| HEKAYA ZA LOLIONDO | Tiba ya Babu wa Loliondo [Part 1]

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2019
  • Takriban miaka tisa iliyopita, mamilioni ya watu kutoka Afrika Mashariki walifunga safari na kuelekea hadi kijiji cha Samunge nchini Tanzania kutafuta miujiza ya uponyaji wa magonjwa aina aina. Eneo la Loliondo likageuka na kuwa sehemu iliyosifika hasa miongoni mwa Wakenya. Dawa za uponyaji ambazo wakati huo zilionekana kuwa miujuzia zilikuwa zinatolewa na mhubiri aliyestaafu kwa jina Ambilikile Mwasapile maarufu Babu. Mwishoni mwa mwaka wa 2012 zaidi ya watu milioni 6 walizuru kijiji cha Samunge, sehemu anayoishi Babu hadi wa leo. Hii leo runinga ya Citizen imeandaa makala kuhusu matukio baada ya Loliondo ambapo wengi walifariki baadaye na wengine wakizungumzia masaibu yao. Huyu hapa Jamila Mohamed na makala ya Hekaya za Loliondo.
    #HekayaZaLoliondo #TibaYaLoliondo

Комментарии • 107

  • @charlowmathew9762
    @charlowmathew9762 4 года назад +24

    Walay huyu mzee ndio mkora mkubwa kuliko wote Duniani na inabidi Iwekwe kwenye historia kama Mtu hatari zaidi duniani kwa ukora

    • @annastasiajackson3329
      @annastasiajackson3329 4 года назад

      Charlow Mathew😂😂😂😂😂

    • @bekathiongo359
      @bekathiongo359 4 года назад

      Kabisa😀🤣🤣🤣

    • @rumpelstiltskn5574
      @rumpelstiltskn5574 4 года назад +1

      Charlow Mathew ...a fool and his money are soon parted! 😒😏😂😂😂😂🤦🏿‍♂️ hakuna ukora hapa! Watu wengi ndio wajinga! 😂😂😂😂🙆🏿‍♂️

    • @yasmininder3620
      @yasmininder3620 4 года назад

      Kweli

  • @geoffreyokonda2562
    @geoffreyokonda2562 4 года назад +19

    Let people learn.....health is the greatest wealth one can have

  • @blessedlovedandfavoured4129
    @blessedlovedandfavoured4129 4 года назад +6

    Have mercy oooh lord.. Just trust in him who lives forever... Health comes from God.. Please lets trust in Jesus.

  • @kahunakorteze2763
    @kahunakorteze2763 2 месяца назад

    Legend. Every year, Every generatin has their hype/narrative/scam. It is not unique to Kenya but similarly present the world over.

  • @ARTCELLENCY
    @ARTCELLENCY 4 года назад +11

    Msilaumu mzee, nyinyi ndio mlipeleka kiherehere

  • @wanjiruthuni7126
    @wanjiruthuni7126 4 года назад +3

    Peter my long lost customer,nimekuona and u look Soo healthy

  • @happymsaki1720
    @happymsaki1720 4 года назад +4

    Watu waliacha dawa kwa kweli inasikitisha sanaaa ni UONGO wa ajabu

  • @wangagirl3508
    @wangagirl3508 Месяц назад

    Nimetoka kwa citizen kuja tena kuona loliondo😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @rosemutinda3076
    @rosemutinda3076 4 года назад +1

    Mimi hata kama ni jirani anasema ako na tiba siwezi. Yesu alisema tuwe maskini sana na hawa watu Mat 24.
    I can pray for myself with faith and get healed.

  • @eunicewairimu5015
    @eunicewairimu5015 4 года назад +3

    Nimeona naekana sacco nikajua wakenya Sana Sana wakikuyu WAliende, 👏👏🤣Africa hatukosi vituko,, babu WA loliondo biguni ataonea viusasa

    • @pj3497
      @pj3497 4 года назад

      🤣🤣🤣🤣

    • @Desamz23
      @Desamz23 4 года назад

      I know some who went and 2 died before they arrived.

    • @eunicewairimu5015
      @eunicewairimu5015 4 года назад

      @@Desamz23 y are u commenting u genius??! Nipe brains zako nitumie

    • @kahuhowanjoki7227
      @kahuhowanjoki7227 4 года назад

      😂😂

  • @faithchepkemoi473
    @faithchepkemoi473 2 года назад

    Wonders shall never end!!

  • @Geoffreynyachae
    @Geoffreynyachae 4 года назад

    Waiting for part two

  • @dylanimbili3818
    @dylanimbili3818 4 года назад +2

    uyo mzee Samunge ni mkora

  • @nzamul1446
    @nzamul1446 4 года назад

    This is sad. I totally understand why this guys went. God help you guys thru this journey.

  • @happymsaki1720
    @happymsaki1720 4 года назад +1

    Yupo Babuuuu eeeeeheeeeh

  • @elpinarichard1884
    @elpinarichard1884 4 года назад +1

    Duh nakumbuka huko mwaka 😋

  • @aminashabani2850
    @aminashabani2850 3 года назад

    Babu mshenzi sana ingekua awam ya tano angefungwa maishaa

  • @WairimuMuya
    @WairimuMuya 4 года назад +2

    So this man alkua anaplan kuwamaliza wah, part 2 naisubiri

  • @wanjiruwanganga5707
    @wanjiruwanganga5707 4 года назад

    Woiye

  • @rehemaahamadiahmadi566
    @rehemaahamadiahmadi566 4 года назад +2

    Tusisahau kwamba Kuna mwingine katokea hapa Kenya na maiti ziko hospital walifariki Jana na wagonjwa wako hospital

  • @makelula3240
    @makelula3240 4 года назад +3

    mzee alipata utajiri kwa kuuwa watu 🚶🚶🚶

  • @paulebby1552
    @paulebby1552 4 года назад +1

    Wanyakyusa ni wavivu sana ndo maana alitumia akili kupata hela

  • @tonnynamasaka4605
    @tonnynamasaka4605 4 года назад +4

    DCI na DPP ichangamkie hii scandal 😁😁😁

  • @abubakarikisuju80
    @abubakarikisuju80 2 года назад

    Huyu mzee alikuwa tapeli sana" mpaka Rais Bush wa marekani alikuja kugonga kikombe"urithi wake wa utapeli kauchukua mwamposa

  • @najmerry2977
    @najmerry2977 4 года назад +1

    Waja bhana binti anazikwa bembeni ya mji

  • @ammbuthia2740
    @ammbuthia2740 4 года назад +2

    Mwaura 😂😂😂😂 nyumba ya mūmbi nitwethire indo

    • @thykingdomworld
      @thykingdomworld 4 года назад

      Nimeona Naekana sacco ikipeleka watu huko 😂

  • @tashkariuki7652
    @tashkariuki7652 4 года назад +1

    Ngai nilikua nasikia ati huyo mzee alikua ameambiwa na mungu atakufa after kupatia watu ndawa

  • @benjohnson1763
    @benjohnson1763 4 года назад +3

    Mzee hakuita mtu. Walijipeleka wenyewe na magonjwa yao

  • @hanifajuma342
    @hanifajuma342 4 года назад +1

    Watu wengi walikufa baada ya kuenda kwa babu na kuacha dawa za ARV. hatari.

  • @aziondeshirazybwoy6495
    @aziondeshirazybwoy6495 4 года назад

    Babu kumbe bado yupo mngu ambatiki sanababu

  • @themortonhub
    @themortonhub 4 года назад +2

    People have problems but they don't know the real problem, many have refused to go to hospitals for the fear of the worst. Some look for who to blame family members, others neighbours etc. Let not be fooled by people who play our psychology by brain washing.

  • @hanifajuma342
    @hanifajuma342 4 года назад

    😁😁😁 watu wanapenda mababu.

  • @lydiaagwuma656
    @lydiaagwuma656 4 года назад +1

    Alitajirika,akajenga nyumba na rentals. Akawekewa stima na Magufuli,,nyambafu hii

    • @rumpelstiltskn5574
      @rumpelstiltskn5574 4 года назад

      Lydia Agwuma ...😂😂😂😂😂😂🙆🏿‍♂️

  • @FreshCreater
    @FreshCreater 4 года назад

    Waa

  • @rynelorandrichierynelorand4515
    @rynelorandrichierynelorand4515 4 года назад

    Everyone is desperate for cure, I mean in today's lives everyone is suffering from something you don't know so GOD help us

  • @sweetmelodyintlband
    @sweetmelodyintlband 3 года назад

    Pesa haipatikani kwa njia ya haki

  • @vincentorina1039
    @vincentorina1039 4 года назад +2

    Makomakoooo???

  • @Sherl9
    @Sherl9 4 года назад

    I can feel the desperacy ya kutaka kupona. I will not throw a stone as am human and not perfect. Nobody chooses anataka kuwa mgonjwa ugonjwa gani. Lack of knowledge itatumaliza....

  • @brightkalan133
    @brightkalan133 4 года назад

    Wololo

  • @mercyferguson4720
    @mercyferguson4720 4 года назад

    People were desperate for cure.Babu took advantage of their illnesses and desperation.

  • @qtrqmadilu6390
    @qtrqmadilu6390 4 года назад +1

    Zangu nirudishie...eeehh

  • @sir_felix.
    @sir_felix. 4 года назад +1

    That babu should be arrested for scaming and putting lives at risk

  • @sophiatessia3914
    @sophiatessia3914 4 года назад +1

    Hako kamzee yafaa kafungwe kwenye jela

  • @jamesgathaiya6450
    @jamesgathaiya6450 4 года назад +3

    Kakamega walikua wameenda kijiji mzima

    • @kevinondicho4952
      @kevinondicho4952 4 года назад

      Hahaha

    • @benjohnson1763
      @benjohnson1763 4 года назад

      😁😁😁😁

    • @jaynenjoroge5515
      @jaynenjoroge5515 4 года назад

      Hahaha na nilikuona huko kwa babu

    • @jamesgathaiya6450
      @jamesgathaiya6450 4 года назад

      @@jaynenjoroge5515 😂😂😂😂huyo babu lazima ni billionaire sasa kaa county mzima ilienda huko

    • @hanifajuma342
      @hanifajuma342 4 года назад

      Tanzania ndio usiseme nilikutana na wengi waliokua huko.

  • @reubenrubie4200
    @reubenrubie4200 4 года назад

    Part 2 itaekwa lini?

  • @mikechali1052
    @mikechali1052 4 года назад +1

    Kweli duniani kuna mabo

  • @thomasmachuma9271
    @thomasmachuma9271 4 года назад

    eeh hatari

  • @nobaso620
    @nobaso620 4 года назад

    Life is one big trap

  • @salimmohamedsalim2837
    @salimmohamedsalim2837 4 года назад

    Mzee ww ingelikuwa awamu ya 5 ingekushughulikia ipasavyo magu ninavyo mjua

  • @marymaina6612
    @marymaina6612 4 года назад +1

    Inakaa mìratina

    • @marymaina6612
      @marymaina6612 4 года назад

      Kwani walikuwa wamengojeka wengi aje?

  • @millicentayango3879
    @millicentayango3879 4 года назад +1

    Wapumbavu hao

  • @ismailtarimo1257
    @ismailtarimo1257 4 года назад

    SIPENDI MAUJINGA!!

  • @qtrqmadilu6390
    @qtrqmadilu6390 4 года назад +1

    Mlipewa uchawi tupu

  • @teresiakinuthia6215
    @teresiakinuthia6215 4 года назад +1

    mzee huyo bado ako hai ama ?

  • @sallysarch9441
    @sallysarch9441 4 года назад

    This conman is still conning and killing people he needs to be stopped

  • @jamesgathaiya6450
    @jamesgathaiya6450 4 года назад

    Loliondo my foot

  • @mcwilliesyoks6276
    @mcwilliesyoks6276 4 года назад

    How much were they paying for the medicine?

  • @magimagi234
    @magimagi234 4 года назад

    People ignore the blood of Jesus too much and run to all form of witchcraft.

  • @happymsaki1720
    @happymsaki1720 4 года назад +1

    Wajinga ndio waliowao ni nykti za mwisho watu walikufa mnooooooooooo

  • @frunkkiongo7209
    @frunkkiongo7209 4 года назад +1

    Kuna watu walishuhudia kupona kweli bona hawa ni kinyume?. I met a guy from Sudan and his wife confessing of recovery

  • @diversitychannel007
    @diversitychannel007 4 года назад +1

    If you believe this nonsense you need help! like serious help..... con of a new age!!

    • @rumpelstiltskn5574
      @rumpelstiltskn5574 4 года назад

      _Alxvndr Aleky ...no con job here, just natural selection!😂😂😂😂🤦🏿‍♂️

  • @sallysarch9441
    @sallysarch9441 4 года назад

    This guy doesn’t look like he has HIV

  • @umiy1971
    @umiy1971 4 года назад

    UJINGA NI WENU WENYEWE , UKIAMBIWA NA WEWE JIAMBIE ...huyu babu ni muuwaji na anastahili kushtakiwa kwa kuwa ni chanzo cha maafa ya wengine

  • @jamilaishmail48jamilaishma2
    @jamilaishmail48jamilaishma2 4 года назад +1

    Loliondo Scam!!

  • @sintoderrick6277
    @sintoderrick6277 4 года назад +3

    Wajinga ndio waliwao. Scientists spend sleepless nights and millions of dollars to come up with cures and remedies halafu mnaenda kuchemshiwa mizizi na kamzee hakajui vile virus hufanya kazi???!!!

    • @rumpelstiltskn5574
      @rumpelstiltskn5574 4 года назад

      Sinto Derrick ...wewe na scientists ndio mjinga kushinda wote! 😂😂😂🤦🏿‍♂️🙆🏿‍♂️🤷🏿‍♂️

  • @Sadaamberlin8307
    @Sadaamberlin8307 4 года назад +1

    Con

  • @aminattai5178
    @aminattai5178 4 года назад

    Kama ingekuwa muislam angekuwa na kesi ya kujibu kwa mauwaji ya watu wakati akijua sio dawa ya kiukweli,lakini ni mkirisitu ndio yamepita na kubasi story na yeye uyo mzee alipoulizwa wakambana sana vile watu wengi walifariki yeye alisema dawa hii utapona kama utakuwa na imani.from zero to hero na sasa ni tajiri mkubwa kule kwako.

    • @annsommer9640
      @annsommer9640 4 года назад +2

      Haijasemekana dini yake huyo ni kama mganga na mganga hana dini musipende kuingilia wakristo hivo

    • @benjohnson1763
      @benjohnson1763 4 года назад +1

      Mambo ya Imani na dini za watu inatokea wapi sasa?

    • @sureshyash4277
      @sureshyash4277 4 года назад

      watu wengi wanafanya sarakasi kwa jina la ukristo hio inaamana kua kuna NGUVU KATIKA YESU KRISTO hivyo wengi kujaribu kuiga mfano tu ila hawana NGUVU ZENYEWE.
      nabii Mohammed aliponya nani katika uislamu, alifufua nani na alipatia nani matumaini alipokua dunia hii😀😀😀😀
      hivyo hamna haja ya yeyote kuiga mfano wake wala matendo yake na wanaojaribu kumuiga ni hawa terrorist wa kuua kwa jina la allah akbar.
      ushawai skia mtu akiua huku akisema kwa jina la yesu🙂🤔🤔🤔🤔