ALLY KAMWE" PACOME,CHAMA,DUBE WANACHEZA TIMU MOJA/TUKIFUNGWA NAJIUZULU TIMU JOBU/KIBWANA KAPOA
HTML-код
- Опубликовано: 13 июн 2024
- Leo Juni 14 Ally Kamwe,Kibwana,Job, na kamati nzima ya Wape Tabasamu wamezungumza kuelekea Mchezo wa Wape Tabasamu 2024 ambao utapigwa Mkoani Morogoro ukikutanisha Timu Kibwana Dhidi ya Timu Dickson Job kwenye Uwanja wa Jamhuri
Спорт
Ndy itakavyokuwa msimu ujao pale yanga
Moja kwa Moja nipo team Dickson Job Ushindi Lazima
❤wale wa team job 2onane
Mie niko kwa Gsm tajiri wetu
weeh Ally kamwe umecheza kama Pelee ❤
Me time Job namkubali sana
Yaan mnatupa wakati mgumu,wote ni wetuuu Ila mungu awatangulie
Team job hapa
Nipo Dickson Job
Timu jobu mie
Ally unatoa Siri ya kambi😂😂
Hii imeenda
Kula chuma hicho.
Kila siku narudia hii press inanipa raha sana
Ni kwel hiyo imeenda misimu ujao tabu ipo palepale
Kama una D huwezi kuelewa lkn sisi wenye F2 tulisha elewa wotee hao wanasajiliwa yanga
Umepigaje hapo
Ustoe code❤
Amepigaje hapo