Rais Samia: Suala la Ulipaji Kodi ni Gumu, Watu Wengi Hawapendi Kulipa Kodi
HTML-код
- Опубликовано: 3 окт 2024
- Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, anazindua rasmi Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi. Tume hii imeundwa kwa lengo la kufanya mapitio na maboresho katika mfumo wa kodi nchini, ili kuhakikisha uwajibikaji, ufanisi, na unafuu wa kodi kwa wananchi na wafanyabiashara.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.
Siku zote mlipaji asipona thamani ya Kodi anayolipa hukosa maana ya kulipa Kodi. Serikali iendelee kutumia fedha za walipa Kodi vizuri na walipakodi waone matunda ya kodi zao.
Kodi hailejeikwetu sisiraia walipakodi ,munatapanyakodi zetu kwamatu.miziyenubinafusi cag nishahidi
Mngekuwa mnapima viwanja sambamba na kundoa migogoro ya ardhi sawa na kulipa Kodi sawa yaaani mvuke malengo kuondoa migogoro na kupima tunge wasifu
Kuanzia wewe wabunge hamlipi kodi kazi kuiba tuu ukiletewa taarifa na CAG huzifanyii kazi pia serikali ipunguze anasa unakopa pesa zinakwenda wapi hatuoni unachofanya safari za nje nyingiiiiiiiii