nongwa,acha uoga bro wale wanakuja kuwekeza kibiashara tu hawawezi kuoewa milele hizo ni propaganda tu.

  • @chinxflaaw4908
    @chinxflaaw4908 Год назад

    Udini mnao mwingi sana inshallah.Allah atawaweza

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw Год назад +6

    Chadema hawana ajenda wameivamia bandari katiba washaachana nayo hawa wendawazim

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 Год назад

    Tusemeeni tusio jua tukasemee wapi, Sema bb Sema✌️

  • @FredsonHytham-dx4xk
    @FredsonHytham-dx4xk Год назад +2

    Jembe 👊👊👊

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 Год назад +2

    Kwahio congo na Kenya nao wannangalia uchaguzi wa 2025?

  • @abdulrahmanalabri167
    @abdulrahmanalabri167 Год назад +1

    Tatizo huongei vipengele vibaya kwenye huo mkataba ili tujue ubaya wake amewapa Ukitaka kumjua kiongozi bora ni yule anae semwa vibaya akavumilia kama hayasikii aka vumilia kama hawezi kuwarudi huyo atakua ni mfano

  • @hajihaji4135
    @hajihaji4135 Год назад +5

    Duh wanajianika mpaka wanaona aibu. Mungu Mkubwa

  • @FredsonHytham-dx4xk
    @FredsonHytham-dx4xk Год назад +4

    Upande wa pili mmeelewa sasa

  • @madamuhimu9354
    @madamuhimu9354 Год назад +1

    Mbona mlifunga midomo yenu wakati wa magufuli mnamuonea mama samia

  • @isakhamisi8923
    @isakhamisi8923 Год назад +8

    Endeleeni na mikutano yenu ya kidini na kibaguzi chadema mnajimaliza wenyewe msilaumu mtu mama kakupeni Uhuru kufanya siasa nyie mmegeuza ubaguzi wa utaganyika na uzanzibari na ndugu yangu Saleh mwalimu achana nao hao rudi nyumbani ukasaidie maendeleo.

    • @sadanishabani3321
      @sadanishabani3321 Год назад

      Arafu hakuna watu nawachukia kama nyie mbuzi ,msiojitambua kwakuweka mabango ya dini kwenye issue za msingi za maisha Na maendeleo ya watanzania mbwa nyie

    • @yassinnabwera4273
      @yassinnabwera4273 Год назад +1

      Kuna ubaguzi gani hapo,au wewe ndio mbaguzi?

    • @mzarendo.com9624
      @mzarendo.com9624 Год назад

      Kwendeni zenu hukoooo !!!
      Kwanza nyie Wazanzibari ndo wabaguzi wakubwa halafu tena nyie Wazanzibari ndo mnyamaze kabisa kwa hili la DP. World, huyo Bi. Kidude bin Ushungi, pamoja na Waziti Makame Mbarawa, na huyo katibu mkuu wizara ya ujenzi na uchukuzi wote hao ni Wazanzibari, kwa pamoja wame tukosea sana sisi Watanganyika kwa kuuza rasilimali muhimu za nchi yetu kama hiyo Bandari. Na hii ni hujuma za wazi kabisa kwa Tanganyika. Kwani wasingie mkataba huo na Bandari za Zanzibar kama kweli walioina kuna masirahi mapana ina maana wao hawapendi Zanzibar iliyo nchi yao ipate maendeleo? Kwahiyo wamesaini makusudi ili kutufanya tena Watanganyika kuwa watumwa wa Waraabu na hili hatuto mung'unya maneno bali tutapaza sauti kupinga na kulaani kwa nguvu zote na hatuto muogopa mtu awaye yote; na kama ni muungano ni bora uvunjike kwanza hatuutaki kwasababu muungano wenyewe ulikuwa ni makubaliano ya watu wawili ambaye ni Karume na Nyerere na sio Watanganyika wote. Sisi Watanganyika tunataka muungano wa serikali tatu au moja na sio huu wa mchongo. Tunataka serikali ya Tanganyika irudi kama mwanzo 1961.
      MUNGU IBARIKI TANGANYIKA; MUNGU IBARIKI AFRIKA !
      🥺🥺😟😟😳😳 12:04

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 Год назад

      wakristu tuyakatae magaidi

    • @rogathesarwatt
      @rogathesarwatt Год назад

      We jamaa huna maakio

  • @jonfredkewe3451
    @jonfredkewe3451 Год назад

    Upo sahihi Sana kiongozi nakuelewa sana mh Lema

  • @PaulAbbakar
    @PaulAbbakar Год назад

    Iwe ni kwa udini au ukabila tumesema wizi hatutaki viongozi wetu na wapambanaji wetu tupo nyuma yenu, na mungu wa mbinguni awatangulie kwa kila hatua

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Год назад +2

    Acha uwongo we domo

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 Год назад +4

    Ilani ya uchaguzi chadema imesema wazi itaingia ubia na makampuni kuendesha bandari ya dsm msitufanye wajinga Kenya congo wameingia mkataba na uae nao wajinga mpuuzi tu tokalini chadema ikafutahikia mkataba mnono wa ccm lazima mpigie kelele maana mnataka wafeli ili mchekelee

  • @nyanchokachacha9954
    @nyanchokachacha9954 Год назад +3

    Hamna Heshima Nyie watu,Mbona mnapenda sana Matusi?

  • @abdallahabdulghani9150
    @abdallahabdulghani9150 Год назад +1

    Warabu hawana njaa ww ni matajiri kitambo marekani anaiba kila siku kwa warabu mpaka kawa tajiri lkn warabu hawajawahi kuterereka kiuchumi.
    * Tuonyeshe kipengele kwenye huo mkataba kilichosema mkataba ni wa milele.
    Jifunze kuongea kwa busara.
    Tudumishe Amani,Tanzania ni ya Amani.

  • @akimu-gl7zp
    @akimu-gl7zp Год назад +1

    Waambieeeeeee ukosahihi

  • @FredsonHytham-dx4xk
    @FredsonHytham-dx4xk Год назад +2

    Msela DP WORLD KONGOLE....

  • @emmanuelademba7919
    @emmanuelademba7919 Год назад +1

    Genius LEMA,Hilo la miaka 100 inaudhi sana,WAARABU wameisha shtukia uchumi wao kwa wakati ujao wa mafuta,maana saizi kuna gunduzi za magari ya umeme biashara yao ita dorora.

  • @mohamedmoledina6403
    @mohamedmoledina6403 Год назад +7

    Chadema tawi la kanisa Leo mmetuthibitishia mpaka haleluya wakristo watupu na maaskofu juu Tena anafoka kwa rais utadhani ni mtoto wake pumbavu kabisa andhani as ni kondoo wake mfundisheni kuongea mbele ya watanzania

    • @paulntalima6998
      @paulntalima6998 Год назад +1

      Nyie ndio mnaoleta udini mnasahau maslahi ya Taifa dhambi unayoitengeneza haitakuacha salama jifunze kupitia somalia na sudani alafu utengue kauli

    • @omaryjumas6327
      @omaryjumas6327 Год назад +2

      ​@@paulntalima6998Chadema ni chama cha kanisa usikatae, fuatilia safu za uongozi hadi kwenye matawi, angalia wabunge wake tangu 2005 Waislamu hawazidi asilimia 5% kwenye asilimia 100%
      Sasa kwa hali hiyo unataka ushahidi gani? Msione watu hawajui wananyamaza tu.

    • @theleo3899
      @theleo3899 Год назад +1

      Fala wee

    • @omaryjumas6327
      @omaryjumas6327 Год назад

      @@theleo3899 Na wewe mara trillions

    • @paulntalima6998
      @paulntalima6998 Год назад

      @@omaryjumas6327 ww jamaa n mdini sana unapenda ubaguzi sijui n Mungu gani unayemwabudu in short mm familia yetu wote n waislamu ila sjawahi ona ubaguzi kama wako unatumia udini kusambaza roho ya chuki shame upon you

  • @wilsonchallange4420
    @wilsonchallange4420 Год назад +1

    Dola biliono 1.9 no hela inayokusanywa na TRA MIEZI MIWILI TU. USITUTISHE

  • @franciskavyega280
    @franciskavyega280 Год назад +1

    Yan kweny huu mjadala ni kosa la jinai kumtaja HAYATI Dr. JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI😔😔

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express Год назад +4

    😁 Raia wamesha sahau katiba mpya inayotakiwa kabla ya uchaguzi. Haya tupiganie bandari tushtuke uchaguzi huo hapo 😁 CCM wanashika nafasi kama kawaida, hakuna tume hulu 😁 Ccm wanamitego mikali kila ukikaribia uchaguzi wanawatoa wapinzani katika dira.

  • @sophiemsuya6507
    @sophiemsuya6507 Год назад +1

    Chema chajiuza, kibaya chajitembeza

  • @shabaniissa3464
    @shabaniissa3464 Год назад +2

    Nyie chadema hamtudanganyi tena mrengo wenu tuanaujuwa

  • @banihashim5347
    @banihashim5347 Год назад +7

    KAMA NYINYI SI WADINI HAO MAASKOFU WAMEFWATA NINI KWENYE JUKWAA HILO LA SIASA!!!?

    • @benson20301
      @benson20301 Год назад

      Nyie ngo,mbe kabisa mnabwabwaja tu akili zero

    • @banihashim5347
      @banihashim5347 Год назад

      @@benson20301naona mashoga nimewagusa

    • @benson20301
      @benson20301 Год назад

      Mashoga mama Ako Kuna la msenge hata mfanye nini Tanzania ni wakristo ni wengi hamtatubabaisha

    • @banihashim5347
      @banihashim5347 Год назад

      @@benson20301 hata kiswahili hujui nyani wewe, kama nyinyi muko wengi mbona kwenye sensa mnakataa kipengele cha dini?

    • @benson20301
      @benson20301 Год назад

      Cc wakristo hutujali manbo madogo ya nyie mama wa jambo waislamu ndio wanakataa udini kwenye sensa hata selikari walipotoa kua wakristo wengi mlipinga sililiza ukristo ni mungu hamwezi kupambana na mungu nyie ni binadamu ndio maana Israel imeishanda Palestine Kwa sababu mungu hawezi pigana na binadamu.jitambue nyie mnasema tu ndio maana Kila kitu mnalalamika ajira mnasema wakristo wemepata wengi ndio kwani Tanzania wakristo ni wengi ingia google uone nyie ni watu wa mwilini nyamaza hamna saiti umeiona wapi wakristo wanalalamika lakini wanajua yupo mkuu Ambae ni mungu anatupigania.nyie korani ikichomea mandamano jiulize mtume wenu amelala au kama ana nguvu ujibambanie .

  • @akimu-gl7zp
    @akimu-gl7zp Год назад +1

    Yaan vibunge hivi haviangalii mbele

  • @tanzanite9944
    @tanzanite9944 Год назад +6

    Hakuna la Maana, bandari ni lazima ikodishwe kwa DPW Nchi ipate pesa. Wewe unaongea nini unafikiri hakuna watanzania wenye akili sio?

    • @nabimanyafesto5014
      @nabimanyafesto5014 Год назад

      Kwahiyo we ndo zimo??

    • @victaboy7273
      @victaboy7273 Год назад

      Kumbe choko wewe. Mbna huekewi? Ni wapi wamekataa hisikodishwe . Mkataba ndio hoja

    • @makobamasawemangu4122
      @makobamasawemangu4122 Год назад

      Tafuta yakwako ukodishe

    • @FredsonHytham-dx4xk
      @FredsonHytham-dx4xk Год назад

      Wenye akili wako wengi ndio hao wanataka mkataba huu mbovu uvunjwe sema nyie mazuzu mko wachache halafu mnasapoti mkataba mbovu .

    • @mkude
      @mkude Год назад

      ​@@FredsonHytham-dx4xkhao wengi ndo kwenye huo mkutano wa kidini,mbona wapo wachache sanaa hapo kwenye huo mkutano.

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 Год назад

    Kuna ujinga umeanza nchi hii kutumia udini na jinsi huu sio wanaotangaza udini waache,waache ,waache ujinga huu ni ujinga

  • @kutikavu-jk7ue
    @kutikavu-jk7ue Год назад

    Waraabu ni wakatili sana kuna agenda iliyojificha, kama udini basi wasilamu wanaongoza.

  • @shahakaisi1920
    @shahakaisi1920 Год назад +1

    Hzo siasa tu! Hamna lolote hapo.

  • @nicholausdickson3198
    @nicholausdickson3198 Год назад

    Matusi ndiyo sera?

  • @selemanishabani463
    @selemanishabani463 Год назад +1

    Unacho kitamka kinajulisha wewe ni Nani
    Unakitu umekificha nacho ni udini

  • @abdallahabdulghani9150
    @abdallahabdulghani9150 Год назад +1

    1.Kwani hayo mafuta yanatumika kwenye magari peke yake?
    2. Kwa akili yako akija mzungu kumiliki bandari utakuwa wa miaka mitano au? Na nani anaeongoza kwa uwizi mwarabu au mzungu?
    Acha kuropoka njoo na hiyo mikataba mizuri?

  • @jumalupanda6886
    @jumalupanda6886 Год назад +1

    Lema acha kudanganya watu na kutukana uslam

  • @NellyMadeni-yv6fd
    @NellyMadeni-yv6fd Год назад

    ITUMWE MSG DUBAI WATZ TUMEGOMA KUWAPA MOYO WA NCHI YETU, WALIOSAINI WAKATUMIKIE DUBAI WALIPE AD SENTI YA MWISHO

  • @michaelmwakalambile7383
    @michaelmwakalambile7383 Год назад

    Shooo time

  • @madamuhimu9354
    @madamuhimu9354 Год назад +1

    Ni wapiga madili nyinyi na wachungaji mnakwepa kodi mnatetea biashara zenu

  • @FrankMwakatundu-cu6bd
    @FrankMwakatundu-cu6bd Год назад +2

    HAKIKA CHADEMA INA HAZINA YA VIONGOZI WENYE AKILI NYINGI SANA ZIKIONGOZWA NA UZALENDO HONGERENI SANA.

  • @GabrielMwita-h8d
    @GabrielMwita-h8d Год назад

    Mbona mlikubali matacha. Au turudi analogy? Bandali zimeshindwa kuendelea na analogy.

  • @mustafalukindo2098
    @mustafalukindo2098 Год назад +3

    Jambazi sugu mstaafu huna sera rudi kwa mabwana zako ulaya

  • @JumaRashidi-d8w
    @JumaRashidi-d8w Год назад +1

    Chadema mnajimaliza wenyewe hamna lolote kichwani. Kwani Waarabu wakikubaliwa kufanya biashara kuna tatizo ganu? Hata Marekani na Ulaya wanafanya biashara nao, wewe una tatizo la ukabila na Mdini. Wewe ndiyo mjinga tena Kamanda wa wajinga. Bwege tu wewe.

  • @grantmwakalambile2808
    @grantmwakalambile2808 Год назад

    Jamba izo lema

  • @freduallughano2301
    @freduallughano2301 Год назад

    Nyasa inaunganisha nchi mbili tanganyika,malawi na msumbiji

  • @khalidmdotta3843
    @khalidmdotta3843 Год назад

    Hii mkataba ndio chanzo kikubwa cha umaskini

  • @edsonkahesi8603
    @edsonkahesi8603 Год назад +2

    Watawala ni watu hatari sana, wanatangaza amani huku wameficha mawe na mapanga; wanakosa hoja wanaamua kutumia propaganda ya udini ili watu watishike wasiongelee huu mkataba, na leo nimeamini kwann UAE wanakuja kwa kasi Africa, coz soko la mafuta Ulaya linaenda kupungua miaka ya mbeleni kwa7b ya teknolojia kukua..wanaamua kutaka kutununua kupitia mkataba wa hovyo.

  • @dorahy1579
    @dorahy1579 Год назад +2

    Hata wewe hapo unaongea tu ukipata hivho kiti utafanya hayo hayo. Hapo unapiga porojo kusudi pia uende kupiga ukora Ki wako. Tu Ayala Maghufuli mwingine siyo nyinyi waiixi

  • @allyally5303
    @allyally5303 Год назад +2

    Huo ni uchozeji waislam wanakili hawawezi kukufuata shetani wewe

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Год назад +2

    Bahati nzur tushakujieni kuwa nyie ni wabaguzi wa kidini

  • @omarijuma5007
    @omarijuma5007 Год назад +3

    Huyu shoga haongea usenge mtupu

  • @SelijusMalambo-vx6qp
    @SelijusMalambo-vx6qp Год назад +1

    Nyasa Luna msumbiji Tanzania na Malawi ongelea maswala ya inchi nyingine sio mahali pake

  • @gregorypungwe9909
    @gregorypungwe9909 Год назад

    🎉🎉🎉🎉

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji Год назад +2

    WAGALATIA WENYE AKILI TIMAMU HAWEZI KUPIGIA KURA CHADEMA🇹🇿🇹🇿🇹🇿HAWO WAKIPEWA NCHI WIKI MOJA NCHI INAKUWA BANKRUPTCIES NI MAJIZI HASA MBOWE AMEKULA RUZUKU MIAKA 30. MPAKA LISU AKAKIMBIA ULAYA 😢😢😢

    • @jdanny497
      @jdanny497 Год назад

      Mbona wewe maskini kwani chadema ndio wana nchi?

    • @RedBelt-m2k
      @RedBelt-m2k Год назад

      Acha uongo,chadema walishawahi kushinda dola ipi mpaka utoe tathmini zako???

    • @RedBelt-m2k
      @RedBelt-m2k Год назад

      Acha uongo,chadema walishawahi kushinda dola ipi mpaka utoe tathmini zako???

    • @RedBelt-m2k
      @RedBelt-m2k Год назад

      Acha uongo,chadema walishawahi kushinda dola ipi mpaka utoe tathmini zako???

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji Год назад

      @@RedBelt-m2k CHADEMA WALISHINDA UDIWANI WAKAIBA PESA NYINGI SANA MULIZE MBOWE 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @fredyshirima8594
    @fredyshirima8594 Год назад

    This is godbless lema ✌

  • @princemahamba242
    @princemahamba242 Год назад +1

    Naona udini uleee

  • @derickcowly6681
    @derickcowly6681 Год назад +5

    Umeongea ukweli mtupu

  • @hutiswalehe2444
    @hutiswalehe2444 Год назад

    Wewe ni zaidi ya mbwa,nguruwe....!!!huna akili

  • @abdulab6202
    @abdulab6202 Год назад

    Lema unamdomo wakati was makifuli ulifyata ukenda CANADA huyo unaemwambia ndie alokurudisha

  • @banihashim5347
    @banihashim5347 Год назад +5

    NYINYI CHADEMA NDIO WADINIIIIIII

  • @flavourboyke
    @flavourboyke Год назад

    Kwa hivo kenya tumeyakanyaga😂😂

  • @RamadhanMohamedi-j3d
    @RamadhanMohamedi-j3d Год назад +1

    We alikua zambezi kwanza sijui kama umeshaacha? usisingizie sauti ya watanzania