WAMASAI WAANDAMANA UBALOZI WA KENYA, KISA SAKATA LA LOLIONDO, WATINGA NA BARUA NZITO..

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024
  • WAMASAI WAANDAMANA UBALOZI WA KENYA, KISA SAKATA LA LOLIONDO, WATINGA NA BARUA NZITO..
    UMOJA wa kabila la wamasai, leo Juni 17, umeandamana kwa amani katika ubalozi wa Kenya wakiwa na barua ya kuwataka waache kuingilia mgogoro unaoendelea Loliondo kati ya Wamasai na serikali, ambao mpaka sasa bado unaendelea kushughulikiwa.
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Комментарии • 57

  • @samwelimolinga9077
    @samwelimolinga9077 2 года назад +2

    wamasai hao wawekwe ndani hao waliyo agiswa

  • @rehemaabdullah7606
    @rehemaabdullah7606 2 года назад +2

    Sasa nyny wasai mnaoishi Dar Hamjui kama wezenu wamemizwa huko kijijin?

    • @jamesyohana1066
      @jamesyohana1066 2 года назад

      Wanamiaka na miaka wamepewa buku buku za kujikimu hao sawa na mizimu woshing brain

  • @dorotheashirima8799
    @dorotheashirima8799 2 года назад +2

    Movie za bongo hizi

  • @rehemaabdullah7606
    @rehemaabdullah7606 2 года назад +2

    Wapumbavu tuu hao

  • @dominiqclassic633
    @dominiqclassic633 2 года назад +3

    Cha ajabu apo Kuna baadh ya maasai wamebeba mabango alaf ukimwuliz maan ake ajui

  • @gasperkimario4703
    @gasperkimario4703 2 года назад +1

    Hakuna wamasai hapa michongo2

  • @hosannachristianoutreachmi5685
    @hosannachristianoutreachmi5685 2 года назад +3

    Hao masai ndio wachongez na sio kenya

  • @jumaalex3942
    @jumaalex3942 2 года назад +1

    Simuende kwaofisi ya mkuuwamkoa auya

  • @salummsaka7694
    @salummsaka7694 2 года назад +2

    Kaaeni huko inaonekana mnamatatizo ya akiri

  • @salomeyuvenali3700
    @salomeyuvenali3700 2 года назад

    Mhh! pesaa nimbaya sanaa
    chawa sio poa😁🙆

  • @gabrielmaitei1080
    @gabrielmaitei1080 2 года назад +1

    Wapig hao wamasai

  • @stephanomoses7694
    @stephanomoses7694 2 года назад +1

    Masai wa kutengenezwa na serekali

  • @sharifubakari1705
    @sharifubakari1705 2 года назад +1

    Wamasai wa mchongo 😄😄😄😄😄

  • @samwelimolinga9077
    @samwelimolinga9077 2 года назад +2

    acha usenge wewe ata si mmsai ni mzenge tu mmoja toka huko peleka unafiki

  • @tirnduyatirnduya862
    @tirnduyatirnduya862 2 года назад +1

    Emanuel njokorde habari ya ngorongoro unajua kinacho entelea ngorongoro arashu loriento unajua nivizuri sana ungefika kwanza iloriendo uwone kwanza kinacho enteleya kule ili upate kuchua maamuzi ilio sahihi.

  • @olobikoomollel3898
    @olobikoomollel3898 2 года назад

    Hao wamasai sio wenyeji wa Ngorongoro....wamepelekwa kisiasa tu .....hivyo sio uzalendo wa kuiongoza Taifa lililohuru

  • @orkitikr1780
    @orkitikr1780 2 года назад +1

    Mbona teargas na risasi na watu walioumia katika sakata uwekaji beacon's GLOBAL TV hamja rusha chochote Leo mnakuja kurusha hao vibaraka waliolipwa na serikali

  • @richardngoilalei2185
    @richardngoilalei2185 2 года назад +2

    Huyo anayesoma barua sidhani kama mmasai

  • @olenonimaningoi9341
    @olenonimaningoi9341 2 года назад

    kwel sisi wamasai tumekua waliz wa ardh ikinoga tunafukuzwa mungu saidia wamasai

  • @olobikoomollel3898
    @olobikoomollel3898 2 года назад +1

    Wewe umetumwa ndugu hujui lolote

  • @johncharles323
    @johncharles323 2 года назад +1

    We ni mmasai kweli au umenunuliwa uzungumze ujinga huo hao wamasai wanaopigwa huko loliondo kweli wanaweza kukuelewa wewe panya wa mchongo ,

  • @akimuwaziri4089
    @akimuwaziri4089 2 года назад +1

    Hivi wamasai wanakiswahili hicho?

  • @daudikiroya6812
    @daudikiroya6812 2 года назад

    Kishu wa uyo Jamaica aiyetifisuri

  • @rehemajuma2202
    @rehemajuma2202 2 года назад

    Mh!

  • @mwailubikamongo9774
    @mwailubikamongo9774 2 года назад +1

    Wamasai wakutengeneza naselikali

  • @msemakweli371
    @msemakweli371 2 года назад +1

    Wametumwa hao ili kuliua hili Swala

  • @teteniwery758
    @teteniwery758 2 года назад

    Kenya haina shida hata kidogo bali wanajaribu kutufumbua macho kuwa huo ni unyanyasaji uliyokithiri ,lakini kwa upofu mlionao watanzania na njaa isiyoisha ndo maana leo umekubali kuwa msaliti na kukubali ndugu zako kunyanyaswa na kuonewa

  • @mhamedmssa5750
    @mhamedmssa5750 2 года назад +1

    Tanzania imepigwa upofu

  • @rehemaabdullah7606
    @rehemaabdullah7606 2 года назад +1

    Wamasai wa mchongo haoo Kuna wengne humu wafanya Kaz Wa Serikali ila msije kutulilia tuu

    • @jamesyohana1066
      @jamesyohana1066 2 года назад

      Hamna wote hao wanasuka nywele hapo dar wahuni tu

  • @johncharles323
    @johncharles323 2 года назад +1

    Panya buku weewe

    • @johncharles323
      @johncharles323 2 года назад

      We sokwe wa kichina nini unaona vyema watanzania wenzio wakipata taabu inchini kwao et ,

  • @TM.Sullusi
    @TM.Sullusi 2 года назад

    Iwe kweli au uongo, ila Kenya wamezid kuingilia issue za Tz tena mara nyingi wanaongezeaga na chumvi ( hasa habari zenye negativity ) kuhusu Tz. ( Vyombo vyao vya habari na hao sijui ndo wanaharakati)

  • @issasulleman8573
    @issasulleman8573 2 года назад +2

    Masai wa kuchonga hao! Chunguza masai rasta man aliwahi onekana kwenye matukio mengi sana ya kiselikali

  • @teteniwery758
    @teteniwery758 2 года назад +1

    Nyie ni mabwege na mmelipwa kufanya mmbwa nyie

  • @elijahnkoidela4262
    @elijahnkoidela4262 2 года назад +1

    Sshindwe wewe, uoga hatuuzuwi sisi,,, m'barra olmeeki

  • @amaniwanga8621
    @amaniwanga8621 2 года назад +1

    Wewe sio Masai wewe acha unafiki

    • @jamesyohana1066
      @jamesyohana1066 2 года назад

      Mjomba angu kabisa ila hamnaxo karukwa kidogo

  • @jamessichimata36
    @jamessichimata36 2 года назад

    Wa Kenya nao kwa Kiherehere hawajambo.

  • @ebenezernnko8251
    @ebenezernnko8251 2 года назад +1

    Wamasai wakuchonga hao baada ya baadhi ya viyongozi kufiliska kisiasa na kifkira kama walivyo valisha wanachama wa ccm tisheti za chadema ili wachafuwe chama pinzani

  • @thomsmollel1280
    @thomsmollel1280 2 года назад +1

    Mazuzu kwli hawa yaan unauza utu wko kwa pesa ictoshe hao wamasai Ni wa mchongo shenzi kabisa

  • @anastahiliutawala3879
    @anastahiliutawala3879 2 года назад

    Pumbavu tu masai sheet

  • @lekishonmolele1921
    @lekishonmolele1921 2 года назад +1

    Tumbo singine sikishiba nimbaya mtu ajaguswa anaongea fibaya na aliyepigwa risasi watasemaje

  • @jamesyohana1066
    @jamesyohana1066 2 года назад

    Huyo mchongo tu ni mjomba Wangu nothing at all hajui anachokisema YUDA ESCARIOTI Katiba mpya ni Sasa people destroyed by lacking of knowledge and vision this are publicity foolish group not an humanity VIVA KENYA