1:Ushonaji na upunifu 2:Agiza vitu kutoka nje (cargo) 3:home business (choma viazi,sambusa,chapati,cake) 4:kilimo biashara (mifugo) 5:kununua na kuuza kwa faida (trading) 6:beuty business (vipodozi) 7:real estate (nunua kiwanja jenga rentals)
Kaka Joel wewe ni zawadi ya pekee sana kwa kuvusha wengi,kuinua mioyo iliyokata tamaa na kufungua akili iliyochoka...hua nabarikiwa sana na machapisho yako,na ninaushuhuda wa mahali ulinijenga nikasimama tena. Barikiwa
🤔Katika watu wanaofanya mapinduzi na mageuzi ya kweli nchini Tanzania ni wewe na wale wote wenye kutoa elimu ya fedha na biashara. Hongera na kila hatua hakika unafanya mageuzi kwa watu🤝
hujamwelewa, amesema aseende kujaribu biashara, yani achukulie kua akafanye, maana inaweza kwenda kwenye maneno hayo, baada ya kujaribu akashindwa ila akiamini kua anafanya ndivyo itakavyo kua.@@theresiamwandara7990
Hakika Tena wengi TUNALIA NJAA NJAA ata mionekano yetu wengi inamwaibiaha MUNGU Kwa NJAA , tumebweteka na kuridhika tu Kwa dini na KUKESHA kulia na KUOMBA makanisani na kusaka miujiza ,wakati BWANA ALISHAWEKA KILA KITU NDANI YETU ,TUAMKE
Asante naenda kuwa mpya mchumgaji ubarikiwe niombee sana niweze simama tena maana maadui ni wengi eeee kwenye maisha yangu lkn kwa ujumbe wko huu barikiwa
Hakika Mda Na MB. MH. Joeli Nanauka Nazo Tumia Kukufatilia Na Kusikiliza Video Zenye Ujumbe Wenye Kutu Jenga Hakika Kukufahamu Na Hata Vitabu Vyako Vyote%86 Ni Hazina Kubwa Kwa Mtu Ambaye Yupo Tayari Kubadilika Na Kuwa Mtu Wa Kitofauti Yani Kuishi Maisha Aliyo Kusudia Mungu Tuishi Au Mtu huyo Aishi Awe Vile Kama Ambavyo Mungu Amekusudia Katika Maisha Yetu Katika Maisha Yake
BARIKIWA MNOO MTUMISHI JOEL NANAUKA NAKUELEWA SANA.ILA NAOMBA UWAFUNDISHE WABABA WASIWE NA INFERIORITY COMPLEX. WANAWAKE PIA TUSIWE NA JEURI HADI KUKANYAGA WABABA TUKIFANIKIWA.STAY BLESSED
1:Ushonaji na upunifu
2:Agiza vitu kutoka nje (cargo)
3:home business (choma viazi,sambusa,chapati,cake)
4:kilimo biashara (mifugo)
5:kununua na kuuza kwa faida (trading)
6:beuty business (vipodozi)
7:real estate (nunua kiwanja jenga rentals)
Nakupa100% uko vzur kwenye kipindi
naomba kujua alikuwa anasoma kitabu gan kwa biblia
@@groliamhame806mithali 31:10 nakuendelea
@@groliamhame806mithali 31
Mk
Ahsante sana kaka Joel kwa neno la ukumbusho
Mithali 31:10. Nk
Ubarikiwe sana unanipa nguv sana
Pastor umenigusa sana ubarikiwe sana nikitabu gani hicho
Mume wangu atajitambulisha kwa staili hii Mwl Nanauka amesema kwa uwezo wa Roho mtakatifu kwa jina la Yesu Kristo.
Ahsante sana......nitafika hatua hiyo ya Mume wangu kujivunia mimi.....Amina
Thanks bro you mean alot to me!
👏👏👏👏👏😁😁😁Yan mpk Raha, shukran sana kaka acha nifanye kushare na wanawake wa nguvu
Amina xana ubarikiwe hakika mungu akupe miaka mingi hapa dunia umenitoa gizan
Kaka Joel wewe ni zawadi ya pekee sana kwa kuvusha wengi,kuinua mioyo iliyokata tamaa na kufungua akili iliyochoka...hua nabarikiwa sana na machapisho yako,na ninaushuhuda wa mahali ulinijenga nikasimama tena. Barikiwa
Amena mtumishi
Asnt sana mtumish Mungu akubarik sn nimepona mahal
Amina mtumishi Ila Mmi mumee wangu hataki nifanye biashara yoyete😢😢 Sasa hapo nifanyeje
Anakupa kila kitu??
Huyo wako ni sawa na wangu😂 nacheka kama mazuri. Mimi sasa hiv nafanya kwa kulazimisha nachoma keki mara siku azimwage basi tu vurugu😂
Naomba mungu nisaidie NAMI nifanikiwe
Asante kaka me at nikiwa nyumbani naweza kumsuka MTU na nikajipatia pesa
🤔Katika watu wanaofanya mapinduzi na mageuzi ya kweli nchini Tanzania ni wewe na wale wote wenye kutoa elimu ya fedha na biashara. Hongera na kila hatua hakika unafanya mageuzi kwa watu🤝
Nimependa hii mtumishi wa mungu ubalikiwe
Aki najifinza kitu kwny masomo yk n nilianza jn,mungu akubariki sn
Joel Mungu akubariki mafunzo yako ni mkombozi
Umefanya nielew ktyu mungu akubark saan
Proverb 31🎉❤
Mungu amekutumia kunijibu😢 ubarikiwe kaka❤
Mungu akubariki sana
Nashukuru kwa kunipa wasia mwema .acha nimjaribishe mke wangu maana hana kazi yoyote
Usijarib fanya
@@happinesspraygod7276Kwanini asimsaidie mkewe?
Kumsaidia mke wako ni akiri asikudanganye mtu kaka
Hongera mkaka Mungu akupe moyo huohuo mzuri
hujamwelewa, amesema aseende kujaribu biashara, yani achukulie kua akafanye, maana inaweza kwenda kwenye maneno hayo, baada ya kujaribu akashindwa ila akiamini kua anafanya ndivyo itakavyo kua.@@theresiamwandara7990
Asante ushonaji na ubunifu ❤❤❤❤
Umeapprove my business idea. Kweli tunaangamia kwa kukosa maarifa. Asante kaka kwa maarifa haya.
Something so powerful I have heard today 🙌🙌
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Asante mtu wa Mungu ubarikiwe wewe na uzao wako amen 🙏
Hongera mwalimu; Juu ya taa inayowaka bila kuzimika, fuatilia yaani Fanya exegetical research. But all is fine!
Somo 🔥🔥🔥🔥🔥
Mungu nipe wateja kwenye duka yangu
Amin...alhamdulillah nimo japo kidogo
Mungu akubariki saaaaana, Bado najichanga nikijipata nakupigia
Ubalikiwe sana kaka joel
Dah sante sana bro umenigusa ktk biashala asante kwa kunihakikishia kile nilicho kua nawaza kukifanya❤
Nipo nasubiri 😊🏆🥇
Mungu ni mwema kusikia hili neno
Mungu nipe neema ya kuchagua kitu sahii
Amin hakika tutafka uko
Ubarikiwe sana mchubgaji asante
Wamama hallooo God bless you servant of the most high God
Hongera mwalimu Mungu akupe siku Nyingi
Ahsante sana Mungu azid kukutunza
Asante baba ubarikiwe maana sasa
Amen Sema watu wa Mungu tuamke maana wacha Mungu tunamzalaulisha Mungu kana kwamba Mungu hawezi kubaliki kumbe hatujakaa mkao wa kupokea.
Hakika Tena wengi TUNALIA NJAA NJAA ata mionekano yetu wengi inamwaibiaha MUNGU Kwa NJAA , tumebweteka na kuridhika tu Kwa dini na KUKESHA kulia na KUOMBA makanisani na kusaka miujiza ,wakati BWANA ALISHAWEKA KILA KITU NDANI YETU ,TUAMKE
Thenks sana,umesoma kitabu gani
Ubarikiwe sanaa nimepata kitu
Asante naenda kuwa mpya mchumgaji ubarikiwe niombee sana niweze simama tena maana maadui ni wengi eeee kwenye maisha yangu lkn kwa ujumbe wko huu barikiwa
Ubarikiwe sana kijana
Umesema vyema sana barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Amina mtumishi wa Mungu .
Amen, barikiwa sana mtumishi naomba kujua maandiko yanapatikana katika kitabu gani
Mithali 31
Imenijenga sana 🙏🏽❤️
Asante kwa maono mazuri
Tena nilikuwa nataka kununua shamba kibaha na nimemwambia Mungu aingilie kati uhitaji huu.
Asante Joel 🎉
Kibaa watakuibia...
Bora kanunue Mkulanga dadaangu
Asante sana,barikiwa sana
Barikiwa sana hakika 🙏🙏
🙌🙌🙌🙌
Genius one ever 🙌
Asante sana
Shukuran❤
Ukwel kwa mnao ish jijin mnalaha wengne tuko mbali na miji jmn 😢
Barikiwa Sanaa❤❤
Mwanamke ni mtu nanusu Mama zetu hakika madini makubwa hayo
Asante Joel
Shukran ila Mwanaume mwingine hapendi ukinunua eneo
Wengi wako hivo , mtihan Yan kuna wanaumenukiwanao hata future zako zinapotea kabisa
@@HadijaMakupikakama huyu wangu ni shida tupu
Ubarikiwe sana jmn 🙏
Asantee Kaka Joel Nanauka
God bless you nwalimu
Amen ni mebarikiwa sn na ujumbe waleo
thanks and god bless you
Barikiwa sana kaka joel
Well said NANAUKA
Hakika umenisaidia sana barikiwa sana mtumishi.
Asante sanaaa
Amen
Ameni mtumishi
Hakika Mda Na MB. MH. Joeli Nanauka Nazo Tumia Kukufatilia Na Kusikiliza Video Zenye Ujumbe Wenye Kutu Jenga Hakika Kukufahamu Na Hata Vitabu Vyako Vyote%86 Ni Hazina Kubwa Kwa Mtu Ambaye Yupo Tayari Kubadilika Na Kuwa Mtu Wa Kitofauti Yani Kuishi Maisha Aliyo Kusudia Mungu Tuishi Au Mtu huyo Aishi Awe Vile Kama Ambavyo Mungu Amekusudia Katika Maisha Yetu Katika Maisha Yake
Safi kaka nimejifunza kitu hapa
Safi sana mimi nimejifunza kitu katakana nipige hatua japo nafuga kuku wa mayai
Mungu atubariki kwenye harakati zetu za utafutaji.
Ni kweli soma limeeleweka
Asante kaka
Barikiwa sana mwalimu
Amina. Amina. Ubarikiwe mtu wa Mungu.
Barikiwa sanaaa
Barikiwa sana mtumishi, umenijibu maswali yangu leo
Point MR JOEL
Well said mtumishi🙏
Mungu akubariki mtumishi
Asante sana kaka
Asante sana,umenipa vitu.
Heshima Yako Leo nimejifunza mengi
Barikiwa mnoooo
Ubarikiwe
This is powerfull
Amina...Injili iliyonyooka
Good advise
BARIKIWA MNOO MTUMISHI JOEL NANAUKA NAKUELEWA SANA.ILA NAOMBA UWAFUNDISHE WABABA WASIWE NA INFERIORITY COMPLEX. WANAWAKE PIA TUSIWE NA JEURI HADI KUKANYAGA WABABA TUKIFANIKIWA.STAY BLESSED
Barikiwa kaka
Asante 🙏🏻❤️