ONGEZA KIPATO KWA KUFANYA BIASHARA HIZI 5 ZITAKAZOKULIPA VIZURI KWA MTAJI WA KUANZIA ELFU 50 TU.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 окт 2024

Комментарии • 413

  • @agnesjohn5871
    @agnesjohn5871 6 месяцев назад +3

    Ubarikiwe sana, Mungu azidi kukutumia kufungua watu kimawazo

  • @kofisaidi3756
    @kofisaidi3756 10 месяцев назад +5

    Asante sana Mimi nitaanza na mitumba ya akina mama na icessories. Nitatangaza mtandaoni, haviozi nitauza, ubarikiwe

  • @DeltaUrassa
    @DeltaUrassa 2 дня назад

    Thanks dada. Ongeza na ujuzi mwngine hapa unalijenga taifa. Asante

  • @luckiestmeckson2222
    @luckiestmeckson2222 Год назад +8

    Thanks so much kwakunifungulia dunia kwa mawazo konki kabisa kilicho baki ni kazikwangu kuchukua hatua yani ni Mungu tu nilikua napita tu youtube sahivi ndiyo nikaona hili somo japo ulifundisha siku nyingi miezi 7 imepita Ila sihaba nimepata kitu ubarikiwe mno dada angu yani mh sijui nisemaje kwakweli be blessed indeed

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  Год назад +1

      Amina mpendwa. Ubarikiwe pia na Mwenyezi Mungu akufanikishe katika mipango yako.

    • @CosmasMlelwa
      @CosmasMlelwa 2 месяца назад

      Dada ubarikiwe sana kwa ubunifu wako na maarifa yako

  • @NgoloJoseph
    @NgoloJoseph 8 месяцев назад +1

    Asante sana nimejifunza sasa nikuingia kwenye utekelezaji tu barikiwa sana mama

  • @SELINAANNAN-vq2ff
    @SELINAANNAN-vq2ff 4 месяца назад +2

    Thanks,Mungu akubariki kwa elimu kwa uma. Keep on doing it!

  • @SophiaKavisheSOPHYSTAN
    @SophiaKavisheSOPHYSTAN 7 месяцев назад +1

    Asante sana dada mungu akubariki nimejifu za kitu

  • @AbigailSamson-x3d
    @AbigailSamson-x3d 9 месяцев назад +5

    Umenitia moyo sana dada angu nataman kuelekezwa jinsi ya kutumia mtandao kupost biashara msaada jamn

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  9 месяцев назад +2

      La kwanza, ujue unataka kuwa unapost nini hasa au bidhaa gani, kisha unaweka maelezo ya bidhaa yako, mahali inapopatikana, bei na mawasiliano yako. Ni muhimu uwe unapost kila siku na kubuni njia za kutengeneza maudhui yatakayovutia wateja wako.

  • @shacool9627
    @shacool9627 Год назад +6

    Mungu akubariki kwa kazi na elimu unayo saidia vijana wenye nia yakutafuta na kujituma kupata kipato halali

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  Год назад

      Amina, ubarikiwe sana.

    • @JedyIsack-ec1kx
      @JedyIsack-ec1kx 9 месяцев назад

      Dada nimekuelewa, lakini umezungumzia kwa watu walioko mjini tu, je kwa walioko vijijini?

  • @arafakiloli749
    @arafakiloli749 10 месяцев назад +1

    Mashaa Allah shukran sana kwa elimu ALLAH azidi kukuhifadhi my sister.

  • @roseshayo6676
    @roseshayo6676 Год назад +4

    🙏♥️somo nzuri dada ,ubarikiwe! wengi wataelimika na kujikomboa kiuchumi kupitia wewe👏

  • @Zuwenamuhammedy
    @Zuwenamuhammedy 3 месяца назад +2

    Asante dada kwa ushaur mungu akuzidishie kwa kila jambo

  • @HumphreyKarua
    @HumphreyKarua 10 месяцев назад +1

    Asante sana dada kwa yshUri wake nitaufNuia kszi

  • @SuzanLeonardMoleli
    @SuzanLeonardMoleli 9 месяцев назад +1

    Mungu akutunze dada SoMo lako nizur naomba unifundishe jinsi yakutumia mtandao kibiashara❤

  • @gadyjamohamed1350
    @gadyjamohamed1350 Год назад +1

    Asante sana dadangu nmejifunza kitu kwa kupitia maelezo yako barkiwa sana🎉

  • @reginalaurent8422
    @reginalaurent8422 8 месяцев назад +1

    Asante mum wewe ni super woman ushauri wako umenijenga kiimani na kifikra pia💕😘

  • @benedictampery3275
    @benedictampery3275 9 месяцев назад +2

    Asante sana kwa elimu Bure wewe ni wa maana kulikoni wanaojitahidi kusema uongo

  • @kabayesankula7895
    @kabayesankula7895 8 месяцев назад +1

    Asante Sana ume nifundisha kitu hapo nime kuelewa

  • @peninabensonpen870
    @peninabensonpen870 10 месяцев назад +1

    Asante sana kwa mafundisho mazuri nimependa

  • @makrinamgombela1138
    @makrinamgombela1138 Год назад +3

    Nimekupenda sana kwa utoaji wa Elimu hiyo nzuri..

  • @tobiasokwa2525
    @tobiasokwa2525 Год назад +10

    Hamjambo,
    Mimi kikweli nipo ulaya na mtaji wangu sio mdogo, naona ki kweli nipo na uwezo mkubwa. Nahitaji kufanya Biashara ya REAL ESTATE TANZANIA ila sijui nianziye wapi...
    Naomba sana usaidizi...
    Shukran

    • @King_David2.
      @King_David2. Год назад

      😅

    • @victormagafu7652
      @victormagafu7652 10 месяцев назад +2

      tuwasiliane niko tarime Mara kwa rel estate hapa ardhi ipo na kilimo cha mahindi misimu miwili na soko zuri kwa nchi ya Kenya na South Sudan
      Ujenzi wa nyumba na kupangisha au kuuza soko lipo tuko mpakani soko lipo
      vile vile ununuzi wa dhahabu kutoka kwa wachimbaji wadogo waliowengi hapa

    • @fredrickmutabilwa8269
      @fredrickmutabilwa8269 10 месяцев назад +2

      Mzee karibu Tz sisi tupo Mzee uwezo na uhaminifu ktk Biashara ninao na najihamini kwa Hilo japo Sina wakunibusti tuwasiliane napatikana Tanzania Bukoba Kagera

    • @fredrickmutabilwa8269
      @fredrickmutabilwa8269 10 месяцев назад

      Aridhi ya kilimo Cha parachichi ninayo karibu Sana

    • @HazlaKisungu
      @HazlaKisungu 2 месяца назад

      Napenda kufanya biashara ila Sina msiñgi

  • @aminathaabubakarmasoud565
    @aminathaabubakarmasoud565 8 месяцев назад +2

    Asante sana dada kwa somo zuri

  • @FatumaBakari-i4j
    @FatumaBakari-i4j 9 месяцев назад +2

    Asante dada kwa ushauri ubarikiwe.

  • @MilkaJustine
    @MilkaJustine 8 дней назад +1

    mungu akulinde kwa kutuelimisha

  • @bintrashid6967
    @bintrashid6967 Год назад +12

    Niko kenya dada nimependa sana maelezo yako mungu akubariki

  • @AGNESBISEKO-t5g
    @AGNESBISEKO-t5g 7 месяцев назад +1

    Nimependa sana ,na nimejifunza kitu ubalikiwe

  • @NeliaAmbele
    @NeliaAmbele 24 дня назад +1

    Dada ubalikiwe sana kwa somo zur.mim nilikuwa naomba unisaidie kitu mim nimeajiliwa duka la vinywaj jumla.naenda kazin saa mbil asubh nalud saa mbil usiku.naomba unisaidie naweza nkafanya biashala gan mpendwa.ambayo inafaa kuanzishwa kwa mtaj waelf 50

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  23 дня назад

      @@NeliaAmbele Amina dear, karibu tuwasiliane 0687786576.

  • @chrispinokiteve3527
    @chrispinokiteve3527 Год назад +3

    Elimu nzuri sana tafadhari mimi nimependa hasa kipengere Cha mitumba na matangazo ya biashara kupitia mtandao. So naomba kujua namna gani naweza kupata faida kupitia matangazo ya kibiashara hasa ktk kutangaza biashara ya mtu mwingine?

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  Год назад

      Asante nashukuru, matangazo ya watu wengine wanakulipa kuwatangazia biashara zao.

  • @SityLuu
    @SityLuu 3 месяца назад +1

    Asante dada kwa SoMo zuri

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  3 месяца назад

      @@SityLuu Karibu sana. Unaweza pia kupata Vitabu vyenye mafunzo mbalimbali ambayo yatakusaidia kujipatia maendeleo 0687786576.

  • @atupakisyekyando890
    @atupakisyekyando890 4 месяца назад +1

    Asante dada nimekuelewa sana

  • @AnethKanza
    @AnethKanza 3 месяца назад +1

    Asante kwa Elim mungu akulinde

  • @ShSh-q9j
    @ShSh-q9j 11 месяцев назад +1

    Ahsante sana nimejifunza kitu kutoka kwako mungu akubariki

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  11 месяцев назад +1

      Asante sana dear. Amina 🙏🏾 ubarikiwe.

  • @Enock-bz1nf
    @Enock-bz1nf 9 месяцев назад

    Asante,samahani unauzoefu juu ya kuingiza kama nguo viatu ktk nchi nyingine utaratibu ukoje?

  • @shijagalula9744
    @shijagalula9744 9 месяцев назад +1

    Asante Kwa ushauli wako mzur❤❤

  • @nassoroally8473
    @nassoroally8473 2 месяца назад +2

    Umeongea vizuri sana mama💕 asante sana

  • @JemaIssa
    @JemaIssa 9 месяцев назад +1

    Asante kwakwel kwa nasaha nzur. ❤.

  • @SaumuIddy
    @SaumuIddy 9 месяцев назад +1

    Asante Dada. Kwa ushauri

  • @HappyMathias-f1d
    @HappyMathias-f1d 3 месяца назад +1

    Ahsante sana dada mungu akubariki kwa ushauri mzuri

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  3 месяца назад

      @@HappyMathias-f1d Amina dear. Ubarikiwe pia.

  • @fredrickmutabilwa8269
    @fredrickmutabilwa8269 10 месяцев назад +1

    Ahsante Sana kwa Elimu yako nzuri ya Biashara Dada angu.

  • @saidomar9845
    @saidomar9845 2 месяца назад +1

    Asante dada kwa mafunzo mazuri

  • @lucassongo-n4u
    @lucassongo-n4u Месяц назад +1

    Nice ideas

  • @AdelinaElias-mm3lm
    @AdelinaElias-mm3lm 9 месяцев назад +2

    Nimejifunza kitu Asante

  • @Paschalbalashishi-je8wm
    @Paschalbalashishi-je8wm 2 месяца назад +1

    Nimekuelewa sana Mungu akubless

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  2 месяца назад

      @@Paschalbalashishi-je8wm Amina, asante 🙏🏾

  • @sammyhosny8566
    @sammyhosny8566 Год назад +8

    Mashallah...unajitahid Sana my dear....unatujenga kiakil

  • @grasiuschalle3735
    @grasiuschalle3735 Год назад +4

    Ubarikiwe sana kwa ujumla umetoa somo zuri msingi wa mafanikio nimependa sana somo lako.

  • @teddiminja4079
    @teddiminja4079 Год назад +5

    Asante sana dada Mungu akubariki sana

  • @LewinaLeopold
    @LewinaLeopold 7 месяцев назад +1

    Asante dada shija❤

  • @AidaLivin
    @AidaLivin 9 месяцев назад +1

    Hongera sana dogo kwa exposure nzuri sana big up sana ❤❤

  • @IsmailMchimani-hm8fy
    @IsmailMchimani-hm8fy 5 месяцев назад +1

    Asante dada vp kuhus biashar ya vikapu

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  5 месяцев назад

      Ni nzuri tu mpendwa hasa ukizingatia sasa hivi matumizi ya mifuko ya plastic hayaruhusiwi.

  • @NgukiJulius
    @NgukiJulius 9 месяцев назад +1

    Ahsante Mungu akubariki dada

  • @MargaretaBusongo
    @MargaretaBusongo Год назад +1

    ubarkiwe kwaushqur mzur Mungu akubarki sana nimeguswa nanitqyafanyia kazi

  • @EmmanuelChinguile-t7x
    @EmmanuelChinguile-t7x 2 месяца назад +1

    Asante Kwa ushauri dada

  • @ediphonceedwin1482
    @ediphonceedwin1482 5 месяцев назад +1

    Asante ubarikiwe dada

  • @MishiNuhu
    @MishiNuhu 16 дней назад +1

    Asantee

  • @SityLuu
    @SityLuu 3 месяца назад

    Asante dada kwa somo zuri

  • @LovelyOutdoors-wd5nh
    @LovelyOutdoors-wd5nh 5 месяцев назад +1

    Ubarikiwe dada nimependa ushauri wako,umeongea kweli

  • @MarianaKayoka
    @MarianaKayoka 6 месяцев назад +1

    Barikiwa sana dada

  • @LovenessFedrick-cy9fh
    @LovenessFedrick-cy9fh 9 месяцев назад +1

    Thanks dear ❤

  • @JoviethLucas-lj4zb
    @JoviethLucas-lj4zb Год назад +1

    Nimekuelewa Sana dada angu ahsante Sana Barikiwa Sana.

  • @JosephGhwanga
    @JosephGhwanga 7 месяцев назад +1

    Mungu awe pamoja nawe

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko3915 Год назад +3

    Yaan ww Dada una mawazo mazuri ya Ujasiriamali🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤

  • @Ipyana-g6d
    @Ipyana-g6d 26 дней назад +1

    Dada nashukur kwa somo zur

  • @HACHIMANAYOCKSHAN-nk8ny
    @HACHIMANAYOCKSHAN-nk8ny Год назад +1

    Asanteh mama kwa somo zuri

  • @FredyEric
    @FredyEric 10 месяцев назад +1

    Asante Sana mama waeleweshe

  • @jenifferkahangwa6350
    @jenifferkahangwa6350 8 месяцев назад

    Hongera sana,mdada kwa mashule haya

  • @upendokasumani8384
    @upendokasumani8384 Год назад +3

    Asante sana umenifungua na umenipa nguvu

  • @BahatiNdogosa
    @BahatiNdogosa 2 месяца назад +1

    Ubarikiwe Sana Dada kwa mashauri yako

  • @gladymbisse7646
    @gladymbisse7646 Год назад +1

    Asante sana kwa elm yko endlea kutpa maujuziii

  • @hilalmohd8941
    @hilalmohd8941 11 месяцев назад +1

    🎉🎉🎉thankfully madame

  • @silvialyimo4877
    @silvialyimo4877 11 месяцев назад +1

    Asante sana madam ❤

  • @AnnaSanga-bs7pl
    @AnnaSanga-bs7pl Год назад +1

    Asante kwa elim ya biashsra

  • @mwandazifatma8210
    @mwandazifatma8210 9 месяцев назад +1

    Nipo zanzibar asante sana kwaushauri wako tutaufanyikazi asante

  • @Saumbish1606
    @Saumbish1606 10 месяцев назад +1

    Shukran dada❤

  • @furahamkonda5112
    @furahamkonda5112 8 дней назад +1

    UBARIKIWE

  • @zawadithomas1008
    @zawadithomas1008 Год назад +1

    thanks so much mom nmeamua kitu sasa

  • @LucyChistopha
    @LucyChistopha 2 месяца назад +1

    Asnte sana mama kwa biashala ya chakula nimeipenda sanaaa

  • @richardmvuyekule6300
    @richardmvuyekule6300 Год назад +11

    Safe sana, darasa nzuri, endelea kuelimisha jamii, nimeipenda.

  • @fauwilliam6780
    @fauwilliam6780 Год назад +1

    thanks cster

  • @YongVanny-p2x
    @YongVanny-p2x 2 месяца назад +1

    Asant San mung akubarik saaan

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  2 месяца назад

      @@YongVanny-p2x Amina dear, Ubarikiwe pia.

  • @PriscaMwakyoma
    @PriscaMwakyoma Год назад +2

    Asante dada nakuelewa sana

  • @berttha847
    @berttha847 Год назад +1

    Asante sana. Inaelimisha sana

  • @florageofrey9486
    @florageofrey9486 Год назад +1

    Asante barikiwa

  • @ArthurMhagama-z6m
    @ArthurMhagama-z6m Год назад +1

    Asante sana kwa darasa tamu

  • @bakarimsuya3090
    @bakarimsuya3090 Год назад +1

    madam SHIJA umetisha

  • @ShabaniDavidi
    @ShabaniDavidi 2 месяца назад +1

    Ubarikiwe sana❤❤❤

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  2 месяца назад

      @@ShabaniDavidi Amina dear 🙏🏾🙏🏾

  • @janeelias7839
    @janeelias7839 Год назад +1

    Asante nimeipenda sana somo zuri

  • @GraceManase-dm9bf
    @GraceManase-dm9bf Год назад +1

    Ubarikiwe sana mpendwa kwa kutuelim8sha

  • @AngelaBaden-kw2ot
    @AngelaBaden-kw2ot 9 месяцев назад +1

    Mungu akubaruki

  • @Neemaa098-yf9os
    @Neemaa098-yf9os 3 месяца назад +1

    Asante sana

  • @CarolineMinde-cg6ut
    @CarolineMinde-cg6ut Год назад +2

    Asante sana kwa elim yako mama.

  • @JoshuaMaganigani
    @JoshuaMaganigani Год назад +1

    Ni nzuri sana, utawasaidia wengi

  • @ZuwenaSoni
    @ZuwenaSoni 8 месяцев назад +1

    Asante

  • @NtolokwaLugomambazu
    @NtolokwaLugomambazu Год назад +5

    Safi sana mamaa , wengi huanza na 500000 wanaishia visuruali na kutengeneza nywele zinaisha.

  • @FirminaGabrielOmari
    @FirminaGabrielOmari 8 месяцев назад +2

    Barikiwe dada yangu

  • @LoinaJuma
    @LoinaJuma 3 месяца назад

    Asantee sana dada

  • @stephenlikonga861
    @stephenlikonga861 8 месяцев назад +1

    A Great motivation dada shija

  • @TriviaEliuter
    @TriviaEliuter 28 дней назад +1

    Nashukulu dada maana nilikua nafikilia nini cha kufanya

  • @luckysichone6705
    @luckysichone6705 Год назад +4

    Nimekuelewa sana mamaangu kipenzi Naomba uendelee kutupa seminar usichoke tafadhali.

  • @lilianluhasi311
    @lilianluhasi311 Год назад +1

    Barikiwa ssna asante

  • @SuzyJacob-y2x
    @SuzyJacob-y2x Год назад +1

    Asante dada kwa ushauli wako