WAKAZI WA LOLIONDO, NGORONGORO BAADA YA MWAKA MMOJA WA KUWEKA MIPAKA, KUHAMISHWA, WAFUNGUKA MATESO
HTML-код
- Опубликовано: 5 фев 2025
- WAKAZI WA LOLIONDO, NGORONGORO BAADA YA MWAKA MMOJA WA KUWEKA MIPAKA, KUHAMISHWA, WAFUNGUKA MATESO
Baadhi ya wananchi na viongozi wa tarafa ya loliondo wameadhimisha mwaka mmoja tangu kutokea vurugu wakati wa uwekaji wa alama za mipaka maarufu kama vigingi katika maeneo wanayoishi na Serikali kwa kile kilichoelezwa kuwa maeneo hayo ni Pori Tengefu
Vurugu hizo wameeleza kuwa ilikuwa ni matokeo ya kutumiwa kwa nguvu kubwa mno iliyokuwa haihitajiki ikiwemo matumizi ya risasi zilipelekea baadhi ya wenzao kuumizwa kutokana na nguvu iliyotumiwa na Jeshi la Polisi huku baadhi ya wanakijiji hawafahamiki walipo hadi hivi sasa na baadhi ya wananchi na viongozi kukamatwa na kufunguliwa Mashataka
Kama hapa wanavyoeleza
Kumbukizi hiyo pia imewaleta pamoja viongozi na wakaazi wa Ngorongoro ambao pia wameeleza changamoto wanazukutana nazo hivi sasa kwa wale waoishi ndani ya Hifadhi..
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Duuuuuuh polen sana ndugu zetu Maasai.
Nchi yetu ina shida gani Wakulima shida, wafugaji shida, wavuvi tabuuu na wafanya biashara tabuuu Mateso haya yataisha lini na Serikali kama haioniii 😢😢😢😢😢 Serikali inaongoza nini sasa????
Poleni sana 😢
Samia raisi hebu jalibu kujitafakari hili swala la ngorongoro nikweli Hawa watu ni binadamu kamawewe wahurumie kama mzazi hao wanao kudanganya kesho wewe ndiyo utae jibu huko aheraa mama wanakupoteza hao chawa
Muito bom lindo obrigada a todos
Ha wana vijiji kumbe wanaongea lugha geni😂😂
Nini cha ajabu hapo?
@@Olaiserriomunyak1059 cha ajab hao walioka hapo je wanaelewa nn kwan ww hujaona cha ajabu hapo🙃
@@KATOPE1 next time try to respect other communitys... Being a Maasai doesn't mean they are not educated.
This is apartheid
ccm ya bitozo roho mbaya kama makaburu wa SA