pastor ndacha apata kipigo katika muhathara busia 4

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 фев 2021

Комментарии • 96

  • @hassankipyego4124
    @hassankipyego4124 10 месяцев назад +2

    Ndacha hujielewi kabisa

  • @djomary6298
    @djomary6298 3 года назад +4

    MashaAllah ustadh Qasim na Yarit Allah awazidishie na kulimisha Dini ya haki na kufundisha swiratil mustaqiim

  • @husnaodhiambo6848
    @husnaodhiambo6848 3 года назад +3

    Mashallah Maustadh wetu Qasim na Yarit nyinyi ni kiboko ya ndacha na huyo murtadina

  • @ndikumanainnnocent7796
    @ndikumanainnnocent7796 2 года назад +1

    Wislam raha siraha

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 2 года назад +3

    Mashaallah vijana

  • @salehesengiyanka5397
    @salehesengiyanka5397 3 года назад +3

    Asalaam alekum mashekh muko vizuri sana naombeni mmuelimishe NDACHA haelewi chochote isipokuwa katumwa kupoteza umma kaeni naye ana kwa ana mkimuelimisha hatua kwa hatua

    • @BURHANKENYA
      @BURHANKENYA  3 года назад

      Sawa in sha ALLAH tutajitahidi

  • @muhsinsalum8009
    @muhsinsalum8009 2 года назад +2

    Jamaa mpuuzi kweli.
    Unaulizwa alebeba msalaba, unajibu yesu yuko msalaba

  • @mohammedgawawa2995
    @mohammedgawawa2995 2 года назад +2

    Allah awazidishie ilimu

  • @husseinmwenja3199
    @husseinmwenja3199 2 года назад

    MASHALLAH .. KIBANO JUU YA KIBANO ...جزاكم الله خيرا و احسن الجزء

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 4 месяца назад

    Uislamu sio Mimi nakubari yesu

  • @mariamkassim5539
    @mariamkassim5539 3 года назад +1

    Na masheikh wetu Mombasa nimda Sasa hatuja waona....tumemic mihadhara Allaah awafanyie wepesi mutufike inshaa Allaah

    • @BURHANKENYA
      @BURHANKENYA  3 года назад

      Wacha niseme tu mda wake ukifika in sha ALLAH

  • @bennyotheyoungndaga4567
    @bennyotheyoungndaga4567 2 года назад +1

    Good work mwalimu NDASHA. Waislamu Wana kichwa kigumu kweli

  • @aminaomar3807
    @aminaomar3807 2 года назад

    Kaka zangu Ndacha na paulo ..Itakullah ikupuke cku ya kukata uhai dunia sio yetu kifo kinakuja gafla paulo rudi kw Allah utubie .kaka wajua waxi wapotosha watu ..

  • @walidrubeya9946
    @walidrubeya9946 2 года назад +1

    Fastest growing religion in the world.. now islam is taking over all over Europe.. THEY PLAN AND ALLAH PLANS AND ALLAH IS THE BEST OF PLANNERS.. polepole wataelewa na kufwata njia ya hakki.. sisi hatuna chuki ni kuwapenda watoke kwa dini iliyoletwa na wazungu.. yesu mzungu.. Europe and America hamna historia yoyote ya manabii.. waangalie kwanza historia na makaburi ya manabii yapo wapii ndio wayatafakari

  • @francavantini9098
    @francavantini9098 3 года назад +2

    Wafudisheni polepole hawa wakristo awajui. Kuelewa tu

    • @BURHANKENYA
      @BURHANKENYA  3 года назад

      Itabidi waelewe ama waende motoni

  • @mariamkassim5539
    @mariamkassim5539 3 года назад +1

    Masha Allah ...Allaah anavidume wanguvu alhamdulillah elmu inafika kiustadi zaidi... Allaah azidishie hekma na maarifa na awape subra....nawapenda kwaajili ya Allah

  • @bigmanfish6346
    @bigmanfish6346 7 месяцев назад

    Umeulizwa mbahazi wajibu kunde ndacha

  • @yusufmahdi8921
    @yusufmahdi8921 Год назад

    Mansha Allah

  • @simonnzuki8884
    @simonnzuki8884 Год назад +1

    You people you have to be serious listening those teachings.

  • @rosemutinda3076
    @rosemutinda3076 3 года назад +5

    Sasa kati ya mwarimu wenu na Ndacha nani amecharazwa🤣🤣🤣😂😂Weka full vidio vile Ndacha hufanya wacha kuweka part yako tu.😁😁😁.Hata mkiita walimu waarabu wenye Dini, wacha nyinyi mliletewa Dini kwa biashara, hawezi funja hoja za Ndacha...

  • @abdirahimbashir8724
    @abdirahimbashir8724 2 года назад

    Ndasha haelewi Chochote haki usipoteze watu bba

  • @abdirahimbashir8724
    @abdirahimbashir8724 2 года назад +1

    Ngalia anafa kanzu muguu moja kiristo na ngine mu islamu

  • @anwarambar6141
    @anwarambar6141 2 года назад +1

    Ndacha hajielewi,

  • @eliuzedaffa6995
    @eliuzedaffa6995 2 года назад +1

    Yan Ww umechukua kijisehem tu unapaste APA mbn dozi kamili hujaleta mlojibiwa ?????????????????

  • @kelvinmurithi7714
    @kelvinmurithi7714 Год назад

    Joh 14:6 Jesus answered, "I am the way and the truth and the life. No one comes to the Father except through me.
    YOU CANNOT IGNORE JESUS.

  • @kijanahodari2080
    @kijanahodari2080 3 года назад +1

    Ndacha anadanganywa na wazungu na kumuacha Mungu namuomba asilimu.

    • @BURHANKENYA
      @BURHANKENYA  3 года назад

      Ameen

    • @rosemutinda3076
      @rosemutinda3076 3 года назад

      Hakuna wa kucheka mwingine. Huyu shekhe naye anajichanganya na waarabu anaacha Mungu

    • @barackamosi4116
      @barackamosi4116 Год назад

      Wewe kweli ni mpumbavu kwahiyo na nyie mnadanganywa na warabu

  • @user-mc2xd4eu2p
    @user-mc2xd4eu2p 7 месяцев назад

    Ndacha ananukuu kitabu cha ahmadia kutoa ushahidi wa yesu kufa ukitumia kitabu cha ahmadia usikatae yehova matatani maana hicho kitabu cha ahmadia ni cha makafiri

  • @mahdiyusuf3431
    @mahdiyusuf3431 2 года назад +2

    Mansha Allah I need Sheekh Qasim number please

  • @Mazinge-ze8ym
    @Mazinge-ze8ym 3 года назад +1

    Mkutano raha tupu

  • @ilkacasebishoo4268
    @ilkacasebishoo4268 3 года назад

    Ndacha kama ukona shida ya kuelewa mwalimu wako umeipata sasa na utakuja kusimu I.a

  • @jamesdavid4977
    @jamesdavid4977 3 года назад +2

    Mungeweka yote tuone vile yeye anaweka kazi yenu ni ushidi ambao hauonekane hataa

    • @BURHANKENYA
      @BURHANKENYA  3 года назад

      this is part 4 go watch pert 1-3

  • @lewismurithi9578
    @lewismurithi9578 2 года назад +1

    Ndacha Ni mwalimu kamili

  • @keithkithusi7626
    @keithkithusi7626 2 года назад +1

    I will tell ndacha how he can make you guys understand.

    • @BURHANKENYA
      @BURHANKENYA  2 года назад

      Come and tell us forget Abt ndacha

    • @stoispapi2380
      @stoispapi2380 2 года назад

      CHRISTIANITY WAS ENFORCED INTO YOU.

    • @mejukassim
      @mejukassim Год назад

      😂😂😂😂 sorry

  • @stoispapi2380
    @stoispapi2380 2 года назад

    AM NOT SURPRISED HUYO MSOMAJI WA NDACHA KUWA MUISLAMU SAHIZI...NDACHA ALIKUWA ANAMTUMIA TU KUUHARIBIA JINA DINI YA MWENYEZI MUNGU.

  • @salehesengiyanka5397
    @salehesengiyanka5397 3 года назад +1

    Ndacha una kichwa kigumu cha kuelewa

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 2 года назад

    Huyu Ndacha ANASILIMU muda c mrefu,....kikubwa anafikiria Maisha atakayoishi bila sadaka..!

    • @BURHANKENYA
      @BURHANKENYA  2 года назад

      In Sha Allah

    • @caringtonbarasa4501
      @caringtonbarasa4501 Год назад

      Mohammed hakuona yesu na anasema hakukufa petero aliyemjua yesu anasema alikufa sasa niamini muhammed mimi mpuzi

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 Год назад

      @@caringtonbarasa4501 ..Kwani ww ulikuwepo wakati petero anasema Yesu kafa..?..🤣🤣🤣

    • @caringtonbarasa4501
      @caringtonbarasa4501 Год назад

      Na jee Mohammed alikuwepo akamuona yesu hakufa? Wanasaikolojia na Hata ndugu ya mohammed mwenyewe kakubali yesu alikufa.mohammed baada ya miaka mia sita anasema hakufa hio ni upuuzi tuu.mimi ni ex-muslim

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 Год назад

      @@caringtonbarasa4501 ...basi ndio maana hujui maandiko, Sasa kasome maandiko halafu utuambie kifo cha Yesu kilikua cha aina Gani, wanafunzi wote wa Yesu Kila mmoja ana taarifa tofauti juu ya kufa , huyu anasema alipigwa akafa akatundikwa, mwingine anasema alikufa ndio akatundikwa, mwingine anasema alipigwa matofali...mwingine anasema alikimbia akajificha..!
      .Siisi waislan hatuna shaka , baada ya watu kubishana bishana Sana, MUNGU akatuhakikishia baada ya hiyo miaka kupita na kumlera mtume ,ajatuambia waislam msiumize VICHWA hao MAGALATIA hawana wanachojua, Yesu HAJAFA Wala HAJASULUBIWA, ndio maana sisi tunaamini hivyo..!..🤣🤣🤣

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 2 года назад +1

    Huyu mchukua video mkono wake hautulizi mkono, yaani inakera, hebu tuliza mkono ili tuangalie vizuri.

    • @BURHANKENYA
      @BURHANKENYA  2 года назад +1

      Tutajitahidi next time... Sio rahisi kuchukua na simu

    • @mariamfritsi4943
      @mariamfritsi4943 2 года назад +1

      @@BURHANKENYA sawa sawa, unajua watu wengi tunapenda sana hii mihadhara huwa tunajifunza mengi, kwa hiyo tunapenda video iwe clear na kutulia. Naangalia kutoka uswis. 18.02.22.

    • @BURHANKENYA
      @BURHANKENYA  2 года назад

      Sawa sawa in sha Allah

  • @joelgodia4000
    @joelgodia4000 2 года назад

    🤔🙄 MUNGU awasamehe wislamu

    • @mombasa0076
      @mombasa0076 2 года назад +1

      Msamehewe nyinyi msiojitambua.

  • @mohameddeq217
    @mohameddeq217 2 года назад

    hapa ni county gani

  • @Mazinge-ze8ym
    @Mazinge-ze8ym 3 года назад +1

    Mansha Allah vidume
    Ningeomba number yako na ya @ustadh Qasim

    • @BURHANKENYA
      @BURHANKENYA  3 года назад

      0742477894(muhammad)
      0729844920(qasim)

    • @mombasa0076
      @mombasa0076 2 года назад +1

      MAA SHAA ALLAH

  • @jamesmuriithi799
    @jamesmuriithi799 3 года назад

    genesis 38:10 God killed onan,he kills.

  • @alimahmoud5837
    @alimahmoud5837 2 года назад

    Kwa nini wanaitwa wakiristo, wasiitwe wayesu?

    • @barackamosi4116
      @barackamosi4116 Год назад

      Wewe kweli ni mjinga kwani kristo ninani sindio yesu

    • @user-mc2xd4eu2p
      @user-mc2xd4eu2p 7 месяцев назад

      😂😂😂😂😂 Hawa vipofu Hawa watu

  • @thebibleandthebibleonly8602
    @thebibleandthebibleonly8602 3 года назад +1

    Hahahahahaha mnalidhisha watu tu lakini mwisho wenu ni hapa Quran 46:9 kichwa cha Mandaa hamajaweka weka yote tuone mumekata nusu tunawajua tu

    • @chiefmkalikibz1503
      @chiefmkalikibz1503 3 года назад

      Jifundishe Kwanza kuandika Kiswahili, Kisha ujifunze kukielewa ndio ulonge.
      KUBWA ZAIDI: Soma hio Aya 46:9 hadi mwisho, ndio utaelewa kama Umepote

    • @rosemutinda3076
      @rosemutinda3076 3 года назад

      Hawawezi😁😁😁kwanza huyo anauliza mambo ya christmas, na pia wao husherehekea Maurid na wengine hawasherehekei.

    • @andallaathman3856
      @andallaathman3856 2 года назад

      Wallah hii Qur'an ina Raha jamaa katoa Aya katika Sura ya 46:9 hio ulajijibu mwenyewe na ukajijua kwamba fanya ibada wacha machafu abudu mungu moja bila hivyo utaingia motoni maana yake hio Aya kila mtu ataubeba mzigo wake hakuna nabii atakae kubebea mzigo yako na kma wadai yesu mungu ndio akawabebea ndio akaja kufa ndio aawabebe kwani ilikua hawezi yy huko alipo mbinguni aseme mm wanadamu wote wako freee nimewasemehe wafanye watakalo mpka apitie njia ya kufa nakujifanya binadamu wallah hakuna akili kabisa na wnajiona wamesoma hawa watu wako na madegreee 😂😂😂😂 Moto unawasubiri fnyeni haraka muingie kwausilamu musalimike

  • @threebrothers..
    @threebrothers.. 2 года назад

    Amepata kipigo gani?

    • @user-mc2xd4eu2p
      @user-mc2xd4eu2p 7 месяцев назад

      Kaulizwa nani kabeba msalaba kwa mujibu wa biblia yeye anajibu aliekuwa mslabani futeni izo aya zinazotaja waliobeba msalaba kama hazitumiki

    • @threebrothers..
      @threebrothers.. 6 месяцев назад

      Waisilamu mna shida,watu wako na akili zao wanajua mnandanganya tu

    • @user-mc2xd4eu2p
      @user-mc2xd4eu2p 6 месяцев назад

      @@threebrothers.. Bible Ina mgongano wa kimaandiko

    • @threebrothers..
      @threebrothers.. 6 месяцев назад

      @@user-mc2xd4eu2p wapi

    • @threebrothers..
      @threebrothers.. 6 месяцев назад

      @@user-mc2xd4eu2p halafu waisilamu hamuezi mkaelewa bibilia sababu hamna roho WA mungu,halafu bibilia ndio kitabu pekee duniani kina prophecy halafu inafanyika,eg we know what is about to happen very soon,watu woote watalazimishwa kuabudu Sunday Hadi nyinyi waisilamu ndio mpate alama ya mnyama,quran is all about past events