TAZAMA : NDUGAI AMPIGIA SIMU LEMA SIMU KUMUOMBA MSAMAHA KIMYA KIMYA
HTML-код
- Опубликовано: 4 мар 2023
- Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
RUclips : www.youtube.com/@kusagatv6320...
Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...
I have a lot of respect in Mh. Lema. He’s a great man.
Vikoba mlaaniwe na mzidi Kulaaniwa tena hasa hao wahesabu pesa mnakula pesa za wamama wasiojua hesabu vizuri 🙋🙋
Huyu Lema ni mtu wa Mungu kwelikweli na Mungu atazidi kumbariki
Oya Lema, ningekua walau nina confidence robo ya uliyonayo ningekua mbali. Keep on going bro
Sasa hivi yuko Vizuri ki fikra tofauti na zamani! Yote anayoongea yana uhalisia katika maisha!
Asante sana baba ukweli ni mzuri
Very Very Broght Brother Lema God Bless You Umeongea Vitu Flaani Hivi Kuhusu Hao Manabiii Aiseeeh
God bless Lema, The true Man in the society of Tz
Yeah, that's for sure.
Malipo ni hapa hapa duniani
Mungu yupo hai na anafanya kazi usiku na mchana na huyo gugu hapo arusha lazima atatoka mwenyewe
Umejaaliwa sana kuongea ila unayoyaongea sio kweli ni sifa tu unatafuta
@@adamamani8816 ulitaka anyamaze kisa nyiye mnajaza hayo matumbo na hela za watoto wa masikini mlaaniwa wewe acha kabisa kujibu commenti za watu endelea kuchumia hilo litumbo lisiloja
Umesema kweli muheshimiwa lema
Amina lema barikiwa sana Utukufu wa Mungu Mkuu Ukafunuliwe kwako umesema vema nabii yule ni tapeli tu
Nakuelewa sana kaka
Nimekuelewa vizuri sana.Msimamo wako mzuri sana
Minakuerewa Sana nabii wamungu anakututumia aamina
Uko vizuri bado tunakuhitaji bungeni
Keep it up Brother
Lema nabii
Ubarikiwe sana na Mungu azidi kukuhekimisha
Points sana hapo kwenye kukopesheka, dhamana zinakera sana
Lema nlikuwa namwelewaga tokea zamani mtu wa Mungu sana God bless you
Huyu mwamba anatema point sana. Viva Lema.
Big up broo
This guy is genious ila usipokuwa makin..Hutaelewa
Siyo wengi wanaona hiyo. Yupo mbele hata huu utata wa boda boda
kwa kuongea sawa si kutenda na tunahitaji matokeo si kashifa
Walio aminishwa no ni yes na yes no, hawawezi mwelewa kabisa. Na faida kubwa kwa tawala zote za ccm Nchi hii ni kuendelea kutawala wajinga na sio kuongoza welevu wa mambo.
Lema nakuelewa sana sana
Dah big up broo u'a bright man!!
Kweli huyu jamaa nimtam saana daaaa wana Arusha mlimpata huyu mwamba hadi natamani kuhamia uko
Tungepeta watatu kama hawa nafikiri watu masikio yangezibuka
Lema is a nice person in arusha
Well said
Genius
..Kabla haujajinyonga nenda kwanza kwenye ibada mshilikishe Mungu kwa Maombi then kumbuka kujinyonga au kitendo cha kuua ni dhambi kubwa sana 🔥 unamjua aliekuumba kwanini ujiue au umpoteze binadamu mwenzako wakati unaamini ukimwomba anakupatia..... TOKOMEZA SHETANI USIJIPOTEZE EWE NI SHUJAA WA MUNGU!....BALOZI MIRAJI TZ
Lema yuko vizuri
Much respect commander ✌
Mungu anamuonyesha anaaibika job ndugai
Umesema ukweli lema
Good vision Mr Lema.
Nmependa maneno yq mheshmiwa
Huwa simuelewi mtu ambae anamchukia na alikuwa anamchukia magufuli Kwa kweli MUNGU anisaidie Sana wenda ufahamu wangu ni mdogo🤔🇹🇿🙏🏿
Kwa vile unaejielewa nimekupenda
Ulikua basi humfahamu magufuli halisi , huyu ndie katili aliyewahi kutokea, labda kama unapenda dhuluma huyo atakua mtu sahihi kqako kumoenda,
Tatizo hatukuelewi,,tunaona kazi unayofanya nikudsifia Kikwete my friend
Kikwete pamoja na udhaifu wa ki binadamu zama zake kulikua na unafuu wa maisha mzunguko wa shilingi ulikuwepo
Lema kaongea Mambo ya maana kabisa asante bradhar huo ni ukweli usiopingika
Financial institutions must have taken a point from Lema, very noble advice
Safi
Naomba tuusikie na upande wa pili. Story nzuri ni ile yenye balancing
Ni kweli Mr lema
Lema nakukubali
kweli kabisa nibora ucheze mchezo kuliko kikoba
Mungu atakufanyia wepesi mdogo wangu utaenda mbali.rangi ya kijani tunaiaga kabisa na nyumba walizogawana zitarudi tu
Tuungane tumfanye awe next president 🤔nilimwana toka zaman
👌
Lema for Arusha and arusha for lema
Temepwaya sana kwa miaka mitano
Ni kweli tupu unazungumza
CONGRATULATIONS MR LEMA
✌👊
Nakubal akili kubwa
Duuh!kuna watu wenye vipaji vya kuongea!!!
Ngoja niendelee kutazama ntaelewa tuu kwa lazima
Sauti ya mtu aliaye nyikani
LEMA UKO VIZURI SANA
Akiri kubwa
Daaaah huyu lema anasema ukweli mtupu
Wachungaji matajiri waumini masikini hii imekaa vibaya sana.
All is true
Kichwa chako kimeyumba
omba msamaha kwa wale waliopoteza maisha yao kwa kuvamiwa kwa ujambazi wako kisha uwe mtu safi
Alikuteka wewe?Acha huo umama
Yy ndo aliwauwa
????
Yani unayongea ni ukweli mtupu.😂😂
Acha kutuzingua bana mbona hukusema hayo siku zote
I understand this brother,,,inahitaji utulivu kumuelewa
S seezdsz in esse
wanaoguwa utawajua tu comments zao
lazima watukane au wawe kinyume ata kwenye ukweli
We lema nawe uwaga kaongo kaongo xn
Hakuna nabii hao ni wapiga pesa TU.
Nimekuelewa.lema
Hakuna mungu apo sili unapewa navigogo wa ccm unajifanya umeoteshwa
AKILI KUBWA HII JAMANANI
Chizi
Mbona amuogelei ng,ombe kuuzwa naselekari zawatu watoa
Ma-Bobmalay
WEWE USILIMU UMESHAONA UKAFIRI SIO DINI KUVUA NGUO WAKE ZA WATU NA KUDHUMU MASKINI MOTO UNAWASUBIRI MAKAFIRI
Unasema.kqeli.nayaona
Ukweli mtupu waambie hao wachungaji mchwara
Lema endelea kuipelekea serikali pumzi yamoto ili maendeleo yaende kwa haraka pia tunampongeza RAISI SAMIA kuruhusu haki ya kikatiba inayofanya wapinzani kuzungumza mazaifu ya serikali ili kusogeza maendeleo.
Utamuelewa Lema ukiwa na akiri kubwa ya kufikili sio mihemko
Kuwa Spika Tanzania kustaafu ukala "good time" ni bora kuliko kubaki madarakani.
kwanini watumishi wa mungu wengi wanaishi mjini tu
hawapeleki huduma vijiji na huko kuna kondoo wa bwana
👍
Huu.ndo.ungwana.amefanya.vzr.ndugai.kuomba.msamaha
Hiyo michezo ya kubahitisha.ndo laana.
😅
shida ni mawazo mbadala kwa mfano hata kwa jamii ndogo isaidie TUONE
Kuna kipande mmekata
Ya uakika
Kikundi cha watu kumi kinakopeshwa laki tano
Tuambie uliahidiwa Shilingi ngapi ili uwe mbunge??? Tujue walikuwa wanawanunua kwa bei gani Pesa za walipa kodi
Inaniingia akilini kwa mbali.....ngoja niendelee kutafakar
Wandishii nyie hamna uelewa
Haaaaaaa
Lema unaongea sense sana
Lema uko vizuri
Fanya siasa za kistaarabu kuimarisha chama siyo kuendeleza chukki na malumbano ya kutafuta watu kulipa kisasi mwambie rais atawasamehe kama uluvyosamehe×a kesi zako onesha upendo umekujà kulipa kisasi?
Hujui unachozungumza,anachosema n ukweli usipokosolewa huwez kujua madhaifu yako,ruhusu watu wakukosoe ufike mbali
Wewe toka urudi unat engeneza uadui kwak ila mtu kwanini usirudi kwa amani tu unafany a uadui nakila mtu kw anini mwenzio tundu lisu karudi kwa amani tu wewe maneno men giiiiiiiiiiiiiiii acha bwana tunataka amani bwana
Naona mkimbizi anazidi kuchanganyikiwa hau kafundishwa kuvuta bangi
Watanzania mtapakia hapo changamsheni akili zetu Lema yupo sahii
Lema unatumiwa na jo Davie
We unatumiwa na nani?
Unaongea vitu gani sasa?? Sijaelewa chochote kabisaa
Wewe kweli unatakiwa kuwatoa walio ingia huko maana ukiwa na shida wewe mchungaji anakuombea kutatua shida zako lakini mchungaji akiwa na shida wanamchangia hawamuombei hivi kweli hapo Pako sawa!!!!?
Jiulize break-down ikiingia mtaron inatokaje