BINTI ALIYEFUNGWA KAMBA KWENYE BASI, POLISI MORO WATOA UFAFANUZI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024

Комментарии • 10

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 9 часов назад +1

    Safi Sana raia wema kutoa taarifa na pongezi Kwa Polisi kufatilia hata Kujua ukweli, Good job Ayo tv.

  • @mnisi3694
    @mnisi3694 10 часов назад +2

    😢😢 huyu polisi nafanana na Millard Ayo kabisa

  • @Magdalene-er2ur
    @Magdalene-er2ur 12 часов назад +2

    Wanafatilia mtu ambe amefungwa Kamba na anasafiri na gari la abiria,hawafatilii watu wanaopetea na kurejeshwa wamekufa, taarifa muhimu. ...

  • @msabatozeson9023
    @msabatozeson9023 11 часов назад +1

    Millard Hawa watangazaji umewapa kazi we mwenyewe!??

  • @TellaaxisTz
    @TellaaxisTz 10 часов назад +1

    We learn from mistakes

  • @eliudezekiel8615
    @eliudezekiel8615 13 часов назад +5

    Jaman wanadam wamekuwa wakatiri sana kuliko hata huyo shetani mwenyewee

    • @yousifyousif-p7f
      @yousifyousif-p7f 13 часов назад +1

      Kbs

    • @mariumseif6751
      @mariumseif6751 12 часов назад

      Sasa hapo ukatili gani alioufanya mshaambiwa mtu ana matatizo ya akili na anapelekwa milembe ni hospital ya vichaa sasa mlitaka amuachie apige watu au aluke dirishani ss lipi jema.acheni lawama zisizo za msingi.angemnyanyasa porisi wasingemuacha.kichaa yeyote huwa anafungwa kamba kwa tahadhali​@@yousifyousif-p7f

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 10 часов назад

    HAO HUWA WANASEMA ANA MATATIZO YA AKILI AU YA KIAFYA KUMBE NI UONGO WANA JAMBO LAO ASANTE POLISI TUNAOMBA HUYO ALINDWE ASIPOTEE.

  • @YangaNews
    @YangaNews 11 часов назад

    Polisi wa tanzania 🇹🇿 asanteni sana 😭😭😭😭 yaani wanaotekwa 😩😩😩😩😩😩 ila bc