TAZAMA : NDUGAI AMPIGIA SIMU LEMA SIMU KUMUOMBA MSAMAHA KIMYA KIMYA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 мар 2023
  • Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
    Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
    Facebook: / kusagamedia
    Instagram: / kusaganews
    RUclips : www.youtube.com/@kusagatv6320...
    Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...

Комментарии • 154

  • @Rodelite11
    @Rodelite11 Год назад +7

    I have a lot of respect in Mh. Lema. He’s a great man.

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Год назад +3

    Vikoba mlaaniwe na mzidi Kulaaniwa tena hasa hao wahesabu pesa mnakula pesa za wamama wasiojua hesabu vizuri 🙋🙋

  • @richardmagaka9525
    @richardmagaka9525 Год назад +7

    Huyu Lema ni mtu wa Mungu kwelikweli na Mungu atazidi kumbariki

  • @UzalendoNaUtu
    @UzalendoNaUtu Год назад +12

    Oya Lema, ningekua walau nina confidence robo ya uliyonayo ningekua mbali. Keep on going bro

  • @mwanabucheyeki226
    @mwanabucheyeki226 Год назад +17

    Sasa hivi yuko Vizuri ki fikra tofauti na zamani! Yote anayoongea yana uhalisia katika maisha!

  • @veronicanabina3380
    @veronicanabina3380 Год назад +2

    Asante sana baba ukweli ni mzuri

  • @tanescocompany-gy2th
    @tanescocompany-gy2th Год назад +6

    Very Very Broght Brother Lema God Bless You Umeongea Vitu Flaani Hivi Kuhusu Hao Manabiii Aiseeeh

  • @jacobsadock3530
    @jacobsadock3530 Год назад +18

    God bless Lema, The true Man in the society of Tz

    • @issackchalahani1235
      @issackchalahani1235 Год назад

      Yeah, that's for sure.

    • @thomastarimo
      @thomastarimo Год назад

      Malipo ni hapa hapa duniani

    • @thomastarimo
      @thomastarimo Год назад

      Mungu yupo hai na anafanya kazi usiku na mchana na huyo gugu hapo arusha lazima atatoka mwenyewe

    • @adamamani8816
      @adamamani8816 Год назад

      Umejaaliwa sana kuongea ila unayoyaongea sio kweli ni sifa tu unatafuta

    • @thomastarimo
      @thomastarimo Год назад

      @@adamamani8816 ulitaka anyamaze kisa nyiye mnajaza hayo matumbo na hela za watoto wa masikini mlaaniwa wewe acha kabisa kujibu commenti za watu endelea kuchumia hilo litumbo lisiloja

  • @verasikawa6382
    @verasikawa6382 Год назад +9

    Umesema kweli muheshimiwa lema

  • @innocentmsoka7805
    @innocentmsoka7805 Год назад +2

    Amina lema barikiwa sana Utukufu wa Mungu Mkuu Ukafunuliwe kwako umesema vema nabii yule ni tapeli tu

  • @josphatmwandele8860
    @josphatmwandele8860 Год назад +2

    Nakuelewa sana kaka

  • @christophermwanjoka7406
    @christophermwanjoka7406 Год назад +13

    Nimekuelewa vizuri sana.Msimamo wako mzuri sana

  • @bonabonaza5066
    @bonabonaza5066 Год назад +7

    Minakuerewa Sana nabii wamungu anakututumia aamina

  • @user-cd9re4wt2b
    @user-cd9re4wt2b 11 месяцев назад +1

    Uko vizuri bado tunakuhitaji bungeni

  • @altonkanjolonga2380
    @altonkanjolonga2380 Год назад +1

    Keep it up Brother

  • @christophertarimo3044
    @christophertarimo3044 Год назад +6

    Lema nabii

  • @bibitwinsbibidd7677
    @bibitwinsbibidd7677 Год назад +1

    Ubarikiwe sana na Mungu azidi kukuhekimisha

  • @UzalendoNaUtu
    @UzalendoNaUtu Год назад +5

    Points sana hapo kwenye kukopesheka, dhamana zinakera sana

  • @florafilbert3288
    @florafilbert3288 5 месяцев назад

    Lema nlikuwa namwelewaga tokea zamani mtu wa Mungu sana God bless you

  • @pureleathershoes8066
    @pureleathershoes8066 Год назад +1

    Huyu mwamba anatema point sana. Viva Lema.

  • @bashobabaraka706
    @bashobabaraka706 Год назад +2

    Big up broo

  • @EliyacostantinoPius
    @EliyacostantinoPius Год назад +11

    This guy is genious ila usipokuwa makin..Hutaelewa

    • @alfredmarti3131
      @alfredmarti3131 Год назад +1

      Siyo wengi wanaona hiyo. Yupo mbele hata huu utata wa boda boda

    • @zanarttz4335
      @zanarttz4335 Год назад

      kwa kuongea sawa si kutenda na tunahitaji matokeo si kashifa

    • @issackchalahani1235
      @issackchalahani1235 Год назад

      Walio aminishwa no ni yes na yes no, hawawezi mwelewa kabisa. Na faida kubwa kwa tawala zote za ccm Nchi hii ni kuendelea kutawala wajinga na sio kuongoza welevu wa mambo.

  • @isayaanthon7063
    @isayaanthon7063 Год назад +2

    Lema nakuelewa sana sana

  • @nesphorycharles9371
    @nesphorycharles9371 Год назад +1

    Dah big up broo u'a bright man!!

  • @festoasanga5572
    @festoasanga5572 Год назад +4

    Kweli huyu jamaa nimtam saana daaaa wana Arusha mlimpata huyu mwamba hadi natamani kuhamia uko

  • @hssanrubota3891
    @hssanrubota3891 Год назад +3

    Tungepeta watatu kama hawa nafikiri watu masikio yangezibuka

  • @leonardramiye8207
    @leonardramiye8207 Год назад +3

    Lema is a nice person in arusha

  • @herbertbathlomeo4650
    @herbertbathlomeo4650 Год назад +1

    Well said

  • @florafilbert3288
    @florafilbert3288 5 месяцев назад

    Genius

  • @mirajilimited8563
    @mirajilimited8563 Год назад +5

    ..Kabla haujajinyonga nenda kwanza kwenye ibada mshilikishe Mungu kwa Maombi then kumbuka kujinyonga au kitendo cha kuua ni dhambi kubwa sana 🔥 unamjua aliekuumba kwanini ujiue au umpoteze binadamu mwenzako wakati unaamini ukimwomba anakupatia..... TOKOMEZA SHETANI USIJIPOTEZE EWE NI SHUJAA WA MUNGU!....BALOZI MIRAJI TZ

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 Год назад +1

    Lema yuko vizuri

  • @fredyshirima8594
    @fredyshirima8594 11 месяцев назад

    Much respect commander ✌

  • @bonabonaza5066
    @bonabonaza5066 Год назад

    Mungu anamuonyesha anaaibika job ndugai

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 Год назад +3

    Umesema ukweli lema

  • @robertmwagala8280
    @robertmwagala8280 9 месяцев назад

    Good vision Mr Lema.

  • @sizaadolph2287
    @sizaadolph2287 Год назад +1

    Nmependa maneno yq mheshmiwa

  • @eaglecrown6470
    @eaglecrown6470 Год назад +4

    Huwa simuelewi mtu ambae anamchukia na alikuwa anamchukia magufuli Kwa kweli MUNGU anisaidie Sana wenda ufahamu wangu ni mdogo🤔🇹🇿🙏🏿

    • @suleymanjuma4309
      @suleymanjuma4309 Год назад +1

      Kwa vile unaejielewa nimekupenda

    • @zawadimbwambo1091
      @zawadimbwambo1091 Год назад +1

      Ulikua basi humfahamu magufuli halisi , huyu ndie katili aliyewahi kutokea, labda kama unapenda dhuluma huyo atakua mtu sahihi kqako kumoenda,

  • @meddymushmaz551
    @meddymushmaz551 Год назад +3

    Tatizo hatukuelewi,,tunaona kazi unayofanya nikudsifia Kikwete my friend

    • @kisangageorgethomasi2830
      @kisangageorgethomasi2830 Год назад

      Kikwete pamoja na udhaifu wa ki binadamu zama zake kulikua na unafuu wa maisha mzunguko wa shilingi ulikuwepo

  • @israelnjohn8070
    @israelnjohn8070 Год назад +2

    Lema kaongea Mambo ya maana kabisa asante bradhar huo ni ukweli usiopingika

  • @wanyamadan7105
    @wanyamadan7105 Год назад +2

    Financial institutions must have taken a point from Lema, very noble advice

  • @ernesttomas85
    @ernesttomas85 11 месяцев назад

    Safi

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 Год назад

    Naomba tuusikie na upande wa pili. Story nzuri ni ile yenye balancing

  • @daudibuyanza-sv8qz
    @daudibuyanza-sv8qz Год назад

    Ni kweli Mr lema

  • @tobiaspaul9203
    @tobiaspaul9203 Год назад

    Lema nakukubali

  • @mihamboseleli2877
    @mihamboseleli2877 Год назад +2

    kweli kabisa nibora ucheze mchezo kuliko kikoba

  • @sadiqkumbata4144
    @sadiqkumbata4144 Год назад

    Mungu atakufanyia wepesi mdogo wangu utaenda mbali.rangi ya kijani tunaiaga kabisa na nyumba walizogawana zitarudi tu

  • @elibarikkiakyoo
    @elibarikkiakyoo Год назад

    Tuungane tumfanye awe next president 🤔nilimwana toka zaman

  • @barakakibona-bq7my
    @barakakibona-bq7my Год назад

    👌

  • @bethuelkonyuniofficial7930
    @bethuelkonyuniofficial7930 Год назад

    Lema for Arusha and arusha for lema
    Temepwaya sana kwa miaka mitano

  • @ezrakaturitsaofficialtz7873
    @ezrakaturitsaofficialtz7873 Год назад +1

    Ni kweli tupu unazungumza

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Год назад

    CONGRATULATIONS MR LEMA

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Год назад

    ✌👊

  • @joshuakazimoto2607
    @joshuakazimoto2607 Год назад +1

    Nakubal akili kubwa

  • @samsonnzisabira768
    @samsonnzisabira768 Год назад +1

    Duuh!kuna watu wenye vipaji vya kuongea!!!

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7l Год назад

    Ngoja niendelee kutazama ntaelewa tuu kwa lazima

  • @mtumishiendwell-sd2pp
    @mtumishiendwell-sd2pp Год назад +9

    Sauti ya mtu aliaye nyikani

  • @godsgiftgreat4752
    @godsgiftgreat4752 10 месяцев назад

    LEMA UKO VIZURI SANA

  • @selekiwande3386
    @selekiwande3386 7 месяцев назад

    Akiri kubwa

  • @sizaadolph2287
    @sizaadolph2287 Год назад +1

    Daaaah huyu lema anasema ukweli mtupu

  • @honestmsigwa920
    @honestmsigwa920 Год назад

    Wachungaji matajiri waumini masikini hii imekaa vibaya sana.

  • @paulshirima4561
    @paulshirima4561 Год назад

    All is true

  • @adammbuba7230
    @adammbuba7230 Год назад +2

    Kichwa chako kimeyumba

  • @abbiecox1
    @abbiecox1 Год назад +1

    omba msamaha kwa wale waliopoteza maisha yao kwa kuvamiwa kwa ujambazi wako kisha uwe mtu safi

  • @user-hw3wn8ms6j
    @user-hw3wn8ms6j 9 месяцев назад

    Yani unayongea ni ukweli mtupu.😂😂

  • @nejamsalo9287
    @nejamsalo9287 Год назад

    Acha kutuzingua bana mbona hukusema hayo siku zote

  • @hefsibahunkie7376
    @hefsibahunkie7376 Год назад +1

    I understand this brother,,,inahitaji utulivu kumuelewa

  • @rudiaeliakim2172
    @rudiaeliakim2172 Год назад +2

    wanaoguwa utawajua tu comments zao
    lazima watukane au wawe kinyume ata kwenye ukweli

  • @msauzbusiness558
    @msauzbusiness558 Год назад +1

    We lema nawe uwaga kaongo kaongo xn

  • @honestmsigwa920
    @honestmsigwa920 Год назад

    Hakuna nabii hao ni wapiga pesa TU.

  • @mihayoandrew
    @mihayoandrew Год назад

    Nimekuelewa.lema

  • @yawepetro2049
    @yawepetro2049 Год назад

    Hakuna mungu apo sili unapewa navigogo wa ccm unajifanya umeoteshwa

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 2 месяца назад

    AKILI KUBWA HII JAMANANI

  • @zachariahariohay359
    @zachariahariohay359 Год назад +2

    Chizi

  • @mussamarwachamahaaaaaaaaaa8065

    Mbona amuogelei ng,ombe kuuzwa naselekari zawatu watoa

  • @manilabonalumanula9210
    @manilabonalumanula9210 Год назад

    Ma-Bobmalay

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 Год назад

    WEWE USILIMU UMESHAONA UKAFIRI SIO DINI KUVUA NGUO WAKE ZA WATU NA KUDHUMU MASKINI MOTO UNAWASUBIRI MAKAFIRI

  • @mihayoandrew
    @mihayoandrew Год назад

    Unasema.kqeli.nayaona

  • @alfrediaugustino1026
    @alfrediaugustino1026 Год назад +1

    Ukweli mtupu waambie hao wachungaji mchwara

  • @hussainmaulatz6758
    @hussainmaulatz6758 Год назад

    Lema endelea kuipelekea serikali pumzi yamoto ili maendeleo yaende kwa haraka pia tunampongeza RAISI SAMIA kuruhusu haki ya kikatiba inayofanya wapinzani kuzungumza mazaifu ya serikali ili kusogeza maendeleo.

  • @usalamaedward1189
    @usalamaedward1189 Год назад

    Utamuelewa Lema ukiwa na akiri kubwa ya kufikili sio mihemko

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 Год назад

    Kuwa Spika Tanzania kustaafu ukala "good time" ni bora kuliko kubaki madarakani.

  • @rudiaeliakim2172
    @rudiaeliakim2172 Год назад

    kwanini watumishi wa mungu wengi wanaishi mjini tu
    hawapeleki huduma vijiji na huko kuna kondoo wa bwana

  • @isayasoingeilukumay8122
    @isayasoingeilukumay8122 Год назад

    👍

  • @priscairene4605
    @priscairene4605 Год назад

    Huu.ndo.ungwana.amefanya.vzr.ndugai.kuomba.msamaha

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 Год назад

    Hiyo michezo ya kubahitisha.ndo laana.

  • @chiriccmabobo8746
    @chiriccmabobo8746 Год назад

    😅

  • @zanarttz4335
    @zanarttz4335 Год назад

    shida ni mawazo mbadala kwa mfano hata kwa jamii ndogo isaidie TUONE

  • @osianjaphet9072
    @osianjaphet9072 9 месяцев назад

    Kuna kipande mmekata

  • @kamugishakaroti2569
    @kamugishakaroti2569 Год назад

    Ya uakika

  • @maxmedia8506
    @maxmedia8506 Год назад

    Kikundi cha watu kumi kinakopeshwa laki tano

  • @basitjuma6081
    @basitjuma6081 Год назад

    Tuambie uliahidiwa Shilingi ngapi ili uwe mbunge??? Tujue walikuwa wanawanunua kwa bei gani Pesa za walipa kodi

  • @stevenkomba5692
    @stevenkomba5692 Год назад +5

    Inaniingia akilini kwa mbali.....ngoja niendelee kutafakar

  • @habibajohn8967
    @habibajohn8967 Год назад

    Haaaaaaa

  • @chesconkwera2005
    @chesconkwera2005 Год назад

    Lema unaongea sense sana

  • @florafumbuka434
    @florafumbuka434 Год назад +1

    Fanya siasa za kistaarabu kuimarisha chama siyo kuendeleza chukki na malumbano ya kutafuta watu kulipa kisasi mwambie rais atawasamehe kama uluvyosamehe×a kesi zako onesha upendo umekujà kulipa kisasi?

    • @ferdinand1880
      @ferdinand1880 Год назад

      Hujui unachozungumza,anachosema n ukweli usipokosolewa huwez kujua madhaifu yako,ruhusu watu wakukosoe ufike mbali

  • @selinatogolai3314
    @selinatogolai3314 Год назад +1

    Wewe toka urudi unat engeneza uadui kwak ila mtu kwanini usirudi kwa amani tu unafany a uadui nakila mtu kw anini mwenzio tundu lisu karudi kwa amani tu wewe maneno men giiiiiiiiiiiiiiii acha bwana tunataka amani bwana

  • @mohamedwwnurumasagcom8171
    @mohamedwwnurumasagcom8171 Год назад +2

    Naona mkimbizi anazidi kuchanganyikiwa hau kafundishwa kuvuta bangi

    • @jackytingatinga2799
      @jackytingatinga2799 Год назад

      Watanzania mtapakia hapo changamsheni akili zetu Lema yupo sahii

  • @Broken_Beats__23
    @Broken_Beats__23 Год назад

    Lema unatumiwa na jo Davie

  • @sirbabu169
    @sirbabu169 Год назад

    Unaongea vitu gani sasa?? Sijaelewa chochote kabisaa

  • @fridalazaro3208
    @fridalazaro3208 Год назад

    Wewe kweli unatakiwa kuwatoa walio ingia huko maana ukiwa na shida wewe mchungaji anakuombea kutatua shida zako lakini mchungaji akiwa na shida wanamchangia hawamuombei hivi kweli hapo Pako sawa!!!!?

    • @elibarikkiakyoo
      @elibarikkiakyoo Год назад

      Jiulize break-down ikiingia mtaron inatokaje