HIZI NDIZO HATUA ZA ROHO YA UASI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 60

  • @rachelissa115
    @rachelissa115 2 года назад +1

    Asante sana Baba kwa ajili ya somo hili,uwii hadi nimetetemeka sana,Mungu atuhurumie sana

  • @eagleevah3984
    @eagleevah3984 3 года назад +1

    Thank You ABBA Father for this message. Worthy is You Lord

  • @mildredwekesa3357
    @mildredwekesa3357 3 года назад

    Ameen,nmebarikiwa na haya mafunzo nmeelewa zaidi,thanks apostle

  • @faustinriziki6787
    @faustinriziki6787 3 года назад

    Nabarikiwa Sana na mafundisho yako Apostle nikiwa hapa Zanzibar

  • @annamsigwa5756
    @annamsigwa5756 2 года назад

    Ponya prophertess

  • @abelasilas8302
    @abelasilas8302 3 года назад

    Yani 😥unaweza kutoka kwenu bila rahana ukaja kuzipata kwenye kanisa kwa sababu ya hii roho ya uasi eeeh MUNGU nihurumie

  • @valentinandukuvalentinandu4779
    @valentinandukuvalentinandu4779 3 года назад

    Ameen asante sana apostle kwa somo nzuri mno Mungu akubariki

  • @francesmganda4328
    @francesmganda4328 3 года назад

    Baba namtukuza mungu kwa ajili yako umekuwa mwalimu wangu sana Mungu akutunze

  • @barnabazawadi5686
    @barnabazawadi5686 3 года назад +1

    Mungu apishie mbali roho ya uasi ndani yangu!!!

  • @godianmande4920
    @godianmande4920 3 года назад +1

    This is deep, rebellion is the spirit of witchcraft.
    Thanks Man of God for the MEAL that HEALS, God bless you more and more!!

  • @alicempuya5238
    @alicempuya5238 3 года назад

    Mungu atutetee tusiwe na roho ya uasi

  • @harriethkinjoli5459
    @harriethkinjoli5459 3 года назад

    Nakuangalia baba na najifunza.

  • @kilangoabraham2390
    @kilangoabraham2390 3 года назад +1

    Ni somo zuri sana na limeeleweka. Asante mtumishi wa Mungu.

  • @agathamsomba2980
    @agathamsomba2980 3 года назад

    Tuko pamoja tunakupata

  • @agathamsomba2980
    @agathamsomba2980 3 года назад

    Tuko pamoja tunakupata

  • @theblessedoneone4866
    @theblessedoneone4866 2 года назад

    Hatari sana.
    Very true

  • @ajunanekhemia9549
    @ajunanekhemia9549 3 года назад

    Mtumishi barikiwa

  • @marymwatsuma8137
    @marymwatsuma8137 3 года назад

    Amen kwa neno lakuonya

  • @neyhmrs7704
    @neyhmrs7704 2 года назад

    AMEEEN

  • @charlesjoellaizer5128
    @charlesjoellaizer5128 2 года назад

    Ameen

  • @neyhmrs7704
    @neyhmrs7704 2 года назад

    mpaka ndugu

  • @emmanuelmtonyole9958
    @emmanuelmtonyole9958 3 года назад +1

    Ameeeeen ameeeeen pastor

  • @ednakynadongowi4755
    @ednakynadongowi4755 3 года назад

    👏🙌🏽 this is deep Manara Wa babeli uanguke kabisaaaaaaaa.......Asante Chief kwa somo zurii mnoooo mnoooo Ubarikiwe sana

  • @mwanashagladys4581
    @mwanashagladys4581 3 года назад

    Ameen

  • @doctorzero-dj5xg
    @doctorzero-dj5xg 3 года назад

    Mmmmh Mungu nisaidie nisibebe roho ya uasi

    • @doctorzero-dj5xg
      @doctorzero-dj5xg 3 года назад

      Hatari sana , mtumishi huduma yangu iliuawa na watu kama hawa , nikipata kibali kwako nisaidie ,naishi mbeya

  • @annekangaikathuni9523
    @annekangaikathuni9523 3 года назад

    ...nashukiru ..Amen Amen Mwalimu...Mungu aka kubariki siku zote Amen.

  • @lindsay6415
    @lindsay6415 3 года назад

    Roho Mtakatifu Mungu wangu Tena Baba Yangu Asante Yesu!! Asante Yesu kwa kuiokoa roho yangu na Nafsi yangu kwa injili Hii
    Nimetubu na Kuokana Milima yote ya Babelli
    In Jesus name .
    Amen

  • @rehemaanyisile6205
    @rehemaanyisile6205 3 года назад

    Nikweli kabisa baba yangu wala hudanganyi nikweli,tunakuelewa vizuri Apostle

  • @amosjeremiar8006
    @amosjeremiar8006 3 года назад

    Ameen apostle

  • @nibohemed2646
    @nibohemed2646 3 года назад

    Asante Apostle kwa
    Mafundisho yako roho ya uwasi naikataa katika jina La yesu iwe uwasi wa kuongea ,wakusikia au wa matendo na yesu akanisaidie kuzinyoosha njia zangu Amen from 🇹🇿 to 🇮🇶

  • @catherinekatoto8278
    @catherinekatoto8278 3 года назад

    Asante Mtumishi wa Mungu kwa fundisho muhimu kama hili ili tuweze kujichunguza ndani yetu tuone km tuliwahi kuingiwa na roho hii mbaya ya uasi. Mungu ametusikia na ametusamehe. Amen.

  • @anaaanick4187
    @anaaanick4187 3 года назад

    Amen

  • @lulumwenda6922
    @lulumwenda6922 3 года назад

    Amen

  • @evamaryjeremiahdavid7559
    @evamaryjeremiahdavid7559 3 года назад

    Asante Yesu kwa kunifungua nimepambana sana na watu hawa waasi nimepona sasa kupitia Mtumishi wa Mungu Baba Mungu azidi kukutumia huwa nafunguliwa sana na masomo ya kuongoza watu

  • @annetteomunga2212
    @annetteomunga2212 3 года назад

    Amen E mungu niondole roho ya uasi ndani yangu thanks apostal ujumbe naupata nikiwa kenya

  • @roselund5817
    @roselund5817 3 года назад

    Asante Apostle kwa hili somo Kuna muda tunaona tuko sawa kumbe tuna potea Leo nimepona. Mungu aniponye na nishike njia yake.

  • @juliethylukindo2132
    @juliethylukindo2132 3 года назад

    Asante mungu, nimekuerewa Sana mtumishi wamungu somo zulisana

  • @esthercharles2210
    @esthercharles2210 3 года назад

    Ni kweli kabisa, MUNGU wa Mbinguni atusaidie sana maana kupitia uasi watu wengi wamepotea.

  • @alicekalemela7435
    @alicekalemela7435 3 года назад

    God have mercy on me! In one way or another i have rebelled against God! In the midst of wrath remember mercy Lord. Sema tupone Chief, call a spade a spade not a big spoon.. nimeingia Toba, i bind, rebuke and cast away the spirit of kolar in Jesus mighty name. Thank you Jesus for deliverance

  • @marysmsechu3833
    @marysmsechu3833 3 года назад

    Nimebarikiwa sana, nitashare kwa wengine, Amen

  • @penuelfullsalvationchurch3350
    @penuelfullsalvationchurch3350 3 года назад

    Ooo jesus niokoe n roho za uasii...niishike njia yako iliyo njema

  • @margaretkatana7098
    @margaretkatana7098 3 года назад

    Amen .asante kwa neno lko mungu akuzidshie neema na pia tnaomba mungu atuepushie n waasi

  • @lydiaamazimbi8450
    @lydiaamazimbi8450 3 года назад

    Sincerely speaking I hve rebelled,,,,I thank God for this sermon,thru this He has rebuke and correct me. ooh God forgive me kwa kulirarua mwili wa kristo.

  • @jacksonmenas6488
    @jacksonmenas6488 3 года назад

    Amen hakuna kilichokikuu Kama Wokovu

  • @joyamani4746
    @joyamani4746 3 года назад

    Am soo blessed and God appointed you to share this as I needed this at such a time. Baraka tele.

  • @rehemaanyisile6205
    @rehemaanyisile6205 3 года назад

    Hapo penye kunena kwa lugha ndipo watu wanapodanganywa

    • @tinnahagustinolyelu4247
      @tinnahagustinolyelu4247 Год назад

      Yaani ukiona mtumishi anapenda saana kunena Kwa lugha Kuriko kuhusu Andika maumivu Ni hatari kiroho

  • @jacquelinenyange5549
    @jacquelinenyange5549 3 года назад

    Thank you Apostle 🙏🏿

  • @stannygeorgesp1479
    @stannygeorgesp1479 3 года назад

    Powerful i learn much from you chief

  • @Viewpoint21
    @Viewpoint21 3 года назад

    Amen Amen

  • @stannygeorgesp1479
    @stannygeorgesp1479 3 года назад

    Amen Amen Amen Chief

  • @numpereuben8172
    @numpereuben8172 3 года назад

    Thank Lord for this msg

  • @wamburajoseph9691
    @wamburajoseph9691 3 года назад

    Amen pastor

  • @franciscambatha4314
    @franciscambatha4314 3 года назад

    Amen.first here for glory of God I will continued seeking the face of God and his will.

    • @franciscambatha4314
      @franciscambatha4314 3 года назад

      Amen

    • @franciscambatha4314
      @franciscambatha4314 3 года назад

      Apostle I want to know this revelation today date 26 midnight I was praying to my sister who is sick then wen I was praying I started vomiting bubbles in prayer two time s but I don't give it up I have never experience that in my life.

  • @augustinetarimo6081
    @augustinetarimo6081 3 года назад

    Apostle asante sana

  • @SonofMajor1
    @SonofMajor1 3 года назад

    Ahsante sana Mlezi wangu. Ubarikiwe sana baba. Great message indeed.