UKWELI KUHUSU HIFADHI YA NGORONGORO,HALI NI MBAYA, ONGEZEKO LA WATU, MIFUGO LATISHIA UHAI WA HIFADHI
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- UKWELI KUHUSU HIFADHI YA NGORONGORO,HALI NI MBAYA, ONGEZEKO LA WATU, MIFUGO LATISHIA UHAI WA HIFADHI
Global Tv imefika ndani ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro na kujionea uhalisia wa hali ya mazingira uliopo ndani ya Hifadhi hiyo ikiwemo idadi ya watu pamoja na ongezeko la mifugo na makazi Holela zikiwemo Nyumba au Makazi ya Kudumu.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Kwa hiyo wazawa watoke mwuweke kivutio laa hasha haikubaliki.
WANYAMA PORI NA WANADAMU KIPI MUHIMU, PIA INGEKUWA WEWE NDO UNAHAMISHWA NYUMBANI KWAKO UNGEJISIKAJE😢
Asante elimu nzuri. Ombi bado tuone ushawishi meza ya suluisho shirikishi zaidi ushabiki hapana.
Mungu atangulie ngorongoro mlele
Uko ni kwa wamasai. Wapangeni vizuri ,waliyo karibia sana eneo la wanyama wasogee . Wamasai awali wanyama pori. Anaewapiga mishale nani?. Mungu mkuu atusaidie sote. Amen.
Mwalimu Nyerere alikataa kuwatoa na hoja zilikuwa hizihizi, Rais mwinyi akakataa ,Rais mkapa akakataa,Rais kikwete akakataa tena yeye ndio Ali tweet kabisa kuwa ardhi hiyo ni Haki ya wananchi, Rais magufuli ndio hakutaka kabisa mjadala wakuwatoa uwepo ila kwa wakati huu mmeshajua mama ndio yupo mnatumika na mamlaka ambayo imegeuka kuwa adui wa wenyeji wa ngorongoro nakuwa rafiki mkubwa wa makampuni ya uwindaji.
Kiukweri tuwe wawazi ndugu zangu, na kunawakati tusiilazimishe selikari itumie nguvu kwenyevitu vinavyoeleweka tu,_ selikari yetu ni lafiki sana, na inawaomba kwa kuwabembeleza ao ndugu zete nawao inabidi wawe waelewa, ebu fikilia leo ngorongoro ife je tutakua tunaenda kuwatazama Ao masai?ebu tusiweke ligi isiokua na maana yoyote sawa Malaisi waliopita ndio walisema sawa lakini nawao si ni binadamu Kama wewe kwaiyo wao awakosei" kikubwa ni kusoma alama za nyakati watu wanazidi kuongezeka kwa kasi ndugu zangu; naao wanyama nao wanaitaji kuishi Kama wewe usivyopenda kusumbuliwa;Ebu fikiria mazingira unayoishi kilasiku yamejaa maji au kelele mpaka ukashindwa kulala utajisikiaje" ebu tujalibu kufikilia na ili pia na kwaupana zaidi, sawa awa Masai ni ndugu zetu ndio atukatai, lakini nawao wajiongeze watazame mwanzo walivyokua na Sasa walivyo! Na wanazidi kuongezeka na wanazidi kujenga makazi ya kudumu mwisho wa siku si wao tu watakao kaa umo Bali na wengine na wengine watazidi kuja Sasa kumbukeni iyo ngorongoro sio ya Masai pekeyao apana iyo Niyawatanzania wote si wao tu Ni Mimi na wewe; Alafu kumbekeni bado selikari inazidi kuwabembeleza na kuwataftia maeneo mengine na kuwajengea na kuwapa maeneo ya mifugo yao Sasa mnataka Nini Tena"Ifikie wakati the na Mishipa ya aibu ju ya icho kinachoendelea umo ngorongoro ndugu zangu,
Haki itendeke kama nihifadhi iheshimiwe sana tanzania tunamaeneo mengi sana yamakazi yabinadamu
Waacheni Masai wakae eneo lao la asili,mnatengeneza historia za ajabu
Script nzuri ya kuelimisha.Wanasiasa wanatakiwa washikishwe kutoa eliminate hiyo kwa wananchi.Kila eneo lina carrying capacity na stocking rate
.Kama hili halizingatiwi ngorongoro ndio mwisho wake.Wana harakati waelimishwe pia ikiwezekana kwenye vyuo vya siasa
Hao wote waliomo humo ndani waondolewe haraka Sana.
Kichaaaaaaa
Mbwa kama mbwa wengine,historia unaijulia wapi zaidi ya sisi tuliozaliwa.
Ngorongoro inavutia kila Mwanadamu na si Watalii pekee
Wanafaa kuamishua ilikulinda mazingira
Watolewe hao haraka sana
Yani sissi tunafuga wanyama afu serkali yetu wanatuona vibaya sio safi kwa ukweli sisi tupo kwa ajili ya mtanzania ❤ tunakutunzia Masin gira
Hawa wanaojenga wanapitisha wapi materials wakati wanaenda kujenga???hakuna gates???kama ujenzi wa kudumu hauruhusiwi then wakati wanajenga mpk wanamaliza mamlaka zinahusika zinakuwa wapi?
Takwimu za uwongo izo
Kinacholela Shida Ngorongoro watu kuhama ni Masilai Wanaopata Bure ndani ya Hifadhi llikunisuru Hifadhi ya Ngorongoro ni kupunguza watu Tuache Siasa ktk kulinda Hifadhi Watu Wapunguzwe
We mpuuzi tu
Muondoke kwani maisha ni Ngorongoro tu 😂😂
@@tanzaniawildlifeandlandsca4469 maisha sio ngorongoro tu ila hamna mtu kuondoka pale mnaweza msiamini kirahisi ila ukweli ndio huo wala hamna wa kuwatoa pale hizi consiprancy hazina akili wala mashiko patamu ilikuwa ni kupeleka vifaru vya kijeshi hahahahaaa
Nimependa ulivyopangilia hii taarifa...sio kama akina kitenge
Waacheni wakae huko ni kwao wekeni mipaka wanyama wakae kwao na wao muwape sehemu yao ni ngumu kuhamisha mtu kutokabkatika chimbuko lake 😢
Mbona wamasai wanauza maeneo yao kila sehemu na kuhama kwenda kwingine?hilo linamaanisha kuwa wakipelekwa kwingine hawawezi kuishi?
Wapewe maeneo nje ya hifadhi kwa maslahi ya Taifa
Waondolewe wote tz ni kubwa wapelekwe maeneo mengine
Ngodiko isaya
Kweli binadam mmekuwa wanyama . Mfukuze wamasai ili wanyama wakae huu sio ukwana. Watanzani tunafaidije hiyo mbuga watoto wetu hawana ajira mnajimiliki wenyewe tuuPUNGUZENI HAO WANYAMA ACHEN BLAABLAA.
Uko buyers nyinyi ni wale wale huna utofauti ni kitenge na wenzake mbona hajuamuuliza mtafiti wako kuhusu hotels zilizozingira reem ya crater???
Mbona hujamuuliza kuhusu mmemea vamizi ndani ya crater wakati ng'ombe wamenyimwa kuingia huko miaka 10 na ushee zilizopita na majana hayo hayakuwa yakiota!??
Mbona humuulizi kuhusu magari zaidi ya 400 yanayoshuka shimoni kwa siku kama hilo lina afya kwa uhifadhi!?? Mbona hujaenda kwa wanainchi kusikia wanasemaje kuhusu kuongezeka kwao??? Kwasababu ungeshughulikiwa umepita getini kwasababu nia yako ni nia yao pia, Wewe ungeachiwa wale migambo pale sakina wakushughulikie. Non sense
Magari yanaingiza mapato maana yaingiza watalii na mapato yanatumika kwenye miradi ya maendeleo
Wana ngorongoro tusiope juu mungu yupo tutateseka duniani lakin minguni tutaenda tu kila safari Kuna mwisho
Au kuna mwekezaji amekuja?? Kwa hiyo wanataka kuwaondoa kiana
serikali pia itumbue mamlaka zinazohusika na uhifadhi zilikuwa wap wakati watu wanapitisha mabati,nondo na cement za kujengea zisiwakamate kwani wanaruhusu mtu kuingia na vitu hifadhini?mamlaka wazembe na hawana washauri wazuri hawakufanya makadirio ya watu na wanyama kwa miaka 30 ijayo ondoa wote shimoni
The truth is that God knows that we Maasai are conservationists.
We don't hunt wild animals or eat their meat, that's why you find zebras with livestock and other animals.
I am a conservationist and I know the harm caused by humans and also caused by wild animals.
So their government tried to look at something that is not good for the locals who have been in Ngorongoro for many years and nothing has been damaged.
The issue of moving to me, I can't go out.
In the past, the authorities of the ngorongoro reserve used to offer job opportunities to the locals, but these opportunities have been blocked until now.
Also, that is something that is not good, I have a degree in wild animals but I have no job, then come and tell me to move to another place?
I have no experience living in that environment.
Regards
Laizer Nganana
Mmetumwa kuchochea moto
baada ya ngorongoro kituo kinachofuata ni wapi?msiwasahau na ndugu zetu waliofunga kordo za wanyama Arusha national park,kitulo,manyara n.k
Huoni aibu unajikaza kuwa upo kazini na wewe,msalimie kitenge mbwa mwenzako na aibu zenu😂😂😂😂😂
Ni aibu watu kuishi na wanyama futa mchango wa baraza la wafugaji
Usomi wako ni wa njaa,hata hivyo hakuna yeyote mwenye kuongea ukweli mbele ya fedha mnazopewa kuzungumzia ngorongoro
Muondoke kwani maisha ni Ngorongoro tu 😂😂
Kwa hiyo Wamasai wameongezeka na wanyamapori wakapungua? Na muandishi hauna haki kuchukua videos za nyumba za watu bila kibali kwa wenyeji. Etii inawasumbua magari ya kitalii kwa hiyo '" watalii ndoo muhimu? Muwaonyeshe pia hizo hoteli za kitalii.
Muulize pia muongeaji anaishi wapi?
waondoke bwana siasa nyingi mnatuchosha mnamumunya sana maneno
Mwandishi uwe na huruma na familia za watanzania wenzio mnafanya ushabiki kwa kutafta sababu wazawa wahamishwe hebu fikiri uzao wako ungekua Ngorongoro ungekua unabwabwaja hivo?? Hakuna sehemu isiyo na changamoto ni namna gani Serikali ikae na wananchi siyo kuwafukuza wakati wanahistori na eneo lao .. Acheni ushabiki
mtafiti au mshabiki wa manongi tu hopeless guy???
To be poor is a crime
Miaka 3000 iliyopita? Ujinga kwani watz hatukuwahi kuiws nna kumbukumbu.
Umejitahidi kutengeneza conspiracy kubwa Sana ya uongo
TANZANIA TANZANIA TANZANIA TANZANIA TANZANIA TANZANIA TANZANIA
Malaya ww sema tu unatafuta pesa utakufa kifo cha ajabu ww
.
acheni kelele kama mnataka na nyie mkajenge kwenu rubbish
Mwaandishi uchwara njaa kali
Nyie endeleeni kutumika vibaya mtakiona, mnatumia fedha za umma kwa maslahi yenu binafsi afu mnajitokeza hadharan
SHAME ON YOU
Ondokeni acheni ujinga kwani nyie wamasai mbona wajinga sana
@@tanzaniawildlifeandlandsca4469 wewe ndo mjinga ambae hujui history ya ngorongoro afu unashabikia utopolo.
Sio sehemu yako tuache tupambane na serikali usiingilie
Huyo mtangazaji wamasai wamewekaa wapi virungu vyao,.Hawajaona wale waliopasuliwa? Unausomi gani unataka wasai waache jadi zao waondoke.
Hiiii no are you tube ❤
Hii shauri ya siasa tuache siasa maeneo hayo nyeti Sana elimu itolewe hifadhi aiakiwi kuwa na watu mifugo magari hizi rasilimari za taifa baba wa taifa alitunza Sana maeneo Kama hayo siasa ndio uwaribifu wa rasilimari Kama hizo elimu itolewe wakae wakazi wa ngorongoro na serikari tuacha siasa hifadhi itakufa no hatari
Waondoke kabisa wamasai ni waharibifu number 1 wa mazingira sababu ya mamifugo yao mengi yasiyo na tija, angalia maeneo yote wamasai wamekaa lazima waache jangwa
Wewe kama hujuw kuijenga hoja nyamasa kabisa kifupi wewe ujuw chochote unasikiaga tu