AINA ZA BIASHARA ZINAZO MFAA MWANAMKE - JOEL NANAUKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Комментарии • 247

  • @auntiemylee3157
    @auntiemylee3157 4 месяца назад +48

    1:Ushonaji na upunifu
    2:Agiza vitu kutoka nje (cargo)
    3:home business (choma viazi,sambusa,chapati,cake)
    4:kilimo biashara (mifugo)
    5:kununua na kuuza kwa faida (trading)
    6:beuty business (vipodozi)
    7:real estate (nunua kiwanja jenga rentals)

  • @cupcandymushi9126
    @cupcandymushi9126 14 дней назад +4

    Ahsante sana kaka Joel kwa neno la ukumbusho
    Mithali 31:10. Nk

  • @nuhuamini1528
    @nuhuamini1528 Месяц назад +2

    Ubarikiwe sana unanipa nguv sana

  • @Sali-dr3xx
    @Sali-dr3xx 5 дней назад

    Pastor umenigusa sana ubarikiwe sana nikitabu gani hicho

  • @miraclesmercyandgrace
    @miraclesmercyandgrace Месяц назад

    Mume wangu atajitambulisha kwa staili hii Mwl Nanauka amesema kwa uwezo wa Roho mtakatifu kwa jina la Yesu Kristo.

  • @pillykajembe-yp1ir
    @pillykajembe-yp1ir 6 месяцев назад +18

    Ahsante sana......nitafika hatua hiyo ya Mume wangu kujivunia mimi.....Amina

  • @lidyadorcas9536
    @lidyadorcas9536 12 дней назад +1

    Thanks bro you mean alot to me!

  • @janetmbwana553
    @janetmbwana553 6 месяцев назад +11

    👏👏👏👏👏😁😁😁Yan mpk Raha, shukran sana kaka acha nifanye kushare na wanawake wa nguvu

  • @ValentinaMossy
    @ValentinaMossy 19 дней назад

    Amina xana ubarikiwe hakika mungu akupe miaka mingi hapa dunia umenitoa gizan

  • @EvalisterMwinula
    @EvalisterMwinula 4 месяца назад +6

    Kaka Joel wewe ni zawadi ya pekee sana kwa kuvusha wengi,kuinua mioyo iliyokata tamaa na kufungua akili iliyochoka...hua nabarikiwa sana na machapisho yako,na ninaushuhuda wa mahali ulinijenga nikasimama tena. Barikiwa

  • @JescaZacharia
    @JescaZacharia 14 дней назад +1

    Amena mtumishi

  • @angelmalugu2887
    @angelmalugu2887 18 дней назад

    Asnt sana mtumish Mungu akubarik sn nimepona mahal

  • @OripaMosha
    @OripaMosha 5 месяцев назад +4

    Amina mtumishi Ila Mmi mumee wangu hataki nifanye biashara yoyete😢😢 Sasa hapo nifanyeje

    • @SubiraWilson-gv1mh
      @SubiraWilson-gv1mh 5 месяцев назад

      Anakupa kila kitu??

    • @hedayamohammed2781
      @hedayamohammed2781 7 дней назад

      Huyo wako ni sawa na wangu😂 nacheka kama mazuri. Mimi sasa hiv nafanya kwa kulazimisha nachoma keki mara siku azimwage basi tu vurugu😂

  • @GraceMoses-z5p
    @GraceMoses-z5p Месяц назад

    Naomba mungu nisaidie NAMI nifanikiwe

  • @VellahBeauty-wg3ob
    @VellahBeauty-wg3ob 6 месяцев назад +4

    Asante kaka me at nikiwa nyumbani naweza kumsuka MTU na nikajipatia pesa

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 6 месяцев назад +8

    🤔Katika watu wanaofanya mapinduzi na mageuzi ya kweli nchini Tanzania ni wewe na wale wote wenye kutoa elimu ya fedha na biashara. Hongera na kila hatua hakika unafanya mageuzi kwa watu🤝

  • @janethjovinal4495
    @janethjovinal4495 5 месяцев назад +2

    Nimependa hii mtumishi wa mungu ubalikiwe

  • @WebWne-c3l
    @WebWne-c3l Месяц назад

    Aki najifinza kitu kwny masomo yk n nilianza jn,mungu akubariki sn

  • @pulcheriamayombo5780
    @pulcheriamayombo5780 2 месяца назад

    Joel Mungu akubariki mafunzo yako ni mkombozi

  • @SteriaMizimu
    @SteriaMizimu 22 дня назад

    Umefanya nielew ktyu mungu akubark saan

  • @GloryMtui-kh2vn
    @GloryMtui-kh2vn 6 месяцев назад +8

    Proverb 31🎉❤

  • @_letsgrowtogether
    @_letsgrowtogether 6 месяцев назад +9

    Mungu amekutumia kunijibu😢 ubarikiwe kaka❤

  • @efroncinarespice7919
    @efroncinarespice7919 Месяц назад

    Mungu akubariki sana

  • @JohnRufa
    @JohnRufa 6 месяцев назад +12

    Nashukuru kwa kunipa wasia mwema .acha nimjaribishe mke wangu maana hana kazi yoyote

    • @happinesspraygod7276
      @happinesspraygod7276 6 месяцев назад

      Usijarib fanya

    • @theresiamwandara7990
      @theresiamwandara7990 5 месяцев назад

      ​@@happinesspraygod7276Kwanini asimsaidie mkewe?

    • @SleepyBacon-zx9rm
      @SleepyBacon-zx9rm 5 месяцев назад

      Kumsaidia mke wako ni akiri asikudanganye mtu kaka

    • @veronicaluvanda2880
      @veronicaluvanda2880 4 месяца назад +1

      Hongera mkaka Mungu akupe moyo huohuo mzuri

    • @helenasangu3698
      @helenasangu3698 Месяц назад

      hujamwelewa, amesema aseende kujaribu biashara, yani achukulie kua akafanye, maana inaweza kwenda kwenye maneno hayo, baada ya kujaribu akashindwa ila akiamini kua anafanya ndivyo itakavyo kua.​@@theresiamwandara7990

  • @FloraMika-n5m
    @FloraMika-n5m 5 месяцев назад +1

    Asante ushonaji na ubunifu ❤❤❤❤

  • @gaudensiashayo3294
    @gaudensiashayo3294 4 месяца назад +1

    Umeapprove my business idea. Kweli tunaangamia kwa kukosa maarifa. Asante kaka kwa maarifa haya.

  • @miriamshedrack2320
    @miriamshedrack2320 2 месяца назад

    Something so powerful I have heard today 🙌🙌

  • @marymajige9697
    @marymajige9697 6 месяцев назад +3

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu

  • @angelakeneth8993
    @angelakeneth8993 4 месяца назад

    Asante mtu wa Mungu ubarikiwe wewe na uzao wako amen 🙏

  • @johnmligo6966
    @johnmligo6966 6 месяцев назад +3

    Hongera mwalimu; Juu ya taa inayowaka bila kuzimika, fuatilia yaani Fanya exegetical research. But all is fine!

  • @goldiegranted5501
    @goldiegranted5501 6 месяцев назад +4

    Somo 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @UwinezaFrancine-nt4jw
    @UwinezaFrancine-nt4jw 3 месяца назад

    Mungu nipe wateja kwenye duka yangu

  • @agnessmwajojo-gr4ko
    @agnessmwajojo-gr4ko 6 месяцев назад +2

    Amin...alhamdulillah nimo japo kidogo

  • @KabulaKing
    @KabulaKing 6 месяцев назад +1

    Mungu akubariki saaaaana, Bado najichanga nikijipata nakupigia

  • @rajabkahindi3389
    @rajabkahindi3389 6 месяцев назад +2

    Ubalikiwe sana kaka joel

  • @linahjoseph6457
    @linahjoseph6457 5 месяцев назад

    Dah sante sana bro umenigusa ktk biashala asante kwa kunihakikishia kile nilicho kua nawaza kukifanya❤

  • @goldiegranted5501
    @goldiegranted5501 6 месяцев назад +2

    Nipo nasubiri 😊🏆🥇

  • @scholasticamarandu4762
    @scholasticamarandu4762 6 месяцев назад

    Mungu ni mwema kusikia hili neno
    Mungu nipe neema ya kuchagua kitu sahii

  • @MwanaishaMohammed-f4t
    @MwanaishaMohammed-f4t Месяц назад

    Amin hakika tutafka uko

  • @pendomason8582
    @pendomason8582 6 месяцев назад +1

    Ubarikiwe sana mchubgaji asante

  • @gladysmbugua9083
    @gladysmbugua9083 5 месяцев назад

    Wamama hallooo God bless you servant of the most high God

  • @MathewBayyo
    @MathewBayyo 5 месяцев назад

    Hongera mwalimu Mungu akupe siku Nyingi

  • @annamallya8756
    @annamallya8756 4 месяца назад

    Ahsante sana Mungu azid kukutunza

  • @neemazacharia2670
    @neemazacharia2670 3 месяца назад

    Asante baba ubarikiwe maana sasa

  • @RedgaMsigala
    @RedgaMsigala 6 месяцев назад +5

    Amen Sema watu wa Mungu tuamke maana wacha Mungu tunamzalaulisha Mungu kana kwamba Mungu hawezi kubaliki kumbe hatujakaa mkao wa kupokea.

    • @liannsambu7264
      @liannsambu7264 6 месяцев назад

      Hakika Tena wengi TUNALIA NJAA NJAA ata mionekano yetu wengi inamwaibiaha MUNGU Kwa NJAA , tumebweteka na kuridhika tu Kwa dini na KUKESHA kulia na KUOMBA makanisani na kusaka miujiza ,wakati BWANA ALISHAWEKA KILA KITU NDANI YETU ,TUAMKE

  • @AnnWahome-ty4nc
    @AnnWahome-ty4nc 3 месяца назад

    Thenks sana,umesoma kitabu gani

  • @happyambweneambwene8444
    @happyambweneambwene8444 5 месяцев назад

    Ubarikiwe sanaa nimepata kitu

  • @zaishanga1622
    @zaishanga1622 6 месяцев назад +3

    Asante naenda kuwa mpya mchumgaji ubarikiwe niombee sana niweze simama tena maana maadui ni wengi eeee kwenye maisha yangu lkn kwa ujumbe wko huu barikiwa

  • @AgripinaMallya-n7x
    @AgripinaMallya-n7x 3 месяца назад

    Ubarikiwe sana kijana

  • @pialafrance7922
    @pialafrance7922 5 месяцев назад

    Umesema vyema sana barikiwa sana mtumishi wa Mungu

  • @HekimaLuvanda-te3xr
    @HekimaLuvanda-te3xr 6 месяцев назад +1

    Amina mtumishi wa Mungu .

  • @christinekitsao4569
    @christinekitsao4569 4 месяца назад

    Amen, barikiwa sana mtumishi naomba kujua maandiko yanapatikana katika kitabu gani

  • @Dottombwana
    @Dottombwana 4 месяца назад

    Imenijenga sana 🙏🏽❤️

  • @BuzakeYvonne-cc4ge
    @BuzakeYvonne-cc4ge 4 месяца назад

    Asante kwa maono mazuri

  • @filorammbaga5710
    @filorammbaga5710 4 месяца назад

    Tena nilikuwa nataka kununua shamba kibaha na nimemwambia Mungu aingilie kati uhitaji huu.
    Asante Joel 🎉

    • @sarahweston2708
      @sarahweston2708 3 месяца назад

      Kibaa watakuibia...
      Bora kanunue Mkulanga dadaangu

  • @nurumichael2554
    @nurumichael2554 3 месяца назад

    Asante sana,barikiwa sana

  • @ashangonyani7989
    @ashangonyani7989 6 месяцев назад +1

    Barikiwa sana hakika 🙏🙏

  • @evalinemalole6709
    @evalinemalole6709 3 месяца назад

    🙌🙌🙌🙌
    Genius one ever 🙌

  • @julianalaly2095
    @julianalaly2095 6 месяцев назад +1

    Asante sana

  • @SharifaHamisi-z2y
    @SharifaHamisi-z2y 5 месяцев назад +1

    Shukuran❤

  • @RoseSimeo
    @RoseSimeo Месяц назад

    Ukwel kwa mnao ish jijin mnalaha wengne tuko mbali na miji jmn 😢

  • @revombenmwakwenda6006
    @revombenmwakwenda6006 6 месяцев назад +1

    Barikiwa Sanaa❤❤

  • @Jrmontaiza
    @Jrmontaiza 3 месяца назад

    Mwanamke ni mtu nanusu Mama zetu hakika madini makubwa hayo

  • @janethkawishe9368
    @janethkawishe9368 6 месяцев назад +1

    Asante Joel

  • @gracelaizer1787
    @gracelaizer1787 5 месяцев назад +4

    Shukran ila Mwanaume mwingine hapendi ukinunua eneo

    • @HadijaMakupika
      @HadijaMakupika 2 месяца назад +2

      Wengi wako hivo , mtihan Yan kuna wanaumenukiwanao hata future zako zinapotea kabisa

    • @hedayamohammed2781
      @hedayamohammed2781 7 дней назад +1

      ​@@HadijaMakupikakama huyu wangu ni shida tupu

  • @rechoshop4094
    @rechoshop4094 5 месяцев назад

    Ubarikiwe sana jmn 🙏

  • @paulpeter4684
    @paulpeter4684 6 месяцев назад +1

    Asantee Kaka Joel Nanauka

  • @ailennkya892
    @ailennkya892 6 месяцев назад +1

    God bless you nwalimu

  • @jemimahchiro4013
    @jemimahchiro4013 6 месяцев назад

    Amen ni mebarikiwa sn na ujumbe waleo

  • @brandyTrevor-x9g
    @brandyTrevor-x9g 6 месяцев назад +1

    thanks and god bless you

  • @AishaOman-qz7tn
    @AishaOman-qz7tn 6 месяцев назад +1

    Barikiwa sana kaka joel

  • @linethowire7031
    @linethowire7031 6 месяцев назад +1

    Well said NANAUKA

  • @fostermwanja8718
    @fostermwanja8718 6 месяцев назад

    Hakika umenisaidia sana barikiwa sana mtumishi.

  • @AminaAyubu-p7t
    @AminaAyubu-p7t 11 дней назад

    Asante sanaaa

  • @happinesngindo4603
    @happinesngindo4603 6 месяцев назад +2

    Amen

  • @TinaNombo
    @TinaNombo 4 месяца назад

    Ameni mtumishi

  • @Udindigwa
    @Udindigwa 6 месяцев назад +30

    Hakika Mda Na MB. MH. Joeli Nanauka Nazo Tumia Kukufatilia Na Kusikiliza Video Zenye Ujumbe Wenye Kutu Jenga Hakika Kukufahamu Na Hata Vitabu Vyako Vyote%86 Ni Hazina Kubwa Kwa Mtu Ambaye Yupo Tayari Kubadilika Na Kuwa Mtu Wa Kitofauti Yani Kuishi Maisha Aliyo Kusudia Mungu Tuishi Au Mtu huyo Aishi Awe Vile Kama Ambavyo Mungu Amekusudia Katika Maisha Yetu Katika Maisha Yake

  • @Sharon-m2s
    @Sharon-m2s 5 месяцев назад

    Safi kaka nimejifunza kitu hapa

  • @JescaAnatoli
    @JescaAnatoli 5 месяцев назад

    Safi sana mimi nimejifunza kitu katakana nipige hatua japo nafuga kuku wa mayai

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 6 месяцев назад +3

    Mungu atubariki kwenye harakati zetu za utafutaji.

  • @AnithaNsellu
    @AnithaNsellu 6 месяцев назад +1

    Ni kweli soma limeeleweka

  • @rahelmhezi
    @rahelmhezi 3 месяца назад

    Asante kaka

  • @paulinamoses1797
    @paulinamoses1797 5 месяцев назад

    Barikiwa sana mwalimu

  • @beatricemnkeni2670
    @beatricemnkeni2670 6 месяцев назад

    Amina. Amina. Ubarikiwe mtu wa Mungu.

  • @victoriapendo1730
    @victoriapendo1730 6 месяцев назад +1

    Barikiwa sanaaa

  • @godrivercaaron81
    @godrivercaaron81 6 месяцев назад

    Barikiwa sana mtumishi, umenijibu maswali yangu leo

  • @upendowarioba
    @upendowarioba 6 месяцев назад +1

    Point MR JOEL

  • @elizabethchacha8276
    @elizabethchacha8276 5 месяцев назад

    Well said mtumishi🙏

  • @kanaelmushi7862
    @kanaelmushi7862 6 месяцев назад

    Mungu akubariki mtumishi

  • @everose276
    @everose276 6 месяцев назад +1

    Asante sana kaka

  • @TwilumbaLugasi
    @TwilumbaLugasi 5 месяцев назад

    Asante sana,umenipa vitu.

  • @GraceKimenanga
    @GraceKimenanga 2 месяца назад

    Heshima Yako Leo nimejifunza mengi

  • @gracefaida2317
    @gracefaida2317 5 месяцев назад

    Barikiwa mnoooo

  • @MacksensiaSambala
    @MacksensiaSambala 5 месяцев назад

    Ubarikiwe

  • @tabithamkazeni7385
    @tabithamkazeni7385 2 месяца назад

    This is powerfull

  • @ThomasNghwani-nw6rx
    @ThomasNghwani-nw6rx 6 месяцев назад

    Amina...Injili iliyonyooka

  • @agnesmwangombe6999
    @agnesmwangombe6999 4 месяца назад

    Good advise

  • @rehemamwasomola4362
    @rehemamwasomola4362 3 месяца назад +1

    BARIKIWA MNOO MTUMISHI JOEL NANAUKA NAKUELEWA SANA.ILA NAOMBA UWAFUNDISHE WABABA WASIWE NA INFERIORITY COMPLEX. WANAWAKE PIA TUSIWE NA JEURI HADI KUKANYAGA WABABA TUKIFANIKIWA.STAY BLESSED

  • @elizabethemilio5936
    @elizabethemilio5936 5 месяцев назад

    Barikiwa kaka

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 2 месяца назад

    Asante 🙏🏻❤️