Thanks so much kwakunifungulia dunia kwa mawazo konki kabisa kilicho baki ni kazikwangu kuchukua hatua yani ni Mungu tu nilikua napita tu youtube sahivi ndiyo nikaona hili somo japo ulifundisha siku nyingi miezi 7 imepita Ila sihaba nimepata kitu ubarikiwe mno dada angu yani mh sijui nisemaje kwakweli be blessed indeed
La kwanza, ujue unataka kuwa unapost nini hasa au bidhaa gani, kisha unaweka maelezo ya bidhaa yako, mahali inapopatikana, bei na mawasiliano yako. Ni muhimu uwe unapost kila siku na kubuni njia za kutengeneza maudhui yatakayovutia wateja wako.
Hamjambo, Mimi kikweli nipo ulaya na mtaji wangu sio mdogo, naona ki kweli nipo na uwezo mkubwa. Nahitaji kufanya Biashara ya REAL ESTATE TANZANIA ila sijui nianziye wapi... Naomba sana usaidizi... Shukran
tuwasiliane niko tarime Mara kwa rel estate hapa ardhi ipo na kilimo cha mahindi misimu miwili na soko zuri kwa nchi ya Kenya na South Sudan Ujenzi wa nyumba na kupangisha au kuuza soko lipo tuko mpakani soko lipo vile vile ununuzi wa dhahabu kutoka kwa wachimbaji wadogo waliowengi hapa
Mzee karibu Tz sisi tupo Mzee uwezo na uhaminifu ktk Biashara ninao na najihamini kwa Hilo japo Sina wakunibusti tuwasiliane napatikana Tanzania Bukoba Kagera
Dada ubalikiwe sana kwa somo zur.mim nilikuwa naomba unisaidie kitu mim nimeajiliwa duka la vinywaj jumla.naenda kazin saa mbil asubh nalud saa mbil usiku.naomba unisaidie naweza nkafanya biashala gan mpendwa.ambayo inafaa kuanzishwa kwa mtaj waelf 50
Elimu nzuri sana tafadhari mimi nimependa hasa kipengere Cha mitumba na matangazo ya biashara kupitia mtandao. So naomba kujua namna gani naweza kupata faida kupitia matangazo ya kibiashara hasa ktk kutangaza biashara ya mtu mwingine?
Ubarikiwe sana, Mungu azidi kukutumia kufungua watu kimawazo
Amina dear, Asante sana.
Magande ni nini mimi mkenya sijui@@annaclaireshija
Asante sana Mimi nitaanza na mitumba ya akina mama na icessories. Nitatangaza mtandaoni, haviozi nitauza, ubarikiwe
Sawa dear. Hongera sana kwa maamuzi.
Thanks dada. Ongeza na ujuzi mwngine hapa unalijenga taifa. Asante
@@DeltaUrassa shukurani dear ❤️
Thanks so much kwakunifungulia dunia kwa mawazo konki kabisa kilicho baki ni kazikwangu kuchukua hatua yani ni Mungu tu nilikua napita tu youtube sahivi ndiyo nikaona hili somo japo ulifundisha siku nyingi miezi 7 imepita Ila sihaba nimepata kitu ubarikiwe mno dada angu yani mh sijui nisemaje kwakweli be blessed indeed
Amina mpendwa. Ubarikiwe pia na Mwenyezi Mungu akufanikishe katika mipango yako.
Dada ubarikiwe sana kwa ubunifu wako na maarifa yako
Asante sana nimejifunza sasa nikuingia kwenye utekelezaji tu barikiwa sana mama
Amina dear, ubarikiwe pia.
Thanks,Mungu akubariki kwa elimu kwa uma. Keep on doing it!
Thank you dear ❤️
Asante sana dada mungu akubariki nimejifu za kitu
Amina dear 🙏🏾 Ubarikiwe.
Umenitia moyo sana dada angu nataman kuelekezwa jinsi ya kutumia mtandao kupost biashara msaada jamn
La kwanza, ujue unataka kuwa unapost nini hasa au bidhaa gani, kisha unaweka maelezo ya bidhaa yako, mahali inapopatikana, bei na mawasiliano yako. Ni muhimu uwe unapost kila siku na kubuni njia za kutengeneza maudhui yatakayovutia wateja wako.
Mungu akubariki kwa kazi na elimu unayo saidia vijana wenye nia yakutafuta na kujituma kupata kipato halali
Amina, ubarikiwe sana.
Dada nimekuelewa, lakini umezungumzia kwa watu walioko mjini tu, je kwa walioko vijijini?
Mashaa Allah shukran sana kwa elimu ALLAH azidi kukuhifadhi my sister.
Amina Amina 🙏🏾 ubarikiwe.
🙏♥️somo nzuri dada ,ubarikiwe! wengi wataelimika na kujikomboa kiuchumi kupitia wewe👏
Amina dear, tubarikiwe sote ❤️
Asante dada kwa ushaur mungu akuzidishie kwa kila jambo
@@Zuwenamuhammedy Amina, karibu sana.
Asante sana dada kwa yshUri wake nitaufNuia kszi
karibu sana.
Mungu akutunze dada SoMo lako nizur naomba unifundishe jinsi yakutumia mtandao kibiashara❤
Wasiliana nami kwa namba 0687786576.
Asante sana dadangu nmejifunza kitu kwa kupitia maelezo yako barkiwa sana🎉
Amina, asante sana ubarikiwe pia 🙏🏾
Asante mum wewe ni super woman ushauri wako umenijenga kiimani na kifikra pia💕😘
Asante sana dear.
Asante sana kwa elimu Bure wewe ni wa maana kulikoni wanaojitahidi kusema uongo
Amina mpendwa, nashukuru.
Asante Sana ume nifundisha kitu hapo nime kuelewa
Karibu sana my dear.
Asante sana kwa mafundisho mazuri nimependa
Asante dear.
Nimekupenda sana kwa utoaji wa Elimu hiyo nzuri..
Asante dear, karibu
@@annaclaireshija Asante kwa elimu
Hamjambo,
Mimi kikweli nipo ulaya na mtaji wangu sio mdogo, naona ki kweli nipo na uwezo mkubwa. Nahitaji kufanya Biashara ya REAL ESTATE TANZANIA ila sijui nianziye wapi...
Naomba sana usaidizi...
Shukran
😅
tuwasiliane niko tarime Mara kwa rel estate hapa ardhi ipo na kilimo cha mahindi misimu miwili na soko zuri kwa nchi ya Kenya na South Sudan
Ujenzi wa nyumba na kupangisha au kuuza soko lipo tuko mpakani soko lipo
vile vile ununuzi wa dhahabu kutoka kwa wachimbaji wadogo waliowengi hapa
Mzee karibu Tz sisi tupo Mzee uwezo na uhaminifu ktk Biashara ninao na najihamini kwa Hilo japo Sina wakunibusti tuwasiliane napatikana Tanzania Bukoba Kagera
Aridhi ya kilimo Cha parachichi ninayo karibu Sana
Napenda kufanya biashara ila Sina msiñgi
Asante sana dada kwa somo zuri
Nashukuru 🙏🏾👍🏾
Asante dada kwa ushauri ubarikiwe.
Amina dear, tubarikiwe sote.
mungu akulinde kwa kutuelimisha
@@MilkaJustine amina dear.
Niko kenya dada nimependa sana maelezo yako mungu akubariki
Amina kipenzi. Karibu sana.
Nimependa sana ,na nimejifunza kitu ubalikiwe
Asante sana dear.
Dada ubalikiwe sana kwa somo zur.mim nilikuwa naomba unisaidie kitu mim nimeajiliwa duka la vinywaj jumla.naenda kazin saa mbil asubh nalud saa mbil usiku.naomba unisaidie naweza nkafanya biashala gan mpendwa.ambayo inafaa kuanzishwa kwa mtaj waelf 50
@@NeliaAmbele Amina dear, karibu tuwasiliane 0687786576.
Elimu nzuri sana tafadhari mimi nimependa hasa kipengere Cha mitumba na matangazo ya biashara kupitia mtandao. So naomba kujua namna gani naweza kupata faida kupitia matangazo ya kibiashara hasa ktk kutangaza biashara ya mtu mwingine?
Asante nashukuru, matangazo ya watu wengine wanakulipa kuwatangazia biashara zao.
Asante dada kwa SoMo zuri
@@SityLuu Karibu sana. Unaweza pia kupata Vitabu vyenye mafunzo mbalimbali ambayo yatakusaidia kujipatia maendeleo 0687786576.
Asante dada nimekuelewa sana
Karibu sana.
Asante kwa Elim mungu akulinde
@@AnethKanza Amina dear 🙏🏾
Ahsante sana nimejifunza kitu kutoka kwako mungu akubariki
Asante sana dear. Amina 🙏🏾 ubarikiwe.
Asante,samahani unauzoefu juu ya kuingiza kama nguo viatu ktk nchi nyingine utaratibu ukoje?
Asante Kwa ushauli wako mzur❤❤
Karibu sana.
Umeongea vizuri sana mama💕 asante sana
@@nassoroally8473 asante dear.
Asante kwakwel kwa nasaha nzur. ❤.
Asante kushukuru.
Asante Dada. Kwa ushauri
Karibu dear.
Ahsante sana dada mungu akubariki kwa ushauri mzuri
@@HappyMathias-f1d Amina dear. Ubarikiwe pia.
Ahsante Sana kwa Elimu yako nzuri ya Biashara Dada angu.
karibu sana na asante kwa kutazama.
Unapatikna wapi Dada
@@annaclaireshija nimependa Sana elimishaji yako 🙏
@@fredrickmutabilwa8269 Dar es salaam.
Asante dada kwa mafunzo mazuri
@@saidomar9845 Asante sana 🙏🏾
Nice ideas
@@lucassongo-n4u thank you 🙏🏾
Nimejifunza kitu Asante
Karibu sana.
Nimekuelewa sana Mungu akubless
@@Paschalbalashishi-je8wm Amina, asante 🙏🏾
Mashallah...unajitahid Sana my dear....unatujenga kiakil
Asante sana Mpendwa. Uzidi kubarikiwa.
@@annaclaireshija ameeen...my dear
Ubarikiwe sana kwa ujumla umetoa somo zuri msingi wa mafanikio nimependa sana somo lako.
Amina, asante sana. Ubarikiwe pia.
Asante sana dada Mungu akubariki sana
Amina, tubarikiwe sote.
Asante dada shija❤
Karibu 👍🏾👍🏾
Hongera sana dogo kwa exposure nzuri sana big up sana ❤❤
Asante dada vp kuhus biashar ya vikapu
Ni nzuri tu mpendwa hasa ukizingatia sasa hivi matumizi ya mifuko ya plastic hayaruhusiwi.
Ahsante Mungu akubariki dada
Amina dear. Ubarikiwe pia.
ubarkiwe kwaushqur mzur Mungu akubarki sana nimeguswa nanitqyafanyia kazi
Amina dear, ubarikiwe pia.
Asante Kwa ushauri dada
@@EmmanuelChinguile-t7x Karibu sana.
Asante ubarikiwe dada
Amina mpendwa.
Asantee
@@MishiNuhu 👍🏾👍🏾
Asante dada kwa somo zuri
Ubarikiwe dada nimependa ushauri wako,umeongea kweli
Asante dear.
Barikiwa sana dada
Amina dear 🙏🏾 Ubarikiwe pia.
Thanks dear ❤
you are welcome ❤️
Nimekuelewa Sana dada angu ahsante Sana Barikiwa Sana.
Amina dear, ubarikiwe pia 🙏🏾
Mungu awe pamoja nawe
Yaan ww Dada una mawazo mazuri ya Ujasiriamali🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
Asante sana na karibu.
Dada nashukur kwa somo zur
@@Ipyana-g6d karibu dear.
Asanteh mama kwa somo zuri
Karibu dear.
Asanteh
Asante Sana mama waeleweshe
Nashukuru 🙏🏾
Hongera sana,mdada kwa mashule haya
Nashukuru sana dear.
Asante sana umenifungua na umenipa nguvu
Ubarikiwe mamii. Asante sana ❤️
Ubarikiwe Sana Dada kwa mashauri yako
@@BahatiNdogosa amina, nashukuru 🙏🏾
Ahsante
@@rosemsabaha1705 ❤️
Asante sana kwa elm yko endlea kutpa maujuziii
Asante sana dear.
🎉🎉🎉thankfully madame
you are welcome
Asante sana madam ❤
Asante dear.
Asante kwa elim ya biashsra
karibu sana dear.
Nipo zanzibar asante sana kwaushauri wako tutaufanyikazi asante
Asante dear. Karibu sana.
Nipo pia Zanzibar tufanye jambo
Shukran dada❤
karibu sana.
UBARIKIWE
@@furahamkonda5112 amina, Ubarikiwe pia.
thanks so much mom nmeamua kitu sasa
hongera na karibu sana.
Asnte sana mama kwa biashala ya chakula nimeipenda sanaaa
@@LucyChistopha asante kushukuru dear.
Safe sana, darasa nzuri, endelea kuelimisha jamii, nimeipenda.
Asante mpendwa. Ubarikiwe.
Ubarikiwe Sana kipenzi
❤❤
Ubarikiwe!
thanks cster
you are welcome dear.
Asant San mung akubarik saaan
@@YongVanny-p2x Amina dear, Ubarikiwe pia.
Asante dada nakuelewa sana
Asante dear.
Asante sana. Inaelimisha sana
karibu sana dear 👍🏾
Asante barikiwa
Amina dear, tubarikiwe sote.
Asante sana kwa darasa tamu
asante na karibu
madam SHIJA umetisha
shukurani sana 👍🏾
Ubarikiwe sana❤❤❤
@@ShabaniDavidi Amina dear 🙏🏾🙏🏾
Asante nimeipenda sana somo zuri
Asante sana dear.
Ubarikiwe sana mpendwa kwa kutuelim8sha
Akina dear, ubarikiwe pia kwa kutazama.
Mungu akubaruki
Amina dear, ubarikiwe pia.
Asante sana
@@Neemaa098-yf9os Karibu dear.
Asante sana kwa elim yako mama.
Nashukuru sana dear.
Ni nzuri sana, utawasaidia wengi
asante dear 👍🏾
Asante
Karibu.
Safi sana mamaa , wengi huanza na 500000 wanaishia visuruali na kutengeneza nywele zinaisha.
Asante sana kw kutazama.
Naomba namba yako
Barikiwe dada yangu
Amina Amina tubarikiwe sote.
Asantee sana dada
A Great motivation dada shija
Thank you very much 🙏🏾
Nashukulu dada maana nilikua nafikilia nini cha kufanya
@@TriviaEliuter karibu sana dear ❤️
Nimekuelewa sana mamaangu kipenzi Naomba uendelee kutupa seminar usichoke tafadhali.
Asante dear. Nitaendelea.
Barikiwa ssna asante
amina, ubarikiwe pia.
Asante dada kwa ushauli wako
Karibu sana.