Njia tano (5) za kitaalamu za kilimo cha UFUTA, ukizifuata utapata mavuno mengi na yenye ubora sana
HTML-код
- Опубликовано: 19 сен 2024
- @promoonlinetv7442 inakuletea habari, dondoo na makala za kilimobiashara, mazingira, maliasili na utalii. Fuatilia page yetu.
Je unaswali, au unahitaji kuunganishwa na watalamu wa kilimo, mazingira, maliasili na utalii? KIJANI CONSULT itakuunganisha nao, unachotakiwa kufanya ni kulipia sh. 1000 tu kupitia TIGO LIPA NAMBA 22922127, kisha tuma ujumbe au piga simu kwenye namba ya 0655753023, kueleza hitaji lako, NASI TUTAKUHUDUMIA.
Hongera kaka naomba mawasiliano
Hongera sana, kaka Mbwando
I trust approved by engineer machemko 🇹🇿
🔥🔥🔥
Hii ndio zao linaloweza kunyoa mtu kwenye umaskini kwa mara moja 😢
Kumtoa mtu sio😊
Umemaanisha nn
Kabisa
Kaka nakuomba namba za sim
Kilo ya mpegu bei gan
Naomba namba ya muuzaji wa mbegu bora ya ufuta ili niwasiliane nae
habari, ilikuweza kupata namba ya mtaalamu unahitajika kuchangia kiasi kidogo cha fedha kuanzia shilingi 1000 kupitia lipa namba 22922127 jina Kijani Consult Tz, kisha utapatiwa namba ya mtaalam unayemhitaji. karibu
Naomba namba yk kaka
Hongera sana,...tunaomba mawasiliano
habari, ilikuweza kupata namba ya mtaalamu unahitajika kuchangia kiasi kidogo cha fedha kuanzia shilingi 1000 kupitia lipa namba 22922127 jina Kijani Consult Tz, kisha utapatiwa namba ya mtaalam unayemhitaji. karibu
mm nataka uyo anae ongea apo kwa ushauri mzuri
Unawekaje turubai wakati unaweka kwenye uchanja
Umesema unaweka kweny turubai au mkeka unapovuna. Sasa hayawezi kubunguliwa na mchwa❓kwa maana ufuta unachukua mda kidgo kukauka
Je unaswali, au unahitaji kuunganishwa na watalamu wa kilimo, mazingira, maliasili na utalii? KIJANI CONSULT itakuunganisha nao, unachotakiwa kufanya ni kulipia sh. 1000 tu kupitia TIGO LIPA NAMBA 22922127, kisha tuma ujumbe au piga simu kwenye namba ya 0655753023, kueleza hitaji lako, NASI TUTAKUHUDUMIA.
Mbegu bora napata wapi jamani
habari, ilikuweza kupata namba ya mtaalamu unahitajika kuchangia kiasi kidogo cha fedha kuanzia shilingi 1000 kupitia lipa namba 22922127 jina Kijani Consult Tz, kisha utapatiwa namba ya mtaalam unayemhitaji. karibu
Heka moja ya ufuta inatoa gunia ngapi
Je unaswali, au unahitaji kuunganishwa na watalamu wa kilimo, mazingira, maliasili na utalii? KIJANI CONSULT itakuunganisha nao, unachotakiwa kufanya ni kulipia sh. 1000 tu kupitia TIGO LIPA NAMBA 22922127, kisha tuma ujumbe au piga simu kwenye namba ya 0655753023, kueleza hitaji lako, NASI TUTAKUHUDUMIA.
Huko kwenu wap
Kilosa